You are on page 1of 19

TOLEO MAALUMU LA RAMADHAN 1436

huwatoa watu gizani

TIF kutumia Tsh. Mil 200 kufuturisha-Uk 2


ISSN 5618 - N0. 010 BEi: Sh800/- KSH80/- Ush1,200/-

25 shaaban 1436, IJUMAA, juni 12 - 18, 2015

www.islamicftz.org

RAMADHAN 1436

MTIHANI MGUMU:
NANI ATAFAULU?
25 shabaan

Habari UK2

Head office, Lumumba Street, Opp: Viwanja vya Mnazi Mmoja, P. O Box 779 Dar es Salaam, Tanzania
Tell: 255 22 2182482/ 255 222184419, Fax: 255 22 2181424, E-mail: info@Binslum.com

TOLEO MAALUMU LA RAMADHAN

nyakati za swala
Na. MJI ALFAJR
1
DAR ES SALAAM
11:16
2 ZANZIBAR
11:15
3 TANGA
11:17
4
MOROGORO
11:27
5
MTWARA
11:23
6
ARUSHA
11:22
7
DODOMA
11:27
8
MBEYA
11:43
9 KIGOMA
11:50
10
MWANZA
11:34
11 KAGERA
11:46
12 TABORA
11:39
13
SHINYANGA
11:36
14
SINGIDA
11:33
15 IRINGA
11:36

habari / tangazo

08 juni - 14 juni, 2015

DHUHUR ASR
6:22
9:44
6:22
9:45
6:26
9:49
6:40
9:52
6:23
9:42
6:35
10:00
6:35
9:58
6:47
10:08
6:59
10:22
6:48
10:12
6:57
10:20
6:48
10:11
6:47
10:11
6:41
10:04
6:39
9:59

MAGHARIB
12:15
12:16
12:22
12:22
12:09
12:34
12:29
12:37
12:55
12:47
12:53
12:43
12:45
12:36
12:28

ISHA
1:25
1:26
1:32
1:32
1:20
1:44
1:39
1:47
2:05
1:57
2:03
1:53
1:55
1:46
1:38

25 Shaaban 1436, Ijumaa Juni 12 - 18, 2015

www.islamicftz.org

The Islamic Foundation


kutumia Tsh. Mil 200
kufuturisha magereza 13
NA MWANDISHI WETU

aasisi ya The Islamic Foundation (TIF) yenye makao yake


makuu mkoani Morogoro inatarajia kutumia zaidi ya Tsh.
Milioni 216,000,000 kwa ajili ya kufuturisha makundi mbalimbali ya Kiislam,
wakiwemo wafungwa.
Akizungumza na gazeti la Imaan,
Katibu Mkuu wa taasisi hiyo, Sheikh
Ally Ajirani amesema, fedha hizo zitatumika kusambaza futari nchi nzima.
Aidha, Sheikh Ajirani alibainisha
kuwa, makundi yatakayonufaika ni
pamoja na misikiti zaidi ya 250, shule za
sekondari na vyuo zaidi ya 50, pamoja
na wafungwa katika magereza 13 nchini.
Mbali na zoezi la kufuturisha, pia
Sheikh Ajirani alizitaja shughuli nyingine zitakazofanywa na taasisi ya TIF
katika mwezi mtukufu wa Ramadhan
kuwa ni mafunzo ya darasa za Ramadhan yatakayotolewa na masheikh
mbalimbali kutoka chuo cha Maahadil
Imaan kilichopo wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro.
Alisema, masheikh zaidi ya 100 kutoka chuo hicho kilicho chini ya The Islamic Foundation wanatarajiwa kutoa darsa
katika baadhi ya misikiti hiyo.
Aidha Sheikh Ajirani alisema, taasisi
hiyo pia itashughulika na upokeaji wa
zaka kutoka kwa wahisani mbalimbali

na kugawa kwa watu waliokusudiwa


kwa mujibu wa sharia ya Kiislam.
Sheikh Ajirani aliongeza kusema
kuwa, licha ya kugawa futari katika
misikiti yake hapa nchini, Taasisi ya TIF
pia inajishughulisha na ugawaji wa
tende katika misikiti mbalimbali ya taasisi na isiyokuwa ya taasisi ndani ya
mwezi huo wa Ramadhan.
Kwa mujibu wa Sheikh Ajirani, mwaka huu taasisi ya TIF inatarajia kugawa
tani 200 za tende zenye thamani ya Tsh.
Milioni 700.
Aliongeza kusema kuwa, taasisi pia
inashughulika na kuwalipia baadhi ya
wafungwa ambao walihukumiwa kufungwa magerezani kutokana na
kushindwa kulipa faini.
Katika hatua nyingine, Sheikh Ajirani
alisema, Waislam na wasiokuwa Waislam wajiandae kunufaika na vipindi vya
mafundisho sahihi ya dini ya Kiislam
yenye kuhusiana na mwezi mtukufu wa
Ramadhan kupitia radio na TV imaan
pamoja na gazeti la Imaan.
Sheikh Ajirani amewataka Waislam
kufuatilia vipindi vya Ramadhan kupitia
radio na Tv zao ili kupata mafundisho
hayo sahihi ya Kiislam.
Akizungumzia shughuli ambazo zilifanywa na taasisi hiyo mwezi wa Ramadhan kwa mwaka jana, Sheikh Ajirani
alisema, taasisi ilifanikiwa kuwalipia
faini wafungwa wapatao 25 na kuachiwa
huru.

Afyais natural
source of sweet
drinking water
from underground stream
which is blended
with essential
minerals to support and aid perfect metabolism.

WATERCOM LIMITED
P.o. Box 20409, Plot N.4005, Kisarawe11 area
Temeke,Daresalaam, Tanzania
www.watercomtz.com, E-mail:info@watercomtz.com

Katibu Mkuu The Islamic Foundation (TIF), Sheikh Ally Ajirani

25 Shaaban 1436, Ijumaa Juni 12 - 18, 2015

habari

www.islamicftz.org

TOLEO MAALUMU LA RAMADHAN

MTIHANI MGUMU: NANI ATAFAULU?


na amani ziwe juu yake) anatudokeza moja ya sababu za mwezi
wa Ramadhan kuwa mwezi
mtukufu ni kwamba Allah ameiita ibada ya swaumu ifanyikayo
ndani yake kuwa ni ibada yake.
Imepokewa kutoka kwa Abu
Huraira (Radhi za Allah ziwe juu
yake), kuwa Mtume wa Allah alisema: Allah Mwenye nguvu
anasema kila tendo la mwanadamu ni la kwake isipokuwa swaumu, kwa hakika hiyo ni yangu na
mimi ndiye nitakayeilipa.
Swaumu ni ngao, kwa hiyo
inapokuwa mmoja wenu katika
siku ya swaumu ajiepushe na
maneno machafu na ugomvi; na
ikiwa mtu atamtukana na aseme
hakika mimi nimefunga.
Naapa kwa yule ambaye nafsi
ya Muhamamd iko katika miliki
yake, harufu ya kinywa cha aliye-

JABAL NUUR Makkah, ndipo Quran ilipoanza kuteremshwa ndani ya mwezi wa Ramadhan.

NA MWANDISHI WETU

alozi wa Marekani nchini Indonesia, nchi


yenye Waislam wengi
zaidi duniani, Robert O.
Blake, amerudisha nyuma sherehe za uhuru wa Marekani kwa
mwezi mmoja nyuma kutoka Julai 4 hadi Juni 4.
Sababu aliyoitoa, ni kuheshimu mwezi wa Ramadhan. Iwapo
zingefanyika Julai 4, sherehe hizo
zinazoambatana na muziki na
mambo mengine yaliyo kinyume
na Uislam, zingefanyika ndani ya
mwezi huo mtukufu.
Hapa nchini, zimebaki siku
nne au tano mwezi wa Ramadhan
uingie na tayari Watanzania wakiwemo Waislam wako katika hekaheka za kampeni za uchaguzi.

Swaumu ya mwezi wa Ramadhan mwaka huu ni mtihani


mgumu kwa Waislam haswa wale
wanaojihusisha na siasa za uchaguzi, hususan wagombea au wapambe wao, mmoja wa wanasiasa
wanaopigania nafasi ya udiwani
jijini Dar es salaam, Karama Juma
alisema.
Mwezi wa Ramadhan ni mwezi
mtukufu wa Waislam ambao ndani yake Mtume Muhammad (Rehma na amani ziwe juu yake) alipewa utume pamoja na kuteremshiwa Quran.
Kwa mujibu wa Uislam,
Mtume Muhammad (Rehma na
amani ziwe juu yake) ametumwa
kuwa Rehma kwa walimwengu
wote na Quran imekusudiwa iwe
mwongozo kwa watu wote.
Mwezi wa Ramadhan ambao
imeteremshwa ndani yake Quran

mwongozo kwa watu wote na kipambanuzi katika miongozo


(2:185).
Nini utukufu wa Ramadhan?
Utukufu ni tofauti na utakatifu.
Ingawa mwezi wa Ramadhan ni
mwezi mtukufu, lakini si mwezi
mtakatifu. Miezi mitakatifu ni
Muharram, Rajab, Dhul Qaadah
na Dul Hijja. Utakatifu wao ni
kwa kuwa Allah ameitaja miezi hii
kuwa ni miezi mitakatifu (Quran
9:36)
Ramadhan ni mwezi mtakatifu
yaani wenye hadhi kubwa sana
kwa sababu mbali na Mtume kupewa utume ndani ya mwezi huu
na kuteremshwa Quran, ndani ya
mwezi wa Ramadhan kuna usiku
mmoja ambao Allah nasema
Usiku wenye cheo ni bora kuliko
miezi elfu moja (97:3)
Mtume Muhamamd (Rehma

Swaumu ya
mwezi wa
Ramadhan
mwaka huu ni
mtihani mgumu
kwa Waislam
haswa wale
wanaojihusisha
na siasa za
uchaguzi,
hususan
wagombea au
wapambe wao

funga inapendeza mbele ya Allah


kuliko manukato ya miski.
Mwenye kufunga ana furaha mbili, furaha pindi anapofungua na
furaha pindi atakapokutana na
mola wake atafurahi kwa (malipo)
ya swaumu yake (Bukharin a
Muslim).

Ndiyo maana imeelezwa kuwa,


mwezi wa Ramadhan kuangukia
kipindi hiki cha uchaguzi, ambacho wanasiasa na wapambe
wao huzuliana, kufitiniana, huvurumishana makombora na hata
kufikia kugombana ni mtihani
mgumu sana.
Kwa kuwa swaumu ni ya Allah
basi mwezi wa Ramadhan ni
mwezi wa Allah. Huu ndio utukufu wa mwezi wa Ramadhan. Ni
kama vile Allah anasema miezi
yote ya mwaka ni miezi yenu waja
wangu, lakini mwezi wa Ramadhan ni mwezi wangu.
Na hii ni kwa sababu ibada nyingine zote ni ibada ambazo watu
wanaweza kusema huyu anaswali,
anatoa sadaka, anasoma Quran,
anatoa zaka au anahiji na kadhalika. Lakini hakuna atakayesema
kwa hakika nani amefunga.
Kwanza kwa sababu swaumu
si kuacha kula na kunywa pekee
bali ni kufunga dhidi ya yale yote
aliyoyakataza Allah na Mtume
wake na pili ni kwa sababu uhakika wa mtu kujizuilia na huko kula
na kunywa aujuaye ni mwenye
kufunga na Mola wake tu.
Kwa hiyo, Waislam, kama balozi wa Marekani anaamua kurudisha nyuma siku ya sikukuu
yao ya taifa kwa heshima ya mwezi
wa Ramadhani, naye si Muislam,
sisi tunatakiwa tuuheshimu mwezi huu kiasi gani?
Chonde chonde tusiuvunjie
heshima mwezi huu mtukufu kwa
kutanguliza mbele mambo ya kidunia, tukaangukia miongoni
mwa wale ambao dunia yao imewashughulisha hadi wakaisahau
dini.
Tujiandae kuukaribisha mwezi
wa Ramadhan kwa kukithirisha
uchamungu katika siku hizi
chache zilizobaki na katu tusifanye ajizi tukapata hasara kama alivyosema Mtume Muhammad
(Rehma na amani ziwe juu yake)
.Amepata hasara atakayeidiriki mwezi wa Ramadhan na
asisamehewe (Tirmidhy).

TAMSYA: Wafadhili saidieni wanafunzi wa bweni kipindi cha Ramadhan


NA SELEMANI MAGALI

akati Waislam wakijiandaa kuukaribisha


mwezi mtukufu wa
Ramadhan, wanafunzi wa Kiislam wanaosoma
katika shule za bweni wanakabiliwa na changamoto kubwa ya kukosa futari kufuatia shule hizo
kushindwa kuwa na utaratibu wa
kufuturisha.
Hayo yamebainishwa na Rais
wa Jumuiya ya Wanafunzi na Vijana wa Kiislam Tanzania (TAMSYA), Mohammedi Wage, wakati
akizungumza na gazeti
la Imaan juu ya matayarisho ya mapokezi ya

mwezi wa Ramadhan kwa wanafunzi na vijana kwa ujumla.


Mohammed Wage alisema,
changamoto kubwa ambayo wanayo ni maombi mengi ya wanafunzi kutoka shule mbalimbali
na vyuo kutaka kupatiwa msaada
wa futari wakati wa mwezi wa Ramadhan.
Alisema changamoto hiyo bado
hawajaweza kuipatia majibu yake.
Wage aliongeza kusema kuwa,
tatizo hilo lipo katika shule zote
kuanzia zile za serikali na za watu
binafsi, ambapo wanafunzi wa Kiislam bado hawajui hatma yao,
wakati wanaelekea kuupokea
mwezi mtukufu wa Ramadhan.
Wage ametaja changamoto ny-

ingine ambayo wanakabiliana


nayo kama chama kuwa ni uchache wa vitabu vya dini, ikiwemo
Quran. Alisema, shule nyingi
zimekuwa zikiomba kupatiwa vitabu hivyo bila mafanikio.
Aliongeza kuwa ni muhimu wanafunzi wa Kiislam kuvipata vitabu hivyo na kuvisoma katika mwezi huu ambao Quran inapaswa
kusomwa zaidi.
Ametaja tatizo lingine linalowasumbua wanafunzi walio katika
shule za bweni kuwa ni uchache
wa masheikh wa kwenda kutoa
mafundisho ndani ya mwezi wa
Ramadhan, na kushauri kuwa,
wafadhili wajitokeze ili masheikh
waweze kupata fursa ya kwenda

katika mashule na kutoa mafundisho.


Rais huyo alisema, waliweza
kupeleka kilio chao katika taasisi
mbalimbali na kupata misaada, lakini kutokana na wingi wa mashule
mahitaji bado ni makubwa.
Wage ametoa wito kwa Waislam wenye uwezo kuangalia
changamoto hizo na kuona jinsi
gani wanaweza kusaidia.
Akizungumzia harakati za chama chake kuelekea mwezi mtukufu wa Ramadhan, Rais huyo alisema, wameandaa kongamano la
kuukaribisha mwezi mtukufu wa
Ramadhan litakalowakutanisha
wanafunzi zaidi ya 500 kutoka
shule na vyuo mbalimbali hapa

nchini.
Wage alisema, kongamano hilo
litafanyika katika shule ya sekondari Lamoon iliyopo Ilala karibu na
Machinga Complex, June14, 2015.
Alisema, katika kongamano
hilo, Sheikh Ibrahim Ghulam
kutoka taasisi ya Hayyatul Ulamaa
atawasilisha mada kuu ya Falsafa
ya mwezi wa Ramadhan.
Mohammed Wage alitaja shughuli zingine ambazo zinatarajiwa
kufanyika ndani ya mwezi wa Ramadhan na wanafunzi hao wa
vyuo vikuu kuwa ni pamoja na kusoma Quran, kusimama usiku na
kuhudhuria tarawehe, shughuli
ambazo zitaratibiwa na jumuiya
yake.

TOLEO MAALUMU LA RAMADHAN

NA HAFSWA MADIWA

moja wa Wanawake wa
Kiislam Tanzania umeandaa mpango wa kutoa futari kwa ajili ya mwezi
mtukufu wa Ramadhan kwa familia za wahitaji kutoka katika kijiji
cha Mkamba (Kimanzichana) na
Muhaga (Kisarawe).
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Umoja huo,
Ukhti Sophia Abdurrahman, lengo la mpango
huo utakaonufaisha familia zaidi ya 500 ni
kutafuta radhi za Allah, aliyesema katika
Quran: Wale watoao mali zao usiku na mchana kwa siri na kwa dhahiri,wana ujira wao kwa
Mola wao, wala haitakuwa khofu juu yao wala
hawatahuzunika(2:274).
Aidha, Mwenyekiti huyo pia alimnukuu
Mtume Muhammad (Rehma na amani ziwe
juu yake) aliyesema: Wahurumieni walioko
katika ardhi atakuhurumieni aliyoko mbinguni.
Ukhti Sophia alisema, wazo hili la kufuturisha vijiji viwili lilikuja baada ya kuona baadhi
ya Waislam hujitolea kufuturisha majumbani
kwao siku moja kwa gharama kubwa wakati
kiasi hicho kingeweza kutumika kufuturisha
familia nyingi zisizo na uwezo kwa muda mrefu.
Ukhti Sophia alisema, walichagua vijiji vya
Muhaga na Mkamba kwa sababu vijiji hivyo
vina wanakijiji wengi Waislam ambao hawana
uwezo wa kupata fedha ya kununua futari kwa
ajili ya swaumu ya mwezi wa Ramadhan.
Halikadhalika futari hiyo pia ni njia ya kukishukuru kijiji cha Muhaga kilichojitolea kuuzia Umoja huo eneo kubwa ili kujenga shule ya
bweni kwa ajili ya watoto yatima.
Ujenzi wa shule hiyo ni sehemu ya utekelezaji wa mpango wa umoja huo wa kupunguza
au kutokomeza kabisa tabia ya kuweka watoto
katika vituo vya kulelea watoto yatima, na
badala yake watoto hao warudi kwenye mikono ya wazazi na wapatiwe shule na malezi bora
hadi wafikie balehe.
Ukhti Sophia alisema, fedha za futari zinatarajiwa kupatikana kutoka kwa wanachama,
wafadhili na wadau mbalimbali.
Umoja huo pia umepanga kutoa semina
maeneo mbalimbali katika mwezi wa Ramad-

habari

25 Shaaban 1436, Ijumaa Juni 12 - 18, 2015

www.islamicftz.org

Kaya 500 Kimanzichana,


Kisarawe kusaidiwa futari
Ni kutoka kwa wanawake wa Kiislam Dar es Salaam

Ukhti Sophia alisema, wazo hili la


kufuturisha vijiji viwili lilikuja baada
ya kuona baadhi ya Waislam hujitolea
kufuturisha majumbani kwao siku moja
kwa gharama kubwa wakati kiasi hicho
kingeweza kutumika kufuturisha familia
nyingi zisizo na uwezo kwa muda mrefu.

han, ikiwa ni sehemu ya kazi zao za kila siku kuhakikisha kwamba inawainua wanawake kielimu na kiuchumi kwa kutoa vitabu mbalimbali elimu ya watu wazima,kufundisha ujasiria
mali pamoja na kutoa mikopo na kuwawezesha wanawake kufanya biashara mbalimbali.
Wakati huohuo, akizungumza katika kongamano liliofanyika hivi karibuni kwenye ukumbi wa DIT, jijini Dar es salaam, Mwenyekiti
wa taasisi ya TAQWA, Dk. Salha Mohammed
amesema kuwa, taasisi yake imepanga kufuturisha kaya 800 katika mwezi mtukufu wa
Ramadhan katika mikoa ya Pemba, Dar es salaam, Kisarawe, Mkuranga, Bagamoyo na Morogoro.
Dr.Salha alisema, taasisi yake imekuwa
ikitekeleza mpango huo tangu 2012, na
kwamba kila mwaka wamekuwa wakiongeza
maeneo mapya. Mwaka huu wameongeza
wilaya ya Mkuranga na kila familia moja kati
ya hizo 800 itapata futari ya thamani ya Tsh.
50,000.
Kwa mujibu wa Dr. Salha, walipoanza
mpango huo mwaka 2012 walilenga kusaidia
yatima waliotokana na vifo vya wazazi wao katika ajali za boti zilizoua watu zaidi ya 60. Alisema mwaka huo waliamua kuchangisha watu
na kupata wadhamini waliowezesha kufuturisha kaya 250 Pemba peke yake.
Mwaka 2013, taasisi hiyo ilipata wadhamini
zaidi waliowawezesha kufuturisha kaya 600
na pia kuongeza kuongeza wilaya nyingine
zikiwemo Kisarawe,Bagamoyo, Dar es Salaam
na Morogoro na kufuturisha kaya 600, wakati
mwaka jana walifanikiwa kufuturisha familia
749.

Wanawake Tegeta kulisha futari, daku


hospitali ya Mbweni mwezi mzima

HAFSWA MADIWA
moja wa wanawake wa Kiislam wa Tegeta unaoundwa na wakina mama kutoka misikiti mitano ya eneo hilo wamejipanga kupeleka futari na daku mwezi
mzima wa Ramadhan katika hospitali ya Mbweni,
jijini Dar es Salaam. Habari hiyo nzuri imekuja wiki
tu kuanza kwa swaumu ya Ramadhan, ambayo ni
nguzo ya nne ya Uislam.
Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo, Ukt Nasra Mbaru alisema, umoja wao unajishughulisha na kutembelea na
kuombea dua wagojwa na kuhamasishana kusoma,
lakini mwezi wa Ramadhan wameamua kufuturisha
mwezi mzima wagonjwa na watumishi wa hospitali
hiyo ili kutafuta radhi za Allah.
Akielezea namna watakavyofuturisha na kulisha daku,
Ukhti Nasra aliongeza kuwa wanatarajia kutafuta mpishi wamlipe awe anapika daku ili iwe rahisi kwa wagonjwa na wauguzi wenye uwezo na wasio na uwezo
wa kufunga kujumuika na ndugu zao Waislam kupata
fadhila za mwezi mtukufu wa Ramadhan.
Ukhti Nasra pia alisema, wamekuwa wakihamasisha
muumini mmoja mmoja aangalie watu wasioweza
kununua futari ili awasaidie fedha au chakula.

25 Shaaban 1436, Ijumaa Juni 12 - 18, 2015

www.islamicftz.org

makala/ tangazo

TOLEO MAALUMU LA RAMADHAN

MASUALA MBALIMBALI
YANAYOAMBATANA NA SWAUMU
NA SHEIKH TAWAKKAL JUMA

penzi msomaji wa
gazeti la Imaan tukiwa tunamngoja
mgeni mtukufu,
Mwezi wa Ramadhan, mgeni ambaye kuingia kwake kumekaribia
ukaribu wa mfano wa pinde mbili
au chini yake, nakukaribisha katika makala haya yanayozungumzia
masala mbalimbali yanayohusiana na mgeni huyu mtukufu
anayekuja mara moja kila baada
ya siku mia tatu na ushee.
Makala haya yatakuwa katika
mfumo wa nukta muhimu ambazo zitamrahisishia msomaji
kupata hukumu mbalimbali;
Awali inatupasa kufahamu
kuwa Swaumu inapasa kwa moja
ya mambo mawili. Moja ni kwa
kuona mwandamo wa Ramadhan au kukamilisha siku thelathini za mwezi wa Shaaban.
Kuingia mwezi wa Ramadhan
huthibiti kwa mtu mmoja kuuona
mwandamo kama ilivyokuja katika hadith ya Ibn Umar iliyoripotiwa na Abuu Dawud. Ibn Umar
anasema: Watu walikuwa wakitafuta kuandama kwa mwezi.
Nikamjulisha Mtume kuwa mimi
nimeuonamwezi.Mtumeakafunga na akaamrisha watu wafunge.

Inashurutishwa ili ikubalike


habari ya aliyeuona mwezi lazima
mtu huyo awe mwadilifu aliye
baleghe na mukallafu anayelazimika na Hukumu za Sharia ya
Kiislam.
Kutafuta mwezi wa Ramadhan siku zinapowadia ni miongoni mwa alama za Allah. Hivyo
Waislam wanatakikana kulifanyia
kazi jambo hili na kutokulipuuza.
Ni ajabu sana katika miaka hii tofauti na miaka ya zamani, wengi
tunasubiri kuambiwa tu kuwa
mwezi umeandama pasina hata
kuthubutu kutupia tu jicho kuangalia walau kwa bahati mbaya
kama mwezi umeandama au la.
Anayelazimika kufunga
kisharia ni Muislam aliyebaleghe
anayekalifiwa na sharia na
mwenye uwezo wa kufunga.
Kutokuweza kufunga kisharia
hakuwezi kuwa nje ya hali mbili;
Moja ni kutokuweza kutokana na
sababu ya muda ambayo inatarajiwa kuondoka.
Katika hali hii mtu anatakikana kufungua na kuja kulipa Swaumu katika masiku yajayo. Hali ya
pili ni ile ambayo mtu hawezi kufunga daima kutokana na sababu
ambayo haitarajiwi kuondoka.

Huyu anatakiwa asifunge bali ale


na kulisha masikini.
Namna ya kuwalisha maskini
inaweza kuwa moja kati ya namna
mbili. Aidha anaweza ampe masikini mmoja kila siku ya Swaumu
yake chakula kiliwacho pahala
hapo na cha kumtosha kwa mlo
wa siku moja (makadirio yake ni
kilo moja na robo hivi takribani).
Anaweza kumpa vibaba vyote
anavyodaiwa au atakavyodaiwa
kwa mara moja au anaweza kupigia hesabu idadi ya siku na idadi ya
masikini anaoweza kuwalisha
kwa mujibu wa siku hizo alafu
akawalisha kwa mara moja.
Anaweza kufanya hivi mwanzo
wa Ramadhan au mwisho au
akawa anatoa vya siku kadhaa
mara moja. Kwa ujumla mlango
huu ni mpana na kila mwenye
kulazimika kutoa kibaba anaweza
kutathimini namna bora kwake
ya kulifanyia kazi hili.
Katika kauli iliyo sahihi zaidi
kwa wanazuoni wengi ni kuwa
mwanamke mjamzito na mwanamke anayenyonyesha wanapojihofia wao au wanapowahofia watoto wao wanatakiwa wafungue
na watakuja kulipa masiku yajayo
wala hawatalazimika kulipa fidia

ya kibaba.
Atakayezimia au akapatwa na
uendawazimu katika sehemu
kubwa ya mchana hali ya kuwa
usiku alinuia kufunga ikiwa
atazindukana walau sehemu ndogo kabla mchana kwisha Swaumu
yake inazingatiwa kisharia kuwa
ni sahihi lakini kama itatokea
hivyo mchana wote hapo saumu
yake itakuwa sio sahihi kisharia.
Tofauti na hukumu iliyotangulia hapo juu mtu aliyelala mchana wote Swaumu yake itakuwa
sahihi. Pamoja na hivyo hii sio
sababu wala hoja inayokubalika
kisharia mtu kupitwa na swala
kwa sababu ya kujilaza na kupitiwa na usingizi kwa kuwa eti amefunga; hasa hasa siku ambazo
kuna viamshaji vingi kama saa
zenye kengele za kuzindua wakati
alarms na adhana zinasomwa kwa
sauti kwenye vipaza sauti ambazo
aghlabu watu wote hushtuka zinaposomwa hata kama wako katika usingizi mzito.
Ikiwa mtu hajafahamu kuingia
kwa mfungo wa Ramadhan hadi
mchana ndipo mathalani akapata
habari na mfano wa huyu ni kama
mtoto aliyebalekhe mchana wa
Ramadhan au mtu aliyesilimu

Head office, Lumumba Street, Opp: Viwanja vya Mnazi Mmoja, P. O Box 779 Dar es Salaam, Tanzania
Tell: 255 22 2182482/ 255 222184419, Fax: 255 22 2181424, E-mail: info@Binslum.com

mchana wa Ramadhan; watu


hawa wote itasihi nia yao mchana
na watakachofanya ni kujizuia sehemu ya mchana iliyobaki wala
hawatakuja kulazimika kulipa
siku hiyo na siku za nyuma yake.
Inatosha nia moja ya Ramadhan katika mwanzo wa Ramadhan kwa siku zote za Ramadhan,
isipokuwa pale itakapotokea akapata udhuru wa kufungua Swaumu atapoanza tena kufunga atanuia tena. Na nia mahala pake ni
moyoni wala haitamkwi. Tuache
kupoteza muda kusubiri baada ya
Ishaa anayeitwa mnuizi ili tunuizwe.
Hao ni masheikh ambao elimu
inayohusiana na nia iliwapitia
kushoto au wana maslahi wanayopata kwa kuwadanganya watu
juu ya kusihi kunuizwa. Nia mtu
ajinuize mwenyewe, sheikh nae
ajinuize mwenyewe. Si jambo
jema kuwadanganya watu katika
dini.
Katika Uislam hakuna kunuizana. Inatosha tu kuwa ni nia sahihi mtu anaposimama kwa ajili
ya kula daku. Hivyo nia ya Swaumu ya faradhi inaweza kuwa
mwanzo wa usiku au katikati ya
usiku au mwisho wa usiku.

21 Shaaban 1436, jumatatu Juni 8 - 14, 2015

hutolewa na kuchapishwa
The Islamic Foundation,P.O.Box 6011 Morogoro, Tanzania,E-mail: imaanmedia3@gmail.com
mhariri mtendaji: 0715 559 944, Mhariri: 0786 779 669, afisa masoko: 0785 500 502
TOVUTI: www.islamicftz.org

tahariri / uchambuzi

Karibu Mgeni wetu mtukufu, Ramadhan

iku chache zijazo Waislam


wataingia katika mfungo
wa mwezi mtukufu wa Ramadhan, mwezi ambao
unatoa taswira ya lengo la kuumbwa
kwa mwanadamu, ambalo ni kumcha Mwenyezi Mungu.
Allah Taala anabainisha hilo katika Surat Baqara pale anaposema:
Enyi mlio amini! Mmewajibishwa
swaumu, kama walivyowajibishwa
walio kuwa kabla yenu ili mpate
kumcha Allah (2:183).
Kwa mujibu wa aya hii, ni wazi
kuwa lengo la kuumbwa mwanadamu linapatikana kwa kuitekeleza
nguzo hii, kwani pamoja na mambo
mengine swaumu ndio ibada pekee
inayofungamanisha moja kwa moja
baina ya Mwenyezi Mungu na mja

moja ni nguvu, utengano


ni udhaifu. Huu ni msemo
wa Kiswahili unaosisitiza
uwepo wa umoja baina ya
watu. Lakini suala la umoja litaleta
maana zaidi endapo tu jamii itashikamana na kutumia vema neema ya akili na utashi, kwani ndiyo inayotofautisha hali ya ubinadamu na unyama.
Bila shaka watu hutofautiana mitazamo. Historia pia inaonesha hivyo.
Tofauti za makubaliano na maridhiano katika jambo moja huchukua nafasi kubwa kwa kuwa binadamu hutumia vipaji vitokanavyo na akili zao
katika kuamua mambo.
Suala la uelewa ni moja kati ya matokeo ya athari za watu kutofautiana,
kwani hata rejea za sira ya Mtume
Muhammad (Rehma na amani iwe
juu yake) zinaonesha kuwa maswahaba wake (Allah awe radhi nao) pia
walikuwa wakikhitilafiana katika
baadhi ya mambo, lakini hawakuwa
wakifarakana .
Hii inaashiria kuwa, kila mtu ana
msingi ambao kutokana na akili na
ufahamu alionao unasababisha utofauti wa kimaana, tafsiri na mantiki
kwa sababu za viamshi au vichocheo
katika mazingira yake. Kuhitilafiana
kwa misingi hiyo ndiko kunakopelekea tofauti katika mitazamo baina ya
jamii.
Hata hivyo, katika jamii yetu ya
Waislam hivi leo, tafiti mbalimbali zinaonesha uwepo wa matatizo
makubwa, likiwemo la Waislam kukosa umoja, na ikhlaswi, kiwango
duni cha elimu juu ya dini, kujawa na
ubinafsi, na Waislam kujali hadhi zao
kuliko maslahi ya dini.
Mambo haya ni miongoni mwa vichochezi vinavyosababisha mitazamo
tofauti.
Kwa bahati mbaya mitazamo hujengwa juu ya misingi ambayo si rahisi
kuibomoa na inakuwa na mizizi ambayo vilevile si rahisi kuingoa, hali
inayopelekea ugumu wa kumshawishi mtu kukubali mtazamo wa wengine.

wake kwa namna ya kipekee.


Kwa maana hiyo basi, Muislam
anapotekeleza ibada ya swaumu kwa
ukamilifu wake na kwa Ikhlaswi,
hupata malipo makubwa mbele ya
Allah na kuwa mja mwema wa Allah
hapa duniani.
Tukiwa Waislam hatuna budi kuupokea mwezi wa Ramadhan kwa
kutanguliza yaliyo mema miongoni
mwa ibada ili kusafisha njia kwa ajili
ya kumpokea mgeni huyu mtukufu.
Kwa kawaida, mgeni yoyote hupenda kukirimiwa na mwenyeji
wake. Vivyo hivyo kutokana na
utukufu wa mgeni huyu, hapana
budi wenyeji wake ambao ni Waislam kumuonesha mapenzi
makubwa.
Ibada ya swaumu kama ili-

vyobainishwa ndani ya kitabu


kitukufu cha Quran, ni ibada kongwe na asili yake ni umma zilizopita.
Hivyo basi, Waislam wanapaswa
kuichangamkia .
Ingawa ibada kwa waja huwa ni
jambo zito kwa sababu ya kazi ya
sheitani ya kumvuta mwanadamu
katika maasi, Waislam hawana budi
kudhibiti nafsi zao katika kipindi hiki
cha kuelekea mfungo wa Ramadhan.
Waislam wadhibiti nafsi zao, hususan kuanzia mwishoni mwa Shaaban ambapo baadhi ya yetu tumekuwa tukifanya maasi kwa kudai
kudai tunaukaribisha mwezi mtukufu wa Ramadhan kwa jina la Vunja
jungu.
Ukweli wa mambo ni kwamba

katika Uislam hakuna kitu kinachoitwa Vunja jungu bali kinachotendeka ni ushawishi wa sheitani katika kuwahadaa wanadamu kutenda
maovu kwa kufahamu kuwa hatopata fursa hiyo ndani ya mwezi wa
Ramadhani kwa sababu za kuwekwa
kizuizini na Allah Taala.
Kwa kiasi kikubwa umma wa
Waislamu wa leo tumekuwa hatuna
shauku katika kuutendea haki mwezi mtukufu wa Ramadhani kinyume
na ilivyokuwa kwa Maswahaba wa
Mtume (Mwenyezi Mungu awaridhie).
Wao walikuwa wakimwomba
Mwenyezi Mungu awajaalie fursa ya
kushuhudia Ramadhan miezi sita
kabla. Waislam hatuna budi kuiga
mfano wa hawa wema waliotutan-

nasaha za RAMADHAN
NA YUSUPH AMIN

Mwandamo wa mwezi
usiwe chanzo cha faraka
baina ya Waislamu
Kuandama kwa mwezi ni miongoni mwa masuala yanayosababisha
Waislam kugawika katika makundi
yenye mitazamo tofauti, hususan kila
unapoingia Mfungo wa Ramadhan
na wakati wa kuingia sikukuu mbili za
Idd - ul-fitri na Idd ul-Hajj.
Makala hii ni jaribio la kutaka kulitolea ufumbuzi suala la mwandamo
wa mwezi, pia kujaribu kuonesha njia
ya kufuatwa na Waislam katika kufunga mwezi wa Ramadhan.
Allah Taala amejaalia watu wanaoifuata dini ya Uislam kuwa wenye
akili (ululalbab). Tunamuomba atuwezeshe kuielewa zaidi pamoja na
kuifuata njia ya haki (dini ya Uislamu).
Kama inavyofahamika katika historia ya Uislamu taarikh, Bwana
mtume (Rehma na amani ya Allah
iwe juu yake alifanya juhudi katika
kuleta umoja na udugu baina ya Waislamu mara tu baada ya tukio la hijra
kuhama Mji wa Makka na kwenda
Madina.
Kutokana na umuhimu huo, jamii
ya kiislamu inapaswa kuyatazama
mambo haya kwa kina. Inatulazimu
kumuiga bwana mtume kwa vitendo
kwa kujenga na kuimarisha mshikamano baina yetu ili kufanikisha lengo
la kuwepo kwetu hapa duniani.
Katika kutilia mkazo suala la umo-

ja katika Uislamu, Allah Taala katika


Quran (3: 103) anasema: Na shikamaneni kwa kamba ya Mwenyezi
Mungu nyote pamoja, wala msifarikiane. Na kumbukeni neema ya
Mwenyezi Mungu iliyo juu yenu: vile
mlivyo kuwa nyinyi kwa nyinyi maadui naye akaziunganisha nyoyo zenu;
kwa neema yake mkawa ndugu. Na
mlikuwa ukingoni mwa shimo la
Moto, naye akakuokoeni nalo. Namna hivi Mwenyezi Mungu anakubainishieni Ishara zake ili mpate kuongoka.
Kwa muktadha wa aya hii,
wataalam wa fani ya tafsiri wanafafanua zaidi tamko shikamaneni ambalo ni kitendo cha lazima fiilul amri
hivyo ikiwa patafanyika kinyume
chake ambacho ni kufarikiana
itakuwa umepinga amri hiyo ya Allah
Taala hivyo kuingia katika makosa.
Kwa maana hiyo basi ni wazi kuwa
kuwepo kwa mitafaruku, si jambo linalopendeza au linalofaa kulishabikia
kwani madhara yake ni makubwa zaidi kuliko faida.
Miongoni mwa madhara yatokanayo na faraka baina ya Waislamu ni
pamoja na Waislamu kujengeana
chuki baina yao, kutengana katika
mambo ya halali badala ya kushirikiana, kushutumiana katika majukwaa
ya mihadhara jambo linaloshusha ha-

Kwa bahati
mbaya mitazamo
hujengwa
juu ya misingi
ambayo si rahisi
kuibomoa na
inakuwa na
mizizi ambayo
vilevile si rahisi
kuingoa, hali
inayopelekea
ugumu wa
kumshawishi
mtu kukubali
mtazamo wa
wengine.
dhi ya dini.
Kadhalika, Waislam kutokana na
kufarikiana wanashindwa kusaidiana
kutokana na chuki za kimadhehebu
na kujengeana fitna na husda.
Suala la umoja ni miongoni mwa
mambo yaliyokokotezwa katika
Quran na Sunna na pia ndio silaha

gulia.
Kwa kweli maswahaba walijua
thamani halisi ya Ramadhani.
Wakati ambapo jamii ya kiislamu
katika zama zetu inachukulia kuwa
ni kawaida hali ya kuwa mwezi huja
mara moja kwa mwaka na wakati
huo huo unamalizika bila ya sisi kuchuma faida zake halisi.
Hivyo sisi katika gazeti la Imaan,
tunatumia fursa hii adhwimu kuwanasihi Waislam kujiandaa na
mfungo kwa kuzitakasa nafsi, kujiandaa kupata chumo la halali,
pamoja na kujiepusha na vitenguzi
vya ibada ya swaumu ili kujikurubisha kwa Allah Taala aweze kutulipa
yaliyo mema, hatimaye atuingize katika pepo yake.

kuu ya mafanikio yeyote. Hivyo kuna


haja ya umma wa Waislam duniani
kote kuhitaji umoja na mshikamano,
lakini ni katika zama hizi ambazo
kumekuwepo udhaifu mkubwa uliopelekea miparaganyiko baina yao.
Ingawa mgogoro wa mwandamo
umeonekana kuwaathiri Waislamu
wa Afrika mashriki, imethibitika
kuwa tofauti hizi zimeshamiri na
kukua si chini ya karne kumi, yaani
zaidi ya miaka 1000 iliyopita, ingawa
hapo awali wanazuoni wenye mtazamo wa muandamo mmoja walikosa
fursa ya kutekeleza kikamilifu msimamo huo kutokana na kukosekana
mawasiliano ya kutosha kwa wakati
huo.
Jamii ya waislamu inapaswa
kuelewa kuwa kwa kawaida watu
hutofautiana katika jambo moja lakini hawagombani. Kwa sababu hiyo
umma wa kiisalamu unapaswa kujiepusha na chuki zitokanazo na mitazamo ya kimadhehebu kwani endapo
hali hiyo itaendelea kushika kasi
umma hautoweza kusonga mbele.
Kama nilivyotangulia kusema
hapo awali ya kuwa Allah Taala amejaalia watu wanaofuata dini hii kuwa
wenye akili hivyo ni vema wanazuoni
wetu watoe elimu ya dini pasipo
kuegema upande wowote.
Maana yake ni kwamba uwasilishwaji wa elimu ya dini utolewe kwa
mnasaba wa uelewa wa wema waliotutangulia hivyo kutoa fursa huru kwa
mwenye kuitumia akili vema kujua
usahihi wa mapokeo ya kisheria fiqhi
ili aweze kuufuata.
Pia nitumie fursa hii kuisihi nafsi
yangu pia kuwasihi Waislam wote popote walipo kurejea kwa Allah Taala
kwa kufuata aliyoyaamrisha na
kuacha aliyoyakataza, pia kufuata
mafundisho sahihi ya Bwana Mtume
(Rehma na amani ya Allah iwe juu
yake).
Allah ni mjuzi zaidi na kwa hakika
tunamuomba atuoneshe haki tuweze
kuifuata na atuoneshe upotovu tuweze kuuepuka. Amiin.

25 Shaaban 1436, Ijumaa Juni 12 - 18, 2015

makala

www.islamicftz.org

TOLEO MAALUMU LA RAMADHAN

Swaumu ya Ramadhan:
IDDI JENGO

atika ulimwengu tulionao tumeumbwa walimwengu wa aina tofauti


tofauti. Asili ya utofauti
huo inatoka kwa aliyetuumba, hili
tunalipata katika maelekezo ya
Quran tukufu;
Enyi watu! Hakika Sisi tumekuumbeni kutokana na mwanamume
na mwanamke. Na tumekujaalieni
kuwa ni mataifa na makabila ili
mjuane. Hakika aliye mtukufu zaidi
kati yenu kwa Mwenyezi Mungu ni
huyo aliye mcha Mungu zaidi katika
nyinyi. Hakika Mwenyezi Mungu ni
Mwenye kujua, Mwenye khabari.
(49:15).
Aliyetuumba sisi walimwengu
aliweka mfumo maalum (Dini)
inayoendana na maumbile yetu
kuanzia mtu mmoja mmoja mpaka
jamii kwa ujumla. Katika mipango
yake Mwenyezi Mungu ametupa
uhuru kwa yeyote miongoni mwetu
kufuata mfumo anaoutaka.
Allah Taala anaeleza haya katika
kitabu chake kitukufu cha Quran:
Hakika Sisi tumemuumba mtu
kutokana na mbegu ya uhai iliyo
changanyika kati ya mwanamke na
ya mwanamme, ili tumfanyie mtihani. Kwa hivyo tukamfanya
mwenye kusikia, mwenye kuona.
Hakika Sisi tumembainishia njia
mbili . Ama awe ni mwenye kushukuru, au mwenye kukufuru
(76:2-3).
Uhuru huu unamtaka mwanadamu afanye maamuzi ya busara katika kufuata mfumo autakao. Kwa
bahati mbaya baadhi ya wanadamu
huamua kufuata mifumo mibaya
ambayo mwisho humuacha katika
udhalili mkubwa na mwisho kukosa wa kumsaidia.
Mfumo wa maisha sahihi aliouchagua Mwenyezi Mungu ni
Uislam. Mfumo huu wa maisha ya
kiislam unayo mihimili yake ya
msingi inayotoa miongozo ya namna ya kuyaendea mambo. Mihimili
mikuu ni Quran na Sunnah za
Mtume Muhammad (Rehma na
amani ziwe juu yake).
Ndani ya mihimili hii ndo tunayakuta mafunzo kamili ya Uislam
yakiwa yamegawanywa katika mafungu makubwa matatu; nguzo
tano (5) za Uislam, Nguzo sita (6)
za imani na nguzo moja ya ihsani.
Moja ya jambo tunalojifunza katika vipengele vyote hivyo, yaani
nguzo za Uislam, nguzo za imani na
nguzo ya ihsani ni kumuandaa mja
kuutumikia Uislam kama mfumo
wa maisha, yaani, ni nyenzo za kumuwezesha mwanadamu kufikia
kilele cha kuutumikia Uislam.
Allah Taala anasema katika
Quran: Enyi mlio amini! Ingieni
katika Uislam kwa ukamilifu, wala
msifuate nyayo za shetani; hakika
yeye kwenu ni adui aliye wazi
2:208.
Uislam hautoweza kuonekana
katika taswira yake halisi kama misingi yake hiyo haijaeleweka, kuanzia
katika masuala ya ibada ya mtu binafsi mpaka masuala ya ibada za ki-

Nguzo ya nne ya Uislam

Waislam wakiomba dua

jamii.
Moja kati ya nguzo tano (5) za
Uislam ambazo hazijaeleweka kwa
Waislam wengi ni swaumu ya Ramadhan, ambayo ndio kiini cha
makala yetu ya leo.
Ili tuelewe swaumu ya Ramadhan ambayo ni nguzo ya nne ya Uislam, tuanze kwa kuangalia hadith
mashuhuri ambayo inapatikana
katika vitabu vingi vya hadith,
ikiwemo Bukhari na Muslim.
Imepokewa hadith kutoka kwa
Abdullah ibn Umar (Radhi za Allah
ziwe juu yake)amesema:Nimemsikia Mtume akisema: Umejengwa
Uislam juu ya nguzo tano; kushuhudia ya kwamba hakuna Mola
anayestahiki kuabudiwa kwa haki
isipokuwa Allah na kwamba hakika
Muhammad ni Mtume wa Allah,
na kusimamisha swala, na kutoa
zaka, na kufunga swaumu ya Ramadhan, na kuhiji katika nyumba
(tukufu) ya Al- Kaaba.(Al Bukhariy
naMuslim).
Kuna baadhi ya Waislam wameielewa vibaya hadith hii kuwa:
Uislam ni nguzo tano au kuwa
Uislam unakamilika na nguzo tano
tu. Kwa maana nyingine imeeleweka kwamba, nguzo tano
zikitekelezwa Uislam utakuwa

umeshakamilika na Waislam watakuwa hawana wajibu wa lolote


lingine.
Kimsingi, nguzo za Uislam ziko
pale kumsaidia mwanadamu
kuboresha utu wake kutoka kwenye
daraja ya uchavitu mpaka kufikia
daraja la ucha Mungu, na hatimae
kusimamisha Uislam katika jamii.
Swaumu ya Ramadhan kama
moja ya nguzo za Uislam ndiyo
chanzo kikuu cha kumpelekea
Muislam kuwa mcha Mungu. Allah
anatukumbusha katika Quran;
Enyi mlioamini mmelazimishwakufunga (swaumu)kamawalivyolazimishwa waliokuwa kablayenu ili mpate kumcha mungu
(2:183).
Katika aya hii, Allah anaeleza
dhamira kubwa inayopatikana baada ya mja kuidiriki na kuitekeleza
swaumu ya Ramadhan, nayo ni kumuandaa mja aweze kumcha Allah
Taala. Aya hiyo haisemi kuwa kwa
hakika mtakuwa wacha Mungu
kwa sababu natija ya kufunga inategemea uelewa na dhamira ya
huyo mfungaji.
Yeyote atakayeelewa lengo la
funga na maana ya lengo na akajitahidi kwa hali yoyote kufikia lengo
hilo atakuwa mcha mungu katika

kiwango kinachotakiwa, lakini kwa


asiyeelewa lengo la funga hawezi
kufikia lengo la kuwa mchamungu.
Msingi wa lengo la swaumu ya
Ramadhan umeasisiwa kutokana
na maana yenyewe ya swaumu.
Swaumu, kilugha ni kujizuia kufanya jambo lolote la kawaida ulilozoea
kulifanya.
Katika Quran tunafahamishwa
kuwa Bibi Maryam baada ya kumzaa Nabii Isa (Amani iwe juu yake)
alijizuia (alikuwa katika swaumu)
ya kutosema na mtu yeyote juu ya
mtoto wake.
Basi kula, na kunywa, na litue jicho lako. Na pindi ukimwona mtu
yeyote basi sema: Hakika mimi
nimeweka nadhiri kwa Mwenyezi
Mungu ya kufunga; kwa hivyo leo
sitasema na mtu. (19:26).
Katika sheria ya Kiislam, kufunga (swaum) ni kujizuilia kula,
kunywa, kujamiiana, kuingiza kitu
chochote katika matundu ya mwili
na kujizuilia kumuasi Allah Taala
kuanzia alfajiri ya kweli mpaka kuingia magharibi.
Hata hivyo, hali hiyo haiishii
hapo, umri wote wa mwanadamu
anatakiwa aishi akifukuzia lengo la
ucha mungu kwa kufuata maamrisho yote ya Allah Taala na kuacha
makatazo yake.

mungu ni mtu
Yeyote atakayeelewa lengo Mcha
wa aina gani?
la funga na maana ya lengo
Mchamungu ni mtu mwenye
na akajitahidi kwa hali
shauku, hamasa na jitahada ya kuyoyote kufikia lengo hilo
jiepusha na kila kitendo kiovu yeye
atakuwa mcha mungu katika binfasi na akajitahidi kuhakikisha
maovu hayo yanatoweka kabisa kakiwango kinachotakiwa,
tika jamii, kama Mtume alivyoagiza
lakini kwa asiyeelewa lengo katika hadith yake mashuhuri.
Mtume wetu mpenzi (Rehma
la funga hawezi kufikia
na amani ziwe juu yake) amesema
katika hadith iliyosimuliwa na
lengo la kuwa mchamungu.
AbuSaiyd Al-Khudriy(Radhi za
Allahziwe juu yake)ambaye amese-

ma:
Nilimsikia Mtumeakisema:
Yeyote yule atakayeona kitendo
kiovu basi akiondoe (akibadilishe)
kwa mkono wake, ikiwa hawezi basi
kwa ulimi wake (alikemee au kukataza), na ikiwa hawezi basi kwa
moyo wake (achukie) na huo (yaani
kuona baya na kunyamaza) ni udhaifu wa imani)(Muslim).
Na Allah Taala katika kutia
msisitizo anaeleza katika Quran:
Na Waumini wanaume na waumini wanawake wao kwa wao ni
marafiki walinzi. Huamrisha mema
na hukataza maovu, na hushika
Swala, na hutoa Zaka, na humtii
Mwenyezi Mungu na Mtume Wake.
Hao Mwenyezi Mungu atawarehemu. Hakika Mwenyezi Mungu ni
Mtukufu Mwenye nguvu, Mwenye
hekima (9: 71).
Zipo faida nyingi zinazopatikana
kutokana na mja kufunga swaumu
ya Ramadhan. Miongoni mwa faida hizo ni pamoja na kumjenga
mja kiimani. Mwenye kufunga Ramadhan huwa ni mchamungu
mwenye imani thabiti na imani ikijikita sawasawa basi jambo linalodhihiri ni mwanadamu kuwa
mwadilifu, kama ambavyo Quran
inavyotukumbusha
Enyi mlio amini! Kuweni wasimamizi madhubuti kwa ajili ya
Mwenyezi Mungu mkitoa ushahidi
kwa haki. Wala kuchukiana na watu
kusikupelekeeni kutofanya uadilifu.
Fanyeni uadilifu. Hivyo ndio kuwa
karibu mno na uchamungu. Na
mcheni Mwenyezi Mungu. Hakika
Mwenyezi Mungu anazo khabari za
mnayoyatenda (5:8).
Ukimuona mtu ana imani ya
kweli kipimo cha kwanza cha kujua
uthabiti juu ya imani yake ni kuangalia uadilifu wake.
Faida ya pili, ni kujenga udugu
wa kweli baina ya waumini wa Kiislam na kuzalisha mapenzi ya kweli
baina yao. Udugu huu ni udugu wa
kimataifa, maana Muislam wa Tanzania na Muislam wa Marekani
huwa wanafanya jambo linalofanana pasi na kujali utaifa,
rangi, wala jambo jingine lolote, na
ndo maana ikawa kwa Allah Taala
kipimo cha utu na udugu wa kweli
ni uchamungu.
Mkishikana kwa misingi ya rangi, taifa au kabila - udugu wenu
hautokuwa wa kudumu, bali walioshikana kwa udugu wa kiuchamungu ndo watadumu na udugu
huo, na utawafaa katika maisha ya
dunia na maisha ya akhera. Kwa
msingi huo swaumu ya Ramadhan
ikawa ni nguzo miongoni mwa nguzo za Uislam ambazo zinaleta udugu huo.
Hakika waumini ni ndugu, basi
patanisheni baina ya ndugu zenu,
na mcheni Mwenyezi Mungu ili
mrehemewe (49:09).
Enyi watu! Hakika Sisi tumekuumbeni kutokana na mwanamume
na mwanamke. Na tumekujaalieni
kuwa ni mataifa na makabila ili
mjuane. Hakika aliye mtukufu zaidi
kati yenu kwa Mwenyezi Mungu ni
huyo aliye mchamngu zaidi katika
nyinyi. Hakika Mwenyezi Mungu ni
Mwenye kujua, Mwenye khabari
(49:13).
Jengokeya 5@gmail.com
0714 135 201
Allah amrehemu

undeniable claim to rank mbali uzuri na ufasaha wa Quran,


en- rans
a work which not only conquers the the intricate and richly varied ya watu walionitangulia,
Naye Daktari Bingwa
wa Ki- Qura
na kutaka na kutupelekea
inatufanya
tuamini
nimekuwa
katika
machungu
kujithe
greatest
literary
maslaz- amongst
repugnance which he may begin its rhythms which - apart from the kutoa kitu
ambacho
kinaweza
ination
of it [the
Quran]faransa,
in the Dr. Maurice Bucaille
kuwa
ni
jambo
lisilofikirika
kabisa
1436,objective
Ijumaa
Juniexam12 - 18, 2015 Itaen
perusal, but
changes this adverse
anasema:
A totally
kukubalika
kuwa
japo
kwa
messagefunza
itself - constitute
theyake;
Ko- lugha
light
ofkimetoa
modern
knowledge,
leads
us 25 Shaaban
mashairi
yake
tu
of mankind...
This
very
bisa terpieces
TOLEO MAALUMU LA RAMADHAN
to recognizekwa
the agreement
between
mtu wa
wakati wa Muhamtangazo
www.islamicftz.org
wake inaifanya
mu 8 characteristic feature - that inimita- ukiachilia ujumbe
the two, as has been already noted
mad awe ndiyo mtunzi wa maneno
miongoni
mwaon
kazi
ble and
symphony,
as the believing Pick- Quran kuwa Dr.
kina
repeated occasions. It makes us
stonishment
adMaurice
haya
kulingana
na hali duni kabisa
deem
unthinkable
for a man
kifasihi za
juuZIARA
kuliko
zote
zait quite
described
his Holy
Book, the
ch
a workthall
must
be a YA KHIDMAT
kiri
TAASISI
ISLAMIYA
YENYE za
UZOEFU
Bucaille:
YA MADINA
KUTEMBELEA
MSIKITI
KWA MAELEZO ZAIDI NA
of
Muhammads
time
to
have
been
roductionvery
ofWA
the
huya elimuYAkwa
wakati wake.
FikraNA:
Ulinganishi
MIAKA
14which
KATIKA
SHUGHULI
ZA mwanadamu.
HIJA NA
WA
MTUME
(SAW), MAKABURI
BAQII
WASILIANA
Tabia
hii
ya
Qur-aan
sounds
of
move
men
to
dathe
author
of
such
statements
on
UMRA,ofINAWATANGAZIA WAISLAM WOTE KUWA
(WALIPOZIKWA
MASWAHABA, BAADHI YA

SHEIKH HASHIM A
kamilifu
wa
deed and a problem
hizi
ndizo
zinazoupa
ufunuo
wa YA SIMU 0
GHARAMA
YA HIJA
KWAbeen
MWAKA
2014/ 1435H
NI isiyoweza
WAKEZE
NA WATOTO
MTUME
(S.A.W.)
account of WA
the
state
of knowledge
in
NAMBA
na
sanaa
kulinganishwa
tears
and
ecstasy
has
almost
Quran
na
interest
to
every
DOLA 4750 TU AMBAZO ZINAWEZA KULIPWA KWA
NA MAKABURI
YA
WALIOKUFA
SHAHIDI
0784
915 008
his day. Such
considerations
Quran
nafasi yaare
kipekeena kumlazelimu
ya sasaVITA
server of the
destinies
AWAMU
(KIDOGO
KIDOGO). translaKATIKA
VYA UHUD
SHEIKH ABDALLAH
kama
Picktall
alivyoelezea
Kitabu
totally
ignored
by
previous
asepart of what
theINAJUMUI
Quranic RevAIDHA, GHARAMA YA KUFANYIWA IBADA YA HIJA
unatupelekea
VILE VILE GHARAMA
YAgives
HIJJA
IMAM
WA
imisha
mwanasayansi
mwenye
akili MSIKITI
(KUHIJIWA)
NI DOLA not
1450surprising
TU.
SHA ZIARA YA
MADINA
KUTEMBELEA

AL-HAJJ
ZULFIKAR
chake,
sauti
zake
huwafanya
watu
tors;
it
is
therefore
mpt
elation
its
unique
place,
and
forces
kutambua
a maneno hayo ni:
MASJID QUBA, MASJIDhuru
MASJID
0713 530 036, 078
akubali
kushindwa
kutoa
the
impartialQIBLATAIN,
scientist
to admit
his
uwiano
kati
yawawe
MALIPO
HIJA
YANAJUMUISHA
GHARAMA
JUMAA,
SABA
MASAAJID
(MAHALI
KULIPO
hisia YA
watokwe
na
machozi
na
na
that
what
they
have
wrought
sounds

AL-HAJJ HAFIDH S
ekazi
of inayoibua
ZIFUATAZO:
tomaelezo
provide anNA
explanation
viwili FANYIKA
hivi
VITAinability
VYA KHANDAQ),
0682
aonekana kama
hazijuu
ya
fikra
ya
ulazima
wa535 319
andNAULI
YA NDEGE
KWENDA NA KURUDI
JABAL UHUD.
hisia
kali,
jambo
ambalo
halikuzindull
flat
indeed
in
comparison
uce

SHEIKH HARUNA J
kama
which
calls
solely
upon
materialistic
uonekano wanje, hata
MALAZI MAKKA, HOTELI YA NYOTA 3*,
ilivyowahi
GHARAMA YA UCHINJAJI
WA MNYAMA
0715 985 413
reasoning.kutegemea akili tu.
na wafasiri
waliopita;
hivyo
KUTEMBEA
DAKIKAgatiwa
7 TU
thenaMWENDO
splendidlyWA
decorated
origieptWA UDHHIYA

AL-HAJJ ALTAF AB
wa mbali,with
kiwakati
MPAKA MASJID HARAM.
kuonyeshwa
CHAKULA MILOMaana
MITATU
KUJIHUDUMIA
yake
ni: Ulinganishi
ka-tu ya kauli za0789
Hizi
ni
baadhi
was-373 222
ithe
ambayonal.
haivamii
tu
ni3*
jambo lisiloshangaza

MALAZI MADINA, HOTELI YA NYOTA


(BUFFET)
SIKU na
ZOTE
ZAya sasa

AL-HAJJ OMAR AW
mara MWENYEWE
kwa kuwa walimilifu
wa
Quran
elimu
maji ambayo anaweza
MWENDO WA KUTEMBEA DAKIKA 3 TU
WA QIBLATAIN - 0
omikutambua
wakubwa
kuelezeamshangao
mara.SAFARI.
ukilinganisha
Tafsiri:
Katika
kujitahidi
kujar- chofanya kinachosha
unatupelekea
uwiano
bic
MPAKA
MASJID
NABAWY
ARUSHA: SHEIKH J
anapoanza
kuisoma,
SHEIKH HASHIM AHMED
RUSAGANYA,
SHEIKHJe mimi na wewe
TAYSEER STORE DU
kati
ya
viwili
hivi
kama
ilivyowahi
wao
juu
ya
Quran.
hubadilisha
hisia
hizi
na uzuri wa asili
yake
iliyopambwa.
kwangu
kukuza
kazi waliyofanudy ibu
(NI
UKWELI
USIOFICHIKA
KUWA KHIDMAT
JUMA
RAJAB
IKUSI NA
SHEIKH HARUNA
JUMANNE
NA NMB TAWI LA
kuonyeshwa
mara
kwa
mara.
Hii
mbaliZA
uzuri naKAPAMA
ufasaha waWATAKUWEPO
Quran,
undeniable
claim to rank
IMEKUWA
IKIANDAA
NYUMBA
wa mshangao,
mapen- rans
NA KUTOA
MWONGOZO
Quran
inatushangaza?
YA SIMU 0786 125
Naye
Bingwa
wainatufanya
Ki-WOTE.
watu
walionitangulia,
na
kutaka
ied yaISLAMIYA
na kutupelekea tuamini
MAHUJAJI
KARIBU
KABISA
NAliterary
MASJID
HARAM
NA Daktari
KWA
MAHUJAJI
WAKATI
0655 125 513
nimekuwa
katika
machungu
kujiamongst the
greatest
masmu, kazi kama
hii
lazMASJID NABAWY).
AL-HAJJ AHMED SALEH
AL-HAJJ

MOROGORO: AL-H
kuwaNAHDY
ni jambo(HAMAD)
lisilofikirika
kabisa
Dr.
Maurice
kutoa
kituterpieces
ambacho
kinaweza
the
funza mashairi
yake;
lughaOSMAN
yakeBucaille
tu (ZULLY)
of mankind...
This very faransa,
ni
zao la ajabu
kabisa
ZULFIKAR
AL HAJJ ALTAF ABDU-NAHDY(AHMADO
kwaVIONGOZI
mtu wa
wakati
wa Muham
USAFIRI
WA BASI
JEDDAH
inimitaMAKKA,
Itaendelea
LATIF
NA
AL
HAJJ
SIDIK
WENYE
UZOEFU
ukiachilia
ujumbe
wake
inaifanya
characteristic
feature
that
akili
ya
mwanadamu
0773
372 776
anasema:
A
totally
objective
examkuwa
kimetoa japo kwa
Ko- kukubalika
MAKKA
MADINA
WA MUDA MREFU mad
PIA awe
WATAKUWEPO
KUWAHUndiyo mtunzi wa
maneno
DODOMA & SINGI

angao wa wasomi juu ya Quran

safiri na khidmat islamiya

Quran kuwa miongoni


mwa kazi
ble symphony,
as the(SPECIAL
believing Pickkuangaliwakwa kina
HUDUMA
MAALUM
SERVICE)
DUMIA MAHUJAJI haya kulingana na hali duni kabisa
RUGEIYAMU 075
juu kuliko
zote za
described
kila mwenye kufikiri
SIKUthall
5 ZA
HIJJA his Holy Book, the za kifasihi za LENGO
NI KUHAKIKISHA
KILA HUJAJI ANATEKELEZA
0786 293 901
ya elimu kwa
wakati wake.

MAHEMA
YENYE
VIYOYOZI
CONDI
IBADA
INAVYOTAKIWA.
MADAKTARI
DR.Fikra
HAJI

DODOMA & KOND


mwanadamu. Tabia
hiiYAKE
ya Qur-aan
very sounds
of which
move (AIR
men to
aadaye ya mwanadaTION), MAGODORO, MITO NA BLANKETI
HAMDU
NA DR. HAMISA
THEREYA
( DAKTARI
hizi ndizo
zinazoupa
ufunuo WA
wa
ALLIY 0713 677 6
na
sanaa
isiyoweza
kulinganishwa
tears
and
ecstasy
has
been
almost

CHAKULA MILO MITATU, KUJIHUDUMIA


AKINA MAMA) WATAKUWEPO
KATIKA
MSAFARA

MULEBA, BUKOBA
Quran
nafasi
ya
kipekee
na
kumlazkama Picktall NA
alivyoelezea
KitabuYOTE MUHIMU YATAPATIKANA
totally ignored
by previous
translahur J. Arberry anaseMWENYEWE
(BUFFET)
CHAI,
KAHAWA,
MADAWA
MAULID ATHUMA
imisha mwanasayansi mwenye akili
JUISI,
MAJI NA
WAKATI
WOTE
WA SAFARI.
huwafanya
watu
tors;SODA,
it is therefore
notVITAFUNWA
surprising chake, sauti zake
ng the present attempt
(SNACKS) VITAPATIKANA MASAA 24, SIKU 5
WAWEZA KUWAULIZA
MAHUJAJI
WALIOWAHI
huru akubali
kushindwa
kutoa
watokwe na machozi
na wawe
na
that what they
have wrought soundsMSIKITI
KATIBU M
n the
performance
ZIARA
YA ofZA
MADINA
KUTEMBELEA
KWA
MAELEZO
ZAIDI
NA
UANDIKISHAJI
HIJJA
KUHUDUMIWA
NA TAASIS
HII, NA
WATAKUHAKIKmaelezo
juu
ya
fikra
ya
ulazima
waMUHSIN
MOHA
produceUSAFIRI
WA
BASI
KATI
YA MAKKA
hisia
MINA,
kali, jambo
ambalo
halikuzindull and
flat
indeed
in comparison
ISHIA
UWEPO
WA
HUDUMA
ZA
KURIDHISHA.
sors,WA
and to
MTUME
(SAW),
MAKABURI
YA
BAQII
WASILIANA NA:
MINA
the
ARAFAT,
ARAFAT
MUZDALIFA,
kutegemeaKHIDMAT
akili tu.
ALHAMDULILAH
DAIMA
ISLAMIYA
0784 /0715 /07
gatiwa
na
wafasiri
waliopita;
hivyo
with
splendidly
decorated
origihich(WALIPOZIKWA
might be acceptMASWAHABA,
BAADHI
YA

SHEIKH
HASHIM
AHMAD
RUSAGANYA
MINA MAKKA
TUMEWEZA
KUTEKELEZA
TUNACHOKIAHIDI.
HiziKILA
ni baadhi
tu ya kauli za wasTAARIFA
M
ni jambo lisiloshangaza kuwaNAMBA
walinal.(IHRAM)
g however
faintly
the

NGUO
KWA
WANAUME
NA
WAKEZE
NA
WATOTO
WA
MTUME
(S.A.W.)
KUFUATANA
NA SHERIA
YA
SIMU
0715
915
008,
omiHUJAJI
wakubwa
kuelezea mshangao
KUFUATANA
NA SHERIA
HIJAB
KWA
WANAWAKE,
GALONI
TAHADHARI:
NDUGU
MTARAJIWA
FANYA
chofanya
kinachosha
ukilinganisha
Tafsiri:
Katika
kujitahidi
kujarTAREHE
YA
MWISHO
YA
toric
of
the
Arabic
NA MAKABURI
YA
WALIOKUFA
SHAHIDI
0784
915
008
TAREHEYA
YAMAHUJAJI
MWISHO KWA
YA K
MOJA
YA MAJI
YA ZAM
(LITA 10)na uzuri wa asiliUCHUNGUZI
WA KINA
YA KUJISAJILI
KWANI
waoKABLA
juu
ya Quran.
Je mimi na
wewe
MAJINA
yake
iliyopambwa.
ibu
kukuza
kaziZAM
waliyofanbeen
at pains toVITA
study
KATIKA
VYA
UHUD
MAJINA
KWA
BEGI
LAkwangu
KUSAFIRIA,
PAMOJA
NA KILO 3 ZA

SHEIKH
ABDALLAH
MOHAMED
JUMA
YA MAHUJAJI
IBADA HII NI MOJAWAPO
YA NGUZO
TANO ZA
MWAKA
HUU NI TAREHE
Quran
inatushangaza?
Naye Daktari
Bingwa
wa
Ki- HAKIKISHA
ya watu
walionitangulia,
kutaka
e and
richly
varied
MWAKA
NI TAREHE
TENDE
KWA
KILA
UISLAM
KWA
HIYO
UNAITEKELEZA
INATAREHE
20 SH
VILE
VILE
GHARAMA
YA HUJAJI
HIJJA na
INAJUMUI
IMAM
MSIKITI
WA
MTORO
0713 445
545HUU
TAREHE 20 SHA

ZIARA
YA
MAKKA
KUTEMBELEA
NYUMBA
VYOTAKIKANA
KWA
NAFASI
ULIYOJAALIWA,
faransa,
Dr.
Maurice
Bucaille
kutoa
kitu
ambacho
kinaweza
ich SHA
- apartZIARA
from theYA MADINA KUTEMBELEA
objective
AL-HAJJ
ZULFIKAR
0777 411
020,WOTE MNAOM
ALIKOZALIWA MTUME WETU
KWANI
HUJUI
KAMA
UTAIPATA
TENAOSMAN
NAFASI HIYO
MAHUJAJI
Itaendelea
anasema: A totally
examkukubalika
kuwa
kimetoa
japoHIRA,
kwaMASJID
f - constitute
theQUBA,
KoMAHUJAJI
WOTE MNAOMB
MUHAMMAD
(S.A.W),
JABAL
MAISHANI
MWAKO.
NDUGU
MUISLAM
MASJID
MASJID
QIBLATAIN,
ILI KUWA NA UHAKIKA
0713
530
036, 0786
411KAMA
020

JABAL
THAWR, JABAL
RAHMA, KULIPO
JUMAA, SABA
MASAAJID
(MAHALI
MASJID
JINNI, MASJID
KHEIF,
FANYIKA VITA
VYA
KHANDAQ),
NA ARAFAT,
MASJID
NIMRAH,
VIWANJA VYA
MINA, MUZDALIFA NA JAMARAT
JABAL UHUD.
GHARAMA
YA UCHINJAJI
WA MNYAMA
OEFU

ZIARA
YA MADINA KUTEMBELEA
MSIKITI
A NA
WA UDHHIYA
WA MTUME (SAW), MAKABURI YA BAQII
UWA
(WALIPOZIKWA
MASWAHABA,
BAADHI YA
CHAKULA MILO
MITATU
KUJIHUDUMIA
5H NI
WAKEZE NA WATOTO WA MTUME (S.A.W.)
MWENYEWE
(BUFFET)YASIKU
ZOTE SHAHIDI
ZA
KWA
NA MAKABURI
WALIOKUFA
KATIKA VITA VYA UHUD
SAFARI.
HIJA

VILE VILE GHARAMA YA HIJJA INAJUMUI


SHA ZIARA YA MADINA KUTEMBELEA
QUBA,RUSAGANYA,
MASJID QIBLATAIN,
MASJID
KH HASHIM MASJID
AHMED
SHEIKH
SABA MASAAJID
(MAHALI
KULIPO
A RAJAB IKUSIJUMAA,
NA
SHEIKH
HARUNA
JUMANNE
FANYIKA VITA VYA KHANDAQ), NA
MA WATAKUWEPO
NA KUTOA MWONGOZO
JABAL UHUD.

GHARAMA
YA UCHINJAJI WA MNYAMA
MAHUJAJI WAKATI
WOTE.
U
WA UDHHIYA
HAJJ AHMED
SALEH
(HAMAD)
AL-HAJJ

CHAKULANAHDY
MILO MITATU
KUJIHUDUMIA
*IKAR OSMANMWENYEWE
(BUFFET)
ZOTE ZA
(ZULLY) AL
HAJJSIKU
ALTAF
ABDU-U NA AL HAJJ SIDIK
SAFARI.VIONGOZI WENYE UZOEFU

MUDA MREFU
PIA WATAKUWEPO
KUWAHUSHEIKH HASHIM
AHMED RUSAGANYA,
SHEIKHMAT
JUMA RAJAB IKUSI NA SHEIKH HARUNA JUMANNE
IAZAMAHUJAJI
KAPAMA WATAKUWEPO NA KUTOA MWONGOZO
GO
NI KUHAKIKISHA
HUJAJI
M NA
KWA MAHUJAJI KILA
WAKATI
WOTE. ANATEKELEZA
AL-HAJJ AHMED SALEH
NAHDY (HAMAD)
AL-HAJJ
A YAKE INAVYOTAKIWA.
MADAKTARI
DR.
HAJI
OSMANTHEREYA
(ZULLY) AL (
HAJJ
ALTAF ABDUDU NA ZULFIKAR
DR.
HAMISA
DAKTARI
WALATIF NA AL HAJJ SIDIK VIONGOZI WENYE UZOEFU
A MAMA)
WATAKUWEPO
KATIKA MSAFARA
WA MUDA
MREFU PIA WATAKUWEPO
KUWAHU-)MADAWA
DUMIA
MAHUJAJI
YOTE
MUHIMU
YATAPATIKANA
LENGO NI KUHAKIKISHA KILA HUJAJI ANATEKELEZA
ATI WOTE
WAYAKE
SAFARI.
IBADA
INAVYOTAKIWA. MADAKTARI DR. HAJI
TI
HAMDU
NA DR. HAMISA
THEREYA
( DAKTARI WA
WEZA
KUWAULIZA
MAHUJAJI
WALIOWAHI
A
AKINA
MAMA)
WATAKUWEPO
KATIKA
MSAFARA
UDUMIWA
TAASIS
HII, MUHIMU
NA WATAKUHAKIK,
NA NA
MADAWA
YOTE
YATAPATIKANAA UWEPO
WA
HUDUMA
WAKATI
WOTE
WA SAFARI. ZA KURIDHISHA.
KU 5
WAWEZADAIMA
KUWAULIZA
MAHUJAJI WALIOWAHI
AMDULILAH
KHIDMAT
ISLAMIYA
KUHUDUMIWA NA TAASIS HII, NA WATAKUHAKIK-EWEZA
KUTEKELEZA
KILA
TUNACHOKIAHIDI.
INA,
ISHIA UWEPO WA HUDUMA ZA KURIDHISHA.

A,

ALHAMDULILAH DAIMA KHIDMAT ISLAMIYA


TUMEWEZA KUTEKELEZA KILA TUNACHOKIAHIDI.

ADHARI: NDUGU HUJAJI MTARAJIWA FANYA


NDUGU HUJAJI
MTARAJIWA
FANYA
UNGUZI TAHADHARI:
WA KINA KABLA
YA KUJISAJILI
KWANI
UCHUNGUZI
WA KINA
KABLA
YA KUJISAJILI
KWANI
A
HII
NI
MOJAWAPO
YA
NGUZO
TANO
ZA
3 ZA
IBADA HII NI MOJAWAPO YA NGUZO TANO ZA
AM KWAUISLAM
HIYO KWA
HAKIKISHA
UNAITEKELEZA
HIYO HAKIKISHA
UNAITEKELEZAINAINABA
VYOTAKIKANA
KWA
NAFASI
ULIYOJAALIWA,
TAKIKANA
KWA NAFASI
ULIYOJAALIWA,
KWANI HUJUI KAMA UTAIPATA TENA NAFASI HIYO
NI HUJUI
KAMA
UTAIPATA
TENA
NAFASI
HIYO
MAISHANI MWAKO. NDUGU MUISLAM KAMA
UNAO
UWEZO
USISUBIRIE
MWAKANI
HUJUI
KAMA
SHANI MWAKO. NDUGU MUISLAM KAMA
UWEZO
ULIONAO
LEO
WA
AFYA
NA
MASURUFU
O UWEZO
USISUBIRIE
MWAKANI
HUJUI
KAMA
AT,
UTAENDELEA
KUWEPO
NA PIA UJUE
GHARAMA
ZO ULIONAO
LEO WA AFYA
NA MASURUFU
NAZO ZINAONGEZEKA
KILA MWAKA.
ENDELEA
NDELEA KUWEPO NA PIA UJUE GHARAMA
O ZINAONGEZEKA KILA MWAKA.

ILI KUWA NA UHAKIKA


UNAO UWEZO USISUBIRIE MWAKANI HUJUI KAMA

AL-HAJJ
0655 616 623,
UWEZO
ULIONAO
LEO HAFIDH
WA AFYA SALIM
NA MASURUFU
UTAENDELEA
KUWEPO
0682
535 NA
319PIA UJUE GHARAMA
NAZO
KILA MWAKA.
ZINAONGEZEKA
SHEIKH HARUNA
JUMANNE KAPAMA

0715
985
KWA MAELEZO
ZAIDI
NA413
UANDIKISHAJI
WASILIANA
NA:

AL-HAJJ
ALTAF ABDULLATIF AHMED

SHEIKH
HASHIM
0789
373AHMAD
222 RUSAGANYA
NAMBA YA SIMU 0715 915 008,
0784AL-HAJJ
915 008 OMAR AWADH KHAMIS - MSIKITI

SHEIKH
ABDALLAH
MOHAMED
JUMA
666
WA
QIBLATAIN
- 0715
210
IMAM MSIKITI WA MTORO 0713 445 545

ARUSHA:
SHEIKH
JUMA
RAJAB
IKUSI

AL-HAJJ ZULFIKAR OSMAN 0777 411 020,


0713TAYSEER
530 036, 0786
411
020
STORE DUKA NO.12 MKABALA

AL-HAJJ
HAFIDH
SALIM
623,
NA
NMB
TAWI 0655
LA 616 SOKO
KUU NAMBA
0682 535 319
YAHARUNA
SIMU 0786
125KAPAMA
512, 0767 125 513,

SHEIKH
JUMANNE
07150655
985 413
125 513

AL-HAJJ ALTAF ABDULLATIF AHMED


0789MOROGORO:
AL-HAJJ AHMED SALEH
373 222

AL-HAJJ
OMAR AWADH KHAMIS0715
- MSIKITI
NAHDY(AHMADO)372 776,
WA QIBLATAIN
0715
210
666
0773
372 JUMA
776 RAJAB IKUSI

ARUSHA:
SHEIKH
TAYSEER
DODOMA
& SINGIDA:
AL-HAJJ YUNUSU
STORE DUKA
NO.12 MKABALA
NA NMB
TAWI LA
SOKO
KUU334
NAMBA
RUGEIYAMU

0754
400,
YA SIMU 0786 125 512, 0767 125 513,
0786
293
901
0655 125 513

MOROGORO:
AL-HAJJ
AHMED SALEH
DODOMA
& KONDOA:
SHEIKH ESMAIL H.
NAHDY(AHMADO)0715
372683
776,
ALLIY

0713
677
0773 372 776
MULEBA,
BUKOBA
DAR AL-HAJJ

DODOMA
& SINGIDA:
AL-HAJJ &
YUNUSU
RUGEIYAMU

0754
334
400,
MAULID ATHUMAN KYEJU 0655 883 573
0786 293 901

DODOMA & KONDOA: SHEIKH ESMAIL H.


ALLIY 0713 677 683
KATIBU

MULEBA, BUKOBA
& DAR MTENDAJI
AL-HAJJ
MAULID ATHUMAN KYEJU 0655 883 573
MUHSIN MOHAMED HUSSEIN
0784 MTENDAJI
/0715 /0773 - 786 680,
KATIBU
MUHSIN MOHAMED HUSSEIN
TAARIFA
0784 /0715
/0773
- 786MUHIMU
680,
KUFUATANA
NA SHERIA
MPYA NCHINI SAUDIA,

KUFUATANA NA SHERIA MPYA NCHINI SAUDIA,

TAARIFA
MUHIMU
TAREHE
YA
MWISHO
YA KUJISAJILI
NA KUTUMA
KUFUATANA
NA
SHERIA
MPYA NCHINI
SAUDIA,
TAREHE
YA
MWISHO
YANA
KUJISAJILI
NA KUTUMA
KUFUATANA
NA
SHERIA
NCHINI
SAUDIA,
TAREHE
YA MWISHO
YA MPYA
KUJISAJILI
KUTUMA
MAJINA
YA
MAHUJAJI
KWA
NJIA
YA MTANDAO
KWA
TAREHE
YAMAHUJAJI
MWISHO
YA KUJISAJILI
NA NJIA
KUTUMA
MAJINA
YA
KWA
NJIA
YA MTANDAO
KWA
MAJINA
YA
MAHUJAJI
KWA
YA
MTANDAO
KWA
MWAKA
HUU
NI
TAREHE
8
JUNI2015
SAWA
NA
MAJINA
YA MAHUJAJI
KWA NJIA
YA MTANDAO
KWA
MWAKA
HUU NI TAREHE
JUNI2015
SAWA NA
MWAKA
NI88TAREHE
8 JUNI2015
MWAKA
HUU
NIHUU
TAREHE
JUNI2015
SAWA
NA 1437SAWA NA
TAREHE
201437
SHAABAN
TAREHE
20 SHAABAN
TAREHETAREHE
20 SHAABAN
20 1437
SHAABAN 1437
MAHUJAJIWOTE
WOTEMNAOMBWA
MNAOMBWAKUJISAJILI
KUJISAJILIMAPEMA
MAPEMA
MAHUJAJI
MAHUJAJI
WOTE
MNAOMBWA
KUJISAJILIMAPEMA
MAPEMA
ILI
KUWA
NA
UHAKIKA
WA
SAFARI
YA
HIJJA
MAHUJAJI
WOTE
MNAOMBWA
KUJISAJILI
ILI KUWA NA UHAKIKA WA SAFARI YA HIJJA

ILIKUWA
KUWANA
NAUHAKIKA
UHAKIKAWA
WASAFARI
SAFARIYA
YAHIJJA
HIJJA
ILI

25 Shaaban 1436, Ijumaa Juni 12 - 18, 2015

makala/tangazo

www.islamicftz.org

Adabu za funga

TOLEO MAALUMU LA RAMADHAN

NA SHEIKH SHABANI MUSSA

Inahimizwa kwa mtu anayefunga kuzingatia adabu zifuatazo:


1. Kula daku

taratibu huu wa kula daku


umeamrishwa na kuhimizwa na
Mtume (Rehma na amani ya Allah iwe juu yake): Imepokewa na
Swahaba Anas Allah amridhie, kuwa Mtume
(Rehma na amani ya Allah iwe juu yake) alisema: Kuleni daku kwani katika kula daku
kuna baraka. (Imepokewa na Bukhari na
Muslim).
Na kutoka kwa Al-miqdaamu bin Maadi
Karib kutoka kwa Mtume (Rehma na amani
ya Allah iwe juu yake): Ni juu yenu kula
daku, kwani ni chakula kilichobarikiwa (Imepokewa na An Nasaaiy kwa sanad Jayyid)
Sababu ya daku kuwa ni chakula chenye
baraka: Chakula cha daku humpa nguvu
mfungaji, na kumfanya awe mchangamfu, na
mwepesi katika funga yake.

5. Kuharakisha kufuturu

Inapendekezwa kwa mtu aliyefunga


kufanya haraka kufuturu, mara atakapokuwa na yakini ya kuzama kwa jua.
Imepokewa kutoka kwa Sahal bin Saad
kwamba: Hawatoacha watu kuwa katika
kheri, muda wa kuwa wanaharakisha kufuturu. (Imepokewa na Bukhari na Muslim).
Na futari inatakiwa iwe kwa tende, na
hizo tende ziliwe kwa witri. Iwapo hazikupatikana basi, afutari kwa maji.

Imepokewa na Anas (Allah amridhie)


akisema: Mtume (Rehma na amani ya
Allah iwe juu yake), alikuwa anafuturu
kwa tende (Rutwab) kabla ya kuswali, anapozikosa (Rutwab) alikuwa anafuturu kwa
tende kavu, asipopata alikuwa anakunywa
funda ya maji. (Imepokewa na Abu Daud,
Al-hakim na akaisahihisha, na Tirmidhiy
akaifanya kuwa ni hadith Hassan).

6. Dua wakati wa funga


na wakati wa kufuturu

Imethibiti kuwa Mtume (Rehma na

amani ya Allah iwe juu yake) alikuwa


anasema: Kiu kimeondoka, na taabu
kwenye misuli imetoweka, na ujira Insha
Allah umethibiti.
Na amepokea Imam Tirmdhiy kwa -Sanad Hasan- kuwa, Mtume (Rehma na
amani ya Allah iwe juu yake) alisema:
Watu wa aina tatu dua zao hazirudishwi,
mwenye kufunga mpaka atakapofungua,
kiongozi muadilifu, na mtu mwenye kudhulumiwa.
inaendelea Uk...17

2. Baraka ya daku hupatikanaje?

Baraka ya daku haipatikani kwa kiwango


kingi cha chakula au kichache, bali hupatikana hata kwa funda ya maji. Imepokewa na
Abi Said Al-khudriy (Allah amridhie), kuwa:
Daku ni baraka, msiiache walau kwa kunywa
mmoja wenu funda ya maji, kwani Mwenyezi
Mungu na Malaika wake huwarehemu wanaokula daku. (Imepokewa na Ahmad, na
kuna njia kadhaa zinazoipa nguvu riwaya
hii).

3. Wakati wa kula daku


Daku huliwa kwenye nusu ya usiku mpaka
karibu ya mapambazuko ya alfajiri, na ni vyema kula wakati wa mwisho.
Imepokewa na Zaid bin Thabit (Allah amridhie) akisema: Tulikula daku pamoja na
Mtume (Rehma na amani ya Allah iwe juu
yake), kisha tukaenda kuswali. Nikasema:
kulikuwa na (tofauti ya) muda gani baina ya
mawili hayo? Akasema: Aya khamsini. [Imepokewa na Bukhari na Muslim].
Na kutoka kwa Amri bin Maymun alieleza: Walikuwa Swahaba wa Mtume (rehma
na amani ya Allah iwe juu yake), wanaharakisha sana kufuturu, na kuchelewesha sana
kula daku. [Imepokewa na Bayhaqiy kwa
sanad sahih].

Pichani juu
ni uzinduzi
wa gazeti
jipya la
Kiislamu
(IQRA)
uliofanyika
wiki
iliyopita
katika
msikiti wa
Mtambani
jijini Dar es
Salaam.
Chini,
mhariri wa
redio
Imaan,
Kassim
Lyimo
akiwa
katika moja
ya semina
za mafunzo
ya ndani
kwa
watendaji
Imaan
Media.

4. Shaka ya kuchomoza kwa


alfajiri
Hata kama mtu atatia shaka ya kuchomoza kwa alfajiri, sharia inamtaka ale, na anywe,
mpaka awe na yakini ya kuchomoza kwa alfajiri ya kweli, kwa sababu Allah ameweka
mwisho wa kula na kunywa, ni kuchomoza
kwa alfajiri ya kweli, na sio shaka.
Allah anasema: Na kuleni na kunyweni
mpaka ubainike kwenu weupe wa alfajiri katika weusi wa usiku (2: 177). Na kuna mtu
alimwambia Ibn Abbas (Radhi za Allah ziwe
juu yake), Mimi ninakula daku, nitakapotia
shaka je? Akamwambia: Kula, kwenye
muda unaotia shaka, mpaka shaka itoweke.
Naye Abu Daud ameeleza: Alisema Abu
Abdillah (Ahmad bin Hambal): Atakapotia
shaka ya kuingia kwa alfajiri, aendelee kula,
mpaka awe na yakini ya kuingia kwa alfajiri.
Na hii ndio madhehebu ya Ibn Abbas, Atwaa,
Al-awzaaiy na Ahmad. Na Imam An Nawawiy anaeleza: Wameafikiana wafuasi wa
Shafiiyu kuhusu suala la kujuzu kula kwa
mwenye shaka wakati wa kuchomoza alfajiri.

BY
P O Box 20831
Dar Es Salaam
Tel: +255 22 2125 312/2119 247
Fax: +255 22 2125 317 / 8
E Mail:oilcom@oilcomtz.com

TOLEO MAALUMU LA RAMADHAN

12

makala

25 Shaaban 1436, Ijumaa Juni 12 - 18, 2015

www.islamicftz.org

UMUHIMU NA NAMNA
BORA
YA
KULA
DAKU
Swaumu ni tiba MUJARABU ya
maradhi mengi ya binadamu D
Funga na afya
SHEIKH TAWAKKAL JUMA

atu wengi hudhani


kuwa Swaumu ina
madhara hasi kwa
afya zao. Hawa ni
watu ambao huviangalia viwiliwili
vyao kama magari ambayo hayawezi kutembea hatua moja bila
mafuta.
Ni dhana hii potofu ndio iliyowafanya waone kuwa kila siku ili
waishi ni lazima wale mara tatu;
asubuhi, mchana na jioni na kuwa
wakiacha mlo mmoja watadhurika.
Fikra kama hizi asili yake ni
kutokujua sayansi ya kufunga.
Kwa hiyo katika makala hii tutaakisi juu ya muujiza wa kitiba wa
Swaumu. Ukisoma ndani ya
Quran Allah anasema: Enyi mlioamini! Mmeandikiwa (fardhi ya)
Asw-Swiyaam au kufunga kama
ilivyoandikwa kwa walio kabla
yenu mpate kuwa na taqwa
(2:183).
Aya hii imetaja neno taqwa
kama lengo kuu la kufaradhishwa
Swaumu. Taqwa ni neno la kiarabu lenye maana ya kinga. Taqwa ni
kinga ya moto ikiwa na maana ya
kutii maamrisho ya Allah na
kuepuka makatazo ya Allah.
Taqwa ni Ucha Mungu.
Swaumu ina lengo la kuleta
Taqwa au kizuizi; dhidi ya madhambi. Ni sahihi pia kusema
Swaumu ni kinga au kizuizi dhidi
ya maradhi ya roho na mwili. Katika hadithi iliyopokelewa na maimamu Muslim, Ahmad na Annasaaiyyu Mtume amesema kuwa
Swaumu ni ngao yaani ni kinga na
sitara. Tafiti za kitiba zimethibitisha kuwa funga au Swaumu ni
kinga ya maradhi mengi.
Miongoni mwa faida za Swaumu za kiafya ni kuwa Swaumu inaimarisha mfumo wa kinga ya
mwili dhidi ya maradhi Immunity.
Faida hii inatokana na kile
wataalamu wa tiba walichobaini
kuwa Swaumu huhuisha chembechembe zinazohusika na kinga
ya mwili na kuzifanya kuwa na
nguvu na kuzipa hali ya uchangamfu zaidi na hivyo chembechembe
hizo kuwa na uwezo mkubwa wa
kupambana na maradhi.
Utafiti unaonyesha kuwa mtu
akifunga kiwango cha chembechembe zinazozalishwa na kongosho zinazoitwa T lymphocytes
huimarika na kiwango chake huwa
juu. Kazi ya chembechembe hai
hizi ni muhimu kuhusiana na uimarishaji wa kinga ya mwili.
Lakini faida ya chembechembe
hizi kuhusiana na uimarishaji wa
kinga ya mwili itapatikana tu
iwapo mtu atafunga kwa utaratibu
wa kisharia ambapo mtu anayefunga anahitajika asifunge mdomo tu dhidi ya vyakula na vinywaji
bali inatakikana na viungo vyake

Aya hii
imetaja neno
taqwa kama
lengo kuu la
kufaradhishwa
Swaumu. Taqwa
ni neno la
kiarabu lenye
maana ya kinga.
Taqwa ni kinga
ya moto ikiwa
na maana ya
kutii maamrisho
ya Allah
na kuepuka
makatazo ya
Allah. Taqwa ni
Ucha Mungu.
vyote viwe vimefunga au vimejizuia na madhambi. Hivyo ulimi,
macho, masikio, mikono, miguu
na viungo vingine vyote navyo vinatakikana vifunge.
Vinginevyo mwenendo hasi wa
viungo hivi kama kuviingiza katika
maasi yanayoletwa mathalani na
ulimi kama vile kusengenya huleta
athari mbaya kiafya, badala ya kuimarisha mfumo wa kinga hubomoa mfumo huo. Ndiyo maana
Mtume akatahadharisha sana mtu
kusema uongo akiwa amefunga
kwani si jambo linaloharibu tu
Swaumu yake bali ni jambo linalodhuru afya ya mfungaji.
Hii yawezekana ni moja kati ya
mambo yanayokusudiwa na
maneno ya Mtume aliposema asiyeacha uongo na kuufanyia kazi
uongo Allah hana haja na kuacha
kwake kula na kunywa (Allah hana
haja na funga ya mtu huyo).
Miongoni mwa faida za kiafya
za Swaumu ni kuwa Swaumu
humkinga mfungaji na maradhi
ya kunenepa kulikokithiri (obesity)
na athari zake. Kunenepa mno sio
afya njema kitiba. Utaratibu
mbaya wa kula au kula ovyo ni
moja kati ya sababu zinazoleta
ugonjwa huo.
Kuna watu tabia zao za ulaji ni
kama za panzi au zaidi. Panzi hula
mfululizo hadi akasinzia katika
majani na hushiba mpaka shingoni. Wako watu pia mwaka mzima
anakula mfululizo tena sahani zilizojaa toplea kama wanavyoita
wenyewe; asubuhi sahani imejaa
kama mlima Uluguru, mchana
imejaa kama mlima Kilimanjaro,
na usiku imejaa kama mlima Everest.
Na kati ya nyakati za kula mili-

ma hiyo ya ugali, wali, pilau na


vyakula lukuki, kuna nyakati za
vyakula vidogo vidogovidogo kama
wanavyoviita wao vingi tu; mara
chocolate, mara biskuti, mara soda
nk.
Hebu fikiria kama ungekuwa
na mashine ya kusaga nafaka inafanya kazi mfululizo mwaka mzima ingekuwa nzima kweli mashine
hiyo?.
Tumbo linalosaga chakula mfululizo mwaka mzima tena
uchanganyaji wa ovyo wa vyakula
litakuwa na uzima gani! Hivyo kujizuia na kula mchana mzima kwa
muda wa mwezi mzima pamoja
na ulaji mzuri wa futari na daku
ulioelekezwa katika Uislamu
wakati wa mwezi wa Ramadhan
ukiambatana na ibada nyingi zinazofanyika wakati wa mwezi wa Ramadhan za kimwili na kiroho
huboresha afya ya mwili pamoja
na akili.
Hivyo ni kweli kabisa Swaumu
ya Ramadhan ni chanzo kisicho na
gharama yoyote cha kuleta siha ya
mwili wa mwanadamu. Kwa hiyo
moja kati ya mambo ambayo tunayopaswa kuzingatia sana katika
mwezi wa Ramadhan ni kufunga
viungo vyetu vyote, na kukithirisha
ibada za swala, kutoa sadaka na
kusoma Quran katika mwezi huu
pamoja na kuwa na utaratibu na
makadirio mazuri ya vyakula.
Itakuwa haina maana yoyote
kiafya kwamba mtu ajizuie na kula
mchana wote kisha kwenye fikra
na uhalisia wake awe kama
anayelipa kisasi wakati wa kufuturu. Amejisogezea tambi za sukari,
maharage ya chumvi, magimbi,
mihogo, ndizi, samaki, kuku, nyama ya ngombe, nyama ya kuku,
maandazi, vitumbua, sambusa,
maji ya baridi, juisi iliyokaribia kuganda n.k.
Mchanganyiko wa vyakula vingi vingine vinafanya kazi moja.
Vingine vya moto na vingine vya
baridi. Vyote hivi viliwe kwa wakati
mmoja tena na tumbo moja ambalo halikuwa na kitu mchana
wote.
Hata ikifika wakati wa ishaa
mtu anashindwa kukaa wala kusimama, huku akihemea juu juu.
Mtu kama huyu funga badala imletee afya badala yake inamletea
maradhi.
Afya njema katika Swaumu itapatikana tu kwa kuzingatia ulaji
mzuri, utulivu wa akili na nafsi unaoletwa na imani inayochanuliwa
na Swaumu kutokana na kukithirisha ibada, kusoma Quran, kumtaja Allah, kujiweka mbali na kuudhi
na namna ya kukabiliana na maudhi, kudhibiti hisia na matamanio,
na kuuelekeza mwili na nafsi katika mambo yenye manufaa na
kuepuka mambo yenye madhara.

Na: Mujahid Mwinyimvua


aku ni chakula kinacholiwa
Vyakula hivi huupa mwili nishati
usiku wa manane kwa ajili ya (nguvu) vile vile vitamini, madini na protikujiandaa kufunga siku inayo- ni kiasi kidogo.
fuata. Kula daku ni jambo liVyakula jamii ya mikunde, vile vya
lilokokotezwa sana na Uislamu kama tu- kokwa na vyenye asili ya wanyama
navyojifunza katika Quran na Hadithi za
Vyakula vilivyoko katika kundi hili ni
Mtume Muhammad (Rehma na aman pamoja na maharage, mbaazi, karanga,
zmfke): .....Na kuleni na kunyweni korosho, nyama, samaki, mayai na mazimpaka ubainike kwenu weupe wa alfajir wa ambavyo vyote ni chanzo kikubwa cha
katika weusi wa usiku..... (Quran: 2:187). protini. Pia, vyakula hivyo ni chanzo cha
Mtume Muhammad (Rehma na vitamini na madini.
aman zmfke) amesisitiza sana kula
daku. Tuone hadithi moja ifuatayo: Kule- Matunda
ni daku, kwani ipo baraka katika kula
Matunda ni chanzo kizuri cha vitamini
daku. Na tofauti ya fadhila ya funga zetu
sisi na Ahlul Kitabu (Wayahudi na Wakris- C, vitamini za aina nyingine na baadhi ya
madini. Kundi hili linajumuisha matunda
to) ni huko kula daku.
kama matikiti, zabibu, mapapai, maembe,
machungwa, limau, ndimu, machenza,
Mlo bora wa daku
Vyakula vinaweza kugawanywa katika nanasi, pamoja na matunda pori kama
makundi makuu mawili kwa kigezo cha ubuyu, mabungo na ukwaju.
muda wake wa kukaa tumboni. Kundi la
kwanza ni vyakula vinavyochukua muda Mboga mboga
mfupi masaa mawili mpaka manne kuKundi hili linajumuisha matembele,
sagwa. Mfano wa vyakula hivyo ni vile laini
kama ndizi, viazi na matunda. Kama tu- kisamvu, majani ya maboga, mchicha,
livyoona katika makala zilizopita, vyakula bamia, karoti, maboga, nyanya pamoja na
mboga nyingine za asili kama mlenda na
laini ni vizuri kutumika kama futari.
Kundi la pili la vyakula ni vyakula vina- mchunga. Mbogamboga ni chanzo kizuri
vyokaa tumboni kwa muda mrefu (kiasi cha vitamini na madini. Zaidi ya hayo,
mboga mboga hasa za majani ni chanzo
cha masaa sita mpaka nane au zaidi).
Vyakula hivyo ni kama vile nafaka na kizuri sana cha nyuzi lishe (dietary fibers).
Ingawa Quran imebainisha kuwa
mbegu, ngano, shahiri, mtama, mahindi,
mchele na maharage. Inashauriwa na Mwenyezi Mungu katuumbia mboga
wataalamu wa vyakula wa kiislamu kuwa mboga kwa manufaa yetu, lakini Waislavyakula kama hivi viliwe kama daku au mu wengi hawana habari kabisa na ulaji
usiku sana kwa wale wanaoshindwa kua- wa vyakula hivyo hasa wakati wanapo kula
futari.
mka na kula daku.
Vyakula hivi vitawapa nguvu ya kuhimili mikiki mikiki ya saumu mchana na Mafuta na sukari
Mafuta ni pamoja na samli, siagi, mapia wataweza kumudu majukumu mengine ya kazi za mchana. Kwa hiyo, vyakula futa ya nazi, majarini, mafuta ya alizeti,
ufuta, mahindi, na mawese. Inashauriwa
hivi ndio vizuri zaidi kuliwa kama daku.
Katika funga nia kubwa ya Mwenyezi kuwa watu watumie zaidi mafuta yanayoMungu ni kupima utii wetu kwake, sio ku- tokana na mimea badala ya wanyama. Sutukomoa. Ndio maana funga ya Kiislamu kari ni pamoja na asali na ile inayotokana
inahimiza kula daku karibu na alfajiri na na miwa. Vyote hivyo vina kiwango
kikubwa na nishati iliyomakinika (conkutufuru mara tu jua linapo zama.
Maana yake hizo ni takriban saa 14 centrated), watu wasitumie kwa wingi.
(kati ya saa 24 za siku nzima) (pale ambapo mchana so mrefu) zinatosha kupi- Maji ya kunywa
ma utii wetu kwa Mola. Hii maana yake ni
Wakat mwng wa usku wa Ramadkuwa Uislamu unazingatia namna Allah
alivyouumba mwili. Swaumu ya muda fu- han ni muhimu sana mfungaj kunywa
lani ni tiba katika mwili, lakini ukizidisha maji ili kupunguza hatari ya mwili kukaa
muda sana bila mwili kuupa chakula, muda mrefu bila maji ya kutosha mchana
wa mfungo. Maji na juisi huondoa sumu
utakidhuru kiwiliwili hasa ubongo.
kutoka katika mwili.
Kwa mtu mzima anatakiwa anywe
Madai ya baadhi ya watu
Baadhi ya wasiokuwa Waislamu wa- glasi nane za maji (kama lita moja na
nabeza na kudai kuwa sisi tunakula alfajir, nusu). Wakati wa mfungo tujitahidi ili anhalafu ndio tunafunga. Wajaribu na wao galau tusinywe chini ya glasi nne kwa usiku
kufunga japo kwa saa 12 tu wataona ugu- wote.
Pia, wafungaji wakumbuke tulivyosemu wa swaumu, hasa kwa asiefunga kwa
ma huko nyuma kuwa sio vizuri mtu
imani ya kumkubali Mola Muumba.
Kwa hakika kula na kufanya jimai ndio kunywa kwa wingi chai au kahawa au soda
furaha kubwa katika maisha ya kidunia, ya coca cola/pepsi wakati wa kula mlo wa
na wengi wanamuasi Mola kwa hayo daku. Hii ni kwa sababu chai au kahawa
au soda (ya coka cola na pepsi cola) hutenmawili, yaani tumbo na utupu.
geneza mkojo mwingi, hivyo maji na
madini yatapotea kwa njia ya mkojo kunMakundi ya vyakula
Watuwanaofungawanatakiwakucha- apo kucha.
Vilivile, milo yote wakati wa Ramadgua na kula vyakula kutoka katika makundi mbalimbali kwa kila mlo wa futari na hani isiwe na chumvi au sukari nyingi kwa
sababu mchana utakuwa na kiu sana na
daku. Makundi hayo ya vyakula ni:
Nafaka, vyakula aina ya mizizi na ndizi utapoteza maji kwa njia ya mkojo. Ni visuri kunywa tangawizi au mchai chai au maji
za kupika
Kundi hili la vyakula linajumuisha na- ya moto kama mtu hawezi kula daku bila
faka kama mahindi, mchele, mtama, ulezi chai au kahawa nyingi. Kawaha au chai au
na ngano; ndizi za kupika na vile vya aina soda (kina coka) ukinywa kabla ya usiku
ya mizizi kama magimbi, mihogo na viazi. wa manane hakuna shida sana.

makala

25 Shaaban 1436, Ijumaa Juni 12 - 18, 2015

www.islamicftz.org

TOLEO MAALUMU LA RAMADHAN

13

Biashara na Uchumi ndani ya Ramadhan

ifa njema ni zake Muumba


mbingu na ardhi aliyetukuka na Mola wa walimwengu wote. Rehma na amani
zimfike Mtume wetu aliye mkweli
mwaminifu. Kisha salaam kwa
wenye kufuata muongozo.
Katika mwezi mtukufu wa Ramadhan tunayo fursa zaidi ya kujifunza mambo mengi yatakayobadili mitazamo na utendaji wetu katika shughuli mbalimbali za maisha yetu.
Ibada adhimu ya funga ya Ramadhan ina lengo la kutufanya tuwe
wachamungu kama ilivyobainishwa
katika Quran tukufu: Enyi mlio
amini! Mmeandikiwa Swaumu,
kama walivyoandikiwa walio kuwa
kabla yenu ili mpate kumcha
Mwenyezi Mungu (2:183).
Jambo la kumcha Allah ni jambo
pana, lenye kugusa kila nyanja ya
maisha ya mwanadamu, ikiwemo
uchumi na biashara. Ramadhan itujenge kuchuma pato la halali kwa
kuwa na hofu ya Allah katika shughuli zetu zinazotupa kipato kwa
kuzingatia mipaka ya Allah.
Mtume (Rehma na amani ziwe
juu yake) alisema, itafika zama watu
hawatajali kipato chao ni cha halali
au haramu, hivyo tuitumie Ramadhan kutizama upya vyanzo vyetu vya
mapato ili kumridhisha Allah.
Mtizamo chanya juu ya kujishughulisha kupata chumo la halali ni
muhimu sana katika maisha yetu.
Umaskini na utegemezi unatokana
na mtizamo hasi wa kutojishughulisha kwa bidii katika kutafuta kipato
halali, na kupenda kusaidiwa zaidi,
kuliko mtu kuchuma kwa mkono
wake mwenyewe.
Uislam unawataka watu wajishughulishe kwa kufanya kazi kwa bidii
ili kupata kipato cha halali na kujitegemea bila ya kuwa ombaomba.
Umar Ibn Al-Khattab (Radhi za
Allah ziwe juu yake) amasema: Yoyote miongoni mwenu asijiepushe na
kujishughulisha kuchuma kipato

JAMAL ISSA

huku akisema, Ewe Allah nipe riziki,


wakati anajua mbingu hainyeshelezi
dhahabu wala fedha, na Allah hutoa
riziki kwa njia ya watu kwa watu.
Kisha Umar Ibn Al-Khattab akasoma: Na itakapo kwisha swala, tawanyikeni katika nchi mtafute fadhila za Mwenyezi Mungu, na
mkumbukeni Mwenyezi Mungu

firi katika ardhi wakitafuta fadhila


za Mwenyezi Mungu... (73:20).
Abdulrahman bin Auf (Allah
amuwie radhi) alipo wasili Madina baada ya kufanya hijra kutoka
Makka, Mtume alimuunganisha
udugu na Rabia (Ansari).
Kisha Rabia kwa mapenzi ya
udugu wa kiislamu akamwambia

Tutafute chumo
la halali ndani
ya Ramadhan
kwa wingi ili mpate kufanikiwa
(62:10).
Pia alisema: Hakuna hali ambayo ningependa kufa mbali na jihad
kwa ajili ya Allah zaidi kama kifo
kingenijia wakati nasafiri na ngamia
wangu (kwa ajili ya biashara),
kutafuta riziki kwa fadhila za Allah.
Na akasoma na wengine wanasa-

Abdulrahman atampa nusu ya


mali na familia yake, kwani Muhajirina walikuwa wameacha mali
na wengine waliacha familia zao
Makka. Abdulrahman alimjibu
kuwa Allah ambariki katika mali
na familia yake na kumuomba
amuonyeshe soko.

Subhanallah, huu ndio mtizamo wa maswahaba wa Mtume


wetu wa kupigiwa mfano. Na hakika wengi katika sisi katika zama
hizi tunazoziita za kileo, jambo la
kwanza ingekuwa ni kuuliza salio
kwenye akaunti na idadi na thamani ya mali aliyokuwa nayo ili kutathimini nusu yake.
Lakini haikuwa hivyo kwa bin
Auf. Kwa kweli Abdulrahman
alikuwa akipenda kuchuma kwa
mkono wake. Hakupenda cha kupewa na hakupenda kuwa tegemezi. Alijua mafanikio ya ukweli ya
kiuchumi yanataka kufanya kazi
kwa bidii.
Haikupita muda mrefu,
Mtume alimuona usoni na poda
waliyokuwa wakitumia wanawake
zama hizo akamuuliza ni nini
akamwambia ameoa, akamuuliza
amelipa nini mahari, akasema kipande cha dhahabu.
Kwa kweli kwa mtizamo huu
chanya historia imeandika mafanikio makubwa ya Abdulrahman bin Auf kwa mali aliokuwa
nayo na namna alivyoitumia kuuhami na kuendeleza Uislam.
Yatosha katika Ramadhan hii
kujifunza ujasiriamali kwake na
namna ya kutumia vizuri mali
zetu.
Vijana wa Kiislam tuitumieni
vizuri Ramadhan kutafakari fani
gani tutajifunza, kisha tuchukue
hatua katika kujifunza fani
mbalimbali na kuzifanyia kazi.
Kufanya hivyo tutakuwa tumejipatia ajira na kutengeneza ajira
kwa wengine. Pia tutatoa huduma au bidhaa kuisaidia jamii na
hatimaye kupata kipato cha halali
na radhi za Allah.
Umar Ibn Al-Khattab (Radhi
za Allah ziwe juu yake) alikuwa
akimuona kijana na akimpenda
alikuwa anauliza je anafani/
utaalamu wowote? Jibu likiwa

hapana, anasema sivutiki kwake


tena. Pia amesema: Jifunze fani/
utaalamu, karibuni mmoja wenu
atahitaji fani/utaalamu.
Ramadhani ya mwaka huu In
Sha Allah tujifunze kuwa wajasiriamali wazuri badala ya kuwa na
mtizamo hasi kuwa ni mwezi wa
kulala, kucheza karata, kubeti na
kupoteza muda katika pumbao
nyingine. Ramadhan ni mwezi wa
kufanya kazi kwa bidii zaidi na
kuboresha utendaji wetu. Kufanya
hivyo kutatufanya kuwa huru na
kutokuwa tegemezi kwa wengine.
Umar anasema: Isingekuwa
kwa huku kununua na kuuza, hivi
karibuni mngekuwa tegemezi kwa
watu.
Pia imepokelewa kutoka kwa
Muhammad ibn Siriin ya kuwa,
baba yake amesema: Nilihudhuria Magharib pamoja na Umar ibn
Al-Khattab. Alikuja kwangu na
nilikuwa na rundo dogo la nguo.
Akaniuliza, Ni nini hiki unacho? Nikasema, Nguo chache.
Nimekuja kwenye soko hili kununua na kuuza. Akasema
(Umar), Enyi Maquraish, msimruhusu huyu na wengine kama
yeye kudhibiti biashara, kwani (biashara) ni moja ya tatu ya uongozi.
Tuitumie Ramadhan ya mwaka huu kujijengea tabia ya utendaji na kubadili mtizamo wa kuwa
tegemezi na kupenda vitu vya
bure. Tujifunze ujasiriamali na kanuni za kufanya biashara katika
Uislam. Ramadhan hii itubadili
kuwa wachamungu kwa kufanya
biashara halali kwa kuzingatia mipaka ya Allah ili tudhibiti moja ya
tatu ya uongozi.
jakham@rocketmail.com
+255713 996 031
jakham@rocketmail.com
+255713 996 031

Wafanya biashara tusihodhi, tusipunje katika Ramadhan na baada


ABUU ASMAA

hukrani njema anastahiki yule


ambaye ametufaradhishia funga katika mwezi wa Ramadhan
ili tuwe wachamungu. Rehema
na amani zimfikie mbora wa viumbe aliyemsifika na rahma kwa walimwengu
wote.
Katika mwezi mtukufu wa Ramadhan, upatikanaji wa bidhaa mbambali
kama vile chakula kwa ajili ya futari na
daku ni muhimu sana katika kufanikisha
ibada ya swaumu kwa wepesi, ijapokuwa
wakati mwingine baadhi ya bidhaa huwa
adimu.
Wafanya biashara wana nafasi
muhimu ya kuhakikisha uwepo wa bidhaa muhimu katika soko kwa bei nafuu
kwa walaji. Wafanya biashara katika kuukaribisha mwezi wa Ramadhan wanatakiwa kufanya juhudi za kutafuta bidhaa bora za kutosha ili kurahisisha upatikanaji wa bidhaa muhimu ndani ya
mwezi mtukufu wa Ramadhan kwa bei
nafuu.
Ramadhan ni mwezi wa kujifunza
kuhurumiana na kuzidisha huruma.

Hivyo basi, wafanyabiashara wanatakiwa kuwaonea huruma walaji kwa


kutoficha (hoarding) bidhaa kabla ya Ramadhan kwa madhumuni ya kupandisha bei ili wanufaike kwa kupata faida
kubwa, kwani kufanya hivyo kutakuwa
ni kinyume na utaratibu wa Kiislam.
Kutoka kwa Abu Huraira (Allah
amuwie radhi) ambae amesema: Mtume
(Rehma na amani ziwe juu yake) kasema: wala msizidishiane bei (za vitu)
(Muslim).
Imam Malik amesimulia katika AlMuwatta ya kuwa Umar ibn Al-Khattab
amesema: Hakuna kuhodhi (kuficha
bidhaa) katika soko letu. Tajiri yoyote asihodhi riziki (bidhaa) ya Allah iliyokuja
katika soko letu na kuziweka mbali nasi.
Lakini yoyote ambaye ataleta bidhaa
sokoni wakati wa kipupwe na kiangazi ni
mgeni wa Umar, acha auze anachokitaka
na ahodhi anachokitaka.
Hivyo Uislam umeharamisha kuhodhi bidhaa, kwani matokeo yake ni kuzifanya kuwa adimu na mwishowe maskini, yatima, wajane na jamii kwa ujumla
inakuwa inaathirika kwa mfumuko wa
bei.

Wafanya biashara wanatakiwa waliache soko lipange bei kwa uwiano wa usambazaji/upatikanaji wa bidhaa (supply) na mahitajio (demand).
Kwa wafanya biashara, mwezi wa Ramadhan ni mwezi wa kujifunza kwa vitendo kuwa wa kweli kwenye biashara
zao kwa kuuza bidhaa bora bila ya kuchakachua, kuwepo utapeli wa kuficha madhara au ubovu wa bidhaa au huduma.
Ni mwezi wa kujifunza kwa vitendo
kuwa waadilifu katika vipimo kama wao
wanavyotaka kufanyiwa uadilifu bila ya
kupunjwa wakati wakinunua. Allah
anasema: Ole wao hao wapunjao! Ambao wanapojipimia kwa watu hudai watimiziwe. Na wao wanapo wapimia watu
kwa kipimo au mizani hupunguza.
Kwani hawadhani hao kwamba watafufuliwa (84:1-4).
Ni mwezi wa kutizama upya biashara
inayofanywa ni halali au si halali. Kutathmini namna biashara inavyoendeshwa
ni muhimu sana kwani wakati mwingine
biashara ni halali lakini namna inavyoendeshwa si halali kwani kanuni na
taratibu za uendeshaji hazizingatii mipaka ya Allah. Ni mwezi wa kujifunza ku-

fuata halali kuepuka haramu na mambo


yenye shaka katika biashara.
Kutoka kwa Abu Abdullah AnNuuman Ibn Bashir (Allah amuwie radhi) ambaye alisema: Nilimsikia Mtume
(Rehma na Amani ziwe juu yake) akisema:
Halali iko wazi na haramu iko
wazi, baina yao ni vitu vyenye shaka
ambavyo watu wengi hawajui. Kwa
hivyo, yule anayeepuka vyenye shaka
anajisafisha nafsi yake kwenye dini
yake na heshima yake, lakini yule
anayetumbukia katika mambo yenye
shaka, huanguka katika haramu, kama
mchunga anayechunga pembezoni
mwa mpaka, mara huingia ndani (ya
shamba la mtu). Hakika kila mfalme
ana mipaka yake, na mipaka ya Allah
ni makatazo yake... (Imesimuliwa na
Al-Bukhari na Muslim)
Kwa wafanya biashara, Ramadhan
ni mwezi wa kujifunza kutoa sadaka
na zaka. Inawapasa wenye mali kuzidisha utoaji wa sadaka na kuwafuturisha
wasio na uwezo.
Wafanya biashara wajifunze kuwa
kama kina Abubakar Sidiq, Othmani

bin Affan, Abdulrahmani bin Auf (Allah awawie radhi) na wengineo katika
maswahaba jinsi walivyochuma na
kutumia vizuri katika kuusimamisha
Uislamu. Ni mwezi wa kutathmini
kwa kiwango gani biashara yako imesaidia dini na kupanga vipi itasaidia
dini ya Allah. Ni mwezi wa kujisafisha
na ubinafsi na choyo.
Allah anasema: Basi mcheni
Mwenyezi Mungu kama mUwezavyo,
na sikieni, na tiini, na toeni, itakuwa
kheri kwa nafsi zenu. Na mwenye kuepushwa na uchoyo wa nafsi yake, basi
hao ndio waliofanikiwa. Mkimkopesha Mwenyezi Mungu mkopo mzuri,
atakuzidishieni maradufu, na
atakusameheni. Na Mwenyezi Mungu
ni Mwingi wa shukrani, Mpole
(64:16-17).
Ramadhan ni mwezi wa kujifunza
kutoa huduma bora kwa wateja kwa
ukarimu.
Wafanya biashara watumie fursa ya
Ramadhan vizuri kuboresha huduma
zao, kutathmini mchango wa biashara
zao katika dini ya Allah na maendeleo
ya jamii kwa ujumla.

TOLEO MAALUMU LA RAMADHAN

14

25 Shaaban 1436, Ijumaa Juni 12 - 18, 2015

makala

www.islamicftz.org

Wanawake na Ramadhan
NA MWANDISHI MAALUM

Makosa yanayofanywa
na wanawake katika
Ramadhan

wezi wa Ramadhan ni msimu wa


Waislam kujichumia kheri nyingi
za kuwafaa duniani kwa
m w a k a u n a o f u at i a n a
akhera watakapokutana na
Mola wao. Kwa hiyo ni mwezi wa kukithirisha amali njema na kujipinda kwa ibada
mbali mbali.
Lakini msimu huu kwa mwanamke wa Kiislam, hupita pasina kufaidika vilivyo na fursa mbali mbali
zilizopo katika mwezi wa Ramadhan
kutokana na kukalifishwa au kujikalifisha na shughuli za maandalizi ya
chakula na kisha kujiandaa kwa
sikukuu ya Idd-ul-Fitr.
Matokeo yake wanawake wanaikosa ile faida aliyoisema Mtume
(Rehma na amani iwe juu yake),
kwamba: Pindi mwanamke atakaposwali swala zake tano, na akafunga swaumu yake, akahifadhi utupu
wake na akamtii mume wake,
ataingia peponi kwa mlango wowote
ule aupendao (Al-Tirmidhi).
Uislam unawahimiza wanaume
na wanawake kujipinda katika kutumia fursa za masiku ya mwezi wa
Ramadhan kwa ibada na amali njema za kumtii Allah na kujikurubisha
kwake na kutokupoteza wakati kwa
yasiyo na faida.
Lakini inahuzunisha kuona wanawake wakifanya makosa mengi
kuhusu swaumu ya mwezi wa Ramadhan pasina kujua. Miongoni mwa
makosa yafanywayo na wanawake
mwezi wa Ramadhan ni;
Mosi, kupoteza wakati mwingi
jikoni nyakati za mchana kwa
kukithirisha maandalizi ya aina
mbali mbali za vyakula kwa ajili ya
futari na daku. Wanawake hufanya
hivyo hata wasipate muda wa kusoma Quran, kuleta dhikri, kusikiliza
mawaidha na hata wengine swala
tano zikiwapita.
Ewe dada katika imani, inatakikana kupika aina mbili au tatu za
vyakula kwa ajili ya futari na daku, ili
upate muda wa kujikurubisha kwa
Mola wako ipasavyo. Soma makala
ya Nukta 10 za Mpango Wa Maandalizi Ya Ramadhan iliyochapishwa
katika toleo hili na utumie maarifa
hayo kujipangia muda wako vizuri.
Namna nyingine ya kufanya ni
wanawake katika familia moja kusaidiana au kupeana zamu ya kupika
ili kuwawezesha wapate muda wa
kufaidika na Ramadhan kama wanavyofaidika wanaume.
Pili, wanawake kutoka nyakati za
usiku kwa ajili ya kwenda msikitini
kuhudhuria swala ya Ishai na
tarawehe wakiwa wamevaa mavazi

yasiyokidhi sitara ya mwanamke


pamoja na kujitia manukato makali
ya fitna.
Inawezekana msikiti ukawa
mbali na nyumbani na pia kutoka
huko kukasababisha mchanganyiko
na wanaume, hususan wakati wa
kutoka msikitini, jambo ambalo linachochea vitendo vya kukurubia zinaa na hata kufanyika uchafu huo,
haswa miongoni mwa vijana na wasichana.
Mtume (Rehma na amani ziwe
juu yake) anasema: Mwanamke
yeyote atakayejitia uturi, asihudhurie pamoja na sisi swala ya Ishai
(Muslim).
Katika hadith nyingine, Mtume
(Rehma na amani ziwe juu yake)
anasema: Mwanamke yeyote
atakayejitia uturi (manukato) kisha
akapita kwa watu ili wanuse harufu
yake, basi yeye ni mzinifu (Ahmad).
Ee dada yangu katika imani, ni
kipi cha kukufanya uhukumiwe uzinifu ambao haujaufanya kwa kujitia
manukato, kisha ukatoka na kupita
walipo watu? Je, ukifanya hivyo Ramadhan yako umeitumia vizuri au
umejidhulumu nafsi?
Kibaya zaidi, ni mwanamke
Muislam kujikwatua na kujitia uturi
mchana wa Ramadhan aendapo
sokoni au akiwa nje ya nyumba yake,
kwani kufanya hivyo ni fitna kwa
wanaume na hivyo hujichumia
dhambi nyingi katika mwezi ambao
angefanya yale ya kumpatia thawabu
nyingi.

Dada yangu katika imani, pamoja na Uislam kutokumzuia mwanamke kwenda msikitini kwa hadith:
Msiwazuie waja wa kike wa Allah
kwenda misikiti ya Allah (Bukhari),
inakupasa kujua kuwa kutoka kwako kwenda kuhudhuria swala ya
jamaa si wajibu kama ilivyo kwa wanaume kiasi kwamba utoke nyumbani kwako, upande gari na kusafiri
kilometa kadhaa kufuata swala ya
Isha na Tarawehe.
Tatu, michanganyiko baina ya
wanawake na wanaume wakati wa
kutoka msikitini usiku. Kama mwanamke atahudhuria swala ya Ishai
na Tarawehe, basi afanye haraka
kutoka msikitini kabla ya wanaume
kuanza kutoka.
Na katika hili, maimam wa
misikiti wawahimize wanawake
kuanza kutoka msikitini na wanaume kuchelewa kutoka. Hii ni
kwa sababu Mtume (Rehma na amani ziwe juu yake) alipowaona wanawake wakichanganyika na wanaume majiani alisema: Kaeni nyuma, kwani hamtakiwi kupita katikati
ya njia, ni juu yenu kutembea pambizoni mwa njia (Abuu Dawud).
Nne, kosa jingine lifanywalo na
wanawake ni kuacha kufanya ibada
mbalimbali zinazoruhusiwa hali
wakiwa katika ada zao za mwezi au
nifasi. Wengi wa wanawake wakiwa
katika ada zao au nifasi hudhani
wamezuiliwa kufanya ibado zote,
kumbe si kweli.
Mwanamke akiwa katika ada

yake ya mwezi au nifasi na akawa


ndani ya mwezi wa Ramadhan
anaruhusiwa kufanya ibada za kujikurubisha kwa Allah kama vile kudumu na dhikr mbalimbali, kuomba
dua, kutoa sadaka, kusoma vitabu
vya dini ya Kiislam na hata kusoma
Quran kwa kauli iliyo swahihi miongoni mwa maulamaa, lakini iwe kwa
hifdhi.
Kwa hiyo dada yangu, usiikose
fursa ya kujichumia kheri za mwezi
wa Ramadhan eti kwa sababu uko
katika ada yako. Ulichokatazwa ni
kuswali na kufunga swaumu tu,
hivyo usijihini bure ukakosa faida
wazipatazo wanaume.
Tano, kosa jingine lifanywalo na
wanawake Waislam katika mwezi
wa Ramadhan ni mwanamke aliyekuwa katika ada yake ya mwezi au
nifasi kuacha kufunga baada ya
damu kukatika kabla ya alfajiri na
ikawa hakuweza kujitoharisha kwa
josho la tohara kwa wakati.
Hufanya hivyo kwa hoja kwamba,
asubuhi imefika kabla hajaoga josho
la hedhi au nifasi, wakati kilichowajibu kwake ni kufunga swaumu ya
siku hiyo hata kama hakuwahi kuoga
kabla ya asubuhi na aoge hata baada
ya jua kuchomoza.
Kwa hiyo wanawake Waislam
muwe makini na jambo hili, kwani
ni kinyume cha sharia kuacha kufunga kwa kuwa tu hujaoga. Ni sawa
na mke na mume waliofanya tendo
la ndoa usiku na wakalala pasina
kuoga hadi asubuhi, wawili hawa ya-

wapasa kufunga swaumu hata kama


jua limechomoza kabla hawajaoga.
Sita, katika makosa yatendwayo
na wanawake ndani ya mwezi wa
Ramadhan ni kuwakataza binti zao
kufunga swaumu pindi wanapotaka
kufanya hivyo kwa kisingizo kwamba
bado wadogo kiumri.
Ingawa swaumu ni wajibu kwao
wakifikia baleghe, lakini kuwazoeza
kufunga swaumu wakiwa na umri
mdogo ni jambo lililohimizwa katika
Uislam. Na pia wanawake wengi hawawachunguzi mabinti zao kujua
kama wamekwishaanza kuona hedhi ili wawafundishe mambo ya kujitwaharisha na kuwahimiza kufunga.
Saba, miongoni mwa makosa yatendwayo na wanawake katika
mwezi wa Ramadhan ni kuchelewa
kufungua wakati ukifika kwa kusubiri adhana ya swala ya magharibi.
Misikiti mingi huadhini muda
wa swala ya magharibi ukifika,
wakati muda wa kufuturu huingia
kwa dakika kadhaa kabla ya muda
wa swala ya maghribi, hivyo kukosa
fadhila ya kuwahi kufungua, ambayo
ni sunnah miongoni mwa sunnah za
swaumu zilizohimizwa.
Kwa hiyo wanawake wajichunge
na muda wa kufuturu, ambao ni pale
jua linapozama likawa halionekani
ingawa wekundu wake bado uko angani. Maghribi huingia dakika kadhaa baadaye wakati pingapinga la
usiku linapokaribia.
Nane, wanawake wengi hujishughulisha sana na maandalizi ya
sikukuu (Idd-ul-Fitr) katika kumi la
mwisho la Ramadhan badala ya kujipinda katika ibada kama alivyokuwa akifanya Mtume (Rehma na
amani ziwe juu yake).
K a p o k e a h a d i t h Um m u l
Muminiyna Aisha (Allah awe radhi
nae) kwamba: Lilipoingia kumi la
mwisho (la Ramadhan) alikesha
usiku, na akiwaamsha watu wa nyumbani kwake na akijifunga kibwebwe (kwa ibada) (Bukhari, Muslim).
Lakini wanawake wa Kiislam
zama hizi likiingia kumi la mwisho
akili yote inahamia katika nguo za
sikukuu kwa ajili yake na watoto
wake badala ya kuangalia analitumiaje kumi hilo kukithirisha ibada
kumuiga Mtume (Rehma na amani
ziwe juu yake).
Tena kwa wanawake kuwa na
harakati za sikukuu huwatelezesha
hata waume zao kwa kuwatoa katika
kujihimu na ibada na kuwateza nguvu kuwataka wawape pesa za kufanya matanuzi kwa ajili ya sikukuu ya
Idi.
Kwa hiyo enyi wanawake wa Kiislam mcheni Allah, elekezeni akili
zenu na mioyo yenu katika kufanya
amali nyingi zaidi kwenye kumi la
mwisho la Ramadhan, badala ya kujishughulisha na maandalizi ya
vyakula, mavazi na kutafuta kumbi
za starehe wakati wa Idd-ul-Fitr.
Tumuombe Allah Taala atufikishe katika Ramadhan na aturuzuku
kutumia wakati wetu katika yenye
manufaa kwetu.
Amiin.

25 Shaaban 1436, Ijumaa Juni 12 - 18, 2015

makala

www.islamicftz.org

makala maalum

TOLEO MAALUMU LA RAMADHAN

15

IDDI JENGO

Nafasi ya swaumu ya Ramadhan


katika kuleta mabadiliko
inatoka Uk...11
sawa na masaa 2 na nusu.
Kwa hiyo masaa 7 ya ibada
masaa 2 na nusu yanabaki masaa
4 na nusu. Hapo kuna kusoma
Quran, swala ya tarawehe na witri
yake na kisimamo cha usiku. Unaweza kuipa swala ya tarawehe
masaa 2, na kisimamo cha usiku
nusu saa na saa 2 lililobaki likawa
la kusoma Quran na dhikr.
Utaona kwamba, kama
utashikamana na mgawanyo huu
wa wakati (muda) ndani ya mwezi
wa Ramadhan unaweza kupata faida kubwa kwa kuutumia muda
wako vizuri, jambo ambalo kama
halikufanyika basi Ramadhan inakuwa kama alivyowahi kusema
Profesa Ali Mazrui, A plan gone
wrong, yaani mpango uliokwenda
mrama.
3. Weka malengo yenye
kueleweka (set clear goals)
Baada ya kujua ni masaa mangapi ya ibada utakayokuwa nayo
kwa siku nzima, hatua ifuatayo ni
kuweka malengo. Malengo yenye
manufaa ni yale yatakayokidhi hitajio liitwalo S.M.A.R.T yaani
yenye sifa za umakhsusi (Specific),
yenye kupimika (measurable),
yenye kutekelezeka (Attainable),
yanayozingatia uhalisia (Realistic)
na yanayozingatia muda maalum
(Time-bound).
Kwa mfano, kama mkakati
wako Ramadhan hii ni kusoma
Quran, weka lengo makhsusi kusoma kwa mazingatio kwa kuelewa
maana (Tafsiri), kisha weka sura
au juzuu unazotaka au unayotaka
kujua tafsiri yake ili uingie katika
wale wasomao Quran kwa mazingatio.
Lengo lako la S.M.A.R.T
litakuwa Nataka kusoma Tafsiri
ya Quran Juzuu Amma yote Ramadhan hii. Kwa hiyo ili usome
tafsiri ya juzuu Amma yote katika
siku 29 ambazo Ramadhan inazo
(kama si mwezi mkubwa), kila siku
itakubidi usome angalau sura 1 in-

gawa sura fupi fupi unaweza kusoma zaidi ya moja.


4. Tenga muda kwa kila
lengo

Kwa kuwa tayari umeshakuwa


na malengo maalum ya Ramadhan na unajua masaa mangapi ya
ibada unayo kila siku, hatua
ifuatayo ni kutenga muda maalum
kila siku kufikia kila lengo makhsusi.
Kwa mfano, kama unalengo la
kusoma Quran na dhikr kila siku
kwa masaa 2, tenga muda wa kusoma kwa mazingatio tafsiri ya
Quran angalau nusu saa, kusoma
bila tafsiri saa 1 na nusu saa iliyobaki kwa ajili ya dhikr.
Weka muda mahususi wa kusoma Quran (fanya baada ya swala
ya alasiri au baada ya swala ya alfajiri). Panga muda wa kuwa na
halaqa (kikao cha elimu) cha familia baada ya tarawehe au baada
ya sala ya alasiri. Kwa namna hii
kila lengo liwekee muda maalum
na ulitekeleze muda wake ukifika
bila kukosa ila kwa udhuru.
5. Tumia masaa ya kabla ya
aflajiri vizuri
Masaa ya baada ya usiku wa
manane na kabla ya alfajiri yajulikanayo kama Al As-haau ni
masaa bora kabisa ya kufanya ibada. Allah Taala anasema; Walikuwa wakilala kidogo sana usiku,
na nyakati za Al as-haari wao wakileta maghfira (51:17-18).
Hiki ndicho kipindi cha kisimamo cha usiku, dhikr na hata kusoma Quran kwa mazingatio, kwani
Allah anasema: Ewe uliyejifunika
(Muhammad). Simama usiku
isipokuwa (lala kidogo). Nusu yake
au punguza kidogo. Au zidisha juu
yake na usome Quran kwa taratibu. Hakika sisi tutateremsha kwako kauli nzito. Hakika kuinuka
usiku kuna utulivu zaidi na bora
kwa kuelewa maneno (ya Allah)
(73:1-6).
Kwa hiyo huu ni wakati muafa-

ka kufanya Qiyamul-Layli, dhikr


mbali mbali na dua, kwani wakati
huu mtu anakuwa hajachoka, anakuwa na utulivu kwa kutokushughulishwa na kazi na majukumu
ya familia. Ni vema basi tutumie
sana wakati huu wenye baraka.
6. Panga halaqa (vikao vya
elimu) vya familia

Mwezi wa Ramadhan ni wakati


muwafaka wa kukuza mafungamano katika familia na kukua
pamoja kiimani. Nafsi zinaathirika
zaidi kwa malezi ya kiroho na njia
mojawapo ya kuzipa nafsi malezi
ya kiroho ni kuwa na halaqa za wanafamilia wote.
Katika halaqa hizi, mnaweza
kusoma sura au aya moja ya Quran
au hadith moja na tafsiri yake.
Mnaweza pia kusikiliza kanda
mbali mbali za mawaidha.
Mnaweza pia kuchagua kitabu fulani cha kusoma kwa pamoja kisha
mkajadili faida mliyoipata kutokana na mada ya siku hiyo, huku kila
mmoja akipewa nafasi ya kusema
yaliyo moyoni mwake.
7. Epuka kufanya jukumu
zaidi ya moja wakati mmoja
(Multi-tasking)
Hiki ni kipengele muhimu cha
matumizi ya muda siyo tu katika
mwezi wa Ramadhan bali hata nje
ya mwezi wa Ramadhan. Wataalamu wa matumizi ya muda wanasema kushika kazi zaidi ya moja kwa
wakati ule ule hushusha kiwango
cha uzalishaji.
Usijaribu, kwa mfano, kusoma
Quran huku ukiangalia kipindi
cha TV au kusikiliza radio. Kwa
akina mama usijaribu kufanya
dhikr huku ukijishughulisha na
shughuli za kupika. Dhikr ni ibada,
hivyo itengewe muda wake maalum.
8. Punguza mwingiliano
mwingi na watu (Excessive
socializing)

Mwezi wa Ramadhan punguza


kujumuika sana na watu katika
mambo yasiyokuwa ibada. Punguza matumizi ya mitandao ya kijamii na ongeza kupata muda wa
faragha kutekeleza mipango yako
ya kiibada.
Kama unaona una muda wa ziada, basi ni vema uende msikitini
ukusudie itikafu ili ujitenge mbali
na ratiba za kila siku ulizozizoea
kama vile kukaa vijiweni, kwenye
magenge ya kahawa, kuangalia
mechi za michezo mbali mbali na
mambo yote ya pumbao (laghwu).
Punguza mialiko ya futari ili
uweze kupata muda wa kufuturu
na familia na kushikamana na ratiba yako ya kila siku kwa wakati.
Unaweza kupanga ratiba na
mpango mzuri wa Ramadhan lakini kama hutadhibiti mwingiliano na watu wengine utajikuta
hutekelezi hata robo ya mpango
wako huo mzuri.
9. Jiweke katika afya njema
Afya ni tunu kama alivyosema
Mtume (Rehma na amani ziwe juu
yake): Neema mbili zimefichikana kwa wengi katika watu, afya na
faragha/wakati (Bukhari). Huwezi kutimiza malengo yako katika
Ramadhan kama umekosa afya
njema.
Na tunapozungumzia afya tuna
maana ya afya ya kiwiliwili na afya
ya akili, yaani utulivu wa nafsi unaopelekea utulivu wa akili. Kama
hutopata usingizi vizuri, ukiugua,
kukosa kipato au kutokuwa katika
hali ya amani ndani ya familia huwezi kufanya ibada zako vizuri.
Kwa hiyo, moja ya maandalizi
ya Ramadhan ni kujiepusha na
yale yote yatakayokugharimu fedha nyingi kama vile kula vyakula
aina nyingi kiasi kwamba hata kile
alichokuruzuku Allah kikawa hakikutoshelezi.
Jaribu kuupa nguvu mwili kwa
kulala usingizi masaa uliyoyapanga na hili haliwezekani ila ulale
mapema. Ndiyo maana Mtume

(Rehma na amani ziwe juu yake)


akakataza kutembeleana baada ya
swala ya Isha.
Kula vizuri futari na daku kwa
kuhakikisha lishe bora inapatikana, ikiwemo kunywa maji ya kutosha au juisi. Epuka vyakula vyenye
sukari nyingi na mafuta mengi.
Amka kula daku nyakati za daku
na kunywa maji mengi baada ya
kula daku. Epuka kula daku mapema, ni kinyume na Sunnah.
Zidisha swaumu na uchaMungu
Katika namna mbaya ya kujiandaa na Ramadhan ni watu
kukithirisha maasi siku za mwisho
mwisho za mwezi wa Shaaban katika kile kiitwacho Vunja Jungu.
Haya ni mambo ya kijahili, kwani
huwezi kujiandaa kumpokea mgeni wako umpendaye na kumheshimu kwa kujipakaza kinyesi.
Imekuwa kawaida kusikia matangazo katika vyombo mbali
mbali yakiwaita watu katika maasi
haya ya Vunja Jungu na yanapita
pasina kukemewa. Katika maandalizi ya Ramadhan hii, siyo tu sisi
wenyewe tujiepusha na balaa hili la
Vunja Jungu bali tupige vita
mambo haya.
Mtume (Rehma na amani ziwe
juu yake) alisema: Mwenye kuona
Munkari (ovu) miongoni mwenu
na aliondoshe kwa mkono wake,
ikiwa hatoweza basi kwa ulimi
wake na ikiwa hatoweza basi kwa
moyo wake na huo ndio udhaifu
wa imani (Muslim).
Ndugu Muislamu, tunapoona
matangazo haya kisha tusikemee
wale wayafanyayo, huo tayari ni
udhaifu wa imani. Je, iwapo sisi
wenyewe tukashiriki kwenye hizo
vunja jungu tutakuwa nani?
Tumuombe Allah Taala atujaalie kuifikia Ramadhan tukiwa
salama na wazima wa afya na aturuzuku kuufanya mwezi wa ibada
na sio mwezi wa mazoea - Amiin.
Jengokeya5@gmail.com 0714
135 201

16

TOLEO MAALUMU LA RAMADHAN

tangazo

25 Shaaban 1436, Ijumaa Juni 12 - 18, 2015

www.islamicftz.org

25 Shaaban 1436, Ijumaa Juni 12 - 18, 2015

makala ya kimataifa

www.islamicftz.org

17

TOLEO MAALUMU LA RAMADHAN

Mimi si Muislam, lakini Ramadhan ilinibadili

ayari ni saa 9 usiku,


n i ko p e ke y a n g u
nimekaa mbele ya
meza ya jikoni kwangu. Ninakunywa uji gizani. Ramadhan yangu ndogo ilianza
kwa futari ya peke yangu, kisha
makelele ya walevi na muziki
mtaani.
Kadiri Ramadhan ilivyokaribia kumalizika mwisho wa
wiki hii, Waislam wengi duniani kote watakuwa wanatafakari jinsi mwezi huu ulivyopita. Mimi si Muislam kwa hiyo
sintokuwa nikisherehekea
sikukuu ya Idd.
Pamoja na hayo, nimekuwa
nikitafakari uzoefu wangu ndani ya mwezi huu. Na mimi
nimejifunza mambo makubwa.
Sikuwahi kufunga kabla ya
mwezi huu. Nilikua kama Mkatoliki. Hivi sasa mimi ni Mliberali na sina sababu maalum
inayonilazimisha kufunga
kama sehemu ya imani ya dini
yangu.
Kuwatazama rafiki zangu
wakifunga na huku wakifanya
kazi hata msimu ambao mchana ni mrefu kuliko usiku huku
Ulaya, kulinishangaza, kusema
kweli nilihisi kuchanganyikiwa.
Sikuelewa ni nini wanachohisi
wakifunga?
Niliona ni jambo lisiloingia
akilini mtu kuwa karibu zaidi
na Mungu wake eti kwa kukaa
bila ya kula na kunywa. Kusema kweli kukaa bila kula kungenifanya nisiwe na hamu ya
chochote, nikose nguvu na
kuhisi njaa na kiu kali tu.
Ramadhan hii nikaamua
kujaribu kufunga nijionee
mwenyewe ile hali wanayoihisi
Waislamu. Nilijisemea: pengine inawezekana hata kwa
mimi, Mkristo mpenda vyakula
kujifunza kitu kwa kujumuika
katika swaumu ya mwezi huu
muhimu wa Kiislam.
Lakini, nikajiuliza, siku thelathini? Hapana, haiwezi kuwa
hivyo, inawezekanaje? Pamoja
na hayo nilikuwa nimepania
kujaribu angalau siku tatu tu.

Ni kauli ya Charlotte Dando, Mkurugenzi Msaidizi, William Temples Foundation

Jumapili, Julai 29, 2012 ilikuwa sikukuu ya wayahudi ya


Tisha BAv, siku ambayo wayahudi wengi hufunga. Hii ikawa
siku muwafaka kwa mimi
kuanza kufunga Kiislam kwa
kuwa nilikuwa nasafiri na
rafiki yangu Myahudi kwenda
kushiriki futari kwa rafiki
Muislam jioni hiyo.
Rafiki yangu alinielezea
kwamba, katika dini ya kiyahudi, swaumu inaweza kuwa na
maana mbali mbali na malengo
mbali mbali kutegemeana na
tukio linalohitaji swaumu hiyo.
Swaumu inaweza kuwa tendo la kukumbuka mateso ya vizazi vilivyopita au unaweza
kuona kuwa vyakula vinakukosesha kupata wasaa wa utulivu
wa kiroho hivyo unaamua
kuacha kula.
Nilisikiliza kwa makini na
kujaribu kuelewa. Jioni ya siku
hiyo nilipokuwa ninangata
tende yangu kufungua swaumu
niliyofunga sikujihisi kuwa karibu na Mungu kwa sababu ya
njaa na kiu nilivyovipata.
Nilipokuwa nikifanya
maombi jioni hiyo, kitu cha
ajabu kilijitokeza. Akili yangu
yenye njaa ya kujifunza haikutarajia hisia niliyoihisi ndani
yangu, nilipata hisia ya shukran
na furaha. Nilijisikia nimebarikiwa kwa siku hiyo ya swaumu yangu ya kwanza.
Nilikaa na rafiki yangu
Muislam siku nyingine mbili,
nilijaribu kujiweka ndani ya
ratiba yake ya Ramadhan.
Kuswali kukawa mara nyingi
zaidi ya nilivyokuwa nikijua
Waislam wanaswali. Swala ilinifanya niondoe fikra zangu
kuhusu chakula.
Kila jioni, rafiki yangu
alikuwa akienda msikitini,
nilimfuata na kukaa mwisho
kabisa kimya, nikitafakari kila
nililoliona. Kila dada zangu
Waislam walipoinama, kusujudu na kuinuka niliwaangalia
kwa mshangao.

inatoka Uk...9

Kujiziwia na yasiyorandana na funga:

unga ni moja ya ibada


bora ya kujipendekeza
kwa Allah. Allah ameileta ibada hii ya funga ili
izinyooshe nafsi na kuzizoesha
katika kupenda kheri.
Kwa maelezo haya, anatakiwa
mtu aliyefunga ajiepushe na
mambo yote yanayoweza kuiharibu funga yake na ahakikishe anafaidika na funga yake, na anaufikia ucha Mungu uliotajwa na Allah kwenye neno lake lifuatalo.
Allah anasema katika Quran:
Enyi mlioamini! Mmefaradhishiwa funga, kama walivyofaradhishiwa waliokuwa kabla
yenu ili mpate kumcha Allah.
Funga si kuacha kula na kunywa

Huko nyuma,
madakatari
walikuwa
wapingaji
wakubwa
wa kusaidia
wagonjwa
kujiua.
Jumuiya ya
madaktari
nchini
Marekani
iliwahi
kutoa tamko:
Daktari
kumsaidia
mgonjwa
kujiua ni
kinyume na
wajibu wake,
ambao ni
kumsaidia
mgonjwa
kupona.

Nilisikiliza kisomo cha


Quran kwa kiarabu ingawa
sikuelewa kitu, lakini ajabu ilikuwa na mvuto wa kipekee.
Jambo moja nilipendalo kuhusu
Uislam ni kwamba, hii ni dini iliyojikita zaidi katika kuswali.
Nyakati za Ramadhan, dini
hii hupata nguvu zaidi, kwani
Waislam hutumia muda zaidi
msikitini, wakiungana pamoja
kama jamii kwa ajili ya swala za
usiku. Mjumuiko huu wa kidugu katika Ramadhan ni kitu
kilichoniathiri zaidi.
Kushiriki katika futari na
rafiki yangu pamoja na familia
yake kulinifanya nijihisi sehemu
ya jamii hii, achilia mbali
matembezi tuliyoyafanya kwa
ndugu zao na kufuturu pamoja
na Waislam wengine msikitini
siku yangu ya mwisho ya kufunga.
Sababu moja iliyonifanya
nichague kufunga ndani ya
mwezi wa Ramadhan ni
kwamba miongoni mwa dini
zote duniani, pengine Uislam
ndiyo dini isiyoeleweka zaidi na
wengi, na ambayo Waislam
wengi huitekeleza kinyume na
maandiko matukufu.
Majira ya kipupwe yaliyopita
nilihudhuria mdahalo kuhusu

mila na desturi mbali mbali,


ambao haraka uligeuka kuwa
jukwaa la mashambulizi dhidi
ya Uislam. Msemaji wa kwanza
alisimulia kuhusu watoto wa
shule kunyimwa maji ya kunywa
siku za joto kali kipindi cha Ramadhan.
Kwa mawazo yangu, mzungumzaji hakujua shauku
waipatayo watoto kuhusu mwezi wa Ramadhan, kiasi kwamba
hawahitaji mtu kuwazuia kula
na kunywa, bali hufanya kwa hiari yao.
Hakujua watoto hao ingawa
ni wa umri mdogo, walikuwa
wakijifunza kufunga swaumu
kidogokidogo; siku moja wanafunga, siku moja wanaacha.
Lakini ni wazi walitamani kuwa
wakubwa ili na wao wafunge
mwezi mzima.
Bila shaka walitambua kufunga swaumu ni kushiriki katika jambo kubwa na takatifu,
jambo ambalo linaunganisha
familia na jamii kwa ujumla.
Mimi mwenyewe nilijisikia kuunganishwa na Waislam nilipofunga Ramadhan ile.
Niseme wazi kwamba, nilikaribishwa kwa furaha na bashasha, hususan walipogundua
kwamba mimi si Muislam lakini
ninashiriki kufunga swaumu
kama wao. Ingawa nilifunga
siku tatu tu, uzoefu na hisia niliyoipata ilibaki nami na hadi sasa
bado naitafakari.
Kuna mengi ya kujifunza
kutokana na swaumu ya Ramadhan, siyo tu kuhusu jamii ya
Waislam inavyodhihirisha udugu na upendo, bali kuinua
uelewa juu ya dini. Nilijifunza
mengi hata kuhusu mimi
mwenyewe.
Sikujua kwamba nina nguvu
kubwa ya dhamiri (will power)
ya kuacha kula hata baada ya
kuanza kusikia njaa mpaka
ufikie muda wa kufuturu. Nikiwa nimepata funzo hili kwamba
naweza kuidhibiti nafsi yangu,
mtazamo wangu kuhusu vyaku-

la sasa umeboreka.
Pengine somo kubwa zaidi
nililoondoka nalo kutoka
kwenye swaumu ni kujenga uwezo wangu wa kuidhibiti nafsi
na kujenga huruma kuhusu
wale ambao hawana hiari ya
kutokula kwa sababu hawana
kitu cha kula.
Kutokana na fikra tulizobadilishana na Waislam na
uelewa wangu mdogo baada ya
kufunga siku tatu tu, nilitafakari
na kujua kwa nini Ramadhan ni
mwezi muhimu na wa kipekee.
Ramadhani ni mwezi wa
mageuzi makubwa ya nafsi kwa
sababu ya juhudi za kuendelea
azifanyazo mfungaji na hisia za
lengo maalum la swaumu.
Twaweza kujaribu kila uchao
kuelezea imani zetu kadiri tuwezavyo kupitia matendo yetu.
Lakini sisi ni binadamu;
tunaweza kushindwa na kwa
hakika hufeli. Kilicho cha kushangaza kuhusu Ramadhan, kati
ya miezi 12, nadhani ni mwezi
ambao ndani yake mtu hupata
fursa ya kujitafakari, kuangalia
juhudi za nyuma, mwaka mzima na kuangalia afanye nini
mwaka ujao.
Pengine kule kufunga swaumu, kujumuika kama jamii, kubadilishana uzoefu na udhibiti
wa nafsi upatikanao ndani ya
Ramadhan hutoa msaada unaohitajika sana kumbadili mtu.
Najua kwamba nitauhitaji
msaada huu siku za mbeleni.
Kwa hiyo hii imekuwa mara
yangu ya kwanza kufunga swaumu ya Ramadhan na nataraji
haitokuwa mara ya mwisho
kwangu kujikuta nikifunga
swaumu ya Ramadhan.
Wako wasiokuwa Waislam
wanaodiriki kufunga japo kwa
nia ya kujifunza kama huyu, je
ni Waislam wangapi siku hizi
wanaacha kufunga?
Mfasiri wa Makala haya
Sheikh Mohammed Issa, amefuatilia iwapo Charllote alisilimu bila mafanikio.

Inahimizwa kwa mtu anayefunga kuzingatia adabu zifuatazo


na vinavyofunguza peke yake, bali
funga ni kuacha kula, kunywa na
vyote vilivyokatazwa na Allah.
Imepokewa na Abi Hureyrah
kuwa: Mtume (Rehma na amani
ya Allah iwe juu yake) alisema:
Funga (halisi) si kujizuwia na
kula na kunywa, isipokuwa funga
(halisi) ni kujizuwia na mambo ya
kipuuzi na lugha chafu. Na endapo mtu atakutusi au akakudharau, sema: (kwa ulimi au kwa
moyo, au kwa vyote) Kwa hakika
Mimi nimefunga, Kwa hakika
Mimi nimefunga [Imepokewa
na Ibn Khuzaimah, Ibn Hibban,
na Hakim akasema ni sahihi kwa
sharti la Muslim].
Na imepokewa na wapokezi
wengi kutoka kwa Abi Hurairah

isipokuwa -Imam Muslim- kuwa:


Mtume (Rehma na amani ya Allah iwe juu yake) alisema: Mtu
asiyeacha kusema uongo, na kutenda vitendo vya hovyo, Allah
hana haja ya yeye kuacha chakula
chake na kinywaji chake (yaanihaikubali funga yake).
Kupiga mswaki:
Inapendekezwa kupigwa
mswaki wakati wa funga, na
hakuna tofauti kati ya kupiga
mswaki wakati wa usiku na
wakati wa mchana. Mtume
mwenyewe, (Rehma na amani ya
Allah iwe juu yake), alikuwa anapiga mswaki na huku akiwa amefunga.

Ukarimu na kuisoma

Quran

Ukarimu na kuisoma Quran,


ni mambo yanayopendekezwa
kufanyika kila wakati, isipokuwa
mawili hayo katika mwezi wa Ramadhan yamesisitizwa zaidi.
Imam Bukhari anapokea
kutoka kwa Ibn Abbas (Allah amridhie yeye na baba yake), akisema: Mtume alikuwa mkarimu
zaidi ya watu wote, na alikuwa
anakuwa mkarimu mara dufu
katika mwezi wa Ramadhan,
wakati alipokuwa anakutana na
Jibril, na alikuwa anakutana na
Jibril ndani ya kila usiku wa Ramadhan akidurusu naye Quran
na alikuwa na kasi katika mambo
ya kheri kuliko upepo unaovuma
kwa kasi.

Kufanya bidii katika


ibada kwenye kumi
la mwisho la Ramadhan

Imepokewa na Imam Bukhari


na Muslim kutoka kwa Bi, Aisha
(Allah amridhie) kuwa: Mtume
(Rehma na amani ya Allah iwe
juu yake), alikuwa linapoingia
kumi la mwisho (la Ramadhan)
alikuwa anakesha, na kuwaamsha wake zake, na alikuwa
anaongeza juhudi (yaani anajikita zaidi) katika ibada.
Na katika riwaya ya Muslim:
Alikuwa anajipinda zaidi (katika
ibada) katika kumi la mwisho kuliko anavyojipinda katika siku nyingine.

TOLEO MAALUMU LA RAMADHAN

18

vipindi Radio imaan


Kipindi
S/No:

Muda

25 Shaaban 1436, Ijumaa Juni 12 - 18, 2015

vipindi /ushairi

www.islamicftz.org

vipindi TV imaan
Muda
TIME
DURATION

TIME
S/No:

Kipindi
DURATION
PROGRAM

PROGR
S

1
11:00 .11:05
.11:05
05 min

05 min
Adhana
ya Alfajir
Adhana
ya Alfajir
1
06:00
106:20

06:00
06:20
20MIN

2
11:05 .11:30
.11:30
25 min

Dua 06:20 206:35


Dua25 min 2
30 min
Nyiradi
za asubuhi
Nyiradi
za asubuhi
3
06:35
306:45

06:20
06:35
15MIN

07:00 707:20

07:00
07:20
20MIN

Sheikh:
DIRA20MIN
YA HABARIDIRA YA HABARI
REC

07:20 807:30

07:20
07:30
10MIN

10MIN
CHACHU YA DIRA
CHACHU
YA DIRA
LIVE

07:30 908:00

07:30
08:00
30MIN

30MIN
SUHUFA ZA MAGA
SUHUFA
ZA MAGAZETI
LIVE

10

10
08:00 10:00

08:00 10:00
2HR

MADA2HR
NYETI

11

10:00 11
11:00

10:00 1HR
11:00

1HR BARABARANI
USALAMA BARAB
USALAMA
MAR

13

11:04 13
11:35

11:04
11:35
31MIN

31MIN
MAWAIDHA

14
11:35
12:00
05 min
Adhana
ya Dhuhr
Adhana
ya 14
Dhuhr

11:35 25MIN
12:00

25MIN
BULUGHULMARA
BULUGHULMARAM
REC
Sheikh:
Sheikh:

3
11:30 .12:00
.12:00
30 min

4
12:00 .01:00
.01:00
1 hr

1 hr
Nasaha za asubhi
Nasaha
za asubhi

06:35
06:45
10MIN

5
01:00 .01:20
.01:20
20 min

Dira20
yamin
habari/Dira ya habari/

6
01:20
.04:00
.04:00
3 hrs
40 min

3 hrs 40
Majlis ya tv Imaan
Majlis
ya min
tv Imaan

7
04:00 .05:00
.05:00
1 hr

hr Qur aan
Tafsir ya Qur aan
Tafsir1ya

8
05:00 .05:05
.05:05
05 min

05 min wa dira
Mukhtasar wa dira
Mukhtasar

9
05:05 .06:00
.06:00
55 min

55 min
Salaam za asubuhi
Salaam
za asubuhi

10
06:00 .06:45
.06:45
45 min

45 min wa Ulimwengu
wa Kiislaam
Ulimwengu
Kiislaam

1106:50 06:45 .
.
05 06:50
min

30 min 18
Tarjuma

13
07:20 .08:00
.08:00
40 min

20
40 min
Mimbar
zetu

18
12:14 12:24
Tarjuma

20
12:26
12:56
Mimbar
zetu

12:26 30
12:56
MIN

14
08:00 .09:00
.09:00
1 hr

1 hr 22
Mawaidha

13:00 22
13:13
Mawaidha

13:00
13:13
13MIN

15
09:00 .09:20
.09:20
20 min

14:45
25 Dira 14:00
25
14:45 14:00 45MIN
ya habari/matangazo
Dira20
yamin
habari/matangazo

16
09:45

25 min 26
Tauhiid

12
06:50 .07:20
.07:20
30 min

12:14 10MIN
12:24

Sheikh: ZA ASUB
Sheikh:
20MIN
NYIRADI
NYIRADI
ZA ASUBUHI
REC
Sheikh:
Sheikh:
15MIN
NASAHA ZA ASUB
NASAHA
ZA ASUBUHI
REC

Sheikh:i.T
waha
Sheikh:i.T
waha
10MIN
KILMA
KIZURI
KILMA
KIZURI
REC
Sheikh:

Mselem A
Sheikh Mselem Sheikh
Ally

MADA NYETI LIVE


MAWAIDHA

REC

Ust:Ally Ajran Ust:Ally Ajran

10MIN
ENGLISH
ENGLISH
LECTURE
REC
Sheikh: LECTUR
Sheikh:

30 MIN
NAFASI YA MWAN
NAFASI
YA MWANAMKE
REC

13MIN
LECTUR
ENGLISH
LECTURE
REC
Sheikh Nassor
B
Sheikh
NassorENGLISH
Bachu

45MIN
KUTOKA SHULEN
KUTOKA
SHULENI
REC

14:46 26
14:50
Tauhiid

14:46 4MIN
14:50

4MIN Mohammed
PROMO
PROMO
REC
Sheikh
Mohamm
Sheikh
Nduli

17
09:45 .09:50
.09:50
05 min

05 min
Adhana
ya al-asr
14:50
27
15:50
Adhana
ya 27
al-asr

14:50 115:50
HR

1 HR
Sheikh:NA TIBA
UISLAM
NA TIBAUISLAM
MAR
Sheikh:

18
09:50 .10:20
.10:20
30 min

30 min 29
Tarjuma

15:52
16:22
30MIN

Sheikh:
Sheikh:
30MIN
BUSATI
LA KISWA
BUSATI
LA KISWAHILI
REC

19
10:20 .11:00
.11:00
40 min

40 min 31
Kalima

16:24
16:55
30MIN

Sheikh
30MIN
QUR'AN

20
11:00 .11:20
.11:20
20 min

Dira20
yamin
habari/
TIME
S/No:
S/No: Dira ya habari/

09:20 25
09:45
min

21
11:20 .12:00
.12:00
40 min

Tarjuma
15:52 29
16:22
Kalima
16:24 31
16:55

40 min
Nasaha za washairi
Nasaha
za washairi

TIME
DURATION
Muda

Sheikh
QUR'AN

DURATION
PROGRAM
Kipindi

REC

PROGR
STA

35

17:11 35
17:33

17:11
17:33
30MIN

Ka
30MIN
SIMULIZI
ZA BIBISIMULIZI
ZAINAB ZA BIBI
REC

37

17:45 37
18:00

17:45
18:00
15MIN

15MIN
ANNASHEED

38

18:00 38
18:20

18:00
18:20
20MIN

20MIN
NYIRADI ZA JION
NYIRADI
ZA JION
REC

39

18:20 39
18:40

18:20
18:40
20MIN

DUA20MIN
+ ADHANADUA + ADHANA
REC

40

18:40 40
18:57

18:40
18:57
17MIN

17MIN
USIYO
Y
FAHAMU
USIYO FAHAMU
YAJUA
REC

42

19:00 42
19:30

19:00
19:30
30MIN

30MIN
MAWAIDHA

19:31 ya
20:04
40 min 44
Mafundisho
Qur aan
Mafundisho
ya Qur
aan

19:31
20:04
33MIN

33MIN
MAWAIDHA
MAWAIDHA
REC
Ust:Othmaan
Th
Ust:Othmaan Thabit

30
03:20 .04:20
.04:20
1 hr

31
04:20 .05:00
.05:00
40 min

32
05:00 .06:00
.06:00
1 hr

1 hr
Familia

33
06:00 .11:00
.11:00
5 hrs

22
12:00 .12:30
.12:30
30 min

30 minmasaaAdhkarul masaa
Adhkarul

23
12:30 .12:35
.12:35
05 min

05 min
Adhana ya Magharib
Adhana
ya Magharib

24
12:35 .01:00
.01:00
25 min

min
Qur25
aan
TukufuQur aan Tukufu

25
01:00 .01:45
.01:45
45 min

45 min
Nasaha marudio
Nasaha
marudio

26
01:45 .01:50
.01:50
05 min

05 min
Adhana ya Ishaa
Adhana
ya Ishaa

27
01:50 .02:20
.02:20
30 min

min
Qur30
aan
TukufuQur aan Tukufu

28
02:20 .03:00
.03:00
40 min

29
03:00 .03:20
.03:20
20 min

44

Sheikh Mishari Sheikh Mishari


Sheikh:

ANNASHEED REC
Sheikh:

Sheikh:

Sheikh:

Sheikh

Sheikh

Sheikh:
Sheikh:

22MIN
ALINGANIWE

Sheikh:

MAWAIDHA
Sheikh:

47 Dira ya
20:10
47
20:32
habari/
Dira20
yamin
habari/

20:10
20:32
22MIN

ALINGANIWEREC

50 Kipindi
20:40
-50
21:10
1 hr
maalum
Kipindi
maalum

20:40 30
- 21:10
MIN

30 MIN
SUHUFA ZA MAGA
SUHUFA
ZA MAGAZETI
MAR

40 min 51
Mawaidha

21:10 -51
23:10
Mawaidha

21:10 -2HRS
23:10

2HRS
MADA
NYETI
Sheikh:

52

23:15 -52
23:30
Familia

23:15 15
- 23:30
MIN

15 MIN
KABLA
HUJALALA
KABLA
HUJALALA
REC
Baba Kiruwasha
Baba
Kiruwasha

54aan
54 aan
06:00
5 wa
hrs Qur
Usiku23:30
wa Qur
Usiku

23:306:30HRS
06:00

6:30HRS
USIKU
WA QURAN
USIKU
WA QURAN
LIVE
Sheikh:
Sheikh:

MADA
NYETI MAR
Sheikh:

Mashairi ya Ramadhani

Karibu mwezi wa afu


Ramadhani mwenye shani, ewe shahari tukufu,
Ramadhani mwako ndani, mumejaa matukufu,
Ramadhani kwa kifani, sijaona wako kufu,
KARIBU MWEZI WAAFU, MTUKUFU RAMADHANI.
Ramadhani si Shabani, waongoza kwenye safu,
Ramadhani waiwini, arba mitakatifu,
Ramadhani namba wani, kwa hilo sina hawafu,
KARIBU MWEZI WAAFU, MTUKUFU RAMADHANI.
Ramadhani duniani, u johari nakashifu,
Ramadhani kwa thamani, wazidi vito nadhifu,
Ramadhani kithamani, vyote havifui dafu,
KARIBU MWEZI WAAFU, MTUKUFU RAMADHANI.
Ramadhani twatamani, yako yote matukufu,
Ramadhani ni Manani, alokupa utukufu,
Ramadhani bora mweni, twakungojea kwa afu,
KARIBU MWEZI WAAFU, MTUKUFU RAMADHANI.
Ramadhani duniani, kheri zako zasadifu,
Ramadhani dhunubuni, watuauni rishafu,
Ramadhani na RAYANI, u wazi kwa watiifu,

REC

Utenzi wa kukaribisha Ramadhani

KARIBU MWEZI WAAFU, MTUKUFU RAMADHANI.


Ramadhani zi hewani, rehema zake Latwifu,
Ramadhani u wanjani, msamaha wa Raufu,
Ramadhanitu huruni, na moto wa wakosefu,
KARIBU MWEZI WAAFU, MTUKUFU RAMADHANI.
Ramadhani u mwandani, wa wema na watukufu,
Ramadhani wahisini, memayo na matukufu,
Ramadhani hayakhini, hayo ila mpotofu,
KARIBU MWEZI WAAFU, MTUKUFU RAMADHANI.
Ramadhani ni mizani, ipimayo kwa insafu,
Ramadhani maradhini, tumepewa tahafifu,
Ramadhani safarini, Allah hajatukalifu,
KARIBU MWEZI WAAFU, MTUKUFU RAMADHANI.
Ramadhani u njiani, na kheri zako sufufu,
Ramadhani twatamani, ungekuwa maradufu,
Ramadhani tu foleni, twakungoja safusafu,
KARIBU MWEZI WAAFU, MTUKUFU RAMADHANI.
ABUU NYAMKOMOGI - MWANZA

1. Kwa moyo uso inadi,Nawaletea zawadi.


Itokayo kwa wahidi, Ilahi mola jalia.
2. Zawadi hasa yakini,Izidishao imani.
Kurudi kwa rahmani. Kufuata ya nabia.
3. Zawadi yenye amani,Ipendezao moyoni.
Zawadi ni ramadhani,Wazi nawatangazia.
4. Ni mwezi usio shaka,Ni mwezi wenye
baraka.
Ndio hunu ushafika,Waja umetufikia.
5. Tumshukuru illahi,Kutujalia uhai.
Kufikia sahihi,Tena umetufikia.

6. Wangapi leo nanena,Walo usubiri


sana.
Lakini mola rabana,Rabbi hakuwajalia.
7. Hakujalia kuona,Washarudi kwake
sana.
Kwenye njia ile pana,Sote tutaipatia.
8. Ndio kwa yake hiari,Illahi mola kahari.
Kwa mwezi hunu wa heri,Sisi tumejionea.
9. Lazima tuone raha,Raha iso ikiraha.
Raha ilo na furaha,Sisi umetufikia.
10. Ndio natowa wasia,Upate kuwafikia.
Kwa munaonitegea,Mupate kuzingatia.

25 Shaaban 1436, Ijumaa Juni 12 - 18, 2015

watoto / tangazo

www.islamicftz.org

19

TOLEO MAALUMU LA RAMADHAN

WATOTO NA RAMADHAN
NAHIDA ESMAIL

MAMBO YA KUZINGATIA RAMADHAN

Ramadhan
ndio hii!

unaelekea mwishoni mwa


mwezi wa Shaabani na kuukaribia mwezi mtukufu wa Ramadhan! Uko tayari kwa Ramadhan mwaka huu? Kumbuka huu ni mwezi wa ibada, Quran na usiku wa cheo
(Laylatul Qadr. Hivyo basi tujiandae.
Weka nia ya kuifanya Ramadhan hii kuwa bora kuliko ya mwaka jana. Mtume
(Rehma na amani ziwe juu yake) amesema: Malipo ya matendo yanategemea nia
na kila mtu atalipwa kutokana na nia yake (Bukhari).
Angalia hapa chini mambo ya kuzingatia katika maandalizi ya Ramadhan:
Nunua tende
Andaa nguo za Idd mapema
Ongeza kumuomba Allah msamaha (Sema: Astaghfirullah)
Andika dua zako
Safisha kabati lako, kwa kugawa kwa wanaohitaji vitu ambavyo wewe huvihitaji
Gawa vitu vyako vya kuchezea ambavyo unadhani ni ziada na huvihitaji kwa watoto wenzako
Pia zingatia haya:
Weka nia ya kufunga
Kula daku
Dumu katika funga
Swali swala za faradhi zote mara tano kwa siku
Soma Quran
Omba dua
Kuwa mwema kwa watu
Swali tarawehe
Nawe unasemaje!?

Fikiria kuhusu mambo ambayo unaenda kuyafanya Ramadhan hii. Jibu maswali yafuatayo:
1. Surah ninazotaka kujifunza kusoma na maana yake ni

...........................................................................................................
2. Nataka kutoa sadaka

...........................................................................................................
3. Nitaifanya Ramadhan hii kuwa mwezi bora kwa sababu

...........................................................................................................
4. Tia rangi picha ifuatayo...........................................................................

JIANDAE NA RAMADHAN

ZAHRA EBRAHIM

metufikia! Imetufikia! Imetufikia!


Hatimaye Ramadhan imefika !
Mwezi wa baraka, fursa nzuri ya kuweka
uzito mizani yetu kwa matendo mazuri na
kujisafisha kimwili na kiroho.
Vipi utatumia mwezi mtukufu wa Ramadhan
kupata faida kubwa iwezekanavyo?
Bila shaka, kwa kupanga na kujiandaa sisi
wenyewe katika maendeleo. Kama tunavyojua,
Ukishindwa kupanga, unapanga kushindwa.
Haya ni mambo machache ya kukusaidia kuwa
tayari kwa Ramadhan;
1.Soma na kusanya taarifa kuhusu Ramadhan.
Hii itakufanya uhamasike na kujua zaidi ibada
mbalimbali, sheria zake na umuhimu wake.
2.Weka orodha za dua zote utakazo omba ili
usiache hata moja. Muda mzuri wa kuomba dua
ni kabla ya kufuturu, usiku wa siku za mwisho
mwisho za Ramadhan na muda wa Tahajjud.
3.Kamilisha manunuzi yako ya Ramadhan,
sikukuu ya Idd na zawadi kabla ya Ramadhan
kuanza. Hii itakuepusha kupoteza muda katika
kufanya manunuzi na kukufanya uwe makini na
Ramadhani.
4.Epuka vyakula vya mafuta mengi na kula
sana wakati wa kufuturu, itakupelekea kuwa mvivu.
5. Panga orodha ya vyakula vyenye afya kwa
ajili ya kula mwezi wa Ramadhan. Kumbuka

kuongeza matunda na mboga mboga ambavyo


vitakufanya uwe na nguvu muda wote wa Ramadhan.
6.Panga ratiba nzuri na inayotekelezeka. Hiyo
itakusaidia kupumzika vizuri, kufanya kazi zako
za kila siku (kazi za shule, kusaidia wazazi) na kutumia muda wako kwenye ibada na dhikir (kumkumbuka Mungu).
7.Epuka kulala siku nzima, itakufanya ukose
nguvu, ujisikie kuchoka na mwenye usingizi.
8.Kunywa maji mengi ili mwili uwe na maji ya
kutosha muda wote.
Anza kujiandaa ili uwe na Ramadhan yenye
baraka na mafanikio.

Zoezi
1.Kuna miezi mingapi katika kalenda ya Kiislam?

..................................................................
2.Ni upi mwezi wa tisa wa kalenda ya Kiislam?

..................................................................
3.Taja matendo matatu ya kiibada unayoyafanya.

..................................................................
Chora mti wa mtende na andika faida tatu za
kula tende

Mwanza

105.6 Mhz

Kigoma

Arusha

104.5 Mhz

Tabora
101.6 Mhz
92.5 Mhz

90.8 Mhz

Dodoma

104.5 Mhz

Moro

102 Mhz

104.5 Mhz
Dsm

Masafa ya Imaan FM
1
2
3
4
5
6

Daresalaam
Morogoro
Arusha
Mwanza
Kigoma
Tabora

104.5 Mhz
96.3 Mhz
90.8 Mhz
105.6 Mhz
92.5 Mhz
101.6 Mhz

7
8
9
10
11
12

Mbeya
Dodoma
Ruvuma
Mtwara
Zanzibar
Pemba

90.3 Mhz
102 Mhz
94.2 Mhz
90.9 Mhz
104.5 Mhz
104.5 Mhz

Mbeya

104.5 Mhz

104.5 Mhz

104.5 Mhz

Ruvuma
Mtwara
94.2 Mhz

90.9 Mhz

20

25 Shaaban 1436, Ijumaa Juni 12 - 18, 2015

TOLEO MAALUMU LA RAMADHAN

www.islamicftz.org
Mimi
si
Muislam,
lakini
Ramadhan
ilinibadili

Uk 17
25 Shaaban 1436, IJUMAA Juni 12 - 18, 2015

NA MWANDISHI WETU

ongamano la Ramadhan (Ramadhan Conference) ni mkutano maalum wa wanataaluma na wanazuoni


wa Kiislam ambalo
linaandaliwa kabla ya
mwezi mtukufu wa Ramadhan likiwa na dhamira
ya kuwakutanisha pamoja wataalamu hao ili kubadilishana mawazo juu
ya mwezi mtukufu wa Ramadhan.
Ni kongamano la siku moja
ambalo ndani yake masheikh na
wataalamu wa Kiislam huwasilisha mada mbalimbali zinazohusiana na mwezi wa Ramadhan,
kisha washiriki kupata fursa ya
kubadilishana mawazo juu ya
mada husika.
Akizungumza na gazeti Imaan, Mwenyekiti wa Kalamu
Foundation ambayo ndio waratibu wa kongamano hilo, wakishirikiana na jumuiya ya wanataaluma wa Kiislam Tanzania
(TAMPRO), Mohammed Kamilagwa, alisema wazo la kuanzishwa kwa kongamano hilo
limekuja kufuatia upotoshaji wa
watu kuhusu makaribisho ya
mwezi wa Ramadhan.
Alisema, hapo awali kulikuwa
na changamoto ya watu kudhani
kuwa, mwezi mtukufu wa Ramadhan unakaribishwa kwa muziki, ngonjera na maasi mengine
ambayo wameyapa jina la Vunja
Jungu. Hivyo waliona kuna haja
ya kuingilia kati na kusema kweli
juu ya mapokezi ya mwezi huo
mtukufu.
Sisi kama wataalam wa Kiislam tuliona kuna tatizo kuhusu
mapokezi ya mwezi mtukufu wa
Ramadhan. Kila mtu alikuwa
anapokea kwa mtindo wake,
wengine wakicheza muziki, tukaona tuingilie kati alisema Kamilagwa.
Aliongeza kusema kuwa, katika kutoa ufafanuzi juu ya
mapokezi mazuri ya mwezi huo,
ndipo wakaja na wazo la kuanzisha Kongamano la Ramadhan
linalokutanisha wataalam ku-

jadili mada mbalimbali juu ya


mwezi huo.
Akizungumzia kuhusu Waislam wa ngazi ya chini, Kamilagwa alisema, kupitia kongamano hilo ambalo huwa linabeba kauli mbiu maalum kila
mwaka, wanahakikisha kuwa
mafundisho yanayowasilishwa
yanasimamiwa na kufikishwa
katika ngazi ya jamii.
Alisema, mara kadhaa wamekuwa wakitumia mada zinazowasilishwa hapo kusaidia jamii
kwa kutekeleza kauli mbiu kwa
vitendo, ambapo wanatumia rasilimali walizonazo kusaidia baadhi ya changamoto zilizopo katika jamii.
Akitaja baadhi ya changamoto ambazo wamekuwa wakizishughulikia, alisema kuwa ni
pamoja na ujenzi wa madrasa na
ujenzi wa nyumba za walimu,
ambapo mpaka hivi sasa tayari
wamefanikiwa kujenga madrasa
na nyumba za walimu zaidi ya
nane katika mikoa ya Dar es salaam, Pwani na Lindi.
Kwa mwaka jana tulikuwa
na kauli mbiu ya Vijana wetu,
hazina yetu na kupitia kauli
mbiu hiyo tulitembelea madrasa,
hususan huko vijijini maeneo ya
Mkuranga, ambako tumekuta
hali ni mbaya kuanzia madrasa
yenyewe na nyumba za walimu
wao, na hivyo tukaamua kusaidia ujenzi, aliongeza Kamilagwa.
Akizungumzia mafanikio ya
Kongamano la Ramadhan, Kamilagwa alisema, limewaunganisha wanataaluma wa Kiislam
katika kushiriki midahalo
muhimu, ambayo ina faida
kubwa kwa Waislam.
Alisema, hapo awali ilikuwa
ni vigumu kwa wanataaluma
kubadilishana mawazo kupitia
misikitini. Hiyo ni kutokana na
majukumu yao kuwashughulisha mno kiasi ambacho akifika
msikitini anawaza kuswali tu na
kisha kuondoka.
Ameongeza kuwa, ujio wa
Kongamano la Ramadhan umejibu mahitaji ya Waislam, hususan wa maofisini na wale wasio
maofisini kukutana pamoja kubadilishana mitazamo juu ya
mafundisho ya dini ya Kiislam
kuhusiana na mwezi mtukufu

Tampro, KEF waja


na kongamano la
7 la Ramadhan
Sisi kama
wataalam
wa Kiislam
tuliona kuna
tatizo kuhusu
mapokezi
ya mwezi
mtukufu wa
Ramadhan. Kila
mtu alikuwa
anapokea
kwa mtindo
wake, wengine
wakicheza
muziki, tukaona
tuingilie kati
wa Ramadhan.
Naye, mmoja wa waratibu wa
kongamano hilo, Sudi Mussa alisema, kongamano hilo limeweza kuongeza hamasa miongoni
mwa vijana wa madrasa kufuatia
kuanzishwa kwa mashindano ya
madrasa ya kuhifadhi Quran
yaliyofanyika huko Mkuranga.
Mussa alisema, mashindano
ya madrasa yalianzia katika ngazi ya mtaa hadi wilaya, ambapo
kwa kiasi kikubwa watoto walinufaika na mashindano hayo yaliyofanyika mwaka juzi.
Mussa alisema, kongamano
la mwaka jana walikusanya Tsh.
milioni 8 ambazo walizitumia
katika ujenzi wa madrasa na kufanya utafiti juu ya hali ya maslahi ya walimu wa madrasa.

Alisema, katika utafiti huo,


walibaini mambo mengi, lakini
kubwa ilikuwa ni walimu
kutegemea zaidi wazazi ili kupata fedha ya kujikimu.
KONGAMANO LA 2015
Akizungumzia maandalizi ya
Kongamano la mwaka huu, ambalo linafanyika Juni 14, 2015,
katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere, Kamilagwa alisema, matayarisho yote yamekamilika na
wanategemea watu 900 watashiriki.
Kamilagwa alisema, kongamano la mwaka huu ni la aina
yake, ambapo mada tatu kuhusiana na Ramadhan zitawasilishwa na wanataaluma kutoka ndani na nje ya nchi.
Aliwataja jopo la watoa mada

katika kongamano hilo kuwa ni


pamoja na Prof. Omari Kasule
kutoka Fahd Medical Center ya
Saudi Arabia, Sheikh Muhammad Issa wa Taasisi ya Baraza la
Sunnah Tanzania (BASUTA) na
Mwanasaikolojia Sadaka Igandi.
Mada zitakazowasilishwa katika Kongamano hilo ni pamoja
na Ndoa chanzo cha utu wetu
itakayowasilishwa na Sheikh
Muhammad, wakati Prof.
Kasule atawasilisha mada kuhusu taasisi ya ndoa jana, leo na kesho. Kwa upande wake Gandi
atazungumzia, Familia katika
changamoto za utandawazi.
Mwaka jana, jumla ya watu
730 walihudhuria katika kongamano la 6 la Ramadhan.

MOROBEST BUS SERVICE

KWA MAHITAJI YA USAFIRI WA UHAKIKA, SAFIRI NA KAMPUNI YA MABASI YA MORO BEST


KILOMBERO DAR, NA DAR - KILOMBERO
KILOSA DAR, NA DAR - KILOSA
SAFIRI NA MORO BEST KWA SAFARI ZA AMANI, UTULIVU NA UHAKIKA
MORO BEST BUS SERVICE NI KWA AJILI YAKO NA FAMILIA YAKO

hutolewa na kuchapishwa na The Islamic Foundation, P.O.Box 6011 Morogoro, Tanzania E-mail: imaanmedia3@gmail.com

You might also like