Professional Documents
Culture Documents
HabariZA
za
NISHATI
nishati&MADINI
&madini
NewsBulletin
MKOMBOZI
Wabunge
http://www.mem.go.tz
Toleo
No.89
51
Toleo No.
LimesambazwaLimesambazwa
kwa Taasisi nakwa
Idara
zote
Taasisi
naMEM
Idara zote MEM Tarehe
- 23-29 Januari , 2015
Oktoba 16 - 22, 2015
Somahabari Uk.2
Waziri wa Nishati
na Madini, Profesa
Sospeter Muhongo
Mkurugenzi Mkuu wa
REA, Dk. Lutengano
Mwakahesya
Soma
habari
Uk. 3
Habari za nishati/madini
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
atimaye
mradi
mkubwa wa Kitaifa
wa miundombinu ya
kuchakata na kusafirisha
gesi asilia kutoka Mtwara
na Songo Songo hadi Dar es Salaam
umekamilika na kuzinduliwa.
Mradi huo ulizinduliwa rasmi
na Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete
tarehe 10 Oktoba, 2015 katika hafla
iliyofanyika
Madimba
mkoani
Mtwara na kushuhudiwa na viongozi
mbalimbali wa Kitaifa, Mabalozi
kutoka nchi mbalimbali na wananchi.
Rais Kikwete alisema hatua hiyo
ni njia mojawapo kuelekea kwenye
uchumi imara katika nyanja mbalimbali
ikiwemo uanzishwaji wa viwanda
kwani kutakuwa na nishati ya umeme
yenye uhakika ambayo itazalishwa kwa
kutumia gesi asilia.
Aliuelezea mradi huo kuwa ni
mkubwa na wa aina yake kuwahi
kufanyika nchini na utasaidia kwa kiasi
kikubwa kuondoa tatizo la umeme na
kuchochea maendeleo endelevu ya
kiuchumi.
Rais
Kikwete
alizungumzia
umuhimu wa suala la Uwajibikaji
kwa Jamii yaani Corporate Social
Responsibility (CSR) na kuliagiza
Shirika La Maendeleo ya Petroli
Tanzania
(TPDC)
kuhakikisha
linasaidia jamii inayozunguka mradi
huo wa Madimba kwa kuchimba
visima na kusaidia huduma nyingine.
Suala la CSR halina mjadala,
wananchi huku wana shida ya maji,
lakini pia msiishie kwenye maji tu bali
pia msaidie na mambo mengine. Hii sio
hisani, ni wajibu wenu kufanya hivyo,
alisema.
Aidha, Rais Kikwete aliishukuru
Serikali ya China kwa utayari wake wa
kujenga miundombinu ya mradi husika
na kusisitiza umuhimu wa ushirikiano
baina ya Tanzania na China.
>>>
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete (katikati waliokaa) akiwa katika
picha ya pamoja na Wafanyakazi wa Kituo cha Kuchakata Gesi cha Madimba mara baada ya
kutembelea kituo hicho. Kushoto kwake ni Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene
na kulia kwake ni Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Dkt
James Mataragio.
NewsBulletin
Habari za nishati/madini
http://www.mem.go.tz
MEM
Tahariri
Na Badra Masoud
Makubwa yamefanyika
sekta ya Nishati
Na Asteria Muhozya,
Dar es Salaam
>>Inaendelea Uk. 5
TEL-2110490
FAX-2110389
MOB-0732999263
Bodi ya uhariri
Mhariri Mkuu: Badra Masoud
Msanifu: Lucas Gordon
Waandishi: Veronica Simba, Asteria Muhozya, Greyson
Mwase Teresia Mhagama, Mohamed Saif, Rhoda James ,
Nuru Mwasampeta na Zuena Msuya
Five
Pillars of
Reforms
increase efficiency
Quality delivery
of goods/service
satisfAction of
the client
satisfaction of
business partners
satisfAction of
shareholders
Habari za nishati/madini
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Nchini (TANESCO), Mhandisi Felschemi Mramba (wa
pili kulia) akiweleza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete (katikati),
pamoja na wageni waliohudhuria halfa ya uzinduzi wa mitambo ya Kinyerezi I jijini Dar es Saalam
kuhusu miundombinu ya kusafirisha umeme wakati wa Uzinduzi wa hiyo. Rais aliitembelea
mitambo yote iliyopo Kinyerezi I kabla ya kuizindua rasmi.
>>Inatoka Uk. 3
kupongeza jitihada zilizofanywa na
Rais Kikwete, na hili limethibitisha
jitihada zilizofanywa na, Chama Cha
Mapinduzi (CCM). Pamoja na hayo
unaondoka ukiwa umeacha miradi
mikubwa ya umeme uliyo katika hatua
mbalimbali ikiwemo ya Kinyerezi
II hadi IV ambayo gharama za
ukwekezji huo ni wa Serikali na sekta
binafsi ambapo inafikia takriban Dola
ais
Jakaya
Kikwete
amelitaka Shirika la
Umeme
Tanzania
(Tanesco) kuongeza juhudi
katika kujenga mitambo ya
kuzalisha umeme ili kupunguza mgawo
unaoikumba nchi hivi sasa.
Rais Kikwete alisema hayo hivi
karibuni wakati wa uzinduzi wa kituo
cha kufua umeme cha Kinyerezi 1
uliofanyika mwanzoni mwa wiki jijini
Dar es Salaam ambacho kina uwezo wa
kuzalisha umeme wa kiasi cha Megawati
150 kwa wakati mmoja pindi mashine
zote nne zitakapowashwa.
Aidha ilielezwa kwamba megawati
hizo 150 zitachangia kufikia kiasi cha
megawati 350 zinazotarajiwa kuzalishwa
katika mradi wa Kinyerezi 1 baada ya
kukamilika kwa ujenzi na kuwashwa kwa
NewsBulletin
Habari za nishati/madini
http://www.mem.go.tz
Na Asteria Muhozya
Moja ya visima vya maji safi vilivyojengwa kutokana na mradi wa gesi asilia. Visima hivi vina
uwezo wa kuzalisha maji safi na salama lita 60,000 kwa siku ambayo yanatumiwa na zaidi ya
wakazi 3000 wanaozunguka eneo la Madimba, mkoani Mtwara.
Habari za nishati/madini
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
Na Mohamed Saif
historia.
Hayo yameelezwa kwenye hafla ya
uzinduzi wa mradi huo hivi karibuni
Madimba Mkoani Mtwara na Waziri
wa Nishati na Madini, George
Simbachawene wakati akimkaribisha
Rais Jakaya Kikwete kuzindua rasmi
mradi huo.
Waziri Simbachawene alimpongeza
Rais Kikwete kwa jitihada zake za
kuhakikisha mradi huo unafanikiwa.
Wapo baadhi ya Watanzania
ambao wanahoji kuwa unapoondoka
madarakani unatuacha achaje?,
nataka
niwaambie
Watanzania
wenzangu Mheshimiwa Rais Kikwete
aliikuta Tanzania ikiwa na kiasi cha gesi
iliyogunduliwa cha futi za ujazo trilioni 8
lakini anatuacha na futi za ujazo trilioni
52, alisema.
Alisema kuwa Serikali imewekeza
kwa asilimia 100 katika mradi huo na
kuongeza kwamba uamuzi wa Serikali
kukubali kuwekeza katika mradi huo
ni uamuzi unaoonesha namna Serikali
ilivyodhamiria kutafuta suluhu ya
changamoto za kusambaza gesi kwa
watumiaji na pia kuondoa adha ya
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete (katikati waliokaa) akiwa katika picha
ya pamoja na Viongozi mbalimbali pamoja na Wakandarasi wa Mradi kutoka Kampuni za CPTDC, CPE
na CC za China mara baada ya kukagua Kituo cha Kuchakata Gesi Asilia cha Madimba.
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
Habari za nishati/madini
Muungano wa Tanzania,
Dkt Jakaya Kikwete
alizindua rasmi mradi mkubwa wa
kitaifa wa Miundombinu ya Kuchakata
na Kusafirisha gesi asilia.
Hafla hiyo ya uzinduzi ilifanyika
hivi karibuni kijijini Madimba ambapo
kumejengwa
miundombinu
ya
kuchakata gesi asilia na kushuhudiwa
na viongozi mbalimbali wa Kitaifa,
mabalozi wa nchi mbalimbali na mamia
ya wananchi wa Mkoani Mtwara na
maeneo mengine ya Tanzania.
Awali, akitoa maelezo ya utangulizi,
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika
la Maendeleo ya Petroli Tanzania
(TPDC), Dkt James Mataragio alisema
miundombinu ya kuchakata na
kusafirisha gesi asilia imekamilika na
inamilikiwa na Shirika la Maendeleo ya
Petroli (TPDC) kwa asilimia 100.
Akiuelezea mradi huo, alisema
bomba la gesi lina uwezo wa kusafirisha
gesi asilia kiasi cha futi za ujazo milioni
784 kwa siku kwa kiwango cha juu
bila mkandamizo (compression) na
matumizi yakiongezeka zaidi linaweza
kusafirisha kiasi cha futi za ujazo hadi
milioni 1,002 kwa siku kwa kuongezea
mgandamizo pale Somanga-Fungu.
Alisema usafirishaji wa gesi asilia
katika bomba hilo kubwa kutoka
mkoani Mtwara hadi Dar es Salaam
lenye ukubwa wa kipenyo cha inchi
36 na urefu wa kilomita 477 umeenda
sambamba na kukamilika kwa mitambo
ya kuchakata gesi hiyo iliyojengwa katika
eneo la Madimba mkoani Mtwara na
Songosongo mkoani Lindi.
Hii ni kusema kwamba gesi hiyo
itasafishwa katika vituo vya Madimba
na Songo Songo kabla ya kusafirishwa
Habari za nishati/madini
8
NewsBulletin
HAFLA YA UZINDUZI WA MIUNDOMBINU YA
KUCHAKATA NA KUSAFIRISHA GESI ASILIA
http://www.mem.go.tz
1
4
2
5
3
1.
2.
3.
4.
5.
NewsBulletin
Habari za nishati/madini
http://www.mem.go.tz
10
Habari za nishati/madini
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
NewsBulletin
Habari za nishati/madini
http://www.mem.go.tz
11
MW 158; na
Symbion (Gesi) yenye uwezo wa MW
112 ambayo kwa sasa inazalisha MW 74.