s. L. P. 9151 OAR ES SALAAM, TANZANIA, FAX: 022 - 2185245
__________________
Barua zote zipelekwe kwa Katibu Mkuu
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimemteua Ndugu Omary Abdallah Kigoda kuwa mgombea ubunge wa Jimbo la Handeni Mjini. Ndugu Kigoda ameteuliwa kugombea nafasi hiyo ya ubunge baada ya kushinda kura za maoni za marudio zilizofanyika Novemba 03, 2015. Imetolewa na:-
Nape Moses Nnauye,
KATIBU WA HALMASHAURI KUU YA TAIFA, ITIKADI NA UENEZI 04/11/2015