Professional Documents
Culture Documents
www.islamicftz.org
Ugaidi Tanzania
Waandishi wageuka mahakimu
Mufti Kayongo
alikuwa kisima
cha maarifa
Ugaidi oklahoma
Na Abdalhakim
Nsobya.
Ugaidi hispania
Habari
Uk 3
habari
www.islamicftz.org
Mufti Kayongo
kama Nguzo ya maarifa ya Uislamu na mtu muhimu katika masuala
ya ushauri. Sheikh Zubayiri Kayongo ni nani?
Sheikh Kayonga alizaliwa mwaka 1932 katika wilaya ya Kiboga
kusini mwa Uganda, huku elimu
yake ya dini ya Uislamu akiipata
Lamu nchini Kenya na visiwani
Zanzibar.
Kupitia elimu yake hiyo ya dini,
Mufti Kayonga aliweza kufungua
madrasa nyumbani kwake ambayo
ilitumika kufundishia viongozi wengi wa dini wa sasa nchini Uganda na
kwengineko.
Wakati Marehem Idd Amini akizindua rasmi Baraza kuu la Waislamu nchini Uganda mwaka 1972,
kama chombo cha kuwaunganisha
Afyais natural
source of sweet drinking water from underground stream which
is blended with essential minerals to
support and aid perfect metabolism.
WATERCOM LIMITED
P.o.box 20409, Plot N.4005, Kisarawe11 area Temeke,Daresalaam, Tanzania
www.watercomtz.com
E-mail:info@watercomtz.com
Waziri Haroun
amesisitiza
kuwa katika
kufikia lengo
hilo, ipo haja
kwa Waislamu
kujifunza
na kuelewa
mafunzo ya
Quran na
Sunnah za
Mtume (Rehma
na amani ziwe
juu yake)
na kanuni na stratejia za uhakiki.
Zaidi ya wataalamu 40 wakiwemo wa vyuo
vikuu, maprofesa na watafiti kutokea vyuo
vikuu tisa vya nchi za Afrika Mashariki na Chuo
Kikuu kimoja cha Malaysia walikutana kwa
ajili ya warsha hiyo iliyoandaliwa na Taasisi ya
Kimataifa ya Fikra za Kiislamu inayoitwa (International Institute of Islamic Thought - IIIT)
yenye makao makuu yake nchini Malaysia kwa
kushirikiana na Chuo chake.
habari habari
www.islamicftz.org
Waislam
wakiwa katika
Mahakama ya
Kisutu, jijini Dar
es Salaam, hivi
karibuni katika
moja ya kesi
zinazowakabili..
(na mpiga picha
wetu)
Na Waandishi Wetu
yombo vya habari vya Tanzania na mitandao ya kijamii vimegeuka mahakimu baada ya kuwatangaza
washukiwa wa uhalifu kumi waliokamatwa Morogoro katika msikiti
wa Sunni uliopo Kidatu wilaya ya Kilombero kuwa ni magaidi wa AlShabaab kutoka Somalia.
Katika tukio hilo, watu kumi walikuwa wanashikiliwa na polisi kwa
madai ya kukutwa na milipuko 30,
sare za kijeshi, risasi, bendera nyeusi
yenye maandishi ya Mungu Mmoja,
majambia, bisibisi na vinginevyo.
Kadhalika, kufuatia tukio la kukamatwa kwa watuhumiwa hao, tayari
baadhi ya Waislamu wamejikuta wakishikiliwa na polisi kwa muda na
kuachiwa kwa kuhisiwa kuwa wahalifu.
Uchunguzi wa gazeti hili umeonesha kuwa, kinyume na maadili ya uandishi wa habari, baadhi ya vyombo viliarifu kuwa watu kumi waliokamatwa
Morogoro ni magaidi.
Maadili ya uandishi wa habari yanasema mtu hawezi kutangazwa
mhalifu mpaka mahakama imkute na
hatia. Lakini katika mkasa wa Kilombero mkoani Morogoro vyombo vya
habari havikusubiri hata uchunguzi
wa polisi kabla ya kupitisha hukumu
yao.
Vituo kadhaa vya redio viliibuka na
breaking news vikidai kuwa gaidi
mmoja ameuawa na wengine kumi
kukamatwa na polisi wakiwa msikitini, habari ambayo ilidakwa juu kwa
juu na mitandao ya kijamii iliyochapisha kila aina ya uzushi.
Baada ya tukio hilo, matukio mawili ya Waislamu kushukiwa kuwa ni
magaidi yameripotiwa mkoani Morogoro.
Katika tukio la kwanza, Waislamu
raia wa kigeni wanaofanya kazi ya kutangaza dini (Tabligh) walikamatwa
katika msikiti wa Masjid Nnur uliopo
Kihonda, Mazimbu road, Morogoro
Ugaidi Tanzania
mjini asubuhi ya siku ya Alhamisi ya
April 16 na kufikishwa kituo cha polisi
cha Morogoro. Baada ya mahojiano
mafupi, wenyeji wao waliwasilisha hati
zao za kusafiria na vibali vingine na
polisi waliawaachia huru.
Katika tukio la pili, wafanyakazi wa
vyombo vya habari vya Imaan, ambao
walikuwa wakisafiri kutoka Kilombero walikokuwa katika kazi maalum ya
kukusanya habari kuelekea Morogoro
walikamatwa eneo la Mikumi na
kuhojiwa na polisi.
Kwa mujibu wa Sheikh Ally Ajrani,
Katibu Mkuu wa taasisi ya The Islamic Foundation aliyekuwa katika msafara huo; chanzo cha kukamatwa ni
pale waliposimama katika daraja moja
huko Kilombero kwa ajili ya kupiga
picha eneo ambalo walikuta ajali ya
pikipiki na baiskeli. Askari wa kikosi
cha usalama barabarani aliyekuwapo
eneo hilo alipiga picha gari yao na kuchukua namba za usajili na kisha kuwasiliana na wakubwa zake.
Wafanyakazi hao wa vyombo vya
habari vya Imaan walikuwa na
muonekano wa Kiislamu, kama ilivyokuwa kwa Waislamu wale raia wa kigeni waliokamatwa kule Kihonda.
Matukio haya mawili yanatia wasiwasi kuwa huenda mavazi au
muonekano wa Kiislamu, ikiwemo
kufuga ndevu, kuvaa kanzu, hijabu
vinaweza kumuweka mtu matatani
kwa kushukiwa kuhusika na vitendo
vya uhalifu, jambo ambalo linawaweka Waislamu kitanzini.
Hata hivyo haya yanayotokea Tanzania ni sehemu ya mkakati mpana wa
kimataifa wa kuupaka matope Uislamu kama ambavyo Ken Livingstone,
Meya wa jiji la London mwaka 2007
alikiri, akinukuliwa katika gazeti la
3
funzo ya ugaidi, habari ambazo hazikuwa na kweli wowote na zikaisha
hivi hivi.
Baadaye ikavuma habari ya magaidi huko mapango ya Amboni Tanga
lakini ikagundulika kuwa wale ni majambazi tu ingawa awali vyombo vya
habari viliripoti kuwa ni magaidi wa
Al-Shabab.
Video ya uongo ikasambazwe
kwenye mitandao ya kijamii ili kukoleza kitisho cha Al-Shabab Tanzania.
Katika vita hiyo dhidi ya ugaidi, misikiti haikusalimika huku, baadhi ikivunjwa na masheikh kubambikiziwa kesi
za ugaidi na kunyimwa dhamana.
Kwa ujumla, taswira inayojengwa
katika jamii yetu ni kwamba ukimuona Muislamu kwa asilimia fulani
anaweza kuwa ugaidi. Ni katika muktadha huu, jamaa wa Tabligh kutoka
India walijikuta wakisombwa kutoka
msikitini Kihonda hadi kituo cha polisi
Morogoro wakishukiwa kwa ugaidi.
Mfano mzuri ni tukio la Aprili 14
kukamatwa watu 10 msikitini huko
Kidatu wilayani Kilombero ambalo
vyombo vya habari haraka vililihusisha
na ugaidi wakati mtu mmoja alipokamatwa kanisani akiwa na bastola
siku ya pasaka huko Bagamoyo
hakuhusishwa na ugaidi wala dini
yake haikutajwa.
Hata jinsi tukio hili la Kilombero
lilivyoripotiwa na vyombo vya habari
ni ushahidi wa kuthibitisha aliyoyasema Meya Livingstone kwamba kuna
njama (conspiracy) ya kuitisha jamii
wauone Uislamu na Waislamu kama
mashetani (demonization of Islam).
Swali la msingi la kujiuliza, ni kwa
nini vyombo vya habari vinaandika
habari hasi za Uislamu na Waislamu
na kuwahusisha na ugaidi? Na ni nini
athari ya propaganda hizi dhidi ya Uislamu?
Swali hili linajibiwa na Makia Freeman, Mhariri wa The Freedom Articles. Kwa maoni yake, Freeman anazigawa njama (conspiracy) za vyombo
vya habari dhidi ya Uislamu na Waislamu sehemu mbili, vyombo vya
habari vya ndani ya nchi husika na vyombo vya habari vya kimataifa.
Kuhusu vyombo vya habari vya
ndani ya nchi, Freeman anasema:
Sababu kubwa ya kuushetanisha Uislamu ndani ya nchi ni hii ni kuiwezesha Serikali inayotawala kuchukua
haki na uhuru (wa Waislamu) kwa kisingizio cha uongo, kitu ambacho wasingeweza kukifanya (pasina kisingizo
hicho).
Ni kweli kabisa. Waislamu wangapi
wasio na hatia wamenyangnywa haki
na uhuru wao kwa kisingizio cha ugaidi? Kwa maana nyingine tuhuma za
ugaidi ni mbinu mpya ya watawala
madhalimu duniani kuwadhibiti
Waislamu.
Mhariri Freeman anasema: Ni kanuni ya msingi ya watawala waovu
kwamba kadiri wananchi wanavyozidi
kujawa na khofu kwa tuhuma za ugaidi, ndivyo inavyokuwa rahisi kuwadhibiti na kuwafanya watumwa ndani
ya nchi yao.
Kuhusu lengo la njama hizi za ugaidi dhidi ya Uislamu na Waislamu kimataifa, Freeman anasema: Lengo la
kushetanisha Uislamu kimataifa katika uwanja wa siasa, ni jingine kabisa.
Katika uwanja huu, lengo ni kuchochea migogoro na vita.
Kama vita vya Ghuba vilivyomuondoa Saddam sababu ni ugaidi wa
Saddam na kumiliki silaha za maangamizi - uwongo, vita vya Afghanistan,
Libya, Syria, Yemen na kwingineko
kulikofanyika mashambulizi UK 12
www.islamicftz.org
kutoka misikitini
Waislamu wapewa
fimbo ya propaganda
Yusuph Amin na Selemani Magali
Kufuatia kukithiri kwa propaganda za
ugaidi zenya lengo la kuupaka matope
Uislamu na Waislamu ili kuweza kuwahujumu Waislamu, wito umetolewa kuwataka
Waislamu kuzidisha umakini katika
shughuli zao, huku wakiimarisha umoja
na ushirikiano miongoni mwao.
Wito huo umetolewa, Ijumaa iliyopita, katika misikiti ya Mtambani na
Kichangani iliyopo Kinondoni na Magomeni, jijini Dar es Salaam.
Wakitoa wito huo, katika khutba
za swala ya Ijumaa, Imam wa
msikiti wa Mtambani, Sheikh
Suleiman Abdallah na Imam wa
Kichangani, Sheikh Omary Alhady,
walisema kuwa, zama zilizopo zinahitaji
sana kutumia akili vizuri, kwani mbinu
zinazotumika kuuhujumu Uislamu na
Waislamu zimeratibiwa kwa umakini wa
hali ya juu. Allah Subhaanahu Wataala
anasema: Hakika katika kuumbwa
mbingu na ardhi na kukhitalifiana usiku
na mchana ziko ishara kwa wenye
akili (3:190), alinukuu aya hiyo, Sheikh
Alhady akiwasisitiza Waislamu kutumia
akili zao ipasavyo kubaini na kukabiliana na
propaganda ya ugaidi. Kwa upande wake, huku
akirejea matukio kadhaa yanayodaiwa kuwa
ya kigaidi yanavyotumiwa kuuchafua Uislamu
na Waislamu, Sheikh Suleiman, ambaye pia
ni Naibu Amir wa Shura ya Maimam Tanzania,
alisema: Tusikubali kugawanywa, pamoja na
umakini, lazima tuwe na umoja wa nyuki kukabiliana na hali hii.
tujikumbushe
Waislamu itashughulikiwa na
Baraza hili.
Hijja itashughulikiwa na
Baraza hili. Huko nyuma uandaaji wa hijja haukuwa wa kuridhisha hata kidogo, kwani kila
kundi lilishughulika na mashirika ya ndege au mawakala, lakini
mahujaji waliokuwa wakifanya
safari walikuwa wakitozwa viwango tofauti vya nauli. Baadhi
ya mahujaji walitapeliwa.
Kutokana na kutokuwepo
kwa chombo kimoja cha kuandaa hijja, tukio la kusikitisha lililomuhusisha mwanamke wa
Uganda lilitokea mapema mwa-
hazina zetu
www.islamicftz.org
Ni vigumu kutambua
mchango wake katika
uandishi wa vitabu
kutokana na kutofahamika na wengi ukilinganisha na wanatasnia
wengine wa fani yake.
Alianzia katika fani ya
useremala na baadae
akawa msomi mkubwa
na hatimaye kuibuka
kuwa mwandishi wa
vitabu mbalimbali. Huyu
ndiye Sheikh Said Musa
ambaye hivi karibuni
mwandishi wetu
Yusuph Amin amefanya mahojiano naye na
kufahamu mengi kutoka kwake.
Gazeti la Imaan: Tueleze historia yako kwa ufupi.
Sheikh Said: Jina langu kamili
ni Said Musa Kisaka Kilomboche
Torogha Mkasirwa Mkule (Sammuki Tomm). Nimezaliwa mwaka
1943 katika kijiji cha Simbom Center, kata ya Msangeni, tarafa ya Ugweno wilaya ya Mwanga, mkoani
Kilimanjaro.
Gazeti la Imaan: Elimu yako
uliipata wapi?
Sheikh Said: Nilianza elimu
yangu ya msingi mwaka 1951 hadi
1956 katika shule ya Muslim School
Kilindini wilaya ya Moshi vijijini.
Baadae nikajiunga na sekondari ya
Muslim Academy ya mjini Zanzibar
kuanzia mwaka 1960 hadi 1963 na
wakati huo huo nikawa napata
elimu ya dini wakati wa jioni (magharibi) kwa Sheikh Abdallah Saleh
Alfarsy ambako nilijifunza fani
mbalimbali za dini zikiwemo tafsiri
ya Quran, nahwu, lugha ya kiarabu,
fiqhi, hadith na tawhid. Nilihitimu
mafunzo yangu ya dini mwaka
1966.
Nikiwa Zanzibar, mbali na
Sheikh Alfarsy nimejifunza elimu ya
dini pia kwa Masheikh mbalimbali,
akiwemo Sheikh Seyyid Omar Abdallah, Seyyid Ahmed Hamid
Mansab, Seyyid Ali Ahmad Badawi,
Seyyid Abdu-rahman Ahmed Assiriy, Sheikh Suleiman Alawiy,
Sheikh Sultan Muhammad Al-marashiy na Sheikh Said Muhammad
Alkindy, Sheikh Abbas (kutoka
Tumbatu), Sheikh Mahmud wa
Makadara na Sheikh Ramadhan
(wa Kwakhan).
Gazeti la Imaan: Kwa nini uliamua kwenda kutafuta elimu Zanzibar?
Sheikh Said: Hapo awali nilikuwa katika chuo cha Mbale
wilaya ya Mwanga mkoa wa Kilimanjaro nikajifunza Quran tukufu
pamoja na ufundi seremala kuanzia
1957 hadi 1959. Hapo ndipo Sheikh
Shaaban Rashid ambaye kwa sasa
ni Sheikh wa mkoa wa Kilimanjaro
aliponipa fursa ya kwenda Zanzibar
Mwandishi wa makala
hii akifanya mahojiano
na Sheikh Said Musa.
Ugumu ambao
waandishi wengi
wanakumbana nao katika
fani hii ni kuvunja
sheria za uandishi,
kukosekana
ujuzi wa kile
kinachoandikwa,
kukosekana
kwa utaalam na
lengo la kitabu
unachokiandika
5
Sheikh Said: Tatizo si kwamba
hakuna watungaji, isipokuwa wengi
wa watungaji hawaafiki suala zima
la usahihishwaji wa vitabu vyao. Hii
inatokana na vitabu vingi vya dini
kutokuwa na rejea za kutosha. Ili vitabu vya dini viwe bora lazima viambatane na dalili za Quran na Sunnah na wapokezi sahihi na vile vile
kutumia hadith nyingine zisizokuwa za Bukhari na Muslim.
Ni bora zaidi kutumia hadith zilizofanyiwa uchambuzi maalum wa
hadith kuthibitisha usahihi wake
japo zimetolewa na Nasai, Tirmidh,
Ibni Majah n.k vinginevyo mtu
anaweza kuandika hadith isiyopokelewa na Bukhari na Muslim
na kumbe siyo sahihi. Baadhi ya
waandishi wengi hawazingatii hayo,
bali wengine husema tu Mtume
(Rehma na amani ziwe juu yake)
amesema bila kubainisha hadith
hiyo ni sahihi au imepokelewa na
nani.
Gazeti Imaan: Je unadhani ni
kipi kilichokosekana katika taaluma
ya uandishi wa vitabu Tanzania?
Sheikh Said: Kwa kweli kasoro
ni nyingi. Kwa mfano, vitabu vingi
vinakosa ukurasa wa yaliyomo na
utangulizi. Pia baadhi ya vitabu
havina vichwa vya habari katika
kurasa zake, haviandikwi hatimiliki
na vilevile vimekuwa na tatizo la
matumizi ya lugha sanifu.
Gazeti Imaan: Mwamko wa
jamii za watanzania katika usomaji
wa vitabu ukoje?
Sheikh Said: Mwamko kusema
kweli ni mdogo kwa kuwa watu
wengi hawana muda wa kujituliza
kusoma vitabu ingawa wapo wachache ambao hujitahidi kusoma vitabu vidogo. Nakumbuka Sheikh
wangu aliwahi kuniusia niwe
naandika vitabu vidogo vidogo kwani wasomaji tulionao
sio wa kusoma vitabu
vikubwa
na kama
nitaamua
kuandika
vitabu basi
vidogo viwe
vingi zaidi
k u l i k o
vikubwa.
hutolewa na kuchapishwa
The Islamic Foundation,P.O.Box 6011 Morogoro, Tanzania,E-mail: imaanmedia3@gmail.com
mhariri mtendaji: 0715 559 944, Mhariri: 0786 779 669, afisa masoko: 0785 500 502
TOVUTI: www.islamicftz.org
tahariri / uchambuzi
na kuihusisha na ugaidi.
Sisi katika Gazeti la Imaan
tunapenda kuweka kumbukumbu sawa kwa kusema Uislamu hauhusiani na haufundishi
ugaidi na kwamba matukio
haya yasitumike kama kisingizio cha kunyanyasa Waislamu
na kuwanyima haki zao.
Ijulikane kwamba hata
kama waliokamatwa Morogoro wangethibitika kuwa
ni magaidi, kamwe hawawezi
kuwa wanawakilisha Waislamu. Lakini ni wazi pia kuwa
vyombo vingi vya habari na
mitandao ya kijamii vimeshawahukumu watu wale kuwa ni
magaidi, tena wa Al-Shabaab,
hata kabla ya uchunguzi wa
polisi kukamilika.
Hata hivyo, uzoefu wa matukio kadhaa yaliyowahi kutokea huko nyuma nchini unaonesha tabia ya kupenda kutia chumvi matukio ya kawaida ya kiuhalifu yaonekane
da ya kuonekana karibu na
daraja moja ambapo walisimama kuangalia ajali iliyotokea eneo hilo.
Kulikuwa na watu wengi
waliosimama kuangalia, lakini
ni wao waliokuwa katika
muonekano wa kigaidi kwa
mavazi yao na athari zao za
Uislamu. Mwisho tunasisitiza
tena kuwa Uislamu haufundishi ugaidi na haufungamani
na ugaidi ingawa wapo Waislamu wanaofanya vitendo vya
kigaidi kama ambavyo wapo
watu wa dini nyingine wanaofanya vitendo hivyo, ila tu
ugaidi unapofanywa na watu
wa dini nyingine dunia husita
kuuita ugaidi.
Na hii ndio maana rubani
msaidizi Andreas Gunter Lubitz wa shirika la Germanwings aliyeua watu 150 kule
Ufaransa hakuitwa gaidi bali
mgonjwa wa akili. Dunia ilimsikitia badala ya kumlaani!
nasaha za wiki
Oumar Moukhtar
nao wajibu wa kuchunguza sababu za kuongezeka ajali hizi na kuchukua hatua muafaka.
Kinyume na hali hiyo, kinachoendelea hapa Tanzania ni kutupiana lawama kati ya wadau wanaohusika katika kadhia hii.
Madereva wanalaumu wamiliki kuwa hawawalipi vizuri na
kwa sababu hiyo wanaendesha
magari wakiwa na msongo wa
mawazo kutokana na matatizo ya
kimaisha. Madereva pia wanailaumu Serikali kwa kushindwa
kusimamia maslahi yao na
kushindwa kuboresha miundo
mbinu hususan barabara ambazo
zinatajwa kuwa nyembamba na
zenye mashimo.
Serikali pia inalaumiwa sana
kwa kukosa udhibiti mzuri katika
utoaji leseni za kuendesha magari
kiasi kwamba watu wengi wanapata leseni kwa njia za panya bila
kujaribiwa.
Jeshi la polisi, kupitia kikosi
www.islamicftz.org
MAUDHUI YA QURAN:
MAJINA YA QURAN:
mlinganiaji
Na Sheikh Muhammad Duwaysh
UMUHIMU WA KHUTBA YA
IJUMAA:
makala maalum
www.islamicftz.org
Historia ya Msumbiji;
Waislamu walitahadharishwa
dhidi ya Frelimo
Mpango
mkakati uliandaliwa kwa siri na
Wareno
Masheikh
walipingana wao
kwa wao
Waislamu walivyotumika - 1
Na ABUU MAYSARA
guese Strategy during the Armed Liberation Struggle in Mozambique iliyoandikwa na Edward A. Alpers.
Kwa mujibu wa Askofu Mkuu wa
Lourenco Marques, Kadinali Teodosio
de Gouveia, Waislamu walimkaribisha
Vasco da Gama katika kisiwa cha
Msumbiji mwaka 1497. Wakiongozwa
na ari yao ya vita vya msalaba na uchu
wa kuhodhi rasilimali, Wareno waliuona Uislamu na Waislamu kama maadui
wakubwa kabla hata ya kutweka nanga
kuja Afrika.
Wakati Wareno waliporejea Msumbiji kwa mara ya pili mwishoni mwa
karne ya kumi na tisa safari hii kama wakoloni katika kinyanganyiro cha mataifa ya Ulaya kugawana Afrika, wakakuta
wimbi la kuenea kwa Uislamu eneo la
Kaskazini mwa Msumbiji kutokea
pwani.
Hali hii iliamsha ari na moyo miongoni mwa maafisa watawala, askari
Wakireno na wawakilishi wa Kanisa
Katoliki ya kupambana na Uislamu katika vita vya msalaba eneo la Kaskazini
mwa Msumbiji. Inakuwaje basi Wareno
waamue kuwaweka viongozi wa Waislamu nchini Msumbiji katika safu yao
dhidi ya Frelimo wakati wa vita vya
ukombozi wa Msumbijimiaka ya 1960
hadi 1970?
Ili kupata jibu la kitendawili hiki, tunahitaji kujua kitu kuhusu historia ya
Msumbiji ya karne ya ishirini iliyopelekea Wareno kufikia uamuzi huu wa kihistoria wa kuwatumia Waislamu kuwasaidia kupambana na Frelimo.
Kukua kwa Uislamu na Sera ya
Wareno nchini Msumbiji:
Kama mahali popote Afrika ya
Mashariki, nyenzo kubwa ya kuenea
kwa Uislamu mwanzoni mwa karne ya
20 ilikuwa niTwariqa- jumuiya za Kis-
ufi. Twariqa ya Shaadhiliyya iliingia kisiwa cha Msumbiji mwaka 1896 kutokea
Comoro na Zanzibar na kufuatiwa na
Qadiriyya.
Awali Twariqa ya Shaadhiliyya iliingia kupitia walinganiaji kutoka visiwa vya
Comoro na hadi leo kuna uhusiano imara na Comoro. Tawi la kwanza la Twariqa ya Qadiriyya nchini Msumbiji liliundwa na Sheikh kutoka Zanzibar.
Taratibu twariqa zote hizi mbili ya
Shaadhiliyya na ile ya Qadiriyya zikaanza kueneza matawi yao kuelekea bara ya
Msumbiji kupitia barabara na reli,
wakati huo huo ukoloni wa Kireno ukijikita nchini Msumbiji. Tawi jingine la
Wakati Wareno
waliporejea Msumbiji
kwa mara ya pili mwishoni
mwa karne ya kumi na tisa
safari hii kama wakoloni,
wakakuta wimbi la kuenea
kwa Uislamu eneo la
Kaskazini mwa Msumbiji
kutokea pwani
www.islamicftz.org
Stratejia ya
wamagharibi
kuwagawa
Waislamu
Ilipoishia wiki iliyopita .. Waislamu
washika mwendo wa zama za jadi ya kiislamu
(traditional orthodox Islam) wana chembechembe ya demokrasia zinazoweza kutumika kupambana na msimamo wa kikandamizaji
na kiimla wa siasa kali, ingawaje hawafai kuwa
chombo cha kutegemewa cha demokrasia ya
Kiislamu.
Nafasi hii inaliangukia kundi la wanamageuzi wa kiislamu (Islamic modernists) ambao utendaji wao una kikwazo kwa sababu
kadhaa ambazo ripoti hii itazizungumzia.
Ili kuchochea mabadiliko chanya kwa ulimwengu wa kiislamu kuelekea demokrasia
kubwa zaidi, usasa na kuendana na mfumo wa
kimataifa wa zama hizi, taarifa ya RAND inashauri ifuatavyo:
The United States and the West need to
consider very carefully which elements, trends,
and forces within Islam they intend to strengthen; what the goals and values of their various
potential allies really are; and what the broader
consequences of advancing their respective
agendas are likely to be.
Marekani na nchi za magharibi zinahitaji
kutafakari makundi gani, mtiririko wa matukio
na nguvu ndani ya Uislam za kuzipa nguvu;
(pia) kungamua malengo na maadili ya wawezao kuwa washirika wao na matokeo ya kuzisaidia ajenda zao.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo, mbinu
mchanganyiko kwa ajili ya makundi mbali
mbali inaonekana kuwa na matunda mazuri
zaidi. RAND wanashauri:
Kwanza, ungeni mkono wanamageuzi wa
kiislam, chapisheni na kusambaza maandiko
yao kwa gharama nafuu ili watu waweze kuyapata kwa urahisi, wahimizeni waandike fikra zao
kwa ajili ya umma na hasa vijana, ingizeni fikra
zao katika mitaala ya elimu ya Kiislam (Kumbuka mradi wa Conrad na mtaala wa elimu ya
kiislam na kuchapisha vitabu Tanzania bara na
Zanzibar), wapeni jukwaa waufikie umma
kueleza fikra zao (vipindi vya radio, runinga,
magazeti, mitandao ya kijamii n.k).
Fanyeni tafsiri, maoni na fatwa zao kwenye
masuala ya msingi ya dini ya kiislamu yaufikie
umma wa Waislamu ili kushindana na siasa
kali na wahafidhina ambao wana tovuti, mitambo ya uchapaji, mashule, vyuo na nyenzo nyingine za kusambazia fikra zao.
Wawekeni wasekula na wanamageuzi kama
mila mbadala Counterculture kwa vijana ambao hawajaharibiwa na fikra za siasa kali.
Wezesheni na himizeni ufahamu wao kuhusu
historia ya Uislam kabla na historia ya ulimwengu usio wa kiislamu na mila nyingine katika vyombo vya habari na mitaala ya nchi husika. (Rejea propaganda ya upotoshaji wa historia ya utumwa Afrika Mashariki kupitia mitaala
na vitabu vya historia mashuleni). Propaganda
zinasema Uislamu na Waislamu ndio wa kulaumiwa kuhusu utumwa na wazungu ndio
wapiga vita utumwa.
Wasaidieni (wasekula na wanamageuzi ya
kisasa wa kiislam) kuendeleza taasisi huru za
kijamii kutia nguvu utamaduni wa kiraia na
kutoa nafasi kwa wananchi wa kawaida kujifunza kuhusu mfumo wa kisiasa wa kimagaharibi na kuelewa misimamo yao. Msomaji kumbuka kuundwa kwa taasisi mbali mbali za kiis-
Mbinu nyingine
waliyowashauri
wamarekani
waitumie
katika kuupiga
vita Uislam ni
kuongeza idadi ya
wanafunzi wenye
fikra za usasa
(modernists)
katika vyuo vya
kiislamu vya
kihafidhina kama
vile Chuo Kikuu
cha Madina, Al
Azhar n.k.
lamu ambazo kazi yao kubwa ni kupinga juhudi
za Uislam na Waislam kuusimamsiha Uislamu
huku zikipewa majukwaa mbali mbali kuelezea
fikra zao.
Ama kuhusu makundi mawili yaliyobakia
kati ya yale manne walishauri: Waungeni
mkono wahafidhina dhidi ya siasa kali, tangazeni ukosoaji wa wahafidhina kukosoa ukatili
na fikra za siasa kali, chocheeni kutokuelewana
kati ya wahafidhina na siasa kali, Pingeni ushirikiano kati ya wahafidhina na siasa kali na
chocheenii ushirikiano kati ya wanamageuzi
wa kisasa na wahafidhina ambao wako karibu
yao kimtazamo katika baadhi ya mambo.
Pale inapowezekana, wapeni elimu wahafidhina kuwawezesha kuwa weledi kwa mijadala
na siasa kali. Siasa kali mara nyingi ni wazungumzaji na watoa hoja wazuri wakati wahafidhina wanajua zaidi kuhubiri Uislamu ulivyo
tu.
Katika nchi kama za Asia ya Kati, wahafidhina watahitaji kufundishwa na kufundwa
kuhusu Uislamu sahihi (orthodox Islam) ili
waweze kujitetea dhidi ya hoja za siasa kali.
Msomaji ona mbinu hii, wamarekani wanaambiwa wawafundishe Waislamu Uislamu sahihi
si kwa kuwa wanaukubali Uislamu bali wautumie kuwagonganisha Waislamu. Kwa hiyo
tuwe macho na ufadhili wa watu kama hawa.
Mbinu nyingine waliyowashauri wamarekani
waitumie katika kuupiga vita Uislam ni
kuongeza idadi ya wanafunzi wenye fikra za usasa (modernists) katika vyuo vya kiislamu vya
kihafidhina kama vile Chuo Kikuu cha Madina,
Al Azhar n.k. Lengo ni kuwafanya wausome
Uislamu sahihi kwa nia ya kuja kuupinga huku
wakiwachanganya Waislamu kwa kuwa watakuwa wamehitimu katika vyuo vikuu vinavyokubalika na Waislamu.
Wanastratejia wa RAND wanaendelea
kushauri; Tofautisheni makundi mbali mbali
Makala hii kutokana na makosa ya kiufundi haikumalizika mpaka mwisho wiki iliyopita, kutokana na umuhimu wake tumelazimika kuiendeleza katika toleo hili MHARIRI.
10
www.islamicftz.org
ncha ya kalamu
Sheikh Muhammad Issa
Vita ya Yemen ni
mkakati wa Iran
kueneza ushia
Abdurasuul Mansour Hadi kukimbilia Aden. Ma-Houthi wakajizatiti
kuiteka Yemen na hapo Saudi Arabia
na nchi nyingine kumi za kiarabu za
kisunni zikaanzisha mashambulizi
ya anga dhidi ya ma-Houthi kwa
lengo la kuurejesha utawala wa rais
Hadi aliyechaguliwa na wananchi.
Lakini nguvu kubwa kama hii ya
ma-Houthi wanaitoa wapi? Iran,
naam ma-Houthi wanasaidiwa na
Iran. Tarehe 18 Oktoba mwaka 2014,
Iran iliitisha mkutano wa washirika
wake uitwao, The International Islamic Awakening Association (Chama cha kimataifa cha uamsho wa
Kiislamu). Ni katika mkutano huo
ndipo mpango wa mashia wa kutawala nchi za mashariki ya kati kwa
itikadi ya ushia ulidhihiri.
Katibu Mkuu wa umoja huo Dr.
Ali Akbar Velayati alinukuliwa akisema kuwaambia wajumbe kutoka
ma-Houthi: Tuko hadhiri juu ya
ushindi wenu na tumefurahi sana
kuhusu ushindi huu. Uhusiano wetu
na ma-Houthi unarudi nyuma kitambo kirefu sana na tunajua fikra za
Sadrudiyn Houthi ambaye ni kiongozi wa kiroho wa Ansarullah na
baba wa shahidi Hussein Houthi na
Abdulmalik Houthi ambaye ni kiongozi wa ma-Houthi nchini Yemen
(hivi sasa).
Akaendelea kusema: Nina furaha kwamba ma-Houthi na kiongozi
wa mapinduzi nchini Yemen wanaongoza harakati za busara na za
kijasiri nchini Yemen.
Mara nyingi, Iran hukanusha kuwasaidia ma-Houthi lakini kwa kauli
za viongozi wake kama hizi inaonesha kuna mkakati maalum wa
mashia wa Iran kutawala nchi za kiarabu kwa kusimika utawala wa
mashia wenzao.
Dr. Velayati alinukuliwa
akisema: Jamhuri ya
Kiislamu ya Iran inaona fahari kubwa
Wapiganaji wa Shiha
nchini Yemen.
Huu ndio
ukweli wa
kinacho
tokea
Yemen.
Saudi
Arabia
haikuunda
muungano
wa
kuwapiga
ma-Houthi
kwa lengo
jingine
bali kuzuia
mashia
kutimiza
malengo
yao ya
kuzitawala
kwa itikadi
ya kishia
nchi za
kiarabu
hata ikibidi
kimabavu
11
www.islamicftz.org
uchumi na biashara
Na Selemani Magali
Katibu Mkuu
wa Jumuiya ya
Wataalam wa
Kiislamu
Tanzania
(TAMPRO), Pazi
Mwinyimvua
akifafanua
jambo katika
moja ya
mikutano ya
wanachama wa
jumuiya hiyo.
Ni muhimu kwa
Waislamu kuzijua
saccos za Kiislamu
ili waliozama katika
miamala ya riba
wajue njia mbadala
ya kujikwamua
kiuchumi
Changamoto nyingine
inayoikabili saccos ya TAMPRO ni baadhi ya watu kuwa
wazito kurejesha fedha. Katika saccos nyingine, wanachama wakishindwa kurejesha
fedha, hatua za kufilisiana
hufuata. Lakini katika saccos
za kiislamu kama ilivyo TAMPRO saccos hali ni tofauti.
Njia ya kiimani hutumika zaidi.
Hata hivyo, ingawa katika
saccos za Kiislamu suala la
kudai marejesho ni la kiimani, Firdaus anasema wanach-
tovuti za kiislamu
Tanzil.net
Assalam alaykum msomaji wa
gazeti la Imaan. Hii ni safu itakayokutambulisha tovuti mbalimbali
zenye maudhui ya dini ya kiislam. Hii
ni dunia ya sayansi na teknolojia na
Waislam hatuna budi kuendana na
wakati, bila kuchupa mipaka ya Allah
Subhanaahu Wataallah.
Ipo mitandao au tovuti nyingi ambazo zina maudhui ya Kiislam katika
mada mbalimbali ikiwemo Qur an,
Sira, Hijja, Hadith za bwana Mtume
(Rehma na amani ziwe juu yake) na
Na Khalid Omary
al Ghamad na wengine.
Ukitembelea tovuti hiyo vilevile,
unaweza kupata tafsiri ya aya husika,
12
www.islamicftz.org
afya yako
Pazi Mwinyimvua
Umuhimu wa
elimu ya lishe
M
akala yetu ya wiki hii
inaanza kwa kuainisha
ulazima wa kuitafuta
elimu ya chakula na
lishe bora katika jamii.
Neno lishe linaweza kuelezwa
katika maana tofauti. Kwa muktadha wa makala hizi, neno lishe
linamaanisha jumla ya hatua mbali
mbali kuanzia uchaguzi wa chakula,
maandalizi ya chakula, ulaji wa
chakula na jinsi miili yetu inavyochukua virutubisho na kuvitumia
katika kumpatia mlaji afya bora.
Maana yake ni kwamba lishe
bora hutokana na ulaji unaofaa,
yaani chakula cha kutosha,
chenye mchanganyiko wa virutubisho vyote katika uwiano
unaotakiwa.
Kwa upande mwingine,
utapiamlo au lishe duni ni hali
mbaya ya lishe inayosababishwa na mambo mbalimbali ikiwa
ni pamoja na ulaji usiofaa. Utapiamlo unaweza kusababishwa na
kula mlo ulio
na virutubisho
vichache au
vingi kulingana na
mahitaji.
Kula
mlowenye
virutu-
kini, watu hao hao wengi wao hawajishugulishi kabisa kupata elimu ya
chakula na lishe ambayo itawasaidia
kujua ni aina gani ya chakula wale,
na kuna uhusiano gani baina ya
chakula wanachokula kila siku na
kuimarika au kuharibika kwa afya
zao.
Zaidi ya hayo, ni kwa namna gani
ulaji mbaya unasababisha upungufu
wa nguvu za kiume au upungufu wa
nguvu za kike. Ni imani yetu kuwa
wasomaji wa makala hizi za chakula
na lishe wataongeza ari na kasi yao
katika kujifunza elimu ya chakula
na lishe ili iwasaidie kuzikabili
changamoto za ulimwengu wa sasa
katika maswala ya chakula na lishe.
Miaka ya nyuma, hasa katika
bara la Afrika watu walikuwa wanatumia kwa kiasi kikubwa vyakula
vya asili kutoka shambani. Zama
hizi, hasa baada ya maingiliano na
nchi zilizoendelea, watu wengi hasa
katika miji wanakula vyakula vilivyosindikwa katika viwanda.
Usindikaji wa vyakula katika
zama za sasa unajulikama kama
dhambi
isiyoepukika
(necessary evil).
H i i
ni kwa
Ugaidi Tanzania
na kuuawa kwa jina la Jihad feki?
Wakati wowote ule usikiapo magaidi Waislamu wanatajwa katika vyombo vya habari, basi zingatia sana
yafuatayo; Mosi, Huo ni ushetanishaji
wa Uislamu na Waislamu ambao haupaswi kuruhusiwa uendelee hata kidogo kwani madhara yake, kama alivyosema Meya Livingston, ni hatari
kwa mahusiano ya jamii.
Makundi mengi ya kigaidi yamekuja kudhihirika kuwa yaliandaliwa
kimafunzo, silaha na fedha na hao hao
mabwana wa vita dhidi ya ugaidi. Je,
wajua kuwa kirefu halisi cha kundi la
ISIS ni Israel Security Inteligence Services? Yaani Idara ya Huduma za Kijasusi ya Israel? Tafsiri inayotolewa ya
ISIS ni Islamic State in Iraq and Syria
ina lengo la kuchafua fikra ya kweli ya
Islamic State ili watu waogope dola
yoyote ile ya Kiislamu.
Bernard Lewis, muasisi wa
Fourth-Generation Warfare alipata
kusema: Hatuhitaji majeshi kutoka
bara moja kwenda jingine ambayo
yataamsha hisia za uzalendo na kurejea kwetu kama maiti kama ilivyotokea
13
www.islamicftz.org
vinavyozuwia udhu.
Vinavyozuwia udhu:
Hukumu ya udhu wa mwanamke aliyepaka rangi ya kucha.
Swali: Aliulizwa Sheikh Muhamad bin Swaleh Uthaimini Allah
amrehemu: Ni ipi hukumu ya udhu
wa mwanamke aliyepaka rangi ya
kucha?
Jawabu: Haifai kwa mwanamke anayeswali kupaka rangi za kucha
kwani rangi za kucha zinazuwia
maji kufika kwenye kiungo kinachooshwa na kila kinachozuwia
maji kufika kwenye kiungo hakifai
kutumiwa na mtu anayetawadha au
kujitwaharisha. Allah anasema:
Osheni nyuso zenu na mikono
mapitio ya vitabu
Kitabu: Al Fusuul Fii Mustwalahi Hadiithi r-Rasuuli
Mwandishi: Haafidh Thanaau-llwaahi Zaahidy
Mfasiri: Sheikh Muhammad Issa
Mlango wa Pili: Majina ya Matini
za Hadith
Hadith: Ni kile kilichoegemezwa kwa Mtume (Rehma na amani
ziwe juu yake) miongoni mwa kauli,
kitendo au kuridhiya au sifa. Na ama
muradi wa kuridhiya (At-taqriyr) ni
kitendo kilichotendwa au kauli iliyonenwa mbele ya Mtume (Rehma na
amani ziwe juu yake) au akapata
habari zake na asikikataze.
Na muradi wa As-swifah: ni kila
ambacho ni sifa miongoni mwa sifa
za Mtume (Rehma na amani ziwe juu
yake) za kimaumbile kama: Alikuwa
imekatika.
Al-Maqtuu: Ni kile kilichoegemezwa kwa taabii na waliofuatia
miongoni mwa kauli au kitendo,
sawa sawa sanad yake iwe imeungana
au imekatika.
Muttafaqun Alayhi: Ni hadith
ambayo wamekubaliana kupatikana
kwake (Imam) Bukhari na Muslim
(Rehma za Allah ziwe juu yao) katika
sahihi zao mbili (Sahihi Bukhari na
Sahihu Muslim).
Al-Musnad: Ni hadith Marfuu
ambayo sanad yake imeungana.
Al Hadiythul Qudsiyyu: Ni kila
anachosimulia Mtume (Rehma na
amani ziwe juu yake) kutoka kwa
Mola wake kwa matamshi au maana
na kisichokuwa Quran.
Itaendelea toleo lijalo
14
www.islamicftz.org
Nyakati za swala
M koa wa M o rogoro, Kale
nda yanyaka
tiza swala
Apri
l / 15
20
Tar
ehe
Siku
Fajr M w i
sho wa Al
faj
i
r
Apri
l / 2015
Dhuhr
Asr
M aghrib
Zanzi
barSouth Regi
on,Pra
yerTi
m es Schedul
e A
pri
l / 2015
I
sha
Date
Day
Fajr
Sunri
se
Dhuhr
Asr
M aghrib
I
sha
13
M on
5:
25
6:
34
12:
33
3:
53
6:
31
7:37
13
M on
5:
39
6:48
12:
50
4:07
6:
52
7:57
13
M on
5:14
6:
23
12:
23
3:42
6:
23
7:28
14
Tue
5:
25
6:
34
12:
33
3:
53
6:
31
7:37
14
Tue
5:
39
6:48
12:
50
4:07
6:
52
7:57
14
Tue
5:14
6:
23
12:
23
3:42
6:
23
7:28
15
W ed
5:
25
6:
34
12:
33
3:
53
6:
30
7:37
15
W ed
5:
38
6:47
12:
50
4:07
6:
51
7:57
15
W ed
5:14
6:
23
12:
23
3:42
6:
22
7:28
Thu
5:
38
6:47
12:49
4:07
6:
51
7:57
16
Thu
5:14
6:
23
12:
23
3:42
6:
21
7:27
Tar
ehe
Siku Fajr M w i
sho wa Al
faj
i
r
Dhuhr
Asr
M aghrib
I
sha
16
Thu
5:
25
6:
34
12:
32
3:
53
6:
30
7:36
16
17
Fr
i
5:
24
6:
34
12:
32
3:
52
6:
30
7:36
17
Fr
i
5:
38
6:47
12:49
4:07
6:
50
7:56
17
Fr
i
5:13
6:
23
12:
22
3:42
6:
21
7:27
18
Sat
5:
24
6:
34
12:
32
3:
52
6:
29
7:35
18
Sat
5:
38
6:47
12:49
4:07
6:
50
7:56
18
Sat
5:13
6:
22
12:
22
3:42
6:
21
7:27
19
Sun
5:
24
6:
34
12:
32
3:
52
6:
29
7:35
19
Sun
5:
37
6:47
12:49
4:07
6:
50
7:56
19
Sun
5:13
6:
22
12:
22
3:42
6:
20
7:26
Tar
ehe
Siku
FajrM w i
sho wa Al
faj
i
r
Apri
l / 2015
Zanzi
barNorth Regi
on,PrayerTi
m es Schedul
e A
pri
l / 2015
Apri
l / 2015
Dhuhr
Asr
M aghrib
I
sha
Date
Day
Fajr
Sunri
se
Dhuhr
Asr
M aghrib
I
sha
Tar
ehe
Siku
Fajr M w i
sho wa Al
faj
i
r
Dhuhr
Asr
M on
5:14
6:
23
12:
24
3:43
6:
23
7:29
13
M on
5:41 6:
50
12:49
4:09 6:47
7:53
M aghrib
I
sha
13
M on
5:18
6:
27
12:
28
3:46
6:
28
7:34
13
14
Tue
5:18
6:
27
12:
28
3:46
6:
28
7:34
14
Tue
5:14
6:
23
12:
24
3:43
6:
23
7:29
14
Tue
5:41 6:
50
12:49
4:09 6:47
7:53
15
W ed
5:18
6:
27
12:
28
3:46
6:
28
7:33
15
W ed
5:14
6:
23
12:
23
3:43
6:
23
7:28
15
W ed
5:41 6:
50
12:49
4:09 6:46
7:52
16
Thu
5:18
6:
27
12:
27
3:46
6:
27
7:33
16
Thu
5:14
6:
23
12:
23
3:42
6:
22
7:28
16
Thu
5:41 6:
50
12:48
4:09 6:46
7:52
17
Fr
i
5:18
6:
26
12:
27
3:46
6:
27
7:33
17
Fr
i
5:14
6:
23
12:
23
3:42
6:
22
7:28
17
Fr
i
5:41 6:
50
12:48
4:09 6:45
7:51
18
Sat
5:17
6:
26
12:
27
3:46
6:
26
7:32
18
Sat
5:14
6:
23
12:
23
3:42
6:
21
7:27
18
Sat
5:41 6:
50
12:48
4:08 6:45
7:51
19
Sun
5:17
6:
26
12:
27
3:46
6:
26
7:32
19
Sun
5:13
6:
23
12:
22
3:42
6:
21
7:27
19
Sun
5:41 6:
50
12:48
4:08 6:44
7:51
M koa wa Ki
gom a ,Kal
enda ya
nyakatiza swala
Tar
ehe
Siku
Fajr
M wi
sho wa Al
faj
i
r
M koa wa Dar s
e Salaa
m
Apri
l / 2015
Dhuhr
Asr
M aghrib
I
sha
Tar
ehe
Siku
Fajr
,
Kal
enda ya nyak
atiza swala
M wi
sho wa Al
faj
i
r
Dhuhr
Apri
l / 2015
Asr
M aghrib
Apri
l / 2015
I
sha
Date
Day
Fajr
Sunri
se
Dhuhr
Asr
M aghrib
I
sha
M on
5:
26
6:
35
12:
37
3:
54
6:
39
7:44
13
M on
5:
51
7:00
1:01
4:19
7:01
8:
07
13
M on
5:15
6:
24
12:
24
3:43
6:
23
7:29
13
14
Tue
5:
51
7:00
1:01
4:19
7:01
8:
07
14
Tue
5:15
6:
24
12:
24
3:43
6:
23
7:29
14
Tue
5:
26
6:
35
12:
37
3:
54
6:
39
7:44
15
W ed
5:
51
7:00
1:01
4:19
7:00
8:
06
15
W ed
5:15
6:
24
12:
24
3:43
6:
22
7:28
15
W ed
5:
26
6:
34
12:
37
3:
54
6:
38
7:44
16
Thu
5:
51
7:00
1:00
4:19
7:00
8:
06
16
Thu
5:15
6:
24
12:
23
3:43
6:
22
7:28
16
Thu
5:
25
6:
34
12:
36
3:
54
6:
38
7:43
17
Fr
i
5:
51
6:
59
1:00
4:19
7:00
8:
06
Fr
i
5:
25
6:
34
12:
36
3:
54
6:
37
7:43
18
Sat
5:
50
6:
59
1:00
4:19
6:
59
8:
05
19
Sun
5:
50
6:
59
1:00
4:19
6:
59
8:
05
17
Fr
i
5:15
6:
24
12:
23
3:43
6:
21
7:28
17
18
Sat
5:15
6:
24
12:
23
3:43
6:
21
7:27
18
Sat
5:
25
6:
34
12:
36
3:
54
6:
37
7:43
19
Sun
5:14
6:
24
12:
23
3:43
6:
21
7:27
19
Sun
5:
25
6:
34
12:
36
3:
54
6:
37
7:43
mila na desturi
Na mwandishi wetu
wa
fedha
nying i . C h a ajabu zaidi hajawahi
kushinda hata shilingi elfu mbili!
Mtoto huyo anasema hatoacha
kucheza akiamini siku moja atapata
fedha nyingi.
Kiukweli hadi ushinde fedha nyingi ni kazi ngumu. Tangu nipo la sita
hadi leo bado sijaambulia chochote
ila ipo siku tu ntapiga pesa nyingi na
hapo ndio ntaacha kubeti, anasema.
Kizazi hiki kinachopotea ilhali tu-
watoto / tangazo
www.islamicftz.org
15
kona ya watoto
NA NAHIDA ISMAIL
Unajua nini kuhusu nyangumi?
Nyangumi sio samaki bali
ni mnyama jamii ya mamalia
wakubwa.
Nyangumi wanapumua kupitia
mashavu yanayopitisha hewa
mpaka katika mapafu.
Nyangumi wana damu ya joto.
Nyangumi wa rangi ya bluu ni
nyangumi mkubwa zaidi akiwa na
urefu wa wastani wa futi 94 (mita
29) - karibu sawa na kimo cha
jengo la ghorofa tisa.
Wanyama hawa wakubwa wanakula kamba wadogo (krill).
Mambo tunayojifunza:
Mwanza
105MHz
Arusha
90.8 MHz
Kigoma
92.5 MHz
Tabora
101.6 MHz
Morogoro
96.3 MHz
Mbeya
90.3 MHz
Ruvuma
Masafa ya Imaan FM
94.2MHz
Mtwara
90.9MHz
Vita ya Yemen
ni mkakati wa
Iran kueneza
ushia
Uk 10
1 Rajab 1436, jumatatu Aprili 20 - 27 , 2015
Kwa upande wa ushirikiano na wauguzi, madaktari na wadau wa kiserikali, tunapata ushirikiano mzuri,
kwani tumefuata taratibu za kisheria
na tunatambulika kwa Mkurugenzi
wa Manispaa na waganga wakuu wa
hospitali zote. Taasisi yetu imesajiliwa Serikalini.
Imaan: Kama akipatikana mfadhili mngehitaji nini kuwaongezea
nguvu ya kufanya shughuli hii?
Masau: Kwa sasa, hewa ya oxygen inayomsaidia mgonjwa kupumua ni tatizo kubwa. Madawa yamekuwa ghali. Wangejitokeza wafadhili
tungewaonesha aina ya dawa zinazohitajika.
Imaan: Kuna mambo yoyote ya
kujivunia yanayotokana na kazi
yenu?
M a s a u : Tunamshukuru
Mwenyenzi Mungu hii ni moja kati
ya jumuiya zinazoongoza kusaidia
wagonjwa. Tumekuwa tukiongoza
katika zoezi la kutoa damu mpaka
kutunukiwa cheti cha damu salama
kutoka Wizara ya Afya na Ustawi wa
Jamii. Cheti tulitunukiwa na aliyekuwa Waziri wa Wizara hiyo, Dr.
Hussein Mwinyi.
Kwa upande wa Jumuiya, tuna
msikiti mmoja uliopo maramba
mawili, shamba la hekari nne huko
Bagamoyo na lingine la hekari tatu
Chamazi. Pia viwanja viwili vilivyopo
Kigamboni na Kibaha.
Imaan: Ni yepi malengo yenu katika kutanua shughuli za taasisi siku
zijazo?
Masau: Kilio cha Waislamu kwa
sasa, pamoja na mambo mengine, ni
kukosa hospitali zetu, na hilo ndio
limekuwa lengo namba moja la taasisi yetu. Kwa kuanzia, tuna mkakati
wa kutafuta ardhi kwa ajili ya miradi
hiyo.
Tunakusudia kujenga hospitali
maalum za wanawake na watoto zitakazosaidia kuwatibu wanawake ili
wasitirike kwa kutibiwa na wanawake wenzao. Pia zitakuwepo zitakazowatibia wanaume.
Vilevile tunakusudia kujenga
kituo cha kulea watoto yatima ili
wale watoto wanaotupwa hospitalini
wasiishie katika vituo vya kanisa tu.
Imaan: Wito wako kwa Waislamu na Watanzania kwa ujumla.
Masau: Waislamu tusiwe wavivu, tujumuike katika ibada hii
muhimu ya kuhudumia wagonjwa,
ambayo si tu Mtume Muhammad
(Rehma na amani iwe juu yake) aliisisitiza, lakini pia aliifanya katika
uhai wake na kupelekea watu wengi
kuingia katika Uislamu. Hapo tutakuwa tumefuata tabia ya Kiislamu
na tabia ya Mtume Muhammad
(Rehma na amani iwe juu yake).
hutolewa na kuchapishwa na The Islamic Foundation, P.O.Box 6011 Morogoro, Tanzania E-mail: imaanmedia3@gmail.com