Professional Documents
Culture Documents
MWENYEKITI WA CHADEMA
MKOA WA LINDI
30/11/2013
KATIBU WA CHADEMA
MKOA WA LINDI
Mjumbe wa Kamati kuu wa kuchaguliwa Mhe. Dr. FITILA MKUMBO, kwa kile
kilichoelezwa kuwa ni kwa sababu:(a) Mhe. ZITTO KABWE (Mb) alishiriki kusaidia Wabunge watatu wa
CCM kupita bila kupingwa kenye Majimbo yao ya Uchaguzi 2010.
(b) Kuandaa mkakati waliouita mabadiliko ya Chama 2013. Mkakati
uliolenga kumuwezesha Mhe. Zitto kushinda nafasi ya Uenyekiti wa
Chama Taifa endapo angekubali kugombea.
(c) Mhe. Zitto alishindwa kutimiza majukumu yake ndani ya Chama kwa
kutoshiriki pamoja na Viongozi wenzake kwenye matukio makubwa
yaliyokikumba Chama kama:(i)
Maandamano ya Arusha.
(ii)
yangu
inanikataza
kabisa
kuendelea
kufumbia
macho
maovu
Kwa kuwa siamini kwamba kuvuliwa nyadhifa kwa zitto kabwe na dkt kitila
mkumbo ni kwa sababu ya waraka wa ushindi, bali ninaamini kuvuliwa kwao ni
kutokana na hofu ya uchaguzi, ubaguzi wa kikabila na kikanda.
Hivyo basi, nikiwa na akili timamu kabisa, leo tarehe 30.11.2013 nimeamua
kujivua nyadhifa zangu zote nilizokuwa nazo ndani ya chama.
Sioni tena sababu ya kuendelea kuwa MwanaCHADEMA, sioni tena sababu ya
kuwa mwenyekiti wa CHADEMA MKOA WA LINDI, sioni tena sababu ya kuwa
KATIBU WA SEKRETARIETI YA KAMATI KUU.
Kwa kuwa vipaumbele vya chadema ni kukijenga chama mikoa ya kaskazini.
Basi sisi wananchi wa mkoa wa lindi tunawatakia kila la heri, na kwamba
waendelee kukijenga chama chao huko huko waliko.
Nashukuru wote ambao nilifanya nao kazi pamoja katika kutekeleza majukumu
yangu.
Ahsante Sana
A.O. CHITANDA
0753418510
MWENYEKITI CHADEMA MKOA LINDI
MJUMBE BARAZA KUU TAIFA
KATIBU OFISI YA KATIBU MKUU- SEKRETARIETI