Professional Documents
Culture Documents
tz
Sauti ya Waislamu
Agusia uwiano mbaya katika ajira Aibua mauwaji ya Mwembechai Ahoji ripoti ya mabomu Arusha
Na Bakari Mwakangwale
huo, Mufti wa Baraza hilo Sheikh Issa Shaaban Simba amesema kuwa mashushushu hao wa t a k u wa wa k i t o a taarifa zao Polisi. Mui Simba amesema kuwa hatua hiyo inakuja kufuatia hali
BAADHI ya wafanyakazi wa Benki ya Amana wakikabidhi misaada kwa kituo cha watoto yatima cha Tahdhil Quran Al-hidaaya cha Buguruni kwa Mnyamani, Ilala Jini Dar es Salaam hivi karibuni.
Inaendelea Uk. 3
karibuni. Jarida hilo la kila mwezi litakuwa likichambua kwa kina matukio yanayojiri Zanzibar. Litasheheni makala za
Inaendelea Uk.5
2
S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786 Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM. www.annuurpapers.co.tz E-mail: annuurpapers@yahoo.co.uk Osi zetu zipo: Manzese Tip Top Usangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam
Tahariri/Makala
AN-NUUR
BAKWATA? Inahitaji shilingi ngapi kuvuta maji ya uhakika hapa badala ya mtindo huu wa kujaza maji katika mapipa na kuchota kwa makopo, hali ambayo kiusa ni utata mtupu? Huu ni Msikiti wanaposwali viongozi wa Serikali ama Ijumaa au siku za Eid, hivi wakishikwa na haja watawapeleka katika vyoo gani? Alisimulia mtu huyo jambo ambalo limethibitishwa na wengi. Sasa labda kama ni kubadilika, hali iwe imebadilika katika mwezi huu wa sita na saba ambapo gazeti hili halapata taarifa mpya. Sasa sisi tungependa kushauri kuwa pengine Sheikh Mkuu wa Bakwata na viongozi wenzake, watakuwa wamefanya jambo kubwa sana, na lipo katika uwezo wao, kama watahakikisha kuwa Misikiti yao ni misafi
AN-NUUR
MAONI YETU
Habari
AN-NUUR
akisema.
inayoendelea ambapo amedai kuwa Misikiti imegeuzwa kuwa majukwaa ya kisiasa na hivyo kuhatarisha amani ya nchi. Akasema, baadhi ya wanasiasa wamekuwa wakiwahamasisha Waislamu kuasi Bakwata kiasi cha kukia kudai kuwa Baraza hilo lifutwe. W a i s l a m u wanachuuzwa na wanasiasa na kusema Baraza la Waislamu Tanzania lifutwe, misikiti si kwa ajili ya siasa bali ni sehemu ya kuwaelekeza watu kutenda mema, alinukuliwa Mui Simba
Kwa mujibu wa taarifa za baadhi ya magazeti, Sheikh Mkuu, Mufti S i m b a wa B a k wa t a amesema kuwa mpango huo umependekezwa na Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Said Mwema. Akasisitiza kuwa makachero hao wa Bakwata wakishabaini viashiria vya uvunjifu wa amani, watatoa taarifa Polisi.
Akaongeza kuwa kutokana na hali hiyo BAKWATA inakusudia kuanzisha Kamati za Ulinzi na Usalama Misikitini ili kubaini viashiria vya uvunjifu wa amani.
Na Bakari Mwakangwale wamefungwa. Katika ziara hiyo, Kamati imetoa misaada kadhaa KAMATI ya Maafa ya kutoka kwa Waislamu Shura ya Maimamu imetembelea Magereza ya katika Mwezi huu wa Kimbiti Mngaru pamoja Ramadhani. Miongoni mwa misaada na Dondwe Mvuti, Mkoani waliopatiwa Waislamu hao, Pwani, ambayo baadhi ya Waislamu wa maandamano waliohukumiwa baada ya kudaiwa kuandamana kupinga Sheikh Ponda, kunyimwa dhamana ni Mchele kilo 135, Tende kilo 20, mafuta ya kula lita 20, pamoja na Maharagwe kilo 35. anayestahili kuabudiwa kwa vilihitaji kwenda kinyume Mbali na mahitaji hayo na mwongozo wa Mwenyezi kufuata sheria zake na kuacha kumbuka awali Waislamu makatazo yake. M u n g u a n a v yo t a k a , n a h a o wa l i omba vitabu Bawazir, alisema hata vikaangamizwa maangamizi mbalimbali vya dini, hivyo washirikina wa Mji wa Makka, tofauti. Alisema, wanaadamu leo waliokuwa wakimpinga kwa tulipeleka vitabu vya tafsiri nguvu zote Bwana Mtume wanajiona wameendelea Muhammad (s a w), walikuwa za hutuba za Ijumaa pamoja sana, na kutaka kufanya wanakubali kuwa Mungu na vitabu vya swala na watakavyo wakisahau kuwa yupo, ingawa walikuwa maamrisho yake. Alisema upo muongozo wa Mwenyezi w a k i a b u d u m a s a n a m u P o n d a a l i y e o n h g o z a msafara huo. Mungu. wakiamini kuwa yapo karibu Kwa mujibu wa Sheikh Nadhali hii ya makosa au na Mungu wa kweli, lakini Ponda, hali za Waislamu kufuru hii ya kupingana na zaidi wakihoa maslahi yao. hao ni nzuri na katika Qur an ikiendelea sambamba Alisema, hivi sasa Mataifa maongezi yao wameeleza na mashinikizo wanayoyatoa makubwa yanapambana kuwa hawana cha kujutia ya kuzuia misaada mpaka kuhakikisha kwamba watu katika hatua hiyo na kuwa suala hilo la kuwadhurumu wenye itikadi sahihi ya watakuwa mstari wa mbele wa n a wa k e h a k i z a o n a k u we p o M u n g u h a we z i kupigania Uislamu, hata kuwadhalilisha wanaume kuongoza, hivyo wanawapiga baada ya kifungo hicho. likubalike tufahamu kwamba vita ili waweze kuweka sheria Alisema, Waislamu hao yaliyotokea wakati wa Nabii zao ambazo zinapingana na wamekuwa wakiendeleza Luti, yatatutokea na sisi. muongozo wa Mwenyezi i b a d a n a k u wa f a n y i a Kumbuka kama vile Daawa wafungwa wengine vilikuwa ni vijiji na leo Mungu. jambo ambalo wamedai Awali Sheikh Bawazir, wamefaulu kuwabadilisha tunaambiwa kuwa Dunia ni kama Ki kimoja unadhani alisema kwamba Qur an, kitabia miongoni mwa hali itakuwaje. Alitanabaisha ilishuka kwa muda wa miaka wafungwa waliowakuta Bawazir. 23, kidogo kidogo, kwa huko. B a w a z i r a l i s e m a hekima, ili kumpa nguvu Sheikh Ponda alisema wa n a o k a t a a u w e p o wa Mtume Muhammda (s w a), kwa ujumla wameshukuru kwa kupata misaada hiyo, Mwenyezi Mungu wana katika kazi yake ya Daawa. huku wakiomba zaidi malengo ya kuweka sheria Alisema, kadhia ya kwanza hata siku ya na taratibu zao nje ya zile za iliyoshuka katika Qur an, kukumbukwa sikuku ya Idd, ili na wao Mwenyezi Mungu. ni elimu, na kubwa zaidi ni waweze kufurahi na kula Alisema, kutokana na hali ile elimu inayoambatana na vizuri katika siku hiyo ya hiyo ndiyo Mitume wengi kumjua Mwenyezi Mungu sikuku. walipata upinzania kutoka na asili ya mwanaadam Ombi lao hili kwa watawala na hata kukia ni kukubali kuwa Mungu tunalifanyika kazi lakini miongoni mwao kuuwawa, yupo. pia hii ni taarifa kwa kama ilivyokuwa kwa Nabii Hii ndiyo itikadi sahihi Waislamu wengine ambao Zakaria, Nabii Yahaya. iliyokuja na Qur an Kariim, wangependa kuwasaidia Alisema, kabla ya kushuka lakini zile zilizo zuka za ndugu zao walipo huko. Qur an, kadhia ya kumjua kumkataa Mungu hizo ni Alisema Ponda. Mwenyezi Mungu ilikuwa itikadi za makosa, kwa maana Katibu huyo wa Jumuiya inajulika amb apo Qur kwamba mtu wa kwanza na Taasisi za Kiislamu, an, imekuja kutilia nguvu ni baba yetu Adam, ambao alisema mwishoni mwa wiki suala alilokuja nalo Nabii sisi wote asili yake inarejea hii (Jumapili) wataendelea Adam (a.s) kuwa Mungu k wa k e . A l i s e m a S h k h . na ziara katika magereza yupo na yeye ndiye pekee Bawazir. mengine matatu ambayo
Katika kufanikisha mpango huo wa u s h u s h u s h u Misikitini, Maimamu na Masheikh wa Bakwata wa t a s h i r i k i a n a k wa karibu na makamanda wa Polisi na kwamba B A K WAT A M a k a o Makuu itasambaza taarifa kwa Maimamu wa misikiti nchini namna ya kutekeleza na kufanya mawasiliano na maosa wa Polisi. Msikiti wowote utakao kuwa na viashiria vya uvunjifu wa amani, taarifa itatolewa Polisi (mara moja) ili kulinda amani ya nchi, Mufti Simba amesema na kunukuliwa na gazeti
moja wiki iliyopita. Sheikh huyo Mkuu wa Bakwata ameyasema hayo a l i p o h u d h u r i a futari iliyoandaliwa na Taasisi ya Imam Bukhar,
inayoongozwa na Sheikh Khalifa Hamis. Katika futari hiyo a l i k u we p o p i a R a i s Mstaafu Alhaji Ali Hassan Mwinyi.
HABARI/Tangazo
AN-NUUR
PROFESA Benadetha Kiliani amesema hadi sasa serikali imeshindwa kuchukua hatua sahihi kushughulikia kiini cha kuwepo hatari ya kutoweka amani nchini. Profesa Kiliani ambaye ni mtaalam wa Sayansi ya Siasa na Utawala kwa Umma na Mhadhiri wa Shule Kuu ya Uandishi wa Habari, ameyasema hayo katika mdahalo wa kujadili mstakabali wa amani ya taifa letu miaka hamsini ayo. Mdahalo huo umefanyika katika ukumbi wa Nkuruma, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita na kuwashirikisha wa n a s i a s a , wa h a d h i r i , wanachuo, taasisi za serikali na zisizo za kiserikali, viongozi wa vyombo vya usalama na wa serikali. Katika mada yake Pro. Kilian alitolea mfano wa migogoro ambayo imekosa ufumbuzi wa kudumu kuwa ni tatizo la udini kati ya Waislamu na Wakristo. Alisema kuna tatizo kati ya Waislamu na Wakristo, a m b a p o Wa i s l a m u wanalalamikia uwiano wa ajira kati yao na Wakristo serikalini. A k a s e m a , Wa i s l a m u wanaona kwamba wanakosa haki katika mamlaka za serikali na utawala kwa ujumla huku wenzao Wakristo wakiwa ndio wengi katika medani hizo. Aidha alikumbusha matatizo mengine ambayo hayakupatiwa suluhu na kusababisha jamii kuendelea kuishi kwa chuki kuwa ni sakata la Mwembe Chai, ambalo alilitaja kuwa lilikuwa maarufu zaidi kama Mwembechai saga. Alisema kuwa matatizo kati ya Waislamu na Wakristo hayajapatiwa ufumbuzi wa kudumu, zaidi ya dola kutumika kudhibiti tu tatizo, jambo ambalo amesema ni la hatari zaidi kwa amani ya Taifa siku zazo. Hata hivyo alisema migogoro ya kidini haipo kati ya Waislamu na Wakristo tu, bali hata ndani ya dini moja. Sote tunakumbuka mgogoro wa KKKT Dayosisi ya M e r u k u l e A r u s h a , mgogoro mwingine ni ule katika Dayosisi ya Pare n.k. Alitoa mfano Prof. Kilian Akibainisha zaidi namna serikali inavyoshindwa kutatua mizozo inayohatarisha amani nchini, alisema mpaka sasa Watanzania hawajui aliyelipua bomu katika mkutano wa CHADEMA kule Arusha ni nani. Kulipuliwa Kanisa kule Olasiti Arusha tumeambiwa alikamatwa kijana wa pikipiki, hatujui yule kana
uhuru bali tangu ukoloni. Aidha amevishauri vyombo vya habari kuacha kutumiwa kwa maslahi ya wanasiasa na kusababisha mogogoro na kuvunja amani, kwani mara nyingi wanasiasa huwa wanavitumia kama bunduki na kujikuta vinaingia katika kuleta machafuko na kuvunja amani ya nchi. Akihitimisha mjadala huo, Waziri wa Mambo ya Ndani Dk. Emmanuel Nchimbi, alikiri kuwepo upungufu upande wa serikiali na wa asasi nyingine za kisiasa. Hivyo alishauri UDASA kutoishia hapo walipokia, bali waandae zaidi madala ya amani ili kuikosoa serikali na kuelekezana njia nzuri za kulinda amani ya nchi. D k . N c h i m b i aliwahakikishia waandaaji na waliohudhuria mjadala huo kwamba, atafanya juhudi kuhakikisha madala ya aina hiyo inakwenda mikoani hadi wilayani na hatimaye Taifa kwani kati ya mambo ambayo yanampa changamoto ni amani ya nchi hii. Alisema ingawa kuna vikao bado vinaendelea kati ya serikali na viongozi wa dini, lakini tatizo la udini bado halawekewa mikakati. Alisema kuwa wao walirithi nchi ikiwa na amani, hivyo wa deni la kurithisha nchi hii kwa kizazi kacho ikiwa na amani.
Habari za Kimataifa/Tangazo
AN-NUUR
BEIRUT Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah, amesema k u wa s u a l a m u h i m u kwa wanaharakati hao ni kwamba wanaungwa m k o n o n a wa n a n c h i wa Lebanon, mataifa ya Kiarabu na ulimwengu wa Kiislamu. Hassan Nasrullah, ambaye alikuwa akijibu hatua ya Umoja wa Ulaya ya kuiweka Hizbullah katika orodha yake ya m a k u n d i ya k i g a i d i , alisema Jumatano jioni wiki hii, katika karamu ya futari iliyotayarishwa na Hibzullah mjini Beirut kwamba, wana mapambano wa Hizbullah wamebadili kanuni za mapigano, wakabatilisha m i p a n g o ya a d u i n a kukomboa mateka na ardhi za Lebanon zilizokuwa katika makucha ya Wazayuni na wataendelea kuwa mwiba katika jicho za Israel. Sayyid Nasrullah amesema Hizbullah haikushangazwa na hatua ya Umoja wa Ulaya ya kuiweka katika orodha ya k e ya m a k u n d i ya kigaidi, kwani uamuzi huo ulikuwa ukisubiriwa k wa m u d a m r e f u n a kwamba,wameshangaza ni wahusika kuchelewa na uamuzi wao huo. K a t i b u M k u u h u yo wa Hizbullah amesema, Umoja wa Ulaya (EU) unatumikia maslahi ya Israel na kwamba, umoja huo umetwishwa maamuzi hayo kwa sababu yanapingana na thamani za nchi za Ulaya. Nasralla amesisitiza kuwa, harakati hiyo ya mapambano itaendelea kuwepo na itashinda kwa uwezo wake Allah. Awali Umoja wa Ulaya kuliwawekea vikwazo wanaharakati ya Hizbullah Lebanon, ambapo Bw. Nasrallah alisema, nchi hizo 28 za Ulaya zinafuata kibubusa maagizo kutoka Marekani. Julai 22, chini ya shinikizo la Marekani na utawala dhalimu wa Israel, Umoja wa Ulaya uliamua
Aidha kwa hatua hiyo, Umoja wa Ulaya unaelezwa kuwa unataka kuzipotosha fikra za walimwengu kuhusu sura ya kigaidi ya Israel na kuhusu misaada yake kwa makundi mbalimbali ya kigaidi ya Mashariki ya Kati hususan huko Syria.
mwingine, hata taasisi za Serikali vikiwemo baadhi ya vyombo vya habari, vimekuwa vikitolewa mfano wa kutoa taarifa zenye kubeza baadhi ya viongozi ndani ya serikali hiyo. Kinachojitokeza ni kuwa kila anayekuwa na msimamo tofauti na ule wa makada wa CCM juu ya muungano na hadhi ya Zanzibar katika muungano huo, huonekana kama msaliti. Haya ndiyo yanayowakuta walio katika ile Kamati ya Maridhiano, wenye maoni ya kuwa na muungano wa m k a t a b a n a wa n a o t a k a Serikali tatu. Hata kama mtu alikuwa kada mzuri wa CCM na kiongozi katika SMZ, lakini mara anapoonekana
kutokuunga mkono muundo wa Serikali mbili, basi anakuwa hapendezi tena. Wa l a h a i c h u k u l i w i kuwa hayo ni maoni yake na ana uhuru huo, tena wa kikatiba na kisheria na hata kisiasa kwa sababu huu ni wakati wa kutoa maoni. Kinachotarajiwa ni kuwa ujio wa Jarida hili, Zanzibar Daima, labda itasaidia kuchambua masuala haya, lakini kubwa zaidi kutoa elimu watu wawe na moyo wa kuwavumilia wenye maoni tofauti na yao. N a k w a m b a mwisho wa yote, kama kinachozungumzwa ni demokrasia, haki na utawala bora, basi kauli ya wengi ndio isikilizwe.
Maslahi ya kudumu ya Zanzibar hayawezi kupatikana kwa kukandamiza mawazo ya wengi, japo ukandamizaji huo unaweza kuwa na manufaa ya muda mfupi ya baadhi ya wanasiasa. Hao ni wale ambao wanaposimama katika majukwaa hutema cheche wakidai kupigania masilahi ya nchi kumbe nchi yenyewe ni nafsi zao.
Makala
AN-NUUR
Binadamu sio mtu wa Ndio tu Tutumie vyema neema ya akili Tusiwe vipaza sauti visivyojijua
kuangamizwa, lakini kwa muktadha wa kipindi hiki na kwa mazingira ya Tanzania, maneno haya ni ya kuchochea chuki baina ya Waislamu na Wakristo na maneno ya kuchochea Wakristo kuuwa Waislamu a u Wa i s l a m u k u u wa Wakristo. Lakini kwa sababu aliyekamatwa ana jina la Kiislamu, basi itakuwa sahihi kusema kuwa mtuhumiwa huyo alikuwa akichochea Waislamu kuwaangamiza Wakristo. Lakini Manumba hakuishia hapo. Akagusia kitisho cha al Shabab ambapo alisema kuwa Tanzania si salama tena kwa sababu magaidi wa al Shabab wanavinjari Ta n z a n i a n a A f r i k a Mashariki kwa ujumla wakitafuta sehemu za kushambulia. Ukichanganya taarifa hii ya DCI Manumba na ile habari ya gazeti la RAI kuwa vana 200 (wa Kiislamu) wapo Somalia na Sudan kujifunza ugaidi, haya ni madai mazito. Mkristo akisoma habari kama hizi, moja kwa moja anajenga mawazo/maoni (opinion) kuwa akina Ali, akina Iqbal ni maadui w a Wa k r i s t o w e n y e uchu wa kuangamiza Wakristo. Kibinadamu naye, kwanza atawaona hawa ni maadui. Ataishi na kukaa nao kimtego kimtego akiwa na wasiwasi k u wa m u d a w o w o t e anaweza kushambuliwa. Kwa hiyo naye anakaa kimaarifa tayari tayari kwa kujihami. Kwa upande mwingine, kama itatokea shambulio la aina yoyote na ikatokea akauliwa Mkristo, hata kama aliyefanya hivyo ni kichaa au lilikuwa tukio la bahati mbaya (ajali),
Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) Robert Manumba. lakini akitokea mtu kusambaza habari kuwa wahusika ni Waislamu, ye ye wa l a h a t a s u b i r i kupata ukweli na usahihi wa madai hayo. Moja kwa moja ataamini kuwa ndio yale yale waliyokuwa wameambiwa kwamba kuna watu (Waislamu) wanahamasishana kuangamiza Wakristo. Kwa hiyo taarifa kama zile zilizotolewa na Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) Robert Manumba na zile habari za gazeti la RAI, kwa kweli zinaweza kuacha athari mbaya na kuleta madhara makubwa k a t i k a j a m i i a m b a yo hayakutarajiwa. Sina sababu na naamini hakuna yeyote katika sisi Watanzania anaweza kusimama na kuleta madai kuwa haviamini vyombo vyetu vya dola. Lakini hoja ya msingi hapa ni kuwa kuna haja ya kuchukua tahadhari kubwa katika kutoa taarifa: Kwanza kuhakikisha kuwa tarifa zeyewe ni za kweli. Ilivyosemwa ndivyo kweli ilivyokuwa? Tunaposema Ally alikamatwa na komputa mpakato yenye maneno yanayochochea Waislamu kuwaangamzia Wa k r i s t o , n i k w e l i komputa hiyo ilikuwa na maneno hayo? Ni kweli kumputa hiyo ilikuwa ya Alli na ni yeye Ali kaandika maneno hayo? Na katika mazingira ya nchi yetu lazima tujiulize, ni kweli huko maosini tulipo na mitaani tunapoishi, hali inaonyesha kuwa kuna chuki baina ya Wakristo na Waislamu kiasi cha kukia kila upande kuhamasisha watu wa upande wake kuangamiza watu wa upande mwingine? Profesa Mahmood Mamdan ameandika kitabu chake alichokipa jina: GOOD MUSLIM, BAD MUSLIM-America, the Cold War, and the Roots of Terror. Katika kitabu hicho ukurasa wa 196 mpaka 198 ametoa visa viwili. Kimoja ni simulizi ya muuguziNesi (nurse) wa Kuwait ambaye alitoa ushahidi kwamba aliwaona askari wa Iraq wakivamia wodi ya wazazi katika hospitali anapofanya kazi na kuuwa vitoto vichanga kwa mamia. Ushahidi huo uliotolewa katika Bunge la Congress, ndio uliopelekea Bunge hilo kupiga kura kwa wingi kuidhinisha jeshi la Marekani kuingia vitani kumpiga Saddam Hussein katika vita ya mwaka 1991 iliyopewa jina la Operation Dersert Storm. Inaendelea Uk. 7
7
ilikuja kufahamika kuwa kumbe yule hakuwa muuguzi. Alikuwa binti wa Balozi wa Kuwait, Washington, na kwamba hiyo ni propaganda i l i yo t e n g e n e z wa n a kampuni ya Rendon Group (Media Consultancy) ambayo i l i k u wa i m e a j i r i wa rasmi kwa ajili ya vita ya propaganda. Gazeti la New York Times la tarehe 20 Februari, 2002 lilifichua zaidi habari hiyo pale lilipoandika kuwa kuelekea vita ilikuwa imeundwa Ofisi iliyoitwa Office of Strategic Influence (OSI) na kwamba chini ya generali Simon Worden, OSI, ilitakiwa kuzua habari za uwongo ilimuradi ziwe za kusaidia masilahi ya Marekani. Na katika jumla ya mikakati yake ilikuwa kuipa kandarasi kampuni ya Random Group ya dola 100,000 kwa mwezi kusaidia kazi hiyo. Anasema Profesa Mamdan kuwa baada ya kuchuliwa habari hizo, OSI ilivunjwa rasmi. Hata hivyo anasema k u wa k u i b u k a t e n a kisa cha Jessica Lynch rescue, inaleta utata kama kweli kitengo hicho kilivunjwa. Ufupi wa maneno anasema kuwa: Mwezi April 2003, karibu televisheni zote, redio na magaeti nchini M a r e k a n i , z i l i k u wa zimepambwa na kisa cha ujushaa wa kikosi maalum cha Marekani kilichofanikiwa kumuokoa askari wake akiitwa Jessica Lynch. Ikadaiwa kuwa tarehe 23 Machi, 2003 Jessica alivamiwa ghaa na askari wa Iraq akapambana nao mpaka risasi zikamuishia. Hapo ndipo akapigwa risasi na kujeruhiwa kwa visu akafungwa kamba na kupelekwa hospitali katika mji wa Nasariyah. Akiwa hospitali akapigwa na kuteswa sana na askari wa Iraq. Wiki moja baadae kikosi maalum cha askari wa Marekani walivamia hospitali
Inatoka Uk. 6 Hata hivyo, baadae
Habari/Tangazo
RAMADHAN 1434, IJUMAA AGOSTI 2-8, 2013 unafanyika mpiga picha wa lamu mmoja aliyeshiriki kutengeneza filamu inayojulikana kwa jina la Black Hawk Down alikuwa akipiga picha za video za tukio zima. Profesa Mamdan anasema kuwa hili ni tukio ambalo lilipigiwa zumari sana na kuwa kama nembo ya ushujaa wa askari wa Marekani katika vita 2003. Hata hivyo anasema kuwa t u k i o h i l o l i l i k u wa uwongo mtupu kama ulivyokuwa uwongo uliopelekea Marekani kuivamia Iraq: Madai kuwa Saddam Hussein ana silaha za maangamzi na madai kuwa yeye na al Qaidah ni kitu kimoja. Ni kwa sababu hii nadhani kuwa tuna kila sababu ya kuwa makini na taarifa ambazo zina kila dalili ya kuleta mtafaruku katika nchi. Hoja ni kuwa i n a we z e k a n a k we l i tukawakamata akina Tom na Ally wakiwa na komputa mpakato zenye maneno ya kuhimiza Waislamu kuwakata makoo Wakristo na kinyume chake, lakini tuna uhakika gani kwamba hao kina Ally na Tom sio kama yule bint wa Balozi wa Kuwait aliyedaiwa kuwa ni nesi? Mtu ni ndiyo... Ndiyo kwa maisha. Ndiyo kwa upendo. Ndiyo kwa ukarimu. Lakini mtu pia ni hapana. Hapana kwa kudharauliwa kwa binadamu. Hapana kwa unyonyaji wa watu, Hapana kwa kuchinjwa kwa kile ambacho ni cha kibinadamu zaidi katika utu: uhuru. (-Frantz Fanon: Black Skin, White Masks) Unapokubali kufanywa kipaza sauti kisichopima kama kinachosemwa ni kweli au uwongo, kina madhara au faida, kwa kweli ni kujidharaulisha kulikopita mipaka. M t u ye yo t e anayejitambua na anayejali heshma na utu wake, hawezi kukubali. Atasema hapana. Atasema hapana kwa sababu hakuna kiwango cha pesa kinachoweza kuwa ndio thamani ya ubinadamu, heshma,
AN-NUUR
hiyo wakawashinda nguvu askari wa Iraq waliokuwa wakimlinda wakamuokoa na kumpeleka hadi Kuwait. Profesa Mamdan anasema kuwa ilipigwa p r o p a g a n d a k u b wa na habari kupambwa ikilenga kuonyesha ukatili wa askari wa Iraq kuwa wanatesa hata wagonjwa hospitalini lakini pia ikionyesha ushujaa wa kikosi maalum cha askari wa Marekani. Jioni ya siku hiyo hiyo Rais George W Bush akahutubia taifa kutoka White House na kuita tukio hilo kuwa Uokozi kwa taifa. Kiasi siku nane baada ya tukio Wizara ya Ulinzi ya Marekani ikasambaza picha za video za tukio hilo kwa vyombo vya habari. Mara baada ya vita
kumalizika waandishi wa habari kutoka New York Times, the Toronto Star, El Pais na BBC, walikwenda Nasariyah kupata ukweli wa tukio lile. Askari katika hospitali aliyokuwa anatibiwa Jessica wakawafahamisha kuwa askari huyo alikishwa hapo akiwa na mejeraha, amevunjika mkono na mguu na kwamba majeraha hayo yalikuwa yamesababishwa na ajali ya gari alilokuwa akisafiria. H a k u wa a m e p i g wa risasi kabisa. Habari hizo zilithibitishwa pia na madaktari wa Kimarekani waliokuwa Iraq. Kuhusu kuteswa je? Madaktari walisema kuwa Jessica Lynch alipokishwa hospitali a l i k u wa a m e i s h i wa damu kutokana na
kuvuja damu nyingi katika majeraha na kwamba jambo la kwanza walifanya juhudi kupata damu na kumuwekea. Akiongea na waandishi hao Dr. Saad Abdul Razak anasema kuwa yeye mwenyewe na familia yake walitoa damu kumpa Jessica kwa sababu damu yao ni O Postive kama ilivyokuwa ya Jessica. I think that we save her life. Alinukuliwa Dr. Abdul Razak akisema. Vipi kuhusu uokoaji: Uchunguzi wa waandishi hao unaonyesha kuwa baada ya Jessica kupata nafuu, madaktari walitafuta namna ya kufikisha habari kwa vikosi vya Marekani kupitia Shirika la Msalaba Mwekundu (Red Cross) kwamba kuna askari wao hospitalini wanaweza kuja kumchukua. Red Cross walimchukua Jesicca na kumpeleka katika kambi ya jeshi la Marekani iliyokuwa karibu, lakini wakashambuliwa na askari wa Marekani ikabidi wakimbie na kumrejesha Jessica hospitalini. Usiku wa siku hiyo hiyo (alfajiri hakujapambazuka), ndio kikosi maalum kilika na kuanza kufyatua risasi ovyo huku makamanda wakitoa amri mbalimbali. It was like in Hollywood film. There was no Iraq soldiers, but the American Special Forces were using their weapons. They red at random and we heard explosions. They were shouting Go! Go! Go! The aack on the hospital was a kind of show, or action lm with Sylvester Stallone. A n a s i m u l i a D r. Amnar Uday akiongea na mwandishi wa BBC John Kampfner. Ta a r i f a z a i d i zinafahamisha kuwa wakati uvamizi huo
8
Na Mwandishi Maalum HIVI karibuni kwa takriban miezi miwili kumekua na midahalo mbali mbali ambayo imekuwa ikiendelea katika nchi nyingi za maswala ya Ulinzi mtandao katika nchi za Afrika. Katika Vikao tofauti vilivyo fanyika mjadila ulikuwa ni hali ya usalama wa kimtandao kwa ngazi ya kidunia na kudhihirika ya kua kumekua na ongezeko kubwa katika mwaka huu wa 2013 la makosa mtandao na wakati huo huo nchi baadhi tayari zimeweza kupiga hatua katika kukabiliana na hali hiyo. Bwana Yusuph Kileo mmoja wa Watanzania alipata fursa kuhudhuria katika mikutano hiyo akiwa ni mwanachama wa kudumu wa kikundi kinacho jihusisha na Ulinzi mtandao katika nchi za Afrika Katika kikoa kilichofanyika Afrika Kusini hivi karibuni, taarifa iliyowasilishwa na Profesa Hamadoun Toure kutoka ITU (International Te l e c o m m u n i c a t i o n Union) iliyo chini ya United Nations (Umoja wa Kimataifa) ilisema kuna mategemeo mwishoni mwa mwaka huu wa 2013 pakawa na watumiaji bilioni 2.7 wa mtandao na kwa takwimu hizo zimeonyesha kupanda kwa kasi kulinganisha na takwimu za awali zilizotolewa mwishoni mwa mwaka. Aidha ripoti iliyowasilishwa na ITU huko Geneva ilisema, kumekua na ongezeko kubwa la madhara ya m t a n d a o a m b a p o ilielezwa mitandao imekua ikiathiriwa zaidi kwa Asilimia 30, Phishing Sites spoong social networks imeongezeka kwa asilimia 125 na kuelezwa nusu ya vijana wenye umri kati ya miaka 13 hadi 17 uliimwenguni kote wamekua wakiathirrika na kilichotambulishwa kama Cyberbulling. Vile vile Tafiti zilizo wasilishwa katika ripoti ya the World Federation of Exchanges and the International Organization of Securities
Usalama wa kimtandao
Makala
AN-NUUR
Bwana Yusuph Kileo Akibadilishana Mawazo Na Bwana Craig Rosewarne Ambaye Ni Mwenye Kiti Wa Jumuia Ya Maswala Ya Security Mara Baada Ya Kikao Katika Mkutano Ulio Fanyika Nchini Afrika Kusini Mwishon Mwa Mwaka Jana Ili Kupitia Hali Ya Makosa Ya Kimtandao Uliohusisha Wataalam Wa Uchunguzi Wa Makosa Ya Digitali Na Mtandao Duniani Commissions zimeeleza nusu ya taasisi za fedha duniani zimeweza kuathirika na Cyberattacks pamoja na wizi mtandao hadi kufikia mwaka jana mwishoni huku ikielezwa kushindikana kutatua hali hiyo kwa takriban robo nzima ya taasisi hizo za fedha dhidi ya tatizo hilo. Hayo na mengine mengi ambayo yamepata k u j a d i l i wa k wa k i n a ya l i o n e k a n a k u wa n i changamoto kubwa katika dunia ya sasa ambapo kutakua na ugumu sana kukimbia utumiaji wa teknolojia katika maisha yetu ya kila siku huku B wa n a Yu s u p h K i l e o akitolea mifano hali ya utumiaji wa mitandao kuongezeka nchini katika sekta mbali mbali kuanzia kufanya miamala ya biashara hadi katika sekta za elimu na maeneo mengine mengi. Bwana Kileo alioongeza kwa kusema wimbi kubwa nchini limeongezeka la watu kuwa na matumizi m a b a ya ya m i t a n d a o ambapo imekua ikileta athari kubwa kwa jamii katika maeneo mengi hasa ya kibiashara lakini pia hata kutishia hali ya usalama wa nchi kwa kusambazwa maneno mbali mbali ya kutishia Amani ya nchi kwa kipindi kifupi tofauti na awali wakati matumizi ya mtandao hayakua na ongezeko lililoko sasa. Bwana Kileo alisema Ni kweli kila mtu hivi leo anahitaji teknologia ili kuweza kuwasiliana na mwingine, kufanya miamala ya kibiashara na hata kupata huduma mbali mbali ambazo zimesogezwa karibu na wananchi kwa msaada wa mtandao, lakini pia kuna watu baadhi wanatumia fursa hiyo kufanya mambo yasiyo faa kupitia mitandao hiyo hiyo ambapo baadae inaweza kupelekea usalama wa taifa letu kuingia dosari Akimnukuu Profesa H a m a d o u n To u r e , Bwana Kileo alisema, ITU imeweza kueleza mafanikio ya jitihada kuubwa zilizofanywa na nchi mbali mbali ambapo imepelekea Umoja wa Ulaya (EU) kuanzisha kilicho tambulishwa kama Framework katika ulinzi mtandao ambapo kila nchi mwanachama ameweza kunufaika katika hilo. Bwana Kileo alieleza kwa sasa ITU imeanzisha alicho kitambulisha k a m a Wo r l d s F i r s t Comprehensive Alliance Against Cyber Threats ambapo nchi 145 zinapokea huduma hiyo kwa kuwaleta p a m o j a wa d a u m b a l i mbali wenye uwezo wa kupambana na matishio ya kimtandao. Uhamasisho mkubwa umetolewa kwa serikali mbali mbali, sekta binafsi pamoja na jumuia mbali mbali kuweza kulichukulia suala hili la makosa mtandao kwa sura ya kipekee ili k u we z a k u u n g a n i s h a nguvu ya pamoja kwa nchi zote duniani kuweza kukabiliana na tishio mtandao Cyber threats ambapo baadae inaweza kugharimu dunia yetu ya leo. Pia Bwana Kileo alieleza kwa sasa nchi ya Australia wametoa muongozo wa kutekeleza mbinu kuu nne (4) za kiusalama kwa mitandao ili kukabiliana na athari zinazoweza sababishwa na matatizo ya matumizi mabaya ya mitandao huku ikielezwa hatua hiyo itaweza kupunguza kwa asilimia 85 ya kuingiliwa kwa mitandao ya nchi hiyo. Bwana Yusuph Kileo alieleza imeka wakati sasa
Makala
AN-NUUR
US Secretary of State John Kerry told reporters in Amman that Israeli and Palestinian negotiators have set the groundwork to resume peace talks frozen for the past three years. PLO negotiator Saeb Erakat and his Israeli counterpart have met in Washington to begin initial talks within the next week or so. Kerry has visited the Middle East six times in an eort to resume talks, which have been stalled since September 2010 due to the illegal expansion of Israeli settlements in the occupied Palestinian territories. One of three main Pa l e s t i n i a n d e m a n d s for resuming talks has been the release of about a hundred Palestinians who have been jailed since before the signing of the Oslo peace accords in 1993. The other demands are using the 1967 pre-war borders as the basis for negotiations, and freezing Israeli selement activity in the West Bank and East Jerusalem. Although the PA has called for a halt to the construction of illegal settlements, Israeli ministers have voiced opposition to a freeze on selement expansion. The presence and continued expansion of Israeli settlements in occupied Palestine has created a major obstacle for the eorts to establish peace in the Middle East. More than half a million Israelis live in over 120 illegal settlements built since Israels occupation of the Palestinian territories of the West Bank and East al-Quds more than four decades ago. The Palestinians are seeking to create an independent state on the territories of the
West Bank, East al-Quds (Jerusalem), and the Gaza Strip and are demanding that Israel withdraw from the Palestinian territories occupied in the Six-Day War of 1967. Te l Av i v, h o we ve r, has refused to return to the 1967 borders and is unwilling to discuss the issue of al-Quds. The United Nations and most countries regard the Israeli selements as illegal because the territories were captured by Israel in a war and are hence subject to the Geneva Conventions, which forbids construction on occupied lands. Since January 2013, US President Obama and Secretary of State Kerry have led a new eort in order to resume negotiations between Israel and Palestine. Israeli PM Benjamin Netanyahu has declared that he is willing to negotiate without preconditions. Such an Israeli approach, illustrated by Israeli facts on the ground, is an Israeli attempt at normalizing daily aggression, oppression, discrimination and attacks against the occupied people of Palestine. It shows once again that Israel is not interested about reaching a just and lasting peace but rather in maintaining the status quo while resisting international pressure. An Israeli commitment to the two-state solution in line with the vision of Palestine and the rest of the international community would be a positive step. U n f o r t u n a t e l y, statements and actions made by prominent members of the Israeli government prove that there is a clear ri within the Israeli government on the issue of the peace process,
while Palestine and the international community is exerting eort to resume meaningful negotiations. Many prominent gures of the ruling Israeli coalition are publicly opposing the two-state solution. At the same time, continued actions on the ground, many of which fall under the banner of Israels illegal selement enterprise, demonstrate a clear intention to destroy the possibility of two states living side by side. Official Israeli government statistics revealed that during the rst quarter of 2013, construction in the West Bank increased by 335% in comparison to the last quarter of 2012 - reaching the highest level in seven years. Settlement activity embodies the core of the policy of colonial military occupation of the land of the Palestinian people and all of the brutality of aggression and racial discrimination against our peop le t hat t his policy entails (President Mahmoud Abbas). In the short period during which Israel has talked about peace, as a response to US eorts to resume negotiations, the Palestinian people have been subjected to numerous and appalling violations at the hands of their supposed partner in those talks. These are not merely violations which prejudice the outcome of the twostate solution, not merely violations which make the prospect of meaningful negotiations incredibly difficult, not merely violations which breach
international law and almost every basic human right, but violations which are physically and continuously harming the lives and livelihoods of normal people. Palestinians face daily terror aacks and violence from the Israeli military and settlers who are granted full support from the Israeli government and its ocials. What is most shocking is that these policies and violations are carried out with a complete lack of accountability. This impunity that Israel currently enjoys is not the right environment for meaningful negotiations. The only way to open a door for credible negotiations is for Israel to implement previous agreements and respect international law. The only party able to ensure this environment is the international community. In a high-profile dismissal of the embryonic process, Israels former foreign minister Avigdor Lieberman, wrote on Facebook that there was no solution to the IsraeliPalestinian conflict, at least not in the coming years, and whats possible and important to do is conict-management. Naftali Bennett, e c o n o m i c s m i n i s t e r, insisted construction on Jewish settlements in the West Bank and East Jerusalem would continue, regardless of talks. The comments by two crucial partners in the Israeli coalition are a sign of deep hostility within the government over the agreement for preliminary talks forged by Kerry on Friday. The main sticking
point continues to be the Palestinian demand that the pre-1967 borders form the baseline for territorial negotiations, a guarantee which Israel refuses to give. If Kerry fails to persuade the Palestinians they have rm US backing on the issue, talks may fail to get o the ground. There is also disagreement over the timeframe. Israel is pushing for negotiations to last up to a year, fuelling concern among critics who believe Netanyahu is seeking to give the appearance of diplomatic co-operation while stalling for as long as possible on any outcome. Although the PA has called for a halt to the construction of illegal settlements, Israeli ministers have voiced opposition to a freeze on selement expansion. Its inappropriate for the Jewish people, for the land of Israel and for a sovereign state, Housing Minister Uri Ariel said. We are in favour of building as much as possible. The United Nations and most countries regard the Israeli selements as illegal because the territories were captured by Israel in a war and are hence subject to the Geneva Conventions, which forbids construction on occupied lands. International Relations Commission- Fateh Ramallah - Palestine Contact us: P.O Box 20307, 612 UN Road Upanga West, Dar es S a l a a m Te l : 2 1 5 2 8 1 3 , 2150643 Fax: 2153257 Email: pict@pal-tz.org Website: www.pal-tz.org
10
SIKU NIKIFANIKIWA
Siku nikifanikiwa, swali hili nitatiza Kweli nitashukuriwa, na watu wasojiweza Yatima waloliwa, nitawapa mwangaza Au taharibikiwa, kwa kuanza kujikweza Watu nitawaibia, nifanikiwe kwa shari Dhulma tawafanyia, kwa jeuri na kiburi Uchawi nitatumia, urozi tangu dahari Freemason taingia, nikawe hata kari Au nitashughulika, fanikiwe kwa halali Maharage taridhika, mchunga huku ugali Ninazoa takataka, kazi yangu ni dhalili Koradhi kusulubika, kipato kiwe halali Nitawapa sikitiko, ndugu pia Maraki Tulogombea makoko, kipindi nanuka dhiki Kutokumbuka miiko, kuwaona watubaki Mbekenyera Kirinjiko, tulisoma kwa hilaki Nitaheshimu wazazi, au nitawadharau Nitakumbuka malezi, au nitayasahau Nitamfata Mwenyezi, diniye chake kirau Nitakuwa siwezi, kwa anasa na vidau Nitafanya ihsani, au tatenda machafu Nitakuwa kama nani, lingana wake wasifu Nami hapa duniani, nitakuwa maarufu Maswali mengi kichwani, kira zangu kipo Tamati nimekia, ila jibu satoa Kazi ninawapatia, Islam lobakia Mdabiri na kujua, kisha mtaniambia Tahadhari ninatoa, nafsi kujitambua NASRI KIONE MIBAVU 0759202192 (nasrikione@yahoo.com)
Mashairi/Barua
AN-NUUR
MAMA
Kifo ni haki ya mtu, na siri yake manani Nami silaumu katu, qadari za subhani Viumbe twapenda vitu, vilo bora na thamani Pia twakumbuka watu, kwa matendo ya thamani Saona kama mama, nakiri toka moyoni Ukweli ninausema, sifae nampa shani Daima likuwa hima, kuniweka furahani Ulipo lale salama, kiama wekwe peponi Linilea kwa mapenzi, ukanikanya mabaya Liniasa siwe shenzi, kuwa na tabia mbaya Stare ziso enzi, anasa na Umalaya Leo metunga utenzi, iwe ndo yangu hidaya Ukabaji hata wizi, hukutaka nihusike Ulisema majambazi, maishao sekeseke Heshima busara vazi, nivae nistirike Nisome nipate kazi, nitafanya uridhike Zabibu hata senene, ulonipa enzi zile Wakubwa pia wanene, nikaenda nao shule Kanambia niwabane, madrasa nikawale Lipeka kenda nane, sisahau siku ile Siku uliyofariki, wakaenda kukuzika Moyo ulitaharuki, umati ulioka Miaka kumi siki, mama mola kakutaka Kifocho hakikwepeki, kaburi kakufunika Mama ninakuahidi, wasia nitafatisha Dini nitajitahidi, kusoma na kufundisha Ninamuomba wadudi,Adhabuye kukwepesha Peponi ukafaidi, siku utayoamshwa NA NASRI KIONE 0759202192 (tungo zenye ulimbo) nasriibrahimu@yahoo.com
Mhe. Jumanne Maghembe, kwamba watendaji wake katika mamlaka hii wanamuangusha. Sasa hawatoi huduma ya maji bali wamekusudia kufanya biashara na wenye maboza kwa kuwakosesha watu huduma ya maji kwenye bomba zao. Ni vyema Mhe. MAghembe ukafanya uchunguzi wa kina ili kubaini ukweli dhidi yta watendaji wa eneo hili la Kibamba na Mbezi,ili kuwaondolea wananchi wa maeneo haya mateso katika kupata huduma hii ya msingi. Tu n a t a m b u a k wa m b a M a a n a D AWA S C O walichukua vioski vyao vilivyokuwa vikisimamiwa na najamii, baada ya kubaini kwamba waliopewa kusimamia vioski hivyo walikuwa wakichuma fedha nyingi kwa kuwalangua raia maji, huku wao wakishindwa kuwasilisha katika shirika kiasi cha fedha stahiki. Lakini kwa jinsi hali ilivyo sasa, kihuduma hatuoni tofauti ya wao kuchukua vioski hivyo, kwani bei wanayuzia maji yao sio bei wanayouziwa wananchi. Kwa bahati mbaya, vioski hivyo siku hizi huuza maji kwa wanaonunua maji kwa kiwango kikubwa tu, wale wanaonunua kwa ndoo au madumu hawana nafasi katika vioski hivi. Niseme tu kwamba, sasa mwezi wa pili tunaishi bila kupata maji ya bomba, bila kutolewa taarifa za msingi za kukosekana maji hayo kutoka DAWASCO. Mazinde Makeka Mbezi Luguruni -Dar
RAMADHAN KARIM
Jipatie vitabu vyenye mafunzo ya Funga ya Ramadhani, vilivyoandaliwa na Sheikh Nurdin Kishki kama vile:- Hadithi 30 kuhusu Funga ya Ramadhan. Hukumu za Funga ya Ramadhan. Ipi Idadi sahihi ya Swala ya Tarawehe. Vingine ni Ndoa Talaka na Eda. Pamoja na Uislamu si Dini ya Ugaidi. Kwa mahitaji ya jumla na reja reja, ka dukani kwa Saimu Gwao, Msikiti wa Mtoro au Ibn Hazim MediaCentre. Simu:-0713 471 090, 0715 825 672, 0773 194 646.
11
Habari/Tangazo
AN-NUUR
SULEIMANI Omary Ally wa Al Hikma ameibuka mshindi wa Juzuu thelathini na kujinyakulia pesa taslim shilingi milioni kumi, Laptop pamoja digital Quran na cheti. Nafasi ya pili imeichukuliwa na Abdallah Abdul-Qadri Muhamad kutoka Alhikma aliyejichukulia pesa taslim milioni tatu na laki mbili na themanini, pikipiki, digital Qur-an na cheti. Nafasi ya tatu ya juzuu thelathini ilichukuliwa na Haytham Sagar Ahmad kutoka Kenya aliyejipatia milioni moja laki sita na arobaini elfu, pikipiki, Digital Quran na cheti. Katika kilele cha mashindano hayo, Mlezi wa Taasisi ya Alhikma, Alhaji Ali Hassan Mwinyi, amewashukuru Waislamu kwa kuonyesha kuunga m k o n o m a s h i n d a n o ya kuhifadhi Qur`an. Alhaji Mwinyi alitoa shukrani hizo katika mashindano ya 14 ya k u h i f a d h i Q u r a n yaliyoandaliwa na Taasisi ya Alhikma Education Centre, na kufanyika katika viwanja vya saba saba jijini Dar maarufu kama viwanja vya Mwalimu Nyerere mwishoni mwa wiki iliyopita. Waislam tunatakiwa kukihifadhi na kukifuata kitabu kitukufu cha Qur`an, kwani ndio muongozo wa wanadamu. Alisema Alhaj Mwinyi. Alisema kuwa kutofuata kitabu hicho ni upotevu ulio mkubwa na kwamba, ndio maana watu wanafanya mambo ya ajabu na kupatwa n a m e n g i m a b a ya k wa kutokuwa na muongozo sahihi ambao ni Qur`an. Alhaji Mwinyi alibainisha kuwa ili kuepukana na huu utandawazi unao haribu vizazi vyetu katika jamii, dawa ni moja tu, nayo ni kufuata barabara mafundisho ya Qur`an. N a ye S h e i k h N u r d i n Kishki alisema kuwa ni vyema Waislamu wakawa na yakini kwamba, lengo la kufanya mashindano ya kuhifadhi Quran sio kutafuta pesa, bali ni kuwapa vana hamasa waweze kuendeleza Qur`an. Aidha amewataka Waislamu kuacha kupupia mambo yasiyofaa na badala yake waisome Qur`an na
aliyepata shilingi laki sita fri ya mezani pamoja na cheti na nafasi ya tatu ilichukuliwa na Khamis Abdallah, ambaye naye alipata shilingi laki nne birika la kuchemshia maji pamoja na cheti cha ushindi. Washindi wote wametokea Madrasa Alhikma, Temeke. Kwa upande wa washindi wa Juzuu kumi, nafasi ya kwanza ilichukuliwa na Anwar Yahya wa Madrasa Al Hikma aliyejinyakulia shilingi laki tisa na Flat Screen na DVD pamoja na cheti. Nafasi ya pili ilichukuliwa na Hamad Khamis kutoka D a r u l - U l u m a l i ye p a t a shillingi laki tano na cheti. Katika ngazi ya Juzuu ishirini, nafasi ya kwanza ilikwenda kwa Abdallah Juma wa Madrasa ya Al Hikma na kupata shilingi milioni moja, pikipiki na cheti. Nafasi ya pili ikikwenda kwa Yahya Ally wa Madrasa ya Darul- Uluum aliyepata shilingi laki nane baiskeli na cheti. Anas Abdul-Hadh wa Al Hikma alishika nafasi ya tatu na kupata shilingi laki sita, Sub-woofer na cheti.
SULEIMANI Omary Ally wa Madrasa Alhikma, aliibuka mshindi wa Juzuu thelathini na kujinyakulia pesa taslim shilingi milioni kumi, Laptop pamoja digital Quran na cheti.
Msikiti wa Istiqama, Ilala Jijini Dar es Salaam, leo (Ijumaa). Mashindano hayo yalianza Julai 21, yanatarajiwa kukia kilele leo Ijumaa Agosti 2 Msikitini hapo.
Akiongea na gazeti hili, msimamizi wa mashindano hayo Ustadhi Saleh Omari Salehe, amesema haa hiyo itafanyika msikitini hapo kuanzia saa mbili usiku baada ya swala ya Ishah. Ust. Omar alisema mbali na Makamu wa Rais, pia mashindano hayo yatashuhudiwa na Masheikh na wageni mbalimbali. Alisema mashindano ambayo yanafanyika kwa mwaka wa tatu sasa tokea yaanzishwe, ambapo mwaka huu yameshirikisha washiriki 39.
MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr. Ghalib Bilali, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika haa ya kutoa zawadi kwa washindi wa usomaji Qur an, katika
12
AN-NUUR
MAKALA
12
Tanzania Muslim Hajj Trust Safari ya Hijja 2013 Uandikishaji unaendelea gharama za Hijja ni dola za Kimarekani $ 4200. Safari ni tarehe 5 na 7 Octoba, na Kurudi Tarehe 27 na 28 Octoba, 2013. Wahi kujiandikisha Sasa. Uandikishaji wa Hijja Zijazo 2014, 2015 kwa Kulipia kidogo kidogo, unaendelea. Simu: 0717 000 065, 0784 222 911, 0754 304 518, 0754 498 888 Au kupitia Tovuti yetu. www.hajjtrusttz.org.
WASHINDI wa shindano la kuhifadhi Qur'an lililofanyika PTA Sabasaba jin Dar es Salaam wakiwa na baadhi ya Masheikh mara baada ya shindano hilo lililofanyika mwishoni mwa wiki.
Msingi wanatarajiwa kufanya mtihani wa kuhitimu elimu ya Msingi katika somo la Dini ya Kiislamu. Mitihani hiyo inatarajiwa kuanza Agosti 14, 2013, katika Shule mbalimbali kote nchini, chini ya usimamizi wa Islamic E d u c a t i o n Pa n n e l , ambapo hatua za awali za maandalizi ya kukamilisha zoezi hilo imesha kamilika. Akizungumza na
gazeti hili, Jumanne wiki hii kiongozi muandamizi wa Islamic Education Pannel, Ust. Ibrahim
Kunema, alisema tayari semina zimeshafanyika k wa wa s i m a m i z i wa mtihani hiyo. Kunema alisema usajili wa wanafunzi wanaotarajiwa kufanya mtihani huo wa somo la dini umeshafanyika mapema tofauti na miaka ya nyuma, ambapo ilichukuliwa kama changamoto na kufanyiwa kazi mwaka huu. Hata hivyo Kunema alisema, mwaka huu kuna ongezeko la Shule na watahiniwa ukilinganisha na mwaka jana, kwani alidai Ji Dar es Salaam, Shule 276 zitashiriki na kufanya idadi ya wanafunzi watakaofanya mtihani huo kuwa zaidi ya 2500, ambazo wamethibitisha kushiriki. A l i s e m a , wa n d a a j i
wa mitihani hiyo wanatarajiwa kuanza zoezi la usambazaji wa mitihani siku ya Ijumaa (leo) au Jumamosi (kesho) katika Shule shiriki hususani Jini Dar es Salaam. Ama kwa upande wa mikoani Ust. Kunema alisema, yeye si msemaji kwa ujumla ila alidai hana shaka kuwa mitihani hiyo itakuwa imeshasarishwa na kufika katika vituo husika tayari kwa kuwafikia watahiniwa, katika siku iliyopangwa. Tunatazamia safari hii (mwaka huu) mtihani huu kufanyika takribani Mikoa yote ya Tanzania Bara na Visiwani, nako huko suala la wasimamizi limeshafanyiwa kazi kama ilivyokuwa hapa Jijiji. Alisema Ust. Kunema.
BENKI ya Kiislamu ya Amana inayoendesha shughuli zake kwa mujibu wa taratibu zinazofuata sheria za Kiislamu nchini, imet o a f u t a r i k w a watoto yatima na wajane jijini Dar es Salaam. Akizungumza na An-nuur katika zoezi la utoaji wa futari hiyo, Meneja Masoko wa Benki hiyo Bi. Fatuma Mruma, alisema katika kipindi hiki cha mwezi mtukufu wa Ramadhani, Benki hiyo imeamua kutoa futari na sadaka kwa watoto yatima na wajane waishio katika mazingira magumu. Leo tumejaaliwa kutembelea katika Kituo hiki cha Tahdhil Q u r a n A l - h i d a a ya c h a B u g u r u n i k wa Mnyamani, Ilala Jini Dar es Salaam, lakini tumekusudia kuzikia familia zipatazo ishirini ndani ya Ramadhani ya mwaka huu, akiwemo mama mjane anayeishi na watoto saba Sinza. Alifafanua Meneja Masoko huyo. Alisema kuwa tayari Jopo la wafanyakazi wa Benki hiyo wametembelea na kuwafariji watoto yatima wanaoishi k w e n y e v i t u o v ya kulelea watoto hao waishio maeneo ya Te m e k e , Ta n d i k a , Kigamboni na Mtoni
jini Dar es salaam. Naye Meneja Miradi B w. D a s s a M u s s a , alisema msaada uliokabidhiwa katika vituo viwili vya kulea watoto yatima na familia za wajane, una thamani ya shilingi milioni tatu. Zoezi la kukabidhi futari hiyo lilifanyika b a a d a ya s wa l a ya Ijumaa wiki iliyopita. Kwa upande wake mkuu wa kituo Tahfidhil Qur an Alhidaaya Ust. Rashidi Hamisi Hakungwa, alielezea historia fupi ya kituo hicho alisema kilianzishwa mwaka 2 0 0 8 k i k i wa k a t i k a madrasa iliyoanzishwa mwaka 2007. Alisema kituo kilianza na watoto watano na hivi sasa kina vijana sitini, wavulana 40 na wasichana 20, wote wakiwa ni wa umri kuanzia miaka 5 hadi 15. Ustadhi Hakungwa alitoa shukrani zake za dhati kwa Benki hiyo kwa kuwakumbuka yatima, hususani katika mfungo huu wa mwenzi mtukufu wa Ramadhani na kuwapatia futari. Hata hivyo Ust. huyo amesema kuwa bado wanakabiliwa na changamoto nyingi, hasa gharama za uendeshaji wa kituo. Naye Bi. Zena Omari, mkazi wa Sinza ambaye ni mjane mwenye watoto saba, hakuwa nyuma kwa kuishukuru kwa dhati Benki ya Amana kwa msaada waliompatia.
Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na Business Printers Limited, S.L.P. 78495 Dar es Salaam.
Taasisi ya Khidmat Islamiya inawatanganzia Waislamu wote Safari ya Hijja kwa Gharama ya Dola 4450 tu. unaweza kulipa kwa awamu (Kuhijiwa) ni Dola 1450 tu. Kuondoka ni 5/10/2013 kurudi 27/10/ 2013 Piga Simu 0784 786680, 0713 986 671, 0774 786 680 E-Mail) hajjkhidmat@gmail.com , Tovuti (Website) www.khidmatislamiya.com
Markazi Ummu Suhail ni kituo cha kuhifadhisha Qur aan kwa Mabinti wa Kiislamu. Kituo ni cha bweni kipo mkoani Kilimanjaro wilaya ya hai. Umri: kuanzia miaka 13 na kuendelea. Kituo kitafunguliwa 9/08/2013 Inshaalah. Fomu za kujiunga zinapatikana msikiti wa Riadha, wahi nafasi ni chache Kwa mawasiliano zaidi tupigie simu namba 0754 029 518 Mlete mwanao apate elimu yenye manufaa.
14
AN-NUUR
15
AN-NUUR
16
AN-NUUR