You are on page 1of 16

ISSN 0856 - 3861 Na.

1129 SHAABAN 1435, IJUMAA , JUNI 13-19, 2014 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=
Sauti ya Waislamu
www.annuurpapers.co.tz facebook: annuurpapers@yahoo.com
Masheikh Tanzania tieni vichwa maji
Kikosi cha mauwaji hakitaishia Mombassa
Ni kitendawili tata kinawakabili Waislamu
Walipe kisasi au watizame wakimalizwa
MOMBASA
MKAKATI wa kuwaua
Masheikh nchini Kenya
umeshika kasi.
Safari hii ameuliwa
kwa kupi gwa ri sasi
Mw e n y e k i t i wa
Jumuia ya Maimamu
na Wahubi ri nchi ni
Kenya (CIPK) Sheikh
Mohammed Idris katika
kitongoji cha Likoni,
Mombasa.
Sheikh mwingine auliwa Kenya
Ni Mwenyekiti wa Maimamu
SHEIKH Mohammed Idris
K w a m u j i b u
wa mt a n d a o wa
standardmedia.co.ke,
Sheikh Idris Mohammed
a m e u a w a k w a
kupigwa risasi na watu
wasiofahamika Alfajir
ya saa 11: 00 ya kuamkia
Jumanne ya wiki hii,
wa ka t i a l i po kuwa
anaelekea katika Msikiti
wa Swalihina, ulioko
Inaendelea Uk. 4
Uk. 8
Soko lateketea kwa moto Dar
Zimamoto wahamishia nguvu TBL
BAJETI ya serikali kwa
mwaka wa fedha 2014/2015
i me wa s i l i s hwa j a na
jioni Bungeni na Waziri
wa Fe dha Bi . Sa a da
Mkuya, ambapo safari
hii, serikali imedhamiria
kubana matumizi yake
Bajeti 2014-2014:
Mishahara juu
Misamaha ya kodi yakoma
Matumizi ya serikali yabanwa
Na Shaban Rajab
na kukusanya kodi kwa
wafanyabiashara wakubwa.
Akiwasilisha bajeti yake
mbele ya Bunge hilo mjini
Dodoma jana, Bi. Mkuya
al i sema baj et i ya saf ari
hii, serikali imepunguza
mi s amaha ya kodi ya
Soma Uk. 16
Inaendelea Uk. 2
BAADHI ya wafanyabiashara wa soko la Mchikichini, Ilala jijini Dar es Salaam
wakitizama namna mali zao zilivyoteketea kwa moto baada ya soko hilo kuungua
juzi usiku.
WAZIRI wa Fedha, Saada Salima Mkuya.
UNAJUA KUWA KUFANYA UMRA KATIKA
MWEZI WA RAMADHANI NI SAWA NA KUHIJI
NA MTUME (SAW)? PIA AMESEMA MTUME
(SAW), MWENYE KUJA KUNIZURU BAADA YA
MAUTI YANGU NI KAMA ALIYENITEMBELEA
WAKATI WA UHAI WANGU. KARIBU AHLU
SUNNA WALJAMAA TUKAMZURU MTUME
(SAW) NA KUFANYA UMRA KATIKA MWEZI
WA RAMADHANI, TUNAKWENDA KATIKATI
YA RAMADHANI NA KURUDI SIKUKUU KWA
GHARAMA ZA DOLA 2,300. WAHI,
VISA MWISHO TAREHE 18 SHAABAN. OFISI
YETU IPO KARIAKOO, MTAA WA LUMUMBA
KATIKA JENGO LA SABA JENERAL, GHOROFA
YA TATU, AU WASILIANA NA 0777 462 022,
0655462022, 0765462022, 0682462022.
SAFARI YA UMRA
2
AN-NUUR
SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 13 - 19, 2014
AN-NUUR
S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786
Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.
www.annuurpapers.co.t E-mail: annuurpapers@yahoo.co.uk
Ofsi zetu zipo: Manzese Tip Top
Usangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam
Tahariri/Habari
HIVI sasa Bunge la Bajeti
kwa aj i l i ya mwaka
wa f edha 2014/ 2015
linaendelea na vikao
vyake mjini Dodoma.
Wa k a t i wa b u n g e
waki endel a na vi kao
vya kujadili na hatimaye
kupitisha makadirio ya
mapato na matumizi ya
serikali kwa mwaka wa
fedha unaoanzia Julai
Mosi, wananchi nao kwa
upande wao wanasubiri
kwa hamu kujua hatma ya
maisha yao kwa kipindi
kijacho cha mwaka wa
fedha kulingana na bajeti
hiyo.
Kwa mujibu wa taarifa
iliyotolewa na serikali
kupitia Waziri wa Fedha
Saada Mkuya, ni kuwa
baj et i ya mwaka huu
itakuwa ya kiasi cha trilioni
19.6. Katika fedha hizo,
trilioni 14.2 zitakuwa ni
kwa ajili ya matumizi na
trilioni 5.4 zitakuwa ni
kwa ajili ya shughuli za
maendeleo.
Kwa maana hiyo bajeti
ya mwaka huu itakuwa
na ongezeko la trilioni
1.4 ikilinganishwa na ile
ya mwaka jana ambayo
ilikuwa ya kiasi cha 18.2.
Wa k a t i h u o h u o ,
s er i kal i i mebai ni s ha
kwamba itaongeza vyanzo
mbalimbali vya mapato
i l i kut i mi za mal engo
yake ikiwa ni pamoja na
kudhibiti misamaha ya
kodi.
Wakati tukisubiri bajeti
hiyo, tayari amesikika
Naibu Waziri wa Fedha
Bw. Mwigulu Lameck
Nchemba, akisema kuwa
serikali imelenga kuziba
mi anya ya wakwepa
kodi kwa kupunguza au
kuondoa kabisa misamaha
ya kodi.
Bw. Nchemba alisema
kuwa serikali imekuwa
i k i t e g e me a z a i d i
wafanyabiashara wadogo
na waf anyakazi kwa
kuwa hawana mwanya
wa kukwepa kodi, wakati
wafanyabiashara wakubwa
wamekuwa wakikwepa
kodi.
Alibainisha kwamba
s e r i k a l i s a f a r i h i i
itadhibiti ukwepaji kodi
ili kuwapunguzia mzigo
wafanyabiashara wadogo,
ambao hawana namna ya
Tunahitaji bajeti ya Watanzania
kukwepa na wafanyakazi
kupunguziwa mzogo wa
kodi kwenye kipato chao
ili kuwapunguzia gharama
za maisha.
Al i s ema mi s amaha
ya kodi itakaotolewa na
seri kal i kuendana na
huduma za kij amii na
kwamba, itawekwa kwa
kuf uat a ut arat i bu wa
kisheria na si kiholela.
Pamoj a na ser i kal i
kuweka wazi hali ya bajeti
yake, ikieleza imeongeza
k i wa ngo c ha f e dha
trilioni 1.4 kama ilivyodai
na kuahi di kuwabana
wakwepa kodi wakubwa ili
kuongeza mapato na kuleta
nafuu kwa wachuuzi na
wafanyakazi, bado tuna
mashaka na utekelezwaji
wa kauli hizi.
Ikumbukwe tu kwamba
hata ile bajeti ya mwaka
jana ya kiasi cha trilioni 18.2,
sehemu kubwa ya fedha
katika hizo zilizotakiwa
kwe nda mawi zar ani
kwa ajili ya kutekelezwa
mi radi ya maendel eo,
hazikutolewa hadi sasa na
miradi ikakwama.
Uzoefu umeonyesha
kuwa fedha zinazotengwa
kwa ajili ya shughuli za
maendel eo zi mekuwa
n i k i do g o s a n a n a
hazipatikani kwa wakati,
hasa zile zinazohitaji utashi
wa wahisani kwanza.
I t akumbukwa kuwa
hata Kamati ya Bunge
ya Baj eti, mwaka j ana
iliishauri serikali juu ya
tatizo sugu la misamaha
holela ya kodi sambamba
t at i zo l a ukwepwaj i
wa kodi hususan kwa
wafanyabiashara wakubwa
na kui t a ka s e r i ka l i
kuchukua hatua. Lakini
bado tulishuhudia tatizo
hilo likidhiri zaidi hadi
tunaingia mwaka huu wa
bajeti.
Tunakumbuka katika
bajeti zilizopia, Waziri
Mkuu Mizengo Pinda,
aliliahidi Bunge kuwa
serikali itabana matumizi
yake hasa kwa kudhibiti
ununuzi wa magar i
mapya ya ki fahari ya
serikali maarufu kama
mashangi ngi pamoj a
na matumizi mabaya ya
magari hayo.
Hakuishia hapo, Waziri
Mkuu Pinda alituahidi
kuwa atadhibiti vikao
vya chai yaani semina,
makongamano na warsha,
a mb a v y o v i me k u wa
zikitumia fedha nyingi za
serikali pasipokuonekana tija
iliyokusudiwa. Alikwenda
mbali zaidi aliposema kuwa
hata kukiwa kuna ulazima wa
kufanyika vikao hivyo, basi
kibali kitatolewa na ofsi yake!
Pamoja na Kauli ya Waziri
Mkuu, tulistaajabu kuona
mashangingi yameendelea
kumwagwa zaidi kutoka STJ
sasa yamefkia STL. Nyingi
zi ki onekana kuegeshwa
Makanisani siku za Jumapili,
bar, na sites siku ambazo si za
kazi. Vikao chai vimeendelea
kuwa business as usual.
Tunakumbushia yote haya
kutokana na uzoefu wa miaka
iliyopita. Katika Bajeti za
miaka iliyopita kwa mfano,
jicho la serikali limeendelea
kutua kwenye vileo, sigara,
vinywaji baridi, wafanyakazi
na wachuuzi nk. huku maeneo
muhimu kama aliyoyataja
Bw. Mwigulu yakifumbiwa
macho.
Ni ushauri wetu kwamba
katika bajeti ya mwaka huu
wa fedha, Wabunge wetu
ambao ndio wawakilishi
wa wananchi, wahakikishe
kwa mba us ha ur i wa o
wal i out oa kwa seri kal i
kupitia Kamati yao ya Bajeti
unatekelezwa barabara.
Tus e me t u kwa mba
Watanzania wamechoshwa
na mambo ya business as
usual. Wanahitaji bajeti halisi
inayoakisi maisha yao ya
kila siku. Wanahitaji bajeti
ya watanzaia, sio bajeti ya
vigogo.
Ha wa h i t a j i b a j e t i
inayotegemea mapato ya
wafanyakazi, soda na sigara.
Wabunge wahaki ki s he
wanaibana serikali na kuona
wafanyabiashara wakubwa
nao wanalipa kodi stahiki
na kuwaondolea mzigo kodi
watanzaia ambao wengi wao
ni wachuuzi na makabwela.
Shura ya Imamu (TZ)inawatangazia
Waislamu Itkaf itkaayofanyika Jumapili
hii tarehe 15/06/2014) Masjid Mtambani,
Kinondoni, Dar es Salaam.
Njoo ujikurubishe kwa Allah (s.w.) na tarehe
16/06/2014 itakuwa kesi ya Sheikh Ponda
Mahakama Kuu Dar es Salaam.
Shime Waislamu tunatakiwa tujitokeze kwa
wingi.
AMIR ITIKAF
SHURA YA MAIMAMU TZ
ITKAF MASJID MTAMBANI
Mishahara juu
Inatoka Uk. 1
ongezeko la thamani (VAT)
na kwamba, tayari serikali
imeshawasilisha muswada
wa marekebisho ya sheria
ya misahama ya kodi 2014
bungeni.
Waziri Mkuya amesema
kuwa muswada wa sheria
ya usimamizi wa kodi wa
mwaka 2014 utawasilishwa
kabla ya kumalizika mwaka
2014.
Kuf uat i a hat ua hi yo
ya serikali ya kupunguza
misamaha ya kodi ya ongezeko
l a t hamani , mi s amaha
i at akayot ol ewa i t al enga
katika huduma za kijamii
zaidi, pale itakapoonekana
kuna umuhimu wa kufanya
hivyo.
Waziri Mkuya aliongeza
kuwa kuanzia sasa, serikali
itakuwa inatoa taarifa za
mi samaha ya kodi ki l a
robo ya mwaka, ikiwa ni
pamoja na kuwataja wote
waliosamehewa na sababu ya
kusamehewa.
Ai dha al i sema taari fa
ya kina ya misamaha hiyo
itawasilishwa bungeni kila
mwaka.
Serikali pia imesema kuwa
i nakusudi a kuwasi l i sha
bungeni muswada wa shria ya
bajeti, ili kudhibiti ubadhirifu
wa fedha za umma.
Akiendelea kutoa ndondoo
za bajeti yake, Waziri Mkuya
alisema kuwa mishahara ya
wafanyakazi katika mwaka
huu nayo itaongezwa.
Kwa upande mwingine,
ba j e t i ya mwa ka huu
imebainisha wazi kwamba
kuanzia sasa, machapisho
mbalimbali katika taasisi na
idara mbalimbali za serikali,
kama vile kalenda, vitabu,
vijarida nk. vitatolewa na Ofsi
ya Waziri Mkuu pekee, tofauti
na siku za nyuma ambapo
kila idara au taasisi ilikuwa
inajichapia machapisho yake.
Hatua hiyo bila shaka
ni kuhaki ki sha kwamba
serikali inabana matumizi
yake, ili kuondoa mazoea
ya ubadhirifu na ufuj aj i
uliokuwa ukifanyika kupitia
mwanya huo.
Aidha Bi. Mkuya alisema
serikali iko mbioni kuanzisha
mfumo wa ki el ectroni ki
wa kudhibiti ununuzi na
matumizi ya mafuita ya
magari ya serikali.
Pia alisema kuanzia bajeti
ya mwaka huu, hakuna
taasisi itakayotumia mapato
yanayotokana na maduhuli,
bila idhini ya Katibu Mkuu
Hazina.
Hata hivyo, wanatanzania
wanasubiri kwa hamu kuona
utekelezwa wa baj eti ya
mwaka huu, wakifahamu
kuwa kusema ni jambo moja
na utendaji ni jambo jingine.
3
AN-NUUR
SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 13 - 19, 2014
Habari
Sheikh Mushi mfano wa kuigwa
KIFO cha Sheikh Aman
Mushi, kimewakumbusha
Wai sl amu kadhi a ya
mauwaji ya Waislamu
ka t i ka Ms i ki t i wa
Mwembechai sambamba
na sakata la Mabucha ya
Nguruwe, Jijini Dar es
Salaam.
Akimzungumzia Sheikh
Mushi aliyekuwa Katibu
wa Kamati ya Kusimamia
Haki za Waislamu, Sheikh
Rajabu Katimba, alisema
mara baada ya taarifa za
kifo cha Sheikh Mushi,
Wai sl amu wamekuwa
wa ki r e j e a s a ka t a l a
mabucha ya nguruwe
na mauaji ya Waislamu
Mwembechai.
Alisema, hali hiyo imejiri
miongoni mwa Waislamu,
kutokana na Marhumu
Sheikh Mushi, kuwa mstari
wa mbele katika kadhia
hizo akipinga dhulma za
Serikali dhidi ya Waislamu
nchini.
Sheikh Katimba ambaye
kwa sasa ni ki ongozi
mwa nda mi z i ka t i ka
Jumuiya na Taasisi za
Kiislamu, alisema mbali
ya matukio hayo makuu
ya kukumbukwa nchini,
pia Sheikh Mushi, alikuwa
mshi ri ki wa harakat i
mbalimbali za Waislamu
nchi ni mpaka maut i
yanamkuta.
W a i s l a m u
wat amkumbuka Mzee
Mushi, katika harakati
mb a l i mb a l i h u s a n i
sakata l a Mabucha ya
Ngur uwe, mauaj i ya
Waislamu Mwembechai
na hivi karibuni suala
la kuishinikiza serikali
kuingiza kipengele cha
Dini katika sensa ya watu
na makazi . Al i sema
Sheikh Katimba.
A l i s e m a k a t i k a
kadhi a ya mauaj i ya
Waislamu Mwembechai,
yanayodaiwa kufanywa na
Polisi Jijini Dar es Salaam,
Sheikh Mushi, alikuwa ni
mmoja wa wahanga wa
kadhia hiyo, kutokana na
juhudi zake za kutetea
Waislamu.
We n g i wa k a wa
wamef ungul i wa kes i
kwamba kwa namna moja
ama nyinge walihubiri kwa
kusema Yesu si Mungu,
Yesu hakufa, makosa
ambayo yaliwafanya akina
Mzee Mushi na Waislamu
wengine kukaa mahabusu
kwa zaidi ya miezi mitano
bi l a dhamana, l aki ni
baadaye wote waliachiwa
huru kwa maelezo kwamba
hawana hatia. Alisema
Sheikh Katimba.
Ukikumbushia sakata la
sensa, baada ya Waislamu
kuona kuna umuhimu wa
kipengele cha dini kuwemo
katika dodoso, mmoj a
wa aliyekuwa msitari wa
mbele kuishinikiza serikali
iweke kipengele hicho
muhimu, alikuwa ni Mzee
Mushi, akishirikiana na
wenzake na kubakia katika
msimamo mmoja.
Al i sema, Wai sl amu
wanataki wa kuj i funza
mambo mengi kutoka kwa
Mzee Mushi, kutokana
na msimamo wake katika
kusimamia maslahi ya
Waislamu wakati akiwa
hai, kwani aliadi, Marhum
al i kuwa ni ki ongozi
Muislamu aliyejitolea mali
na nafsi yake kwa ajili ya
Waislamu na Uislamu.
Alisema katika uhai
wa ke , Mz e e Mus hi ,
ameweza kutoa nyumba
yake i l i yopo mtaa wa
Mchikichi na Lumumba,
Kar i akoo, J i j i ni Dar
es Salaam, kwa ajili ya
shughuli za kiofsi za Al-
Malid.
Mbali ya hiyo, pia alitoa
nyumba nyingine ambayo
inatumika kwa kupangisha
ili kiasi kitakachopatikana
hapo, kiweze kufanyia
shughuli za harakati za
Kiislamu ndani ya Taasisi
ya Al-Malid.
Aidha Sheikh Katimba,
alisema katika uhai wake
Sheikh Mushi, ametoa
ardhi maeneo ya Mbezi
Jogoo, akitaka pajengwe
chochote kwa aj i l i ya
maendeleo ya Waislamu
na Uislamu.
Al i s ema anapenda
kut umi a f ur s a hi yo
kutoa wito kwa wadau
wa Kiislamu kuhakikisha
k wa mb a i l e a r d h i
i l i yot ol ewa na Mzee
Mushi, inaendelezwa kwa
maana ya kujengwa shule,
ili kuandaa vij ana wa
Kiislamu katika elimu.
Al-Marhumu Sheikh
Mushi, ametajwa kuwa
ni kiongozi wa Kiislamu
aliyejali shida za Waislamu
wenzake, kwani alikubali
kuguswa na t at i zo l a
Muislamu yoyote huku
aki onyes ha uchungu
kwa di ni yake mahal i
popot e pal e al i poona
i nahuj umi wa al i kuwa
tayari kupambana kwa
hali na mali kuhakikisha
haki inapatikna.
Al-Marhumu Mushi,
ni mmoja wa waasisi wa
Taasisi ya mihadhara ya Al-
Malid, iliyosajiliwa mwaka
1992.
Kupitia Al-Malidi, chini
ya uongozi wa Sheikh
Mus hi , i me f ani ki wa
kuingiza maelfu ya watu
katika Uislamu Tanzania
na Afrika Mashariki kwa
ujumla.
Mbali ya kuwa mdhamini
na Mwenyekiti wa Al-
Malid, pia Sheikh Mushi,
kutokana na kujitolea na
kujituma kwake katika
kuwatumikia Waislamu,
amekuwa mdhamini wa
Baraza Kuu la Jumuiya na
Taasisi za Kiislamu (T).
Katika Msikiti wa Tungi
Temeke, Mzee Mushi
alikuwa ni mdhamini,
pia alikuwa ni kiongozi
wa Taasisi ya shule ya
Nurulyakin.
Mzee Mushi, alianza
kuugua mwaka mmoj a
uliopita, akisumbuliwa na
ugonjwa wa kisukari, lakini
baadae ilibainika kuwa pia
ana tatizo la saratani.
Awali, kwa mara ya
kwanza alikwenda nchini
India kwa matibabu, kisha
alirudi kwa mara ya pili na
baada hapo wiki iliyopita
alikuwa safarini akirejea
tena kwa mara ya tatu kwa
ajili ya muendelezo wa tiba
hiyo.
Hata hivyo, alipofika
Dubai akielekea India, hali
ilibadilika na hatimaye
umauti ulimkuta, kikubwa
kilicho muathiri ilikuwa ni
maradhi ya saratani.
Mzee Mushi amezikwa
mkoani Kirimanjaro, katika
Wilaya ya Hai Kaskazini,
mazishi yaliongozwa na
Amir wa Baraza Kuu la
Jumuiya na Taasisi za
Kiislamu.
Mzee Amani Mushi,
ameacha wajane wawili
na watoto wanne na watoto
yatima kadhaa aliokuwa
akiwalea nyumbani kwake
wakati wa uhai wake.
AL-MARHUUM Sheikh Aman Mushi.
Na Bakari Mwakangwale
Alijitoa, akatoa na mali zake kuujenga Uislamu
4
AN-NUUR
SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 13 - 19, 2014
Habari
Sheikh mwingine auliwa Kenya
Inatoka Uk. 1
takribani mita 50 kutoka
nyumbani kwake kwa
ajili ya swala ya Subhi.
Ku u a wa S h e i k h
M o h a m m e d ,
kumewashtua wenyeji
we ngi wa mj i wa
Mombasa, hasa wakiwa
na yaki ni kwamba
Shei kh huyo kati ka
maisha yake mjini humo
hakuwahi kuwa mtu
anayeweza kuhusishwa
na ugaidi.
A l i k u wa mt u
a n a y e h e s h i mi k a
Mombasa hata pal e
a l i p o t o f a u t i a n a
n a ms i ma mo wa
kihafidhina kiimani,
wote walimheshimu,
ha t udha ni ka mwe
kwamba wanaoi twa
vij ana wa siasa kali
wanahusika.
Kwanini walisubiri
wa mu u e wa k a t i
anakwenda kuswali?
Si as a kal i hawe zi
kuf anya hi vyo. Ni
ki nyume kabi sa na
sharia za Kiislamu ,
aliandika Bw. Ahmed.
H a t a h i v y o
mashuhuda wa tukio
hilo walidai kuwa Sheikh
hiyo aliuliwa wakati
akikaribia nyumbani
kwake.
AL-MARHUUM Sheikh Mohammed Idris.
Mwili wa Sheikh Idris
umehifadhiwa katika
hospitali ya Pandya.
Sheikh Idris aliwahi
kuwa Mwe nye ki t i
Msikiti wa Sakina mjini
Mombasa.
Baada ya kutokea
mtafaruku wa kiuongozi,
aliachia madaraka na
kuchukuliwa na vijana.
Kama i l i vyokuwa
k a t i k a ma ua j i ya
Masheikh wengine siku
za hivi karibuni, akina
Sheikh Aboud Rogo,
Ismail Rogo, Sheikh
Makaburi na Sheikh
Samir Khan, polisi tayari
wameanza kujihami na
kuwarushia mashaka na
hisia wanaowaita siasa
kali huku wakijaribu
kujiweka pembeni na
shutuma.
Mkuu wa Upelelezi
wa Mombasa (CID) Bw.
Henry Ondieki, alisema
kuwa wat uhumi wa
wal i omuua Shei kh
I dr i s, wal i kuwa ni
wa t u wa l i o k u wa
wakimfahamu vyema.
Haya ni mauaj i
na t unayachunguza
kwasababu inaonekana
kuwa waliomshambulia
wal i mf uat i l i a kwa
muda kabla kumuua,
alinukuliwa akisema
Bw. Ondieki.
Ai dha Pol i si hao
wamedai kuwa wauaji
wameleta hofu mjini
Mombasa.
Bw. Ondieki amesema
miezi kadhaa iliyopita
al i ui ta mkutano wa
vijana wa Msikiti wa
Sakina kama mkutano
wa jihadi.
" T u n a f a h a m u
vij ana wa siasa kali
walijikusanya kwa ajili
ya mkutano wa jihadi
wakiwa na malengo
mabaya kwa nchi," hii
ni kauli ambayo polisi
wamedai kumnukuu
Sheikh Idris kabla ya kifo
chake.
Ofisa huyo wa Polisi
amedai kuwa kiongozi
huyo wa dini aliwataka
Polisi kukabiliana na vijana
hao wa Kiislamu siasa kali
wanaosababisha vurugu
kwa jina la Uislamu mjini
Mombasa. Kwamba hilo
liliwachukiza sana vijana
wengi ambao walimuita
Shei kh huyo kuwa ni
msaliti.
Bw. Ondieki anasema
k uwa S he i k h I dr i s
alipinga kile alichokiita
"mafundisho ya Jihad"
k wa mb a y a l i k u wa
yakitafsiriwa tofauti na
vijana.
Shei kh I dr i s mar a
zote ameitaka serikali
kuwakamata wafadhili
na wanaohuburi siasa kali
kwa kuwatumia vijana
was i okuwa na hat i a
kwa maslahi yao binafsi,
akisema Uislamu ni dini
ya amani na haifundishi
vurugu.
U k i a c h a S h e i k h
aliyeuliwa wiki iliyopita,
Sheikh Idris anakuwa
kiongiozi wa Kiislamu
maarufu wa nne kuuliwa
kwa risasi mjini Mombasa
tangu mwaka 2012.
Ma s h e i k h w o t e
wal i oul i wa wal i kuwa
wakishutumiwa na serikali
kuwa wana uhusiano na
vikundi vya kigaidi vya
al-Qaeda pamoja na kile
cha al-Shabab cha Somalia.
Sehemu kubwa ya Jamii
ya Kiislamu nchini humo
i mekuwa i ki i husi sha
serikali ya Kenya kuwa
i ko nyuma ya mauaj i
haya, jambo ambalo siku
zote serikali imekuwa
i ki kanusha kuhusi ka
kwake.
Li nal owas hangaza
wengi ni kwamba pamoja
na mauaji ya Masheikh hao
kupamba moto, hadi sasa
hakuna mtu aliyebainika
kuhusika na mauji hayo
t angu Mas hekh hao
walipoanza kuuliwa.
Sheikh Mohamed Idris
Ahmed, alizaliwa katika
mji wa Kandala, nchini
Somalia mwaka 1957.
Alipata elimu yake ya
msingi hadi kidato cha
sita Hawl wadaag School
Somalia ambapo baadae
alijunga na shahada ya
masomo ya Kiislamu yaani,
Bachelor Islamic Studies
katika chuo cha American
I s l a mi c Uni ve r s i t y.
Baadae alifanya shahada
ya uzamili ya elimu ya
Kiislamu University of
South Africa.
Mwaka 1977 hadi
1992 alifanya kazi katika
Nyanja za kiuongozi wa
kidini na Utawala katika
makampuni kadhaa nchini
Saudi Arabia.
Amef anya kazi za
uhasi bu na ubohari a
na Of i s a Ut umi s hi .
Amekuwa mfasiri Kiarabu
kwenda Kiingereza na
Meneja utawala katika
mashirika kadhaa.
Mwaka 1983 hadi
1995 alikuwa ripota,
mwa ndi s hi ka t i ka
gazeti la Annadwa Daily
Newspaper, Makkah,
Saudi Arabia (Arabic
Daily) na Arabic News
(Daily English)
Mwaka 1978 hadi
sasa aliendelea kusaka
uf ahamu zai di na
Da,wa, akisaka elimu
kwa Ulamaa na Mufti
Mkuu wa Saudi Arabia.
V i t a b u
alivyochapisha: Shekh
Bin Baz. wasifu mfupi
kwa kiarabu, Diaspora
Problem kwa Kisomali,
We and Abassyni a-
kwa Ki somal i , The
Spud Harvest ( Miraha
Qaraar) kuhusu vita vya
wenyewe kwa wenyewe
Somalia kwa Kiarabu,
Malaysia Development
Kwa Kisomali, The
Miracles of Sadaqa
Kwa Kiarabu,The Death
Trip - Somalia to Europe.
Pia kazi zake nyingi
zipo kwenye mfumo wa
Audio na Video.
Inalillah wainnailaih
Raajiuun.
AL-MARHUUM Sheikh Samir Khan.
5
AN-NUUR
SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 13 - 19, 2014
Habari za Kimataifa/Tangazo
CAIRO
RAI S Abdel - Fat t ah el
Sisi, amefanya sherehe za
kuchukua rasmi madaraka
kama Rais mpya wa Misri
katika Ikulu ya Itihadiya ya
mjini Cairo.
Al Sisi ambaye hapo kabla
alikuwa Mkuu Jeshi wa
Misri, ametia saini hati ya
kupokea madaraka kutoka
kwa Rais wa muda wa nchi
hiyo Adly Mansour, Jumapili
wiki iliyopita.
Vyombo vya habar i
vya Misri viliripoti kuwa,
viongozi wasiopungua 45
wa mataifa ya Kiarabu na
ki matai fa wal i hudhuri a
sherehe hizo.
M i o n g o n i m w a
viongozi wa ngazi za juu
waliohudhuria sherehe hizo
ni Wafalme wa Bahrain na
Jordan, Amir wa Kuwait na
warithi wa viti vya ufalme
wa Saudi Arabia na Umoja
wa Falme za Kiarabu.
Al - Si s i al i api s hwa
Jumapili kuwa Rais mpya
wa Misri katika Mahakama
ya Katiba jijini Cairo chini
ya ul i nzi mkal i , huku
maandamano makubwa
ya wanaomuunga mkono
wa Rais aliyepinduliwa na
jeshi, Muhammad Morsi
yakichukua nafasi katika
maeneo mbalimbali ya Misri.
Anakuwa Rais wa nane
wa Misri tangu kupinduliwa
kwa ufalme nchini humo
mwaka 1953, uki wa ni
mwaka mmoj a baada ya
mapinduzi ya kijeshi kutokea
nchini humo.
Mbali na Mursi na raia
wawili wengine waliotumikia
nyadhifa za Urais wa muda,
Marais wengine wote wa
Misri wametokana na jeshi.
Mizinga 21 ilimlaki Al-Sisi
wakati alipowasili katika
kasri la Rais, lilioko kwenye
eneo la watu wenye maisha
ya juu la Heliopolis mjini
Cairo baada ya kuapishwa
kwake, ambapo alikaguwa
gwari de l a ki j eshi kwa
heshima yake.
Akihutubia wageni wake
katika kasri la Itihadiya, Al-
Sisi alitoa wito wa kuwepo
kwa umoja na kukomeshwa
machafuko ya miaka mitatu
tangu kuangushwa utawala
wa Bw. Hosni Mubarak
mwaka 2011.
Rai s Al -Si si al i j i pati a
ushindi mkubwa katika
Uchaguzi wa Rais uliofanyika
mwezi uliopita, kwa kupata
asilimia 97 ya kura kutokana
na asilimia 47.45 ya watu
waliojitokeza kupiga kura.
Uchaguzi huo wa siku
tatu uliingia dosari nyingi
kutokana na hatua zisizo za
kawaida zilizochukuliwa na
Al Sisi afanya sherehe za kuchukua rasmi madaraka
Wananchi wasubiri kuona atakavyotawala
Wanafunzi Azkhar wafungwa
RAIS Abdel-Fatah el Sisi.
serikali, za kuwalazimisha
watu kujitokeza kupiga kura
ikiwa ni pamoja na kuwatisha
kuwa wale watakaobakia
majumbani watatozwa faini,
kuongeza siku moja ya kupiga
kura na kutoa usafri wa bure
wa treni na wa mabasi ili
watu warudi kwenye maeneo
walikozaliwa kupiga kura
zao.
Uc h a g u z i h u o p i a
ilifanyika wakati kukiwa
na udhibiti mkubwa wa
uhuru katika kipindi cha
miezi kumi na moja tangu
alipopinduliwa Dkt. Morsi.
Wa k a t i wo t e h u o
u m e s h u h u d i w a
ukandami zaj i mkubwa
wa wafuasi wa Udugu wa
Kiislamu huku mamia ya
wafuasi wake wakiuliwa
katika mapambano na vikosi
vya usalama.Wafuasi wa
Morsi walisusia uchaguzi
huo.
Bw. Ibrahi m Mahl ab,
ambaye ndi ye Wazi r i
Mkuu wa nchi hiyo kwa
sasa, ataendelea kushikilia
naf as i yake hadi pal e
utakapofanyika uchaguzi
wa Bunge unaotazamiwa
k u f a n y i k a b a a d a ya
kuidhinishwa katiba mpya
ya Misri.
Wachambuzi wa masuala
ya siasa za Misri wa hofu
kwamba kwa maml aka
aliyo nayo sasa Rais Al- Sisi,
atatumia mamlaka yake
kuwaumiza wananchi hasa
wapinzani.
Hi v i s a s a Wa mi s r i
wanatarajia kuwa serikali
yake itakabiliwa na hali
mbaya siku za usoni.
I m e e l e z wa k u wa
Wamisri wanasubiri kuona
kama Al Sisi ataipelekea
Misri katika mkondo wa
demokrasia au itakuwa kama
wanavyosema wapinzani
wake, kuwa ataunda utawala
wa kiimla wenye kutawala
kwa mkono wa chuma na
kuwakandamiza wapinzani.
Wakati Al- Sisi akiapishwa
na kuchukua madaraka ya
kuingoza Misri, Wanachuo 82
wa Chuo Kikuu cha Kiislamu
cha al-Azhar nchini Misri,
wamehukumiwa kifungo
cha miaka mitano jela kwa
kosa la kushiriki katika
maandamano dhi di ya
serikali ya nchi hiyo.
Wanafunzi hao waliotiwa
mb a r o n i wa k a t i wa
maandamano dhi di ya
serikali Disemba mwaka
jana na Januari mwaka huu
katika chuo kikuu hicho cha
Kiislamu, wametakiwa pia
kulipa faini ya Paundi laki
moja za Misri.
Hivi karibuni pia watu 112
walihukumiwa kifungo cha
mwaka mmoja jela kwa kile
kilichotajwa kuwa ni kufanya
vitendo vya ukatili katika
maandamano ya Januari 25
dhidi ya serikali ya Cairo.
Ta n g u k u u z u l i wa
madarakani aliyekuwa Rais
wa nchi hiyo Muhammad
Morsi mwaka uliopita, Chuo
Kikuu hicho cha Kiislamu
cha al-Azhar, kimegeuka
kuwa uwanja wa machafuko
kati ya askari wa usalama na
wanachuo.
Mwezi Februari, serikali
yampito ya Misri ilitoa idhini
ya askari wa usalama kuingia
katika vyuo vya nchi hiyo
kwa lengo la kudhibiti hali
na kuwataka wakuu wa
vyuo kuwafukuza wanafunzi
wanaoendesha au kushiriki
katika maandamano dhidi ya
serikali. (irib.ir)
RAIS Barack Obama wa
Marekani amesema kuwa
ubabe na matumizi makubwa
ya silaha nchini huko ni
mambo yanayomsumbua
sana katika uongozi wake.
Kwa mujibu wa mtandao
wa i ri b. i r, Rai s Obama
amenukul i wa aki s ema
kuwa, kushindwa kudhibiti
vitendo vya kimabavu vya
utumiaji silaha nchini humo
ni jambo ambalo limekuwa
likimsumbua katika kipindi
cha uongozi wake na kwamba
maafa hayo yanamtia hofu.
Aliongeza kuwa kitendo
cha j ami i ya Marekani
kus hi ndwa kuonyes ha
azma ya kuchukua baadhi
ya hatua za kimsingi za
kuziondoa silaha mikononi
mwa raia, ambao wanaweza
kusababisha maafa makubwa
sana ni suala linalosumbuia
sana kichwa chake.
Rais Obama alifafanua
kuwa Marekani ni nchi pekee
iliyoendelea duniani, ambayo
inakabiliwa na vitendo hivyo
Obama ashtushwa na kukithiri matumizi ya silaha Marekani
vya mabavu vya utumiaji
silaha na kwamba, matukio
hayo yamekuwa yakitokea
nchini humo mara moja kwa
wiki.
Amesema hakuna sehemu
nyingine yoyote duniani
inayojiri vitendo kama hivyo
zaidi ya Marekani.
Rai s Bar ac k Obama
a me ya s e ma ha yo s a a
ma c h a c h e b a a d a y a
m wa n a u m e m m o j a
aliyekuwa na silaha kumuua
mwanafunzi katika shule
moja ya elimu ya juu huko
Oregon hivi karibuni.
Rais Barack Obama.
6
AN-NUUR
SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 13 - 19, 2014
Makala
MOMBASA
Ser i kal i ya Kenya
i me kamat a s he he na
kubwa ya pembe za
ndovu zipatazo 228 mjini
Mombasa.
Idara ya Forodha mjini
Mombasa, wamekamata
shehena ya pembe hizo
zilizokuwa zikisafrishwa
kutoka nchini Uganda
kuelekea Malaysia bara
Asia.
Katika shehena hiyo ya
pembe za ndovu, pembe
114 zilipatikana katika
bohari moja inayotumiwa
na kampuni ya uchukuzi.
Naibu Kamishna wa
Idara ya Forodha nchini
Kenya, John Changole,
amesema mafurushi sabini
ya pembe hizo yalikuwa
yamefungashwa kama
s he he na ya s a ma ki
wa l i o k a u s h wa n a
stakabadhi ya kuzisafrisha
shehena hiyo ikionyesha
kuwa ni samaki.
Habari zaidi zinaeleza
kwa mba Wa l a nguz i
wa pembe hi zo, pi a
wal i kuwa wamebeba
samaki waliokuwa na
harufu mbaya, ambayo
huwac huki za Mbwa
maalum wa uchunguzi,
kulingana na msemaj i
wa shirika la ulinzi wa
wanyapori nchini Kenya,
Paul Udoto.
Pembe za ndovu zina
soko kubwa sana barani
Asia, ambako hutumiwa
kutengenezea vitu vya
urembo.
Ser i kal i ya Kenya
iliharamisha biashara za
pembe za ndovu tangu
mwaka 1989. Lakini katika
miaka ya hivi karibuni
kumekuwa na ongezeko
kubwa la uwindaji haramu
wa ndovu.
Bw. Udot o al i sema
stakabadhi kuhusu pembe
hizo zilionyesha kuwa
zilikuwa zilisafirishwa
kutoka Uganda kwa gari
Juni 12 mwaka huu.
Ba a da e g a r i hi l o
liliegeshwa katika kituo
kimoja cha mafuta mjini
Mombasa, kilichopo eneo
l a ki bi ashara ambako
mz i g o ul i pa k ul i wa
kuingizwa bandarini.
Hata hivyo Bw. Udoto
alisema thamani ya pembe
hizo bado haijabainika.
Wakati hali ikiwa hivyo,
Shi r i ka l a Wanyama
pori Kenya l i mesema
msako unaendelea dhidi
Shehena ya Pembe za ndovu 228 yakamatwa Kenya
ya wamiliki wa pembe
hi zo, kuhu i ki el ezwa
kuwa mshukiwa mmoja
alikamatwa katika tukio
hilo.
Ku k a ma t wa k wa
shehena hiyo kubwa ya
meno ya ndovu kunaakisi
madai ya ut af i t i wa
mashirika yanayopigania
kusi ti shwa uuzaj i wa
pembe za ndovu, kuwa
bandari za Mombasa
Kenya, Togo na Dar Salaam
Tanzani a zi me kuwa
zikitumika kusafirisha
pembe za ndovu kutoka
ko t e ba r a ni Af r i ka
kuelekea bara Asia.
Mahitaji makubwa ya
pembe za ndovu na bidhaa
zi tokanazo na pembe
nchini China na mataifa
ya Mashariki ya mbali,
ndio yanaochochea mauaji
ya tembo katika mbuga na
hifadhi mbalimbali barani
Afrika.
BAADHI ya familia za
abi ri a wal i okuwemo
katika ndege ya Malaysia
MH370 i l i yot oweka,
wameanza kampeni ya
kuchanga dola milioni
5 ili kumzawadia mtu
yeyot e at akayet egua
kitendawili cha kutoweka
ndege hiyo miezi mitatu
iliyopita.
Familia hizo zimesema
kuwa, kampeni hi yo
i t a f a n y wa k u p i t i a
matandao wa kukusanya
f edha, l engo l i ki wa
ni kuwashawishi watu
kutokeza kutoa taarifa
zaidi kuhusu ndege hiyo.
N d e g e h i y o
ai na ya Boe i ng 777
iliyotengenezwa Marekani,
i n a a mi n i k a k u wa
ilianguka katika Bahari ya
Hindi lakini uchunguzi
mkubwa ul i of anyi ka,
haukuonyesha dal i l i
zozote wala mabaki ya
ndege hiyo, jambo ambalo
l i me wa pa wa s i wa s i
mkubwa familia wa abiria
waliokuwa katika ndege
hiyo.
Australia ambayo ni
moja ya nchi zilizoongoza
katika kuitafuta ndege hiyo
katika pwani ya Mashariki
ya nchi hi yo, pamoj a
na Malaysia zimeahidi
kuendelea kuitafuta ndege
hiyo.
Wakat i ndege hi yo
Atakayefchua ilipo Mayalsia Air Line kupewa zawadi
inatoweka, ilikuwa na
abiria wapatao 240 wengi
wao waki wa ni r ai a
wa China. Inaaminika
kwamba ndege hi yo
ilianguka baharini baada
ya kutoweka kwenye rada.
Ha t a h i v y o h i v i
karibuni Waziri Mkuu wa
zamani wa Malaysia Dkt.
Mahathir Mohammad,
alisema Shirika la Kijasusi
la Marekani CIA linafcha
maelezo muhimu kuhusu
hatima ya ndege hiyo.
K a t i k a t a a r i f a
aliyochapisha kwenye
weblogu yake siku ya
Jumapili, Dkt. Mahathir
Mohammad alisema CIA
na Shirika la Marekani
la Boeing lililotengeneza
ndege hiyo, kwa pamoja
wanafcha maelezo kuhusu
kutoweka kwake.
Aidha Dkt. Mahathir
alieleza kushangazwa
kwake na vyombo vikubwa
vya habar i duni ani ,
kushindwa kufuatilia kwa
kina kadhia ya ndege hiyo.
Dkt. Mahathir alisema
kuna uwezekano mkubwa
kwamba CIA iliiongoza
ndege hiyo kwenda mbali
na kuiweka katika mfumo
wa kujiendesha yenyewe
kisha ikatua eneo la siri na
alama zake za Malaysian
Airlines kuondolewa.
Ndege hiyo ilitoweka
Machi 8 mwaka huu,
ikiwa na mamia ya abiria
i l i pokuwa i nael ekea
Beij ing, China kutoka
Kuala Lumpur Malaysia.
Tangu wakati huo hadi
sasa ndege hiyo ya kisasa
aina ya Boeing 777-200ER
haijaonekana na hakuna
taarifa zozote mahali ilipo,
licha ya juhudi za kuitafuta
kwa kutumia teknolojia za
kisasa kufanyika.
Al Arabyia News
KWA mara ya kwanza
katika historia, ibada
ya Ki i s l a mu na
kisomo cha Quran
kimesikika Vatican
Jumapil, zikiwa ni
j i t i hada za Papa
Fr anci s kuj ar i bu
kuleta amani kati
ya Wa i s r a e l n a
Wapalestina.
Papa Francis alitoa
mwaliko kwa Rais wa
Israel, Shimon Peres
na Rais wa Mamlaka
ya Palestina Mahmoud
Abbas , baada ya
kufanya ziara wiki
iliyopita katika nchi
za J ordan, I srael ,
Mamlaka ya Palestina.
Kwa mara ya kwanza katika
historia Quran yasomwa Vatican
Kat i ka mkut ano
wao Rais Abbas, Peres,
na Papa Francis pia
walipangwa kuwepo
viongozi wa dini wa
Kiyahudi, Kikristo na
Kiislamu
Maofisa wa Holy
See walisema kuwa
m k u t a n o h u o
hautakuwa na agenda
za kisiasa zaidi ya
haja ya kupatikana
amani kati ya Israeli
na Palestina.
Vat i can i l i ahi di
kuonyesha moja kwa
moja mjumuiko huo
duniani kote.
Hata hivyo tukio
hilo litaonyeshwa kwa
kifupi .
7
AN-NUUR
SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 13 - 19, 2014
Tangazo
The University College of Education invites qualifed applicants to apply for frst degree courses in the following specializations:
Bachelor of Science.
1. Computer Science 2. Information Technology
Bachelor of Science with Education.
1. Physics & Mathematics 2. Chemistry & Biology 3. Physics & Chemistry
4. Computer Science & Mathematic 5.Chemistry & Mathematics 6. Biology &
Geography
7. Information Communication Technology
Bachelor of Arts with Education.
1. English & Kiswahili 2. English & Geography 3. English & History 4. English & Islamic Studies
5. Arabic & Kiswahili 6. Arabic & English 7.Arabic & Geography 8.Arabic & History 9. Arabic
& Islamic Studies 10. Kiswahili & Geography 11. Kiswahili & History
12. Kiswahili & Islamic Studies 13. Islamic Studies & Geography14. Islamic Studies & History
15. History & Geography 16. Counseling and Psychology.
ADMISSION REQUIREMENTS:
Applicants should:-
1. have at least, a minimum of two principal passes at Tanzania Advanced Certifcate of Secondary Education (ACSE) in the appropriate subjects or equivalent qualifcations;
2. Be a full time student.
FEES
Tuition
1,800,000/= (1200
US $) per annum
Physics & Mathematics
Chemistry & Biology
Physics & Chemistry
Chemistry & Mathematics
Biology & Geography
1,500,000/= (1000
US $)
Computer Science & Mathematics
Information Communication Technology
Computer Science
Information Technology
English & Geography
Kiswahili & Geography
Arabic & Geography
Arabic & History
Kiswahili & History
Islamic Studies & History
English & History
Islamic Studies & Geography
History & Geography
Counseling and Psychology.
1,300,000/= (870 US $) per annum
Arabic & Kiswahili
Arabic & English
Arabic & Islamic Studies
English & Islamic Studies
English & Kiswahili
Kiswahili & Islamic Studies
Accommodation 180,000/= (120 US $) per annum
Graduation 30,000/= (20 US $)
Students Union 10,000/= ( 7 US $)
Computer services 40,000/= (27 US $) per annum
Registration 40,000/= (27 US $)
Medical Care 30,000/= (20 US $)
Application Form 25,000/= (17 US $)
Meals 1800,000/= (1200US $) Optional
Stationeries 200,000/= (134 US $) Optional
The College reserves the rights to change these fees at any time.
Application forms are obtained from:
University College of Education- Website: www.ucez.ac.tz
Academic Offce, University College of Education Zanzibar at Chukwani
P.O. Box 1933 Zanzibar Mobile: 0773774838 OR 0772912181 Email: amacez@zitec.org
Application forms are also available from the following offces;-
Africa Muslims Agency, MabaoniChake Chake Pemba: Tel: 024-2452337
Africa Muslims Agency, Tabata - Dar es Salaam: Tel: 022-2807843
UNIVERSITY COLLEGE OF EDUCATION ZANZIBAR
INTERNATIONAL UNIVERSITY OF AFRICA KHARTOUM
STUDENTS ADMISSION 2014/2015
RE-ADVERTISED
Application fee should be paid through the following account numbers:-
(i) The peoples Bank of Zanzibar (Islamic Banking Division) Account No. 51120100002450-
Mwanakwerekwe, Zanzibar
(ii) Barclays Bank Account No. 003 4000387 Zanzibar Branch.
All completed forms together with payment receipts should be returned to the Academic Offce,
University College of Education Zanzibar.
N.B: All Applicants intending to pursue Bachelor of Arts with Education in Arabic or Islamic Studies
with another combination and those did not obtain at least grade D in English at O level
Certifcate will be required to attend language profciency test.

The deadline for receiving and returning applications forms will be two weeks
after the Form Six results.
For further information please contact:
Mobile: 0776463405
E.mail:Amacez@zitec.org
Or
Visit the main campus at Chukwani, West District, Unguja, two
kilometers from the new House of Representatives Building.
8
AN-NUUR
SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 13 - 19, 2014
Makala
Masheikh Tanzania tieni vichwa maji
KWA mara nyingine,
wat u was i oj ul i kana
wamemuuwa Shei kh
mwingine nchini Kenya.
Mara hii aliyeuliwa ni
Sheikh Sheikh Mohamed
I d r i s a l i y e k u wa
Mwenyekiti wa Baraza la
Maimamu. Sheikh Idris
aliuliwa kwa kupigwa
risasi alfajiri akitoka
kuswal i swal at Faj i r
katika msikiti ulioko
jirani na nyumbani kwake
mjini Mombasa. Sheikh
Idris anakuwa Sheikh wa
nne kuuliwa Mombasa.
Wengi ne wal i oul i wa
kama yeye ni Shei k
Aboud Rogo Mohammed
aliyeuliwa Agosti 2012,
Sheik Ibrahim Ismael
(Oktoba 2013) na Sheikh
S h e i k h Ab u b a k a r
Sheriff alias Makaburi,
aliyeuliwa Aprili mwaka
huu 2014.
Ki asi wi ki mbi l i tu
zi l i zopi t a, ki ongozi
maarufu wa Kiislamu,
S h e i k h Ab di r a s h i d
Mohamed Jelani, naye
aliuliwa kwa kupigwa
risasi katika mji wa Garisa,
Kaskazini Mashariki mwa
Kenya usiku wa Jumapili.
Sheikh Jelani aliuawa
majira ya saa 2:45 usiku,
zikiwa zimepita saa 24
tu tangu kuuliwa mtu
mmoja na wengine wanne
kujeruhiwa vibaya katika
shambulio la guruneti
mjini humo.
Mtandao wa gazeti la
The Standard la Kenya,
ulimnukuu Kamanda wa
Polisi Garissa, Charles
Kinyua, akisema kuwa
S he i kh Abdi r a s hi d,
alipigwa risasi kadhaa na
watu wasiojulikana zikiwa
ni mita chache kutoka
Msikiti wa Khalifa uliopo
jirani na Hospitali Kuu ya
Garissa, akiwa ametoka
katika swala ya Isha.
Kamanda huyo wa polisi
alisema muuaji wa Sheikh
huyo bado hajafahamika.
K a ma k a wa i d a ,
i nadai wa kuwa hat a
Sheikh Idris ameuliwa na
watu wasiojulikana na
kwamba Polisi wanafanya
uchunguzi. Hata hivyo
toka kuuliwa kwa Sheikh
Rogo, hakuna uchunguzi
wa polisi uliokamilika
na kus e ma ni na ni
wanahusika na mauwaji
hayo.
Lakini wakati vyombo
vya dola vikija na kauli
za kuhusika kwa watu
wasiofahamika, wananchi
Na Omar Msangi
wa Kenya wamekuwa
waki i tuhumu seri kal i
kuhusika na mauwaji hayo
kupitia kikosi chake cha
kupambana na ugaidi-
Anti-Terror Police Unit
(ATPU).
Akizungumzia mauwaji
ya Sheikh Aboud Rogo na
Sheikh Ibrahim Ismail,
kabl a ya mwenyewe
kufikwa na maafa hayo
hayo, Sheikh Abubakar
She r i f f Ma ka bur i
Kwa upande mwingine
alisema kuwa maadhali
ATPU wanapewa mafunzo
na kutumwa kazi kupitia
mpango wa Marekani na
Israel, basi wanaopasa
kulaumiwa ni Marekani na
serikali ya Kenya iliyotoa
ki bal i kwa rai a wake
kuuliwa.
WHO killed ROGO
and WHY, taarifa moja
iliyochapishwa na The
Kenyan DAILY POST
I nt el l i gence Servi ces
(NSIS), imeiambia The
Kenyan DAILY POST kuwa
Sheikh Rogo aliuliwa kwa
sababu anatoa mahubiri
yanayohatarisha masilahi
ya ubeberu wa Marekani
Afrika Mashariki.
Kwa maneno yake The
Kenyan DAILY POST,
lilisema:
A credible source from
the Nati onal Securi ty
I nt el l i gence Servi ces
Paradise Hotel, Mombasa,
inayomilikiwa na kampuni
ya I s r ael . Ni kat i ka
shambulio hilo ilidaiwa
pi a kuwa kul i fanyi ka
jaribio la kuidungua ndege
ya abiria ya Israel ikitoka
Mombasa kwenda Tel
Aviv. Katika shambulio
hilo la Kikambala, Pradise
Hotel, watu 15 waliuliwa
waki wemo Wai s r ael
wawili.
K u t o k a n a n a
alikuwa akisema kuwa
wahusika wa mauwaji ya
Masheikh na Waslamu
Kenya ni Anti Terror Police
Unit kwa kisingizio cha
ugaidi.
ATPU walikuwa hapa,
kwa nini walikimbia?
Kwa nini wanatuuwa,
wakati hatujauwa mtu?
Polisi wanauwa Waislamu
wasiokuwa na hatia.
Alisema Makaburi siku
aliyouliwa Sheikh Ibrahim
Ismaili.
katika mtandao ilihoji.
Kat i ka mael ezo yake
ikasema kuwa zipo taarifa
kuwa Sheikh Aboud Rogo
was killed by American
spy agency CIA with the
help of elite Israeli spies
from the Mossad over his
involvement in terrorism
activities in Mombasa.
Likitaja chanzo chake
cha habari, The Kenyan
DAILY POST, likasema
kuwa a credible source
from the National Security
( NS I S ) who l e a ke d
information to the DAILY
POST, the radical Islamic
cl eri c who has been
preaching against America
and Jews imperialism in
the world, was gunned
down on Monday in order
to protect America and
Israels interest in Eastern
Africa.
Sheikh Rogo alikamtwa
mwaka 2002 akituhumiwa
kuhusika na kulipuliwa
kwa hotel i ya ki tal i i -
kukosekana kwa ushahidi
wa kumuhusisha Sheikh
Rogo na shambulio hilo,
aliachiwa huru.
Taarifa za kiuchunguzi
zinaonyesha kuwa mara
baada ya shambulio la
Kikambala, makachero
wa Mos s ad wal i t ua
Mombasa waki t af ut a
ushahidi wa kuwahusisha
Waislamu na shambulio
hilo wakiwaunganisha na
mtandao wa Al Qaida.
Inaendelea Uk. 9
SHEIKH Ponda. SHEIKH Kundecha. Maalim Bassaleh. SHEIKH Mohamed Idd.
AL-RHUUM Aboud Rogo AL-RHUUM Ibrahim 'Rogo' AL-RHUUM 'Makaburi'. AL-RHUUM Samir Khan
9
AN-NUUR
SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 13 - 19, 2014
Makala
Masheikh Tanzania tieni vichwa maji
Inatoka Uk. 8
Kwa mujibu wa makala
na uchambuzi wa Gordon
Thomas (10/12/2004)
al i yoi pa anuwani ya:
Mossad - The Worlds
Most Efficient Killing
Ma c hi ne , a na s e ma
kuwa kazi i l i yokuwa
imewapeleka makachero
wa Mossad Mombasa
baada ya tukio la Kikambala
ni moja tu: kuwatafuta na
kuwauwa wahusika wa
tukio hilo. Hata hivyo
zipo taarifa na uchambuzi
mwi ngi unaonyes ha
kuwa kilichodaiwa kuwa
ni shambulio la kigaidi
Kikambala pamoj a na
kile kilichodaiwa kuwa
ni jaribio la kuidungua
Boei ng 757 ya Arki a
Airlines, yalikuwa mambo
ya kupanga ili kupata
kisingizio cha kuanzisha
inayoitwa vita ya ugaidi
Kenya na Afrika Mashariki
kwa ujumla. Soma: Mossad
Bombs Paradise Hotel
in Mombasa-The precise
anatomy of an atack that
only looked like it was
targeted on Jews.
Hi vi kari buni BBC
wametoa makala juu ya
ile operesheni iliyopewa
jina la Operation Cynide.
Katika makala hiyo-BBC
Video Documentary-How
Israel commited the cold
blooded murder of US
sailors, inaelezwa jinsi
ndege za kijeshi za Israel
zilivyoshambulia meli ya
kijeshi ya Marekani USS
Liberty, June 8, 1967 ili ipate
kuwasingizia Waarabu na
kuipa kisingizio Marekani
kuwapiga Waarabu. Katika
shambulio hilo la kupanga,
wanajeshi 34 wa Marekani
waliuliwa na wengine
zaidi ya 170 kujeruhiwa.
Tazama pia Leaving the
USS Liberty Crew Behind
i l i yoandi kwa na Ray
McGovern.
Hi l i ni moj a t u ya
matukio yanayothibitisha
kwamba mashambulio
kama haya yanayodaiwa ya
kigaidi, wenyewe wanaita
False Flag Terror Atacks
hufanya kupangwa ili
kupata sababu.
The Salvador Option
Hi v i s a s a k a t i k a
Iraq na Pakistan, kila
uc hao kunar i pot i wa
mashambulizi ya kigaidi
bai na ya Wasuni na
Washia. Shia wanalipua
na kuuwa Sunni na
Sunni nao halikadhalika
hufanya hivyo katika kile
kinachoonekana kama
machaf uko ya ki di ni
baina ya makundi hayo
mawili. Lakini hali hiyo
kwa Iraq haikuwepo kabla
ya Marekani kuvamia
nchi hiyo. Haikuwepo
pia Pakistan kabla ya
Musharraf kut umi wa
katika iliyoitwa vita dhidi
ya ugaidi.
Hii ni kuonyesha kuwa
mbegu hii ya machafuko
imefanya kupandikizawa.
Wa k a t i Ma r e k a n i
ilipotaka kuivuruga Iraq
baada ya uvamizi ilianzisha
operesheni iliyoitwa The
Salvador Optionkwa
mujibu wa taarifa ya jarida
la Newsweek (2005), huu
ulikuwa ni mpango wa
kuunda kikosi cha wauwaji
wa Kishia (assassination
s quads ) na kuwapa
mafunzo na maelekezo
ya kuuwa viongozi wa
Kisuni. Huo ulikuwa ni
utaratibu wa uhakika
kwamba kwa muda mfupi
watakuwa wamefanikiwa
kuingiza nchi hiyo katika
mauwaji na machafuko
yasiyo na mwisho. Maana
Shia wakiuwa Sunni, watu
wa Sunni nao watauwa
Shia kulipiza kisasi. Ndiyo
hali inayoendelea Iraq na
Pakistan.
Mpango huo umeitwa
The Salvador Option
kwani ndio uliotumika
El Salvador katika miaka
ya 1980s wakati wa Rais
Ronald Reagan katika
kukabiliana na vikundi
vya wananchi wazalendo
wal i oone kana kuwa
kikwazo kwa masilahi ya
Marekani katika nchi za
Amerika ya Kusini.
Kwa mujibu wa makala
ya mwandi shi Al l an
Nai rn kat i ka makal a
yake Behind the Death
Squads (1984), mamia
kwa maelfu ya watu wasio
na hatia waliuliwa na
death squads ambavyo
viliundwa na kuwezeshwa
na CIA katika El Salvador,
Honduras, Nicaragua,
Gua t e ma l a na nc hi
nyingine za Amerika ya
Kusini.
Kuna kila sababu ya
kuwa na wasiwasi kuwa
huenda vikundi kama
hi vyo vya ma uwa j i
vishaundwa kwa Kenya
ambayo inadaiwa kuwa
i mec hagul i wa kuwa
ml ango wa kui ngi l i a
Africom Afrika Mashariki
na pia mlango wa kuingiza
vita dhidi ya ugaidi.
Kama hivyo ndivyo,
kinachotarajiwa katika
mauwaji haya ni kuwa
itafika mahali Waislamu
watasema, tumechoka,
s a s a ba s i kwa ni ni
tuendelee kuuliwa bila
ya kosa. Watafanya lolote
wanal oweza kufanya,
kama ni kulipua vituo vya
polisi au shabaha zozote
za kiserikali. Wanaweza
pia kushambulia shabaha
za taasisi za Kikristo.
Ikitokea hivyo, vikosi
vya uuwaji vilivyopewa
mafunzo (ATPU) navyo
vitazidisha makali vikidai
kupambana na magaidi,
hali itakwenda mpaka
itakuwa ni mchafukoge.
Machafuko yasiyokoma.
Na hilo ndilo linalotakiwa.
Kenya na Afrika Mashariki
iwe kama Iraq na Nigeria.
Hiki ni kitendawili tata
kwa Waislamu.
Laki ni kukamat wa
kwa r ai a wa I s r ael ,
Jabareen Ahmed, na mtu
anayeshukiwa kuwa ni
mshirika wake, Mohamed
Sal i m, mwenye urai a
wa Morocco, wakidaiwa
kuwa ni wakufunzi wa
Al Shabab, nayo inatoa
ujumbe mwingine. Wawili
hao walikamatwa Februari
25 baada ya polisi kupokea
taarifa kwamba walikuwa
wanapanga kuf anya
mashambulizi ya kigaidi
nchini humo. Kwa mujibu
wa taarifa za gazeti la Daily
Nation la Kenya, watu hao
walifunguliwa mashitaka
Alhamisi Juni 5. Polisi
wamedai watuhumiwa
hao walikutwa na ushahidi
wa vi f aa kadhaa vya
kompyuta, mikanda ya
video na picha, yakiwemo
ma e l e z o ya na mna
ya kuunda na kulipua
mabomu na vi deo za
maf unzo ya ki j e s hi
z i na z o hi s i wa kuwa
zilirekodiwa Somalia.
Wa t u h u mi wa wo t e
wawili walishitakiwa kwa
kuwa wanachama wa al-
Shabaab na kuhusishwa
na mashitaka mengine
kadhaa yanayohusiana na
ugaidi.
Ilielezwa kwamba hivi
karibuni, Ahmed na Salim
walikiri kosa la kuingia
Kenya ki nyume c ha
sheria na walihukumiwa
mwaka mmoja jela kila
mmoj a. Kes i zao za
ugaidi zinazowakabili
zimepangwa kuendelea
Juni 18.
J apo Mahakama ya
Kenya imewafungulia
mashitaka kwa madaiwa
kuwa ni wafuasi wa Al
Shabab walioingia Kenya
kutafuta wafuasi, lakini
inabidi tulitizame kwa
namna nyingine. Hawa
ha wa we z i kuwa Al
Shabab wa kweli. Hawa
wat akuwa ni kat i ka
makachero wanaotumiwa
kuwaghilibu vijana wa
Kiislamu kuwa kuna Jihad
Somal i a na kuwataka
waende huko au wafanye
vitendo vya kigaidi nchini
mwao kama namna ya
kupigania haki za Uislamu
au kufanya Jihad. Hawa
ndio wale makachero wa
kufanya entrapment
i l i ki ti sho cha ugai di
kiendelee kudumishwa na
kutoa fursa kwa mabeberu
kuja na kuweka mipango
yao ya kutuzonga na
kutuzinga na mitandao
yao ya ki kachero na
kijeshi kupitia Africom.
Tunatakiwa tujihadhari
nao.
La kuzingatia hapa ni
kuwa maadhali Kenya ni
mlango tu wa kuingilia
lakini mkakati ni Afrika
Mashari ki , basi tuj ue
kuwa ya Mombasa na
Gari ssa yanakuj a. Na
yanaweza kuja katika sura
iliyokwisha kujitokeza ya
madai ya kuuliwa viongozi
wa Kikristo na kuchomwa
moto makanisa. Lakini
matokeo yatakuwa yale
yale.
SHEIKH Farid Hadd
SHEIKH Azzan Hamdan
10
AN-NUUR
SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 13 - 19, 2014
MAKALA
MWE NY E Z I Mu n g u
Mtukufu ameiteremsha
Qur'an kwa Mtume wake
Muhammad ( saw) , i l i
kuwaongoza wanadamu
kutoka kwenye ukafiri,
uj a hi l i na upo t o v u.
Mw e n y e z i Mu n g u
anasema, "Hiki ni Kitabu
tulichokiteremsha kwako
ili uwatoe watu katika giza
uwapeleke kwenye nuru,
kwa idhini ya Mola wao,
uwafikishe katika njia ya
yule Mwenye kushinda
Mwenye kusifiwa (Naye
ni Mwenyezi Mungu)
Qur(14:1).
Kitabu cha Mwenyezi
Mungu kina visa vingi vya
Manabii waliotangulia na
mataifa yao. Vingi kati ya
visa hivyo vina maelezo ya
kina na wazi kuhusu jinsi
mataifa mengi yaliyotangulia
yal i vyoangami zwa kwa
s a ba bu ya kumpi nga
Mwe nye z i Mungu na
kuwakana Mitume wake.
Miongoni mwa Manabii
ha o ni Yus uph ( a s ) ,
ambaye ana ki sa ki refu
kinachosisimua, ambacho
kimesimuliwa kwa Umma
wa Muhammad (saw) kupitia
Qur'an Tukufu.
Makal a hi i i naj ari bu
kuangalia kwa ufupi maisha
ya Nabii Yusuph (as); lengo
la visa vya Mitume katika
Qur'an, umuhimu wa visa
hi vyo l eo, na maf unzo
tunayoweza kuchota kwenye
visa hivyo; kama watu binafsi
na kama Umma. Makala
itazingatia zaidi maeneo
muhimu ya kisa cha Nabii
Yusuph (as).
Lengo na umuhimu wa
visa vya Manabii:
Kabla hatujaingia ndani
kati ka mai sha ya Nabi i
Yusuph, ni muhimu sana
kutafakari na kuangalia
ma dh umun i h a s a ya
simulizi kama hizo kuwekwa
ndani ya Qur'an. Visa vya
Manabii siyo ngano tu za
kuf i ki r i ka. Mwe nye zi
Mungu hakuvibainisha kwa
Muhammad (saw) kama
taarifa isiyo na umuhimu
wowote.
Bila shaka, kwa sababu
ya kuwa Umma wa mwisho,
kushindwa kwetu kuzingatia
kwa usahihi malengo hasa
ya visa hivi, kutatupeleka
kubaya na kutufanya kuwa
miongoni mwa wale wajinga.
Mwe n y e z i Mu n g u
amesimulia matukio mazito
yaliyotokea maelfu ya miaka
iliyopita kwa Muhammad
(saw), ili sisi kama Umma
tuweze kuchota mafunzo.
Hakuna mmoj a we t u,
hata Mtume mwenyewe,
angeweza kufahamu kisa
hiki cha Nabii Yusuph (as),
kama Mwenyezi Mungu
asingetusimulia:
"Hizi ni katika habari
za siri tulizokufunulia.."
Qur(12:102)
Ufunuo kama huo,unatoa
mafunzo na ukumbusho kwa
Umma kubaki katika njia ya
haki,kuhusiana na maisha ya
hapa duniani na kukwepa
Kisa cha Nabii Yusuph - Lengo na umuhimu wake leo!
Said Rajab
maangami zi ya matai fa
yaliyopita. Hadithi hizi za
Mi t ume zi na umuhi mu
mkubwa sana katika maisha
ya leo. Ukiacha maendeleo ya
Sayansi na Teknolojia, asili ya
maisha ya binadamu inabaki
kuwa ile ile.
B i n a d a mu wa l e o
wanatenda maovu kama
yale yaliyotendwa na watu
wa mataifa yaliyopita. Kama
Umma l eo ut ashi ndwa
kuwaondoa watu kutoka
kwenye gi za l a Kuf ru,
basi Umma huo uwe na
hakika kwamba unasubiri
maangamizi kama ya mataifa
yaliyotangulia.
Unabii wa Yusuph (as):
Maisha ya Nabii Yusuph
ndani ya Qur'an Tukufu ni kisa
kirefu sana kinachosisimua.
Ni kisa kinachobainisha sifa,
ambazo ni chachu muhimu
ya mafanikio katika maisha
ya hapa duniani na kesho
Akhera, ikiwa ni pamoja
na kuonyesha t abi a ya
binadamu ya kurushiana
lawama, ambayo hatima
yake huwaletea maafa wao
wenyewe.
Hadithi hizi za Manabii
zinahusisha pia udhaifu wa
kibinadamu kama wivu,
chuki , kuj i ona, uongo,
udadisi, ukatili, kij icho,
hofu, pamoja na sifa njema
za kibinadamu kama subira,
uaminifu, ushujaa, uadilifu,
mapenzi na huruma.
Nasaba ya Nabii Yusuph
ni ya Mitume. Alikuwa ni
mtoto wa Nabii Yaqub(as),
babu yake alikuwa Mtume
Ishaq (as) na babu yake mkuu
alikuwa Nabii Ibrahim (as).
Kwa hiyo, haikuwa jambo
la kushangaza kwa baba
yake, wakati alipofunuliwa
kwamba Yusuph (as) alikuwa
anaandaliwa kuwa Mtume
wa Mwenyezi Mungu.
Kisa cha Nabii Yusuph
( a s ) , k i n a a n z a k wa
Bishara ya Utume wake,
kisha ki nai ngia kwenye
mlolongo wa mitihani na
mateso mazito na hatimaye
kinaisha kwa mafanikio na
utukufu, ambapo Yusuph
(as) anakuwa mtawala nchini
Mi sri . Hadi thi i naanzi a
kwenye ndoto inayomhusu
yeye mwenyewe na kuishia
kwenye tafsiri ya ndoto hiyo.
Nj ama za kumpoteza
Yusuph (as): Yusuph (as),
ambaye ndiye aliyekuwa
kipenzi cha baba yake, aliota
ndoto kwamba nyota kumi
na moja, jua na mwezi vyote
vi l i kuwa vi ki msuj udi a.
Al i msi mul i a baba yake
kuhusu ndoto hii, ambapo
Yaqub (as) alitambua mara
moja kwamba hii ilikuwa ni
ishara ya Mwenyezi Mungu
kuhusu Unabii wa Yusuph
(as).
Mzee Yaqub (as) alimuonya
kij ana wake asiwaambie
ndugu zake kuhusu ndoto
hiyo, kwa sababu alihofia
ingezidi kuleta wivu na
husuda kutoka kwa ndugu,
ambao tangu awali walikuwa
wakimuonea kijicho Yusuph
( as ) , ambaye al i kuwa
akipendwa sana na baba yao.
Ndugu zake Yusuph (as),
wal i kuwa waki mchuki a
sana kwa sababu ya kule
kupendwa kwake na baba yao.
Walihisi Yusuph (as) alikuwa
akiwapora mapenzi ya baba
yao. Hawakuj al i kabi sa
kwamba tabia na mwenendo
mwema wa Yusuph (as),
ndizo zilizokuwa sababu za
mapenzi haya ya kina kutoka
kwa baba yao.
Kwa hiyo ndugu zake
hao wakafanya njama ya
kumpoteza Yusuph (as),
i l i waweze kupata wao
mapenzi yote ya baba yao.
Kwa udanganyifu mkubwa,
wal i mc hukua Yus uph
(as) kwenda naye mbali
na wakamtosa ki si mani
na kumwacha peke yake.
Wal i por udi nyumbani ,
wakamdanganya baba
yao kwamba Yusuph (as)
ameliwa na mbwa mwitu wa
jangwani na wakampa kanzu
yake, ambayo waliiloweka
kwenye damu ya kondoo.
Baada ya kupokea habari
hizi za kusikitisha kuhusu
kijana wake aliyempenda
zai di , Mzee Yaqub (as)
hakuwaamini watoto wake
wale. Mwenyezi Mungu
anatoa somo kubwa sana kwa
Umma wetu kupitia majibu
ya Yaqub (as):
"Wakaja na kanzu yake
i na damu ya uwongo.
Akasema: "Bali nafsi zenu
zimekushawishini kutenda
kitendo. Lakini subira ni
njema; na Mwenyezi Mungu
ndiye wa kuombwa msaada
kwa haya mnayoyaeleza"
Qur(12:18)
Kat i ka hasara kubwa
kama hi yo, Mt ume wa
Mwenyezi Mungu Yaqub
(as) ametuonyesha jinsi ya
kukabiliana na hali hiyo.
Mzee Yaqub (as) hakukata
t amaa ya ms aada wa
Mwenyezi Mungu, wala
hakulalamika kutokana na
janga zito lililomfka. Badala
yake, alifanya subira huku
akiomba hifadhi na msaada
wa Mwenyezi Mungu.
Bila shaka kuna mafunzo
makubwa kwetu kutoka
kwenye kipande hiki cha
hadithi kutoka Surat Yusuph.
Mwenyezi Mungu anasema;
"Na Mwenyezi Mungu ni
Mjuzi wa wanayoyatenda"
Qur(12:19).
Mwe n y e z i Mu n g u
Mtukufu alikuwa anafahamu
kwa kina kila kilichokuwa
ki natokea na angeweza
kuwazui a wal e waovu
wasimdhuru Yusuph (as).
Hata hivyo, kutokana na
heki ma na busara yake
kubwa, aliacha hilo litokee ili
uamuzi wake wa kumfanya
Yusuph ( as) kuwa mt u
mkubwa, uweze kutimia
kwa wakati aliopanga.
Mwe n y e z i Mu n g u
Mtukufu aliwapa wahalifu
wal e muda mf upi t u,
ili hatimaye Yusuph (as)
afanikiwe na awe na mamlaka
juu ya taifa lake, na siyo tu
wale ndugu zake.
Mafunzo tunayopata leo:
Tumeshuhudia umwagaji
mkubwa wa damu ya
Wai sl amu ki l a kona ya
duni a. Kuanzi a Af ri ka,
Asia, Mashariki ya Kati na
Ulaya.Tumeshuhudia nchini
Misri dikteta aking'olewa
kwa gharama ya damu ya
Waislamu, lakini juzi hapa
ameingia madarakani dikteta
mwingine, kupitia uchaguzi
wa kiini macho.
N c h i n i Y e m e n
tumeshuhudia Waislamu
wa k i a n g a mi z wa k wa
makombora ya ndege kupitia
visingizio vya ugaidi. Somalia
Waislamu wanauawa kila
siku bila makosa yoyote. Iraq,
Afghanistan na Palestina,
mauaji ya Waislamu kupitia
visingizio vya ugaidi ndiyo
mtindo wa maisha. Na hata
jirani zetu Kenya, ili uwe
Mkenya safi, basi lazima
uac he Ui s l amu wako,
kinyume chake, utauawa tu
kupitia visingizio!
Lakini pamoja na yote hayo,
si kwamba Mwenyezi Mungu
hafahamu kinachotokea na
madhi l a yanayowapat a
waja wake wema wanaotaka
S he r i a ya ke i s i ma me
hapa duniani. Bila shaka,
Mwenyezi Mungu anawapa
muda tu hawa madhalimu
waendeleze udhalimu wao,
lakini mwisho wake atawapa
ushindi waja wake wema
katika muda aliopanga yeye.
Madhal i mu watasal i mu
amri tu! Mwenyezi Mungu
atawapa ushindi Waislamu,
kama alivyowapa ushindi
Nabi i Yus uph ( as ) na
Muhammad (saw).
Ka t i ka ki pi ndi c ha
Da' awah ya Muhammad
(saw) kule Makkah, licha
ya vitimbi vya Maquraysh
dhidi ya Waislamu wa awali,
Mwenyezi Mungu Mtukufu
alimpa ushindi Mtume wake
dhi di ya Maquraysh na
akawaweka Maquraysh chini
ya mamlaka ya Uislamu.
Kwa hi yo hat a l eo,
Wai sl amu hawana nj i a
isipokuwa kuwa na subira
na uvumi l i vu ka t i ka
mitihani mizito na mateso
makubwa wanayopat a.
Lazima waendeleze juhudi
za kusimamisha dini ya
Mwenyezi Mungu katika
ardhi. Siyo kukata tamaa
na kuleta visingizio vya
kukwepa wajibu.
Juhudi za kweli katika
njia ya Mwenyezi Mungu,
utii kwa Sheria ya Mwenyezi
Mungu, tawaqqal na subira
ni mambo muhimu sana kwa
ushindi wa Waislamu leo.
(Itaendelea)
Wanafunzi wa Madrasa Imania Mambo Mgati, Mtae Lushoto, wakiwatoea kwenye sherehe
za Maulid yalifanyika katika kitongoji cha Kukai hivi karibuni.
11
AN-NUUR
SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 6 - 12, 2014
Makala
WIKI iliyopita serekali
y e t u y a J a mh u r i
y a Mu u n g a n o wa
Tanzani a, i mewapa
urai a waki mbi zi wa
Kisomali wenye asili ya
Kibantu 1,514 waliokuwa
wanaishi Chogo, Wilaya
ya Handeni, Tanga. Ni
jambo la kupongezwa
na huo ndio ubinaadamu
haswa, tuwasaidie wenye
matatizo kwa hali na
mali.
Wasomali wamekuwa
katika vita kwa takriban
miongo miwili sasa, ni vita
visivyoisha, wakiuwana
wao kwa wao na baadhi
ya siku wakipigana na
maj eshi ya AMISOM,
kutoka Uganda, Kenya na
mataifa mengine ya Afrika
Mashariki.
Lakini wanajeshi wote
hao wakisaidiwa na drone
za Ki marekani bado
hawajaweza kuzima vita
ila kinachoonekana ni
kuzidisha mgogogro huo,
tena wanaonekana kana
kwamba wanachochea
moto na wala si kuuzima
kama kusudio lao, ikwa ni
kweli wana kusudio hilo.
Wakati sisi tunatoa
v i t a mb u l i s h o k wa
Was omal i we nze t u,
Kenya wanawafukuza na
kuwarudisha Mogadishu
na Ki smayo, ni kwa
madai ya visa vya Ugaidi
wanavyowashut umu,
kwamba mabomu na
miripuko yanayotokea
mara kwa mara Mombas
na Nairobi, basi serekali
ya Kenya inasema hao ni
Wasomali.
Tunael ezwa kuwa
Roho za Wasomali zisije geuzwa kafara
Na Rashid Abdallah
Pol i s i nc hi ni Kenya
w a m e t u h u m i w a
kuwabaka na kuwazuilia
k i h o l e l a t a k r i b a n
wakimbizi 1,000, huku
wakijidai kupambana na
ugaidi.
Kwa mujibu wa shirika la
kutetea haki za binadamu
la Human Rights Watch,
pol i si kut oka vi kosi
vinne waliwadhulumu
wakimbizi wa Kisomali
na wa Ethiopia pamoja na
watu wengine waliokuwa
wanatafuta hifadhi nchini
Kenya katika mtaa wa
Eastleigh, mjini Nairobi
kat i ya Novemba na
Janurai mwaka jana.
Wa l i o s h u h u d i a
vitendo hivyo pamoj a
na wakimbizi wenyewe,
waliambia shirika la HRW,
kuwa polisi wa kikosi cha
GSU, wa kupambana na
ghasia, polisi wa kawaida
na wale wa utawala pamoja
na maafisa wa ujasusi,
walifanya vitendo hivyo.
I nasemekana kuwa
w a l i w a d h u l u m u ,
kuwabaka, kuwapora
, k u wa c h a p a n a
kuwakamata wakimbizi
k i h o l e l a n a k i s h a
k u wa z u i l i a k a t i k a
mazingira ya kinyama.
Mo h a m m e d A l i
mtayarishaji wa makala
ya Jicho Pevu kutoka
runinga ya KTN huko
Kenya. Katika ukurasa
wake wa facebook aliuliza
hivi; Alshabab hawajawahi
kuda i kuhus i ka na
miripuko inayoendelea
sasa tangu lile la West
Gate Mall, nani anauwa
Wakenya wenzetu?
M o h a m m e d n i
mwandishi mchunguzi,
tena anapaswa kupewa
hongera mno na kama
utaziangalia makala zake
kupitia KTN au Youtobe
basi utakubaliana nami,
kuwa ni kweli anauza
roho katika kuchunguza
mambo mbali mbali nchini
Kenya.
Kama umemfahamu
anakus udi a kus e ma
Alshabab kawaida yao
wakifanya tukio hudai
kuhusika kama lile la
Westigate inasemekana
wal i dai kuhusi ka i l a
sijui kama walidai wao
kwel i au kuna wat u
wa l i wa s a i di a kuda i
hilo, sasa tangu litokee
shambulio la Westigae
Muhammed anasema
Al s habab hawaj adai
kuhusika na mashambulio
yanayoe nde l e a s as a
Mombasa na Nairobi,
akamaliza kwa kuuliza
s ua l i na ni a na uwa
Wakenya wenziwao?
Serekali zetu zinakuwa
zinatumia njia haramu
kujipatia misaada kutoka
k wa ma b e b e r u wa
Kimagharibi. Unaposikia
b o mu l i me r i p u k a
mtaani Mombasa, huwa
inawezekana kuwa hata
si Alsabab wala nani,
yanaf anywa hayo i l i
ipatikane sababu ya mtu
Fulani kuzuliwa kahusika
mwisho auwawe.
Kinachofuata wataita
vyombo vya habar i
wa s e me wa me u wa
gaidi au wanaweza pia
kusema ameuliwa na mtu
asiyejuulika, hapo tayari
sababu ya posho kutoka
serekali ya Bwana Obama
imeshapatikana. Ndio
maana wanauwa raia wao
wanaripua mabomu ili
wapate misaada mingi
zaidi ya kupambana na
ugaidi huku ikiwanufaisha
wao na wasio na hatia
wakiuwawa.
Na i s h uk ur u s a n a
serekali yetu kwa kuwapa
we nye dhi ki f a r a j a
lakini cha msingi na cha
kuzingatia Wasomali hao
ambao sasa ni Watanzania
wasijekuwa ndio roho zao
zikawa ndio kafara ya sisi
kupata misaada mingi
zaidi kama wafanyavyo
Kenya sasa.
Na t u s i j e k u wa
tunafanya mambo yetu
sisi kisha tukawazulia
wa o i l i i pa t i k a ne
sababu ya kuwauwa
a ma k u wa f u k u z a ,
tumewakaribisha kama
bi naadamu wenzet u
wenye matatizo yatupasa
sasa tuwasaidie kweli
kwel i . Wameshakuwa
sasa ni Watanzania na
si Wasomali tena hivyo
kusiwe na ubaguzi dhidi
yao.
Matatizo yao Wasomali
ni mat at i zo ambayo
nchi yeyote yanaweza
kutokea sasa cha msingi ni
kuwasaidia, tusione raha
vile watoto na akina Mama
wakifa kwa sababu ya njaa
na ukame au wakifa kwa
sababu ya risasi zisizo
na macho, risasi ambazo
zi mshi ndi l i wa ndani
ya AK47 na binaadamu
mwenye akili timamu
lakini mwisho wa yote
anawapiga risasi watoto
na wanwake.
Vi t a havi na macho
lakini tunao ongoza vita
tuna macho, tusiingie
katika vita na kuanza
kuuwa watoto, pigana na
Yule mbabe mwenzako
ambaye naye ana AK vile
vile, usitoe machungu
yako kwa watoto wadogo
wasi oj uwa hi l i wal a
lile. Huo ni ukosefu wa
huruma.
Unapombaka Mama
wa Kisomali, vuta picha
kuwa yuel ni mke wa mtu,
dada wa mtu, shangazi wa
mtu pia ni bibi wa mtu,
ingekuwa mzazi wako naye
ndio anafanyiwa hivyo
ungej isikiaj e? Ni raha
ama karaha, basi ikiwa ni
karaha usiwafanyie Mama
za watu vitendo ambavyo
we we Ma ma y a k o
hutofurahi akifanyiwa.
Usifurahi tu kumfanyia
mtu wewe je vikifanywa
kwako itakuwaje?
Karibuni Watanzania
wapya ndani ya Tanzania
i l i yoj aa ki l a ai na ya
rasilimali lakini wananchi
wake wengi wao wanaishi
ndani ya umas i ki ni
ul i opi t i l i za, kari buni
t ugawane umas i ki ni
wa nchi hii. Mafsadi na
vigogo wakinufaika na
wanyonge wakiendelea
kudhal i l i ki . Kari buni
t ugawane umasi ki ni ,
wenye nchi wanajisifu
kuwa nchi yao ni tajiri lakini
utajiri huo hauwonekani
isipokuwa kwa wachache
tu walioshikilia usukani na
kuiyendesha nchi ya wote
vile wapendavyo wao na
watakako wao.
Ha t upe ndi kuona
Binaadamu akidhalilika
na kuonewa bila sababu,
ndi o hi vi t unaj ari bu
kus e ma pa l e pe nye
uwezo napo. Tanzania
haiko vibaya saana katika
amani, hali bado ni shuari
kwa kiasi ni tofauti na
Li bya, Mi sr, Somal i a,
hi vyo t uki wa kama
Watanzania kwa pamoja
tuilinde amani ya nchi
yetu, sio uungwana wewe
ukiwa ndio wa mwanzo
k ut a k a k ui t o we s ha
amani, naamini serekali
haitokuwelewa.
WAZIRI wa Mambo ya Ndani, Mhe. Chikawe.
12
AN-NUUR
SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 13 - 19, 2014
Mashairi/Habari
Wito nakutoleeni, wa tamasha la kidini,
Wito ukufkieni, mijini na vijijini,
Wito uitikieni, wa Bara na Visiwani,
Tukongamane kazini, Shenge Juu Visiwani.
Wito adhimu wa dini, watuhitaji kazini,
Wito ujenzi kiini, wa kituo cha kidini,
Wito tuuthaminini, wa kuendeleza dini,
Tukongamane kazini, Shenge Juu Visiwani.
Wito wazi wabaini, azma yetu nchini,
Wito yetu kuthamini, maendeleo ya dini,
Wito tusijeukhini, tutabaki kuwa chini,
Tukongamane kazini, Shenge Juu Visiwani.
Wito umeshabaini, kikuu chake kiini,
Wito sikuze jamani, ni thamaniya kazini,
Wito nisaidieni, kuueneza nchini,
Tukongamane kazini, Shenge Juu Visiwani.
Wito uzingatieni, wa tamasha Visiwani,
Wito uharakieni, kwa ustawi wa dini,
Wito wakusubirini, Shenge Juu Visiwani,
Tukongamane kazini, Shenge Juu Visiwani.
Wito wangu ukingoni, nimefka nabaini,
Wito lengole bayani, kunusuru yetu dini,
Wito huu pokeeni, kwa kuja Shenge kazini,
Shime nyote karibuni, tukongamane kazini.
ABUU NYAMKOMOGI
MWANZA.
WITO WA TAMASHA SHENGE JUU-PEMBA
Kwa mwenye pevu nadhari,hakosi kutia shaka,
Kwa Kenya yanayojiri, kwa dola kutohusika,
Kwa la angavu basari, sahali kumalizika,
Kama si wake mkono, itujuze WAUWAJI !
Mauko ya maamiri, wa dini yakithirika,
Si laili si nahari, yazidi kasi kushika,
Dola tuli 'mestakiri, hakuna linofanyika,
Kama si wake mkono, itujuze WAUAJI !
Kila siku yatughuri, UCHUNGUZI kufanyika,
Kwa kutamka dhahiri, wauwaji kuwasaka,
Tumechoka mahubiri, MATOKEO twayataka,
Kama si wake mkono, itujuze WAUAJI !
Muhali hilo kukiri, kushindwa wataumbuka,
Mifano japo kathiri, michache 'taimulika,
Ung'amue yao siri, nawe upate zinduka,
Kama si wake mkono, itujuze WAUAJI !
Mauaji ahamari, kwa wale wanokumbuka,
Si mengine ya SAMIRI, ya mwanzo kuripotika,
Kuhoji ninakariri, ni nani walohusika,
Kama si wake mkono, itujuze WAUWAJI !
ROGO alistajiri, kwao akabeulika,
Sabaashara dhahiri, risasi 'wakamtwika',
Falau si yao siri, ni nani walohusika,
Kama si wake mkono, itujuze WAUWAJI !
Kadhalika 'MAKABURI', kila mara nakumbuka,
Yake kwa dola indhari, ya mauko kumfka,
Kama si yao ghururi, ni nani walohusika,
Kama si wake mkono, itujuze WAUWAJI !
Kwa kweli ni tahayuri, na butwaa kwa hakika,
Kwa CHUNGUZI midirari, za dola zinofanyika,
MATOKEOYE dahari, kushindwa kubainika,
Kama si wake mkono, itujuze WAUWAJI !
Naweka hapa wadiri, ni nudhumu si waraka,
Kikoa tutafakari, Kenya yanayowafka,
Kwa dini wahidi mbari, wao nasi kwa hakika,
Kama si wake mkono, WAUWAJI kina nani?
ABUU NYAMKOMOGI
MWANZA.
Mauaji ya Mashekhe Kenya
(kuna mkono wa dola?)
Soko la Mchikichini lateketea kwa moto Dar
Inatoka Uk. 16
mchana, licha ya kuwa
soko hilo lipo takriban
mita mia moja kutoka
Ofsi ya Mkuu wa mkoa
wa Dar es salaam na
Mkuu wa Wilaya ya
Ilala.
Aidha hadi jana saa
tano asubuhi, hakuna
kauli yeyote ya serikali
iliyokuwa imetolewa
kuhusu ajali hiyo.
Baadhi ya waliopoteza
mali katika soko hilo
wamesema mai sha
yao sasa yat akuwa
magumu, ikizingatiwa
kwamba sehemu kubwa
ya mitaji yao ni mikopo
ya mabenki t aasi si
nyingine za fedha za
kukopeshana.
Wengine walisema
kuwa kipato chao cha
kujikimu sasa itakuwa
vi gumu kuki pat a,
huku baadhi wakiwaza
kuhusu majukumuya
kifamilia hususan ada
za watoto wao pale
shule zitakapokuwa
zimefunguliwa Julai
na wengine wakiwa na
mashaka juu ya hatma
ya makazi yao kufuatia
kukabiliwa na kodi
za nyumba baada ya
mwezi huu.
H a t a h i v y o
wafanyabiashara hao
wameonyesha wasiwasi
mkubwa na mashaka
kuhusu chanzo cha
mo t o h u o , h a s a
ikizingatiwa j uhudi
haffu zilizochukuliwa
kuuzima moto huo huku
viongozi wakishindwa
kuonyesha ushirikiano
kwa wafanyabiashara
hao hata baada ya tukio.
Bidhaa zilizoteketea
katika janga la moto
huo ni mabalo ya nguo
za mitumba, nguo za
kushonwa, vitambaa,
viatu vya mitumba,
mi kanda, mabegi ,
vioski vya mama lishe,
vyote thamani yake
bado haijafahamika.
Maalim Seif atoa tahadhari kombe
la dunia na Ramadhani
Inatoka Uk. 16
nyengine, Maalim Seif
amewat anabahi sha
vijana kuwa makini na
mashindano ya kombe
la dunia yanayotarajiwa
kuanza tarehe 12 mwezi
huu nchini Brazil, kwa
kut opot e z a muda
mwingi kushughulikia
mashindano hayo, na
kuacha shughuli zao
kijamii ikiwa ni pamoja
na kufanya ibada za
usiku katika mwezi
mtukufu wa Ramadhan.
Naye Wazi r i wa
Habari, Utamaduni,
Utalii na Michezo Mhe.
Sai d Al i Mbarouk,
alisema mradi wa jengo
hilo ni miongoni mwa
mikakati ya Wizara hiyo
katika kukuza michezo
nchini.
A l i s e m a k w a
k u s h i r i k i a n a
n a w a s h i r i k a
wa ma e n d e l e o ,
wa na k us udi a pi a
kuufanyia matengenezo
uwanj a wa michezo
wa Gombani Pemba
kwa kuweka TATAN ili
uweze kutumika kwa
michezo ya riadha.
Ai d h a a l i s e ma
seri kal i i nakusudi a
k u j e n g a b wa wa
kubwa la kuongelea
(swimming pool), ili
l i weze kuwasai di a
vi j a na wa na ot a ka
kushiriki mchezo huo,
kuwawezesha kushiriki
michezo ya Olimpiki
duniani.
Bal ozi wa J apan
nchini Tanzania Masaki
Okada, amesema iwapo
vi j a na wa Pe mba
watafanikiwa kuingia
kat i ka mi chezo ya
Olimpiki ya Kimataifa
nchini Japan mwaka
2020, ofsi yake inaahidi
kuwadhamini vijana
hao.
Kwa upande wake,
Ra i s wa he s hi ma
wa mchezo wa j udo
Zanzibar Bw. Shima
Oka, amet oa wi t o
kwa vijana wa Pemba
kujiunga na mchezo
wa Judo ili kuendeleza
mafanikio yaliyokwisha
patikana.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar,
Maalim Seif Sharif Hamad.
13
AN-NUUR
SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 13 - 19, 2014
Makala
" AFRI COM i t at oa
mafunzo kwa kikosi
maalum cha walenga
s habaha wa j es hi
l a Ni ger i a kat i ka
kupambana na ugaidi.
VI KOS I ma a l um
vya jeshi la Marekani
siku zote vimekuwa ni
vya wauaji wa kisiasa,
mar a nyi ngi zai di
vikiamrishwa chini ya
kivuli cha Shirika la
Ujasuai la Marekani,
CI A. Mpa ng o wa
Phoenix wakati wa vita
vya Vietnam, ambao
uliuwa watu kati ya
26, 000 na 41, 000 na
kufanyia mateso wengi
wengine, ulikuwa ni
uhalifu wa kivita wa
CIA na vikosi maalum.
Kuanzia mwaka 1974
hadi miaka ya 1980,
CIA na mkono wake
wa Vi kosi Maal um
wal i t oa msaada wa
kiufundi na silaha kwa
wauaji wa Operesheni
Kondor, vikundi vya
wauaj i vi l i vyokuwa
v i na e nde s hwa na
mk u s a n y i k o wa
s er i kal i za ki j es hi
huko Argentina, Chile,
Uruguay, Paraguay,
Bol i vi a na Br azi l ,
v i n a v y o a mi n i wa
v i l i f a n y a ma u a j i
takriban 60,000. Sheehan
i nael ekea al i husi ka
kat i ka Oper es heni
Kondor na sehemu
yake ya Amerika ya Kati,
Operesheni Charly, na
amefikia ngazi ya juu
ya taaluma ya kuua
kwa sababu za kisiasa,
kuanzia hapo. Kama
anafurahi na kuona
alikuwa sahihi kufuatana
na mat uki o bar ani
Afrika, inamaanisha
kuwa vikosi vya wauaji
vi l i vyof unz wa na
Marekani viko tayari
kusambazwa kati ka
eneo hili la dunia.
Hakuna maswali kuwa
Obama anapenda sana
shughuli za Operesheni
Maalum, kwani mauaji
ya vi kundi vi dogo
yanayofanywa na wauaji
waliokubuhu usiku wa
Boko Haram ni faraja kwa ubeberu Afrika-2
Marekani yaanza mafunzo ya vikundi vya wauaji
Na Glen Ford
manane hayafanani na
vita - na yanawezekana,
ikipasa, kuelezwa kuwa
yalifanywa na 'magaidi'
( we n g i n e ) . Ha t a
hivyo historia, ya hivi
karibuni, imeonyesha
kuwa Marekani inaweza
k u f a n y a u n y a ma
wowot e Af r i ka na
isipate matatizo yoyote.
Uvamizi wa Ethiopia
mwaka 2006 nchi ni
Somal i a, uki pi gwa
t af u na vi kosi vya
Mar ekani ar dhi ni ,
angani na bahari ni ,
ulisababisbha kutokea
kwa j a nga kubwa
zaidi la kibinadamu
barani Afrika wakati
huo, "hali ikiwa mbaya
zaidi ya Darfur." kwa
mujibu wa waangalizi
wa Umoja wa Mataifa,
ambako walikufa mamia
ya maelfu. Marekani
b a a d a y e i k a z u i a
kupeleka chakula ili
kuwaangami za kwa
njaa wapiganaji wa Al
Shabaab nchini humo,
na kusababisha vifo
vingi zaidi vya watu.
Lakini raia wengi wa
Marekani hawashtushwi
na uhalifu huu wa haki
za bi nadamu Weusi
duniani. Mshirika wa
Marekani , Et hi opi a
anafanya mauaj i ya
ki mba r i dhi di ya
r a i a wa Ki s oma l i
katika j imbo lake la
Ogaden bila kuhofia
na mamlaka yoyote,
na kupiga marufuku
waandishi wa habari
wa nchi za nje kufika
huko. Marais Clinton,
Bush na Obama - kila
mmoja wao akisaidiwa
na Balozi Susan Rice -
kwa pamoja wameua
raia wa Kongo milioni
sita tangu mwaka 1996.
Mauaji makubwa zaidi
ya kimbari tangu Vita
Vikuu vya Pili yalikuwa
ni matokeo ya kupangwa
ya mpa r a g a ny i k o
u l i o t u p wa k wa
Kongo, yenye utajiri
mkubwa wa madini na
vibaraka wa Marekani,
maj irani Rwanda na
Uganda. Paul Kagame,
kiongozi wa sasa wa
Rwanda, al i t ungua
ndege ambako marais
wawili walikuwamo
humo, mwaka 1994,
akasababisha mauaji
ya hal ai ki ambayo
y a l i m w i n g i z a
ma d a r a k a n i , n a
kuipelekesha Congo
jirani njia ya kwenda
j ehanamu. Marekani
inamtukuza Kagame
kama shujaa, licha ya
kuwa di ki teta huyo
wa ki kabi l a Mt ut si
anapeleka vikundi vya
wauaj i kote duniani
kuwazima wale ambao
wanampinga.
"Marekani haitaulizwa
lolote hata ingefanya
mauaj i ya aina gani
barani Afrka."
Kiongozi wa Uganda
Yowe r i Mus e ve ni ,
raf i ki wa Marekani
tangu enzi za Ronald
Reagan, alifanya mauaji
ya ki mba r i dhi di
ya wapi nzani wake
kutoka kabila la Acholi,
a ka wa t upa ka t i ka
makambi ya mateso.
Joseph Kony alikuwa
mmoj a wa Waacholi
hao, inaelekea akaingia
katika hali ya ukichaa.
Ko ny s i y o ha t a r i
kwa Uganda au nchi
nyingine yoyote katika
eneo hilo kwa miaka
kadhaa, l aki ni Rai s
Obama alitumia madai
ya kuonekana kwa
baadhi ya makundi yake
ya wapiganaji kupeleka
ma k o ma n do o 1 0 0
Jamhuri ya Kidemokrasi
ya Kongo, Uganda,
Rwanda, Jamhuri ya
Afrika ya Kati na Sudan
Kusini. Mwezi uliopita
(Aprili) Obama alipeleka
askari wengine 150 na
ndege nne Afrika ya
Kati, akidai tena kuwa
Kony alikuwa amejifcha
uelekeo huo.
Hali halisi ni kuwa
askari wa Marekani
walipelekwa karibu na
mpaka wa Sudan Kusini,
ambayo Marekani na
Israel wameiyumbisha
kwa miaka mingi katika
juhusi za kuitenga na
nchi kubwa zaidi ya
Sudan. Sudani Kusini
i k a wa n c h i h u r u
lakini haiko thabiti -
si yo t ai f a i l a eneo
lenye mafuta ambalo
linamezewa mate na
Marekani. Makumi ya
maelfu wengine kuna
uha ki ka wa t a kuf a
k a t i k a ma p i g a n o
Sudan Kusini, ila ni
Wamarekani wachache
watakaoilaumu nchi yao
kwa hilo.
Kama mauaj i ya
Congo yanavyoonyesha,
maeneo makubwa ya
watu katika bara la
Af r i k a ya n a we z a
kusaf i shwa asi baki
mtu bi l a watu nchi
za Magharibi kusikia
c hoc hot e. Vi kundi
vya wauaji ambavyo
Mar ekani i naf unza
nchini Nigeria, Niger,
Mauretania na Mali,
na vile ambavyo hivi
kar i buni vi t akuwa
vinafuatilia walengwa
nchini Cameroon na
Be ni n, ha wa kuwa
wanawawinda tu Boko
Haram. Vikundi vya
wauaji kwa hulka yake
vinavuruga utangamano
katika nchi; vinaingiza
sumu katika mazingira
ya kisiasa na kijamii
kiasi cha kuharibika
kabisa, kama ambavyo
raia wa nchi za Amerika
ya Kati katika miaka
ya 1980 wanavyoweza
kushuhudia.
Na bado hiyo ndiyo
njia ambayo Marekani
i n a i p e n d a z a i d i
katika dunia ya wasio
Wazungu. Ndi vyo
ambavyo Wamarekani
wanafanya, pale watu wa
nchi hizo wanapotaka
serikali 'ifanye chochote'
(kwa mfano kuhusu
suala la kutekwa kwa
wasichana wa shule
nchini Nigeria).
( Gl e n F o r d n i
mhariri wa jarida la
Black Agenda Report
n a a n a p a t i k a n a
kat i ka Gl en. Ford@
BlackAgendaReport.
com)
RAIS Yoweri Museven wa Uganda (kushoto) na Rais Barack Obama wa Marekani.
14
AN-NUUR
SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 13 - 19, 2014
Makala/Tangazo
Viongozi wote wa Kamati ngazi ya Mkoa na Wilaya mnaalikwa kuhudhuria Tamasha la Ujenzi wa Kituo cha Kiislamu
Shenge Juu Pemba litakalofanyika kuanzia tarehe 13 20 Juni, 2014.
Shime Waislamu tujitahidi kuhudhuria kwa wingi. Wasio na wasaa wa kuhudhuria wachangie fedha na vifaa vya ujenzi.
Tukumbuke, tukifanya hivyo tutakuwa tumefanya biashara na Allah (s.w) kwa mafanikio ya hapa duniani na malipo ya
Pepo Quran (61:10-13)
Muhimu:
Kwa kupitia Tanga nauli ya kwenda na kurudi kwa usari wa ndege ni-. Tsh 180,000/= (0715 894111/0787 894111).
Kwa kupitia Dar es Salaam nauli ni Tshs. 98,000/- kwenda na kurudi.(Kwa meli) Kuripoti Dar es Salam ni tarehe
10/06/2014 0654 064215/0689 665045.
Kila msafri awe na kitambulisho.
Wabillah Tawiq
AMIR- TAIFA
KAMATI YA KUENDELEZA UISLAMU TANZANIA
TAMASHA LA KITAIFA, SHENGE JUU PEMBA
13 20 JUNI , 2014
SERIKALI ya Zanzibar
imesema itaendelea
kuthamini misaada
i n a y o t o l e wa n a
Serikali ya Misri katika
kuendeleza na kukuza
uchumi wa Zanzibar.
Hayo yameelezwa
n a Ma k a mu wa
Kwanza wa Rais wa
Zanzibar, Maalim Seif
Sharif Hamad, ofisini
kwake Mi gombani
wakat i al i pokuwa
a k i z u n g u mz a n a
balozi mdogo wa Misri
anayemaliza muda wak
Bw. Walid Ismail.
Maalim seif alisema
s e r i k a l i ya Mi s r i
i me k u wa ms t a r i
wa mbel e kui sai di a
Zanzibar katika nyanja
mbalimbali za kiuchumi
na ustawi wa j amii,
zikiwemo elimu, afya
na kilimo.
Balozi wa Misri katika Zanzibar amaliza muda
Na Mwandishi Maalum,
Zbar
Ai d h a a me s i f u
mchango wa bal ozi
huyo katika kipindi
chake cha utumi shi
kwa kufanya mambo
mengi mazuri ambayo
yanahitaji kuendelezwa
na mwenzake atachukua
nafasi yake hapa nchini.
Al i sema mbal i na
balozi huyo kumaliza
mu d a wa k e wa
utumishi hapa nchini,
bado anayo fursa na
kuchangia maendeleo
ya Za n z i b a r k wa
kuwa balozi mzuri wa
kuitangaza Zanzibar nje
ya nchi, ikiwa ni pamoja
na kuwahamasi sha
wawekezaji na watalii
k uj a k ui t e mb e l e a
Zanzibar.
Aidha Maalim Seif
pia alitumia fursa hiyo
kuipongeza Misri kwa
kufanikisha uchaguzi
wa Rais na kuelezea
matumaini yake kuwa
wananchi wa nchi hiyo
wataishi kwa amani na
usalama.
Naye balozi mdogo
wa Misri anayemaliza
muda wake wa utumishi
hapa nchini Walid Ismail,
al i si f i a ushi ri ki ano
alioupata kutoka kwa
viongozi na wananchi
wa Zanzi bar kati ka
kutekeleza majukumu
yake ya kibalozi.
Al i sema Zanzi bar
ni ki t uo ki zuri cha
kufanyia kazi kutokana
na ukarimu wa watu
wake, pamoja na kuwepo
amani na usalama kwa
wakati wote.
Balozi Ismail aliahidi
kuwa aki wa nj e ya
Zanzibar, ataendelea
kuthamini mafanikio
aliyoyapata ikiwa ni
pamoja na kuimarika
kwa uhusiano kati ya
Zanzibar na Misri.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar,
Maalim Seif Sharif Hamad.
15
AN-NUUR
SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 13 - 19, 2014
Tangazo
ISLAMIC PROPAGATION CENTRE
P.O Box 55105,Phone: 0222450069, 0784 267762, 0755 260087 & Fax 022 2450822, Dar es Salaam website :www.ipctz.org
MAFUNZO MAALUM YA UALIMU TARAJALI NGAZI YA STASHAHADA KWA KIDATO CHA NNE MASOMO YA
SAYANSI/HISABATI NA ENGLISH:MUDA MIAKA 3

1. UTANGULIZI
Mafunzo haya yatatolewa katika vyuo vya Ualimu Kirinjiko Islamic Same na Ubungo Islamic Dar kuanzia Julai, 2014. Miaka miwili ya mwanzo yaani
kidato cha tano na sita mwanafunzi atasoma tahasusi (combination) ya masomo matatu, mawili kati ya yaliyotajwa hapa chini na somo la tatu ni
Ualimu (Education).
Baada ya matokeo ya kidato cha sita na kufaulu, mwalimu tarajali atarejea chuoni mwaka wa tatu kukamilisha mafunzo ya Ualimu hasa
katika mbinu za ufundishaji, mazoezi ya kufundisha kwa vitendo (BTP) na kuhitimu mafunzo yake kwa kufanya mtihani wa stashahda ya Ualimu (NECTA).
2. SIFA ZA MUOMBAJI
Kwa mujibu wa waraka wa Elimu na.1 wa 2014 wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, muombaji awe amehitimu kidato cha nne na awe na credit MBILI (2) (yaani A,B+,B au
C) katika masomo ya sayansi (yaani Physics,Chemistry na Biology), Basic Mathematics na English Language
3. Mwisho wa kurejesha fomu za maombi ni tarehe 18/6/2014.
Fomu za Maombi zinapatikana kwa gharama ya shilingi 10,000/= katika vituo vilivyoorodheshwa hapa chini.
Arusha - Ofsi ya Islamic Education Panel Jambo Plastic Ghorofa ya 2 mkabala na msikiti Mkuu Bondeni - 0763 282 371/ 0784 406 610.
Kilimanjaro - Moshi: Msikiti wa Riadha 0654 723 418
- Same: Kirinjiko Islamic Secondry School: 0784 296424/0655 697 075
Tanga - Twalut Islamc Centre Mabovu Darajani 0715 894111/0789 410914
- Uongofu Bookshop: - 0784 982525/
- Korogwe: SHEMEA SHOP 0754 690007
- Mandia Shop - Lushoto: 0782257533
Mwanza - Nyasaka Islamic Secondary School 0717 417685/0786 417685
- Ofsi ya Islamic Education Panel Mtaa wa Rufji mkabala na Msikiti Al-Amin 0785 086 770.

Musoma - Ofsi ya Islamic Ed Panel -Mtaa wa Karume,Nyumba Na. 05, -0784721015/0765024623
Kagera - Bukoba: Alhuda Caf Kwa mzee Kinobe karibu na ofsi za TRA. - 0688 479 667
Shinyanga - Masele com: Ofsi za NSSF Shinyanga Mjini mkabala na bank ya CRDB - 0752180426
- Kahama ofsi ya AN NUUR Karibu na msikiti wa Ibadhi: 0753 993930
Dar es Salaam - Ubungo Islamic High School 0754 260 241/0712033556
- Ofsi ya Islamic Ed. Panel Temeke -Msikiti wa Nurul Yakin 0655144474.
Morogoro - Wasiliana na Ramadhani Chale :0715704380
Dodoma - Hijra Islamic Primary School : 0716 544757/0712 325086
Singida - Ofsi ya Islamic Ed. Panel karibu na Nuru snack Hotel 0714285465/0784 928039
Manyara - Babati: Shule ya Msingi Hangoni: 0784 667575
- Ofsi ya Islamic Ed. Panel Masjid Rahma: 0764 469870/0789 174902
Kigoma - Msikiti wa Mwanga Kigoma: 0753 355224.
- Kibondo Islamic Nursery School: 0784 442860.
- Kasulu: Murubona Isl.SS. 0714710802.
Lindi - Wapemba Store: 0784 974041/0786 959663.
Mtwara - Amana Islamic S.S 0715 465158/0787 231007.
Songea - Kwa Kawanga Karibu na Msikiti wa NURU 0715 681701/0716791113
- Mkuzo Islamic High School. 0716 791113
Mbeya - Duka la vifaa vya Kiislamu nje ya Msikiti wa Uyole 0713 200209
- Rexona Video mkabala na Mbeya RETICO: 0713 200209
Rukwa - Sumbawanga: Masjid TAQWA 0717082 073
Tabora - Kituo cha Kiislamu Isevya: 0784 944566
Iringa - Madrastun Najah: 0714 522 122
Pemba - Wete: Wete Islamic Education Center: 0777 432331
Unguja - Madrasatul Fallah: 0777125074-
Mafa - Ofsi ya ust. Yusufu Ally jirani na msikiti mkuu 0653705627
4. Pia Fomu zinapatikana kwenye Tovuti: www.ipctz.org. Ikumbukwe kuwa watakaopata fomu kupitia tovuti (download) watatakiwa kuzilipia wakati wa kuzirejesha.
USIKOSE NAFASI HII ADHIMU WAHI KUCHUKUA FOMU SASA!
MKURUGENZI
WABILLAH TAWFIIQ
16
AN-NUUR
SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 13 - 19, 2014
16
MAKALA
Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na POA Printing Works LTD, S.L.P. 4605, Dar es Salaam.

AN-NUUR
16
SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 6 - 12, 2014
Soma
Gazeti la AN-NNUR
kila Ijumaa
IWAPO vyama vya
mi chezo vi t afanya
kampeni maalumu
za kuwas hawi s hi
vijana kujiunga na
michezo ya Judo na
Karati, hamasa iliyopo
sasa itaongezeka na
kupelekea kuimarika
kwa michezo hiyo.
Hayo yameelezwa
n a Ma k a mu wa
Kwanza wa Rais wa
Zanzibar, Maalim Seif
Sharif Hamad, wakati
akizindua jengo la judo
lililopo mkabala na
uwanja wa Gombani
Chake Chake Pemba.
Alisema Zanzibar
i mekuwa i ki t aj wa
sana katika mchezo
wa judo kwa nchi za
Afrika ya Mashariki
na kati na kwamba,
kukamilika kwa jengo
hilo kutaamsha ari na
mori kwa vijana wa
Zanzibar na kuweza
kuviletea sifa zaidi
visiwa hivyo.
Makamu huyo wa
Rais alisema matarajio
ya Ser i kal i kat i ka
mi c he z o hi yo, ni
kupatikana mabadiliko
makubwa ya michezo
itakayorejesha heshima
ya Zanzi bar kati ka
kanda ya Kusini mwa
jangwa la Sahara.
Al i ongeza kuwa
mbali ya kujenga afya
na ukakamavu kwa
vijana sekta ya michezo
pia inaweza kuchangia
maendeleo ya sekta
ya utalii, kutoa ajira
kwa vijana na hatimaye
k us a i di a k uk uz a
uchumi kwa wananchi
na taifa kwa ujumla.
Alisema lengo kuu la
serikali kuunda Wizara
ya Habari, Utamaduni,
Utalii na Michezo, ni
kujaribu kuunganisha
sekta zilizomo katika
Maalim Seif atoa tahadhari kombe la dunia na Ramadhani
Azindua jengo la judo, karate Pemba
Balozi kudhamini vijana Olimpiki
Na Mwandishi Wetu,
Zbar
wi z a r a hi yo kwa
kufanya kazi pamoja na
kuleta mafanikio zaidi.
Maalim Seif alielezea
kuridhishwa kwake na
umahiri unaooneshwa
na vijana wa michezo ya
judo na karate Kisiwani
Pemba na kwamba,
kutokana na umahiri
walio nao, vijana hao
wanaweza kushindana
kat i ka mi chezo ya
kimataifa na kuweza
kuibuka na ushindi
mkubwa.
Alifahamisha kuwa
kukua kwa michezo ya
judo na karate Zanzibar,
kut achukua naf asi
iliyokuwepo ya watu
wengi kujishughulisha
na mi c he z o ha s a
wat akapokuwa na
uhakika wa ushindi
wa ka t i wa c he z a j i
w a Z a n z i b a r
wa t a k a p o s h i r i k i
katika mashindano ya
kimataifa.
Aliupongeza Ubalozi
wa J a p a n n c h i n i
pamoja na chama cha
Judo Zanzi bar kwa
kufanikisha ujenzi huo
pamoja na vifaa vya
michezo ambavyo kwa
pamoja vimegharimu
shilingi milioni mia
tano (500 milion).
A me wa s i s i t i z a
w a n a m i c h e z o
kuungana ili kuleta
maendeleo zaidi katika
sekta ya michezo nchini.
K a t i k a h a t u a
MOTO umeunguza
na kuteketeza kabisa
soko la wachuuzi wa
nguo za mitumba la
Mchi ki chi ni , Il al a
Jijini Dar es Salaam.
Ta a r i f a k u t o k a
k wa mmo j a wa
wa f a n y a b i a s h a r a
aanayefanya shughuli
zake za ushonaji katika
soko, amesema moto
huo umezuka majira
Soko la Mchikichini lateketea kwa moto
Zimamoto wahamishia nguvu TBL
Na A. Msengakamba ya saa nne usiku wa
kuamkia Alhamisi.
Shuhuda mwingine
al i sema kuwa mara
baada ya kubai ni ka
moto huo, wasamaria
wema waliwaita askari
wa zima moto, ambao
makao makuu yapo
takriban kilometa mbili
kutoka mahal i soko
lililipo.
Hata hivyo taarifa
za mashuhuda hao
zinaeleza kuwa askari
wal i pof i ka eneo l a
tuki o, wal i shi ndwa
kuzi ma mot o huo
na kuegesha magari
yao pembeni , huku
wakionekana kuchukua
zaidi tahadhari moto
usije kuhamia eneo la
kiwanda cha bia cha
TBL, kilichopo jirani na
sokmo hilo.
Shuhusa Amina Juma
Masanyika, ambaye
ni f undi chereheni
anayefanya shughuli
zake ndani ya soko
hilo, alisema kwa kuwa
mot o huo ul i zuka
usiku, umeteketeza kila
kitu sokoni hapo na
hakuna mfanyabiashara
aliyefanikiwa kuokoa
mali yake.
Hata hivyo, jambo
lililowashtua wengi
ni kwamba, t angu
ulipozuka moto huo
Jumatano siku, hakuna
kiongozi yeyote wa
serikali aliyefka eneo la
tukio hadi ilipofka jana
Inaendelea Uk. 12
Inaendelea Uk. 12
Wanafunzi wa Madrasa Imania Mambo Mgati, Mtae Lushoto, wakiwatoea kwenye sherehe
za Maulid yalifanyika katika kitongoji cha Kukai hivi karibuni.

You might also like