Professional Documents
Culture Documents
HabariZA
za
NISHATI
nishati&MADINI
&madini
NewsBulletin
UMEME
Wabunge
http://www.mem.go.tz
Toleo
No.90
51
Toleo No.
LimesambazwaLimesambazwa
kwa Taasisi nakwa
Idara
zote
Taasisi
naMEM
Idara zote MEM Tarehe
- 23-29 Januari , 2015
Oktoba 23 - 29, 2015
waongezeka
Gridi ya Taifa
Waziri wa Nishati
na Madini, Profesa
Sospeter Muhongo
Somahabari Uk.2
Mkurugenzi Mkuu wa
REA, Dk. Lutengano
Mwakahesya
Soma
habari
Uk. 2
Habari za nishati/madini
Megawati 35
zaongezwa
Kinyerezi I
Zuena Msuya na
Nuru Mwasampeta
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
NewsBulletin
Habari za nishati/madini
http://www.mem.go.tz
MEM
Tahariri
Na Badra Masoud
Makubwa yamefanyika
sekta ya Nishati
TEL-2110490
FAX-2110389
MOB-0732999263
Bodi ya uhariri
Mhariri Mkuu: Badra Masoud
Msanifu: Lucas Gordon
Waandishi: Veronica Simba, Asteria Muhozya, Greyson
Mwase Teresia Mhagama, Mohamed Saif, Rhoda James ,
Nuru Mwasampeta na Zuena Msuya
Five
Pillars of
Reforms
increase efficiency
Quality delivery
of goods/service
satisfAction of
the client
satisfaction of
business partners
satisfAction of
shareholders
Habari za nishati/madini
TUMEWEZA
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, Eliachim Maswi akiwa na wanafunzi waliopata ufadhili
wa masomo kupitia Wizara ya Nishati na Madini kusoma Shahada za Uzamili na Uzamivu katika
masuala ya mafuta na gesi nchini China.Wa kwanza kulia ni Mkurugenzi Msaidizi wa Rasilimali
Watu Lusius Mwenda na wa tatu kulia ni Kamishna Msadizi anayeshughulikia Maendeleo ya
Nishati, James Andilile, mwaka 2015.
Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi Ngosi Mwihava (wa tano kulia) na Balozi
wa Brazili nchini Fransisco, Carlos Luiz (wa tatu kulia) katika picha ya pamoja na Wanafunzi 15
waliohitimu mafunzo ya lugha ya Kireno. Wanafunzi 7 kati yao walipata ufadhili wa kusoma masuala
ya mafuta na gesi katika ngazi za Shahada ya Uzamili na Uzamivu nchini Brazil mwezi Machi,
mwaka 2015.
Waziri wa Nishati
na Madini George
Simbachawene (kulia)
akizungumza na
wanafunzi 22 waliopata
Ufadhili wa Masomo
kupitia Serikali ya
Watu wa China kusoma
Shahada za Uzamili
na Uzamivu kuhusu
masuala ya mafuta
na gesi nchini China.
Hafla ya kuwakabidhi
nyaraka za masomo
ilifanyika mwezi Agosti,
2015
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
UFADHILI WA
MASOMO
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
TUMEWEZA
Habari za nishati/madini
UTOAJI
RUZUKU
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mizengo Kayanza Pinda akikabidhi hundi za mikopo kwa wachimbaji wadogo. Mwaka 2013 Serikali ilianza
utaratibu wa kutoa mikopo ya masharti nafuu na ruzuku kwa wachimbaji wadogo kupitia Benki ya Maendeleo ya TIB. Hundi za awamu ya kwanza za ruzuku hiyo
zenye jumla ya Dola za Marekani 537,000 sawa na shilingi milioni 880.68 zilikabidhiwa mwezi Aprili, 2014 na Waziri Mkuu, Mizengo Kayanza Pinda kwa miradi 11.
Mjasiriamali anayejihusisha
na biashara ya vito vya
madini kwa kukata, kusanifu
na kuuza, Susie Kennedy
kutoka Arusha, akipokea
mkataba kutoka kwa Waziri
wa Nishati na Madini, George
Simbachawene wakati wa
mafunzo kwa waliopata
ruzuku awamu ya pili ya
kuendeleza uchimbaji madini
mdogo. Wengine pichani
kutoka Kushoto ni Kamishna
Msaidizi wa Madini, Sehemu
ya Leseni, Mhandisi John
Nayopa, Mkurugenzi wa
Usimamizi wa Fedha za
Serikali kutoka Benki ya
Maendeleo ya TIB, Prisca
Changa na Rais wa Shirikisho
la Vyama vya Wachimbaji
Madini Tanzania (FEMATA),
John Bina. Mafunzo hayo ya
siku mbili yalifanyika mjini
Dodoma Oktoba 7 na 8, 2015.
Waziri wa Nishati
na Madini, George
Simbachawene (wa pili
kutoka kulia waliokaa)
akiwa katika picha ya
pamoja na baadhi ya
wachimbaji madini wadogo
kutoka Kanda ya Kaskazini
waliopata ruzuku awamu
ya pili kwa ajili ya
kuendeleza uchimbaji
madini mdogo.Ruzuku
ya awamu ya pili ya kiasi
cha shilingi bilioni 7.2
ilitolewa kwa vikundi 111
vya wachimbaji wadogo na
watoa huduma mbalimbali
katika sekta ya madini.
Habari za nishati/madini
MAKALA
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
NewsBulletin
Habari za nishati/madini
http://www.mem.go.tz
MIRADI YA GESI
ASILIA, 2015
TUMEWEZA
Habari za nishati/madini
8
Tulipotoka Tulipofika
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
1.
2.
3.
4.
5.
NewsBulletin
Habari za nishati/madini
http://www.mem.go.tz
TUMEWEZA
MRADI MKUBWA
UMEME WA GESI ASILIA
AWALI
AWALI
he Government of Tanzania, in
creating
an
enabling
environment for foreign and local
investments, formulated the Mineral Policy
of 1997; enacted the Mining Act of 1998
and major reforms in the mining fiscal
regime which contained generous tax
incentives aimed at attracting both local
and foreign investors in the mining
sector.The measures resulted into
increased large scale exploration and
mining
activities,
including
the
establishment of 7 large scale gold mines
between 1998 and 2009.
However, the Government could not
effectively realize the expected benefits
due to inadequate expertise and
ineffective monitoring of mining
operations. In order to address this
situation, the Government, among other
measures it reviewed the mineral policy,
mining legislation and strengthened
10
Habari za nishati/madini
http://www.mem.go.tz
NewsBulletin
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
Habari za nishati/madini
11
12
Habari za nishati/madini
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
Kwa wadau wa sekta za Nishati na Madini, tembelea kurasa mpya za Wizara kwenye Mitandao
ya Kijamii ya Twitter na Facebook kwa anuani ya Nishati na Madini Karibu tuhabarishane na
tujadili kuhusu sekta za Nishati na Madini kwa maendeleo ya Watanzania wote.
Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini