Professional Documents
Culture Documents
NSSF Waterfront 7th Floor, Sokoine Drive, P.O. Box 14154, Dar es Salaam.
Website:
www.sumatraccc.go.tz;
Ndugu wanahabari
Kutokana na hali hiyo, Baraza linachukua fursa hii kuwakumbusha
wamiliki wa mabasi yaendayo mikoani kupitia umoja wao (TABOA)
kufuata masharti ya leseni zao na kutoza nauli zilizoidhinishwa na
SUMATRA. Aidha, Baraza linatoa wito kwa wamiliki wote wa Mabasi
kuwahimiza wafanyakazi wao wanaokata tiketi katika vituo mbali mbali
nchini kuwa waaminifu kwa waajiri wao na wateja wao.
Ndugu wana habari,
Baraza linatoa wito kwa watu wote wanaotarajia kusafiri kipindi cha
mwisho wa mwaka kufanya maandalizi ya safari zao mapema ikiwa ni
pamoja na kufanya booking na/au kukata tiketi zao mapema ili
kuepukana na matatizo ya kulanguliwa tiketi..
Aidha, Baraza linatoa wito kwa abiria wote kutonunua tiketi za
mapema.
Kuwakatalia
abiria
kufanya
booking
mapema,
Council Members:- Ms. Regina L. Bieda (Chairperson), Mr. George M.M. Makuke,
Mr. Manyama M. Kanyere, Mr. Ebenezer S. Mshana, Ms. Lydia N. Ngwale, Mr. Said
H. Putta, Mr. Hassani R. Mnyone