You are on page 1of 4

MWONGOZO WA KARATASI 102/2

1. UFAHAMU
a) Ufisadi 1 × 1 = 1
b) i) Utamaduni
ii) Dhana za kikabila 2×1=2
c) Ndiyo mzawa wa matatizo yote ya kiutawala.1 × 2
d) i) Mwenye maono
ii) Mtetezi 2×1=2
e) i) Jazanda – ufisadi kurejelewa kuwa donda.1 × 2
ii) Donda linatandaza mbawa zake kwenye 'taasisi takatifu' zinazopaswa kuupinga
ufisadi. 1 × 2 = 2
f) Uasi wa tamaduni za kiafrika
Kuegemea mifumo ya kizungu 2×1=2
g) i) Mhimili - nguzo / tegemeo / iliyoimara al. 1
ii) Taasisi – kituo maalum cha kustawisha / kutoa mafunzo. al. 1
Adhibu sarufi popote patokeapo makosa na usiadhibu zaidi ya nusu alama aliyopata
mwanafunzi.
Hijai – hadi makosa sita

2. UFUPISHO

a) – Nchi nyingi duniani zimetia saini mkataba wa umoja wa mataifa kuhusu haki za
watoto
- Kuhakikisha kuwa hakuna ukiukaji wake katika himaya zao.
- -Haki hizi ni kupata chakula bora
- -Elimu isiyotolewa ada
- Kutopigwa na kutodunishwa
- -Kutolazimishwa kufanya kazi za kiutumwa au kushurutishwa
- -Kuishi katika nyumba au makazi bora
- Kulindwa dhidi ya madhara yoyote
- Kushirikishwa katika maamuzi
- Kupata huduma za kiafya
- -kuheshimiwa kimawazo na kihisia
- Haki hizi zinastahili kulindwa na wanajamii
- Serikali kushirikisha haki hizi katika katiba za nchi zao. (zozote 8x1=8 )
- (utiririko 2 )
b) –Serikali kuhakikisha kuwa watoto wote wako shuleni
-Watu wote kushirikiana kukomesha dhuluma
--Miswada kuhusu watoto kupelekwa bungeni na kupitishwa kuwa sheria.
- Kubadilisha misimamo yetu kuhusu haki hizi na kuzilinda upasavyo ( 4x1=4)
(utiririko 1 )
3. MATUMIZI YA LUGHA/ SARUFI
a) Eleza sifa bainifu za sauti /j/. (alama 2 )
-Kipasuokwamiza/Kipasuo
-Kaakaagumu
-Ghuna

b) Ni mkazo unaowekwa kwenye silabi Fulani ya neon ili neno hilo liweze
kuleta maana yake halisi. (alama 2).

c) Bainisha mofimu- LI-katika tungo hili. (alama 3 )


Alivyolikimbilia
………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………
.li………
Wakati………………………………………………………………………
………………………………………………………
………………………………………………………………………………
……………………………………………………………….
Ii…………
Mtendwa……………………………………………………………………
……………………………………………………
i……………………………………………………………………………
………………………………………………………………
Ii……………
Kauli………………………………………………………………………
…………………………………………………….
………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………
d. Nyanya- kitondo (alama 2)
Kitanda- kipozi
e. S

KN KT

N N U N T T KN
N
Bakari Roda na Hirsi wamefurahi
kupita
mtihani
(alama 4)

f. kusiko na vita hakuhitaji msaada. (alama 2)

g. Wasomi watakuwa wametuzwa siku hizo (alama 2)

h. i) kuonyesha kisawe cha neno . (alama 2).

ii) kuonyesha maneno ya ziada.

i. Amri
Wingi wa wahusika (alama 2)

j. -kiambishi cha kuonyesha ukanushi katika wakati uliopita.


-mtendwa.
-Nomino za kitenzi jina . (alama 2)

k. i) La - lisha
ii) Nywa – nywisha /nywesha
iii) Fa- fisha (alama 3)

L. Gari liangukalo si lile ulizungumzialo. (alama 2)

M. Utepetevu (alama 1)

N. wa- a unganifu
kuliko –kulinganisha.
O. Wananchi wote wanaosumbuliwa na majambazi wameletewa askari kituoni ili
wawalinde. (alama 3)
P. Magombe/ majigombe manono yatachinjiwa wachezaji. (alama 2)

Q. i) W- (kiwakilishi ) (alama 2)
ii) N – ( nomino )

R. Mchwa (alama 1)

4. ISIMU JAMII

i) Ni chombo cha mawasiliano cha binadamu ambacho hutumia ishara na sauti zilizo na
mpangilio maalum.
- Ni mfumo wa sauti ambazo zimebuniwa na jamii katika mawasiliano.
(alama 1X 2)
ii. -Lugha moja kuonewa hadhi na isiyoonewa hadhi kufifia.
-Sababu za kiuchumi yaani watu huishi mijini na kuacha lugha ya kwanza.
-Lugha kuwa na idadi ndogo ya wazungumzaji.
-Ndoa za mseto
-Kuhamia kwingine yaani watu kuishi na kuingiliana na kundi jingine.
-Mielekeo ya watu hasa wanapoipendelea lugha moja na kuidharau nyingine.
-Kisiasa lugha moja kupendelewa kuliko nyingine na viongozi.
(zozote 4 X 2)

You might also like