Professional Documents
Culture Documents
1. Kuunganishwa na maji
Tatizo kubwa linalo tukumba ni k u t o unganishwa na maji kutokana na Kata
yetu kutounganishwa na DAWASCO, hivyo wakazi wanategemea chanzo kimoja tu cha
maji cha Taasisi ya Teknolojia ya Ubelgiji.
Endapo nitachaguliwa, suluhisho langu litakuwa ni kushinikiza moja ya kampuni
zangu kuwekeza katika uchimbaji wa visima virefu vya kutumia umeme ambavyo
vitaanza kazi ndani ya mwaka moja kuanzia siku nitakayo chaguliwa, na kwa gharama
nafuu sana kuruhusu wakazi wa Mbagala Kuu
kuunganishwa na maji, fedha tutakazo
lipia huduma ya maji zitatumika kukidhi gharama za kuendeshea kampuni ili iweze
kuendelea kuwekeza katika sekta ya maji ya taifa.
Pia kulikuwa na mradi wa maji uliopitishwa ambao mpaka sasa haufanyi kazi,
nitafanya uchunguzi ili ifahamike kwanini mradi huo ulikufa na kuwahimiza kutua
mini tena.
5. Kuunganishwa na Umeme :
Bado kuna uhitaji mkubwa wa kuunganishwa na umeme ambao TANESCO bado
hawajaweza kukidhi mahitaji ya wakazi wa Kata ya Mbagala Kuu.
.
Taa
Ili kusaidia barabara ndogondogo za Kata ya Mbagala Kuu kuboreshwa kuwa ya kiwango
cha lami nitatoa greda 5 kwa Manispaa ya Temeke kama mkopo ili kusaidia barabara
ndogo ndogo kuwa za changarawe zitakazoweza kustahimili mabadiliko ya hali ya hewa
ambapo ujenzi huo utaanza ndani ya siku 120 baada ya mimi kuchaguliwa.
10
11
KINONDONI
JIMBO LA TEMEKE
JIMBO LA KIGAMBONI
JIMBO LA MBAGALA
JIMBO LA ILALA
12